Makonda mungu akupe maisha marefu wewe ni jembe la wanyonge
@hassanbilali1697
19 күн бұрын
Mimi niko kusini mwa Tanzania lakini nampongeza sana Mkuu huyo Makonda. Huyu awe waziri mkuu atatusaidia sana
@marcokaroje8980
17 күн бұрын
Awe waziri was familia yako use mtumwa was.wababe kama huyo jamaaa
@chandeyusufu9570
8 күн бұрын
Awe raisi
@marcokaroje8980
6 күн бұрын
@@chandeyusufu9570 mpe mkeo aowe yaani rais wa mkeo maana uwezo wako wa kufikiri ni mdogo huna uwezo was kutawala mazingira yako kila MTU naweza kuwa kiongozi lakini wewe unaona makonda tu tu ambae watu wanamuona msanii
@Zuu673
5 күн бұрын
Wenye wivu wajinyonge 😊upo mtwara sehemu gani?
@marcokaroje8980
3 күн бұрын
@@chandeyusufu9570 hakuna akili za kuongoza wasomi ambao wameenea Tanzania nzima labda mabeege kama nyie hata USA haruhusiwi kuinigia mabwege mtakaa sana
@Isackhamka
4 күн бұрын
Duuh! hakika wewe unafaa katika taifa retu najuwa watu wengine huwa hawataki ukweli lakini nawiwa kusema mungu akuatamie naakupadishe ukupereke dalaja lajuu zaidi
@omaryjudasymwanga7172
21 күн бұрын
Broo makonda kweli mungu awe nawe kwenye safari yako ya kufukua hizi kaburi za halaiki wee fukua tuu lakini chama cha mapinduzi kweli kinatupindua kichwa chini miguu juu hatuna tofauti na hadidisi ya ile sanema ya shukuru mimi masiki mliokuepo malizieni wimbo
@omaryjudasymwanga7172
21 күн бұрын
Kuna wakati naona watu wapo kazini alafu kuna wanaozini na kunajisi kazi ya walio kazini uhuni kabisa lakini sauti yangu naona kama katiba inalinda vibaka na ndio chanzo cha hicho chama kuchafuka na kunuka kwa kiasi hicho hani hakuna mwenye sauti ya kusema kila mtu ni boss lakini kwa sababu ambazo hata kichaa ukimgusia anapoana kichaa na kukupa tarifa ambazo zainafanya ushangae sasa kama kichaa anaeza kugundua jambo je wenye akili na walioaminiwa wanasemaje ....hahahaha aloo mambo bado ni moto broo makonda na kama nikazi bado ipo na unatakiwa kuwa moto zaidi
@LimbuButura
5 күн бұрын
Ningependa sana ungekua huku simiyu
@maggieshi690
12 күн бұрын
Makonda njoo usaidie kenya😢😢huku hongo ndio mtetexi wanyonge wanaumia
@annalugano5246
6 күн бұрын
Mungu amtunze Makonda
@charlessaikoma1579
20 күн бұрын
Hili nalo ni some kwa viongozi wa ngazi note tangu kwenye familiar mpaka zile za juu kabisa
@elikanamusa
8 күн бұрын
🎉🎉🎉rushwa mbaya sana
@SaidNjenjema
8 күн бұрын
Yesu atatokea milimani,, sijui ndo huyu?
@user-hx9ny9me7y
21 күн бұрын
Eeee spana kubanaa sanna safi mweshimiwa malinda.
@maimunamselemo8427
3 күн бұрын
Wao waliandika notes kwa weźao sheria ni msumendo
@eliyamgalihya7704
16 күн бұрын
Picha uliyoweka ni uongo mtupu, ilitokea miaka mingi iliyopita hao wanaopanda karandinga ni wadangaji wa Dar, halafu yanayozungumzwa ni tofauti na picha uliyoweka. Kwa nini kudanganya watu??
@Elias-gy8qu
13 күн бұрын
Makonda jamani siugombanie tu urais na naamini kwa uwezo wake mungu wetu pamoja na watanzania utapita tu vizuri
@Zuu673
5 күн бұрын
😂😂😂😂mwaka gani?
@GeorgeBeno-iq3lh
2 күн бұрын
New president ❤
@HappyKazungu-ww9sy
17 күн бұрын
Mungu akuweke mheshimiwa
@aminasalehe6997
6 күн бұрын
Hongera makonda
@veronicamollel8179
18 күн бұрын
Nchi yetu ni nzuri baadhi ya watendaji wanaharibu na ni wainevu hata ndani ya ofisi za serekali wapo
@britoMdemeka-eg6xj
3 күн бұрын
Wenyeviti wa vijiji wanaburuzwa sana hata huku kwetu na hao watendaji ila kinachotakiwa wasomi tuingie kushika hizo nafasi kwa maslahi ya taifa
@Maichampiongirl
8 күн бұрын
#mhmakonda we ni mtenda haki bila ubabaishaji mungu akuwekee miaka mingi na akuepushe na kila hila za watu wabaya❤❤❤❤❤
@mlumendoigonza6398
3 күн бұрын
Mwenyekit haelewi majukumu yake mwizi huyoo
@britoMdemeka-eg6xj
3 күн бұрын
Wenyeviti wengi hawajui kbsa majukumu yao aise
@mlumendoigonza6398
3 күн бұрын
Huyo nimwizii
@viviandaniel5089
17 күн бұрын
Mpe cheohuyo mwana nchi fukuza huyo mwenyekit feki
Пікірлер: 71