Manyonga angemteka chado angempata mtoto kirahisi maana yule kakaake najima anashida
@PatrickPaul-v3o
3 сағат бұрын
Leo me kwanza jamanii nipe like mnaomkubali chado master
@aishangambage
Сағат бұрын
One love❤❤❤ kwa chado master
@AgnessMirisho
Сағат бұрын
Mbona uyu baba anainekan amemzunguka mwenzake
@BinatiJabir
3 сағат бұрын
Mzee wa misumali kayatimbaaa
@JamilaAbdallah-i4v
2 сағат бұрын
Hivi Jojo ni ukaka unataka kweliiii au una yakooo
@SnapBoy254
47 минут бұрын
Leo nmeamua kudondosha comment. Wajua nkwanini? Chodo kumuita najma (mkewangu) live
@DeboraLufingo
2 сағат бұрын
Chadoo upo vizurii yaaan ucheleweshi😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@FatmaChuba-y8e
3 сағат бұрын
Wa kwanza mim leo 🎉🎉🎉🎉kile zenu
@rajabuyusufu4790
2 сағат бұрын
Mzee wa misumari nikama alitegwa na huyu jamaa
@AmimoCelestinonalingaNalinga
2 сағат бұрын
Nakukubali sana 🇲🇿
@PeterJonathan-y5l
3 сағат бұрын
Chado jitahidi kutoa vibande vilefu hii Ngoma tamu Sana 😂❤
@PendoMenganyi
3 сағат бұрын
wa. Kwanz kulike na kucomment like hapa😂❤❤
@RizikiZiki
Сағат бұрын
Manyoga kwaizo mbinu zako utafeli tu kidemu nyau humupati ngwe ni wa chado uyo atakutowa meno we nengeneka tu natabiya mbovu unayo muaciye muze wa misumari arudi nyumbani
@Freelancer.6969
3 сағат бұрын
Mzeee wa misumar yamemtokea puan
@JULIUSMTALIMA
2 сағат бұрын
Apo jojo alipo muomba chado msamaha chado katisha sana iyo ndo roho ya kiume
@DianaMkembelwa
15 минут бұрын
439.jamani tujuwane kwa like tunaesema hii movie iendele😢 Hadi pat two.chado masta awe awe.😅😅😅😅😅.wewe manyoga acha ujinga mpago wako.😮😮😮
@TumaAmin
8 минут бұрын
Yote 9 kumi hii movi nzuri kuliko maumivu mnasemajeh watoto wa 2028
@HidayaHamisi-w5k
2 сағат бұрын
Mzeee wamisumali umeingia kwenye mtogo ya msita manyonga aseeh
@JenipherYona
3 сағат бұрын
Wakwanza jmn like bas
@AronMaria
3 сағат бұрын
Nimewai leo wakuu like kwangu,,watching from 🇰🇪
@FarajiJackson
3 сағат бұрын
Safi Mzee baba naqbar
@yasinihussein7865
3 сағат бұрын
Duuuh😂😂😂 oya mnalala humu au sio
@eshamohd7268
11 минут бұрын
Manyonga alimfanyia mchezo mzee wa misumari ili ashindwe kulipa hiyo pesa waingie makubaliano amchukue Najma😮
@MustaphaHaule-xg7np
3 сағат бұрын
Me ndy wa kwnz Leo
@KizzImuh
2 сағат бұрын
Mshaamini kuwa dingi kacheza mchezo angalia hilo lishangingi baunsa amekuja nalo mpo home kwa kina najmah
@arimtekerdivalwamadush7517
2 сағат бұрын
Kitengo mkubali Jojo analia kwa uchungu anataka kaka mkubalie basi so touching
@HasnaAhmed-d3o
Сағат бұрын
Nilijua tu mr manyonga kuna kamtego anataka kufanya kwa Ally dady😢😢
Пікірлер: 458