TUNAOMBA RADHI KWA KUTO KUPOST EPISODE YA 07 SIKU YA JANA ,, KULIKUA NA CHANGAMOTO AMBAZO ZILIKUA NJE YA UWEZO WETU,, ILA MUNGU NI MWEMA EPISODE YETU IMETOKA LEO,, ENDELEA KUFURAHIA TAMTHILIA YA DUNIA,, NA SAMAHANI KWA USUMBUFU ULIOTOKEA,, TUNAWAPENDA SANA 🙏🏻🙏🏻
@Khatib-xp6fp
2 сағат бұрын
Mm napnda sana from 🇫🇷
@ibrahimsengo2506
2 сағат бұрын
Kwa ioratiba ni ileile????
@asmacomedian9021
2 сағат бұрын
@@ibrahimsengo2506NDIO ITAENDELEA KAMA KAWAIDA
@emmanuelwilson3074
2 сағат бұрын
Mfanye kua mnatoa episode kila siku
@joycejapheth4714
2 сағат бұрын
Tunawapenda pia
@ShedrackBishaza-qd4vq
Сағат бұрын
Hii filamu nimeipenda sana yaan iko tofaut na filamu nyingine kama nawewe umeipenda kama mm gonga like twende sawa
@PauloAmos-k2f
20 минут бұрын
Okay
@Farthun
2 сағат бұрын
Ndo mm huyoo nimewahi Asante sana 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
@espoirkipanza
Сағат бұрын
Kwa kweli kitu imekaha sana muandishi apewe mauwa🎉 yake na mungu amuzidishiye kipaji
@AdiminMbughi
2 сағат бұрын
Manyanya na vaileth mungu awasimamie kweny kazi yao hii waimalize salama
@KibweOnlineTv
2 сағат бұрын
Leo nimekuwa wa 144 😂😂, Em naomba likes zangu tuwape nguvu Team Dunia Series🎉🎉❤❤ Hii ya leo ni motomoto💥💥💥💥💥
@hanifahanifa7708
11 минут бұрын
😂😂😂😂😂
@MisheckSikaonga-yw5rc
2 сағат бұрын
From Zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲 my like 🎉
@CollisBill-mu3zp
2 сағат бұрын
Vai japo anazngua kumbe upendo wa kwelii anawoo❤🎉safiii sanaa.sasa acha kuwasapot wale wachawii
@m.mmarckus6298
Сағат бұрын
Labda anajisafisha😂😂😂
@CollisBill-mu3zp
Сағат бұрын
@@m.mmarckus6298 wenda
@ThomasKajidu
2 сағат бұрын
Wakwanza from kenya nawaombeni like zenyuu basii🎉🎉🎉🎉🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@hassanmkono1563
58 минут бұрын
Piga nduru kwanz
@fatuma46ramadhan18
2 сағат бұрын
Wow❤❤❤ nilishinda Jan youtobe juu ya dunia💞💞
@Young_p2007
2 сағат бұрын
Wa kwanza leo kutoka marekani ❤ naombeni like zangu
@franktodory
2 сағат бұрын
watu mmelala humu au daaaaaah
@BarakaDavid-uq8xc
2 сағат бұрын
Wa kwanza muha apa
@HassanNgao_254
2 сағат бұрын
Tulkua tumeingoja 💥kazi safii
@AsifiweImani
2 сағат бұрын
Watakao soma iyi comment mungu abariki kazi za mikono Yao
@AminHamza-n6h
53 минут бұрын
Aminaa
@DonMooFILMES_Express
2 сағат бұрын
MANYANYA + VAILETI ni Kanumba na Johari wa kisasa 🌹
@silviak1776
37 минут бұрын
Mudy na mke wake 😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
@PatrickPeter-ce9zn
2 сағат бұрын
Wa kwanza mm wadau Kaz nzur sana kaka naona unafika mbali mnaoamini kuwa atafika mbali gonga like hapa tujuane
Oooh waooo ilo ndio tatizo la wanawake wenye pesa huwa hawaeshimu ndoa yao jamani 😢😢😢🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@JosephMarugi-y4b
45 минут бұрын
Manyanya n vai mwafaa muoane kW kweli c kW movie tu ht kw uhalisia🎉
@army_vibe01
2 сағат бұрын
WAKWANZA LEO FROM KENYA 🇰🇪🇰🇪
@Special_boy_og
2 сағат бұрын
Leo nimekuwa wa kwanza naombeni like zangu
@jeannettehabonimana2825
12 минут бұрын
Mudi mizimu tena daaaaa
@KoarsKoars0-uz9mb
2 сағат бұрын
Leo nimeangalia mapema from 🇧🇮🇧🇮🥰🥰🥰🥰
@MosesBenedictor
Сағат бұрын
Tunaendelea ulipoishia we mud 😂😂 apa mpe popombe kiti haisee kanji makole stand up 🙌🙌
@Stafamuigizaji
2 сағат бұрын
Movie nzuri sana hongeren sana
@MABAASITV
2 сағат бұрын
Mimi wa 3 sema namkubali mzee manyanyaaaa
@DainesWilliam
43 минут бұрын
Wa mwisho jmn akin yote Kwa yote move nzurii sana jmn tunajifunza meng Asanteni watunzi
@GaudenciaMadirisha
2 сағат бұрын
Da jamani mudi na mke wake khaaaa😂😂😂😂😂 aisee nimecheka sana dah😂😂😂😂😂😂
@AminaMussa-bw2jh
Сағат бұрын
😂😂😂nilikua nasubr comment kama hii
@FadhilMasoud-xb9fu
Сағат бұрын
Yaani wote humo,mafundi sana kila m2 anaonyesha uhalisia,big up
@KENNEDYBlack50centt
42 минут бұрын
Ahk ikopoa Sana natoka Kenya nawapenda watanzania niowa uko. Tz nikama nyumbani nawapenda sana naomba Kenya na tz tupendane tusifuate ya. Fita za mitandaoni tupendane tafathali nataka mrembo WA kutoka mbongo nitaowa mbongo. Nawapenda sana🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️🤎🤎💓💓❤️👣🖐️💅🧕🧑🍼👩❤️👩🌹
@tanganationdj
2 сағат бұрын
Mkichelewesha tena ,naandikia barua BASATA.... 😂
@NiyonzimaTantine
Сағат бұрын
Manyanya napenda maneno yako sana🎉🎉🎉🎉
@RukiaomariOmari
2 сағат бұрын
Uwiiiii hatimaye nime kuwa wa kwanza Leo ❤❤
@Mrkigoma
58 минут бұрын
Project yenu naiman itafanya pw sana kwan kila kipande kimebeba ujumbe mzito hongeeereeeeen sana❤🎉
@AbdallahKiko-y5x
Сағат бұрын
Mizimu Ina Toka kwediboma makasini tanga nime shangaa maana nipo kwediboma naomba like
@solomonmashauri1553
Сағат бұрын
Hii comment nilikuwa naitafta sana😂
@MosesBenedictor
Сағат бұрын
Yani apo kiti kwao kwafungo mizimu kwao kadimoma muheza kwa handeni 😂😂😂😂
@ZulfaDaudi-f4j
Сағат бұрын
Hahaha huyu mudi itakuwa wa kwediboma
@MosesBenedictor
44 минут бұрын
@@ZulfaDaudi-f4j mud kwao kwafungo makole 🤣🤣
@rizikisam6481
5 минут бұрын
Ila vai apana jamani ni mbishi sana yaani ananikera siku mume wake akimsaliti asilie
@AshrafuhalfaniNdope
2 сағат бұрын
First naomba like
@fredrickmusire5610
2 сағат бұрын
Manyanya anaweza kasema ukweli kuhusu wanawake
@DenisChuwa-p7i
23 минут бұрын
JINSI YA KUISHI BILA MWANAUME 👀😂😂😂 Ila Maty
@tiffahbby3697
37 минут бұрын
Manyanya unaelimisha watu ktk ndoa hongera sana❤❤❤
@RabiaRashidi-y6d
2 сағат бұрын
Wakwanza Leo..team ASMA Flams burudani kwa wote❤❤❤
@KubelwaIlungaMardochéeSalama
59 минут бұрын
Manyanya pole kabisa maana ataki wende ije
@NathaSMART
2 сағат бұрын
Number 1 today Guys team strong hoyeeeee 🎉🎉🎉 gong likes 5 Guys ❤ Mudy 😂😂😂😂
@JeanRamazani-js9hz
2 сағат бұрын
Wakwanza mimi kutoka DRC 🇨🇩
@ZalhaMustapha-yj4os
Сағат бұрын
😄😄😄😄jmn Mudy kumbe mzgua mwezang ila unaniangushaa🤣🤣🤣🤣🙌
@JasminKilimo
34 минут бұрын
Jamani mauwa yenu mpewe 🔥🔥🔥❤️❤️❤️
@Godwin-g6m
2 сағат бұрын
Kazi nzuri sana sema ni wanaume wachache sana tunao weza kuwa na uvumilivu wa kuishi na mwanamke kama zai so big up sana manyanya, also respect kwa mdada unae ishi na ndugu yetu mlevi that is true love❤❤ 😂😂
Пікірлер: 377