Daima nimeendelea KUKUPENDA SHEKHE Ponda Issa Ponda hakika Mungu aendelee kukupa afya njema kwa kuendelea kuwa mkweli kama mjumbe wa Mwenyezi Mungu❤
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@fadhilyassin5772
3 ай бұрын
Angalau shekhe wetu umetusemea Allah akuhifadhi inshaallah
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@Rolemodel_wa_taifa
3 ай бұрын
Unashindwa kuitikia Dua kazi asante kwa kutufatilia tu au unaogopa @@ICONTVTZ
@mayanigerald
3 ай бұрын
Huyu ndo mufti wa dunia
@rosehaule6765
3 ай бұрын
Mungu skutunze mufti tunakuombea hali mbaya mnoo mlo mmoja watu kwa ss kila mmoja magojwa ni madonda ya tumbo aside kutema mlo usio na vitamins magojwa tu kutokana na kukola mlo lishee 😢
@IsackIsacksamson
3 ай бұрын
Shehe ponda mm ni mkristo nakukubali sana huna unafiki kabsa kama walivyowengi viongozi wa dini ufanyiwe heri na mnyezi Mungu
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@fabby1181
3 ай бұрын
Huyu Shekhe siyo kiongozi wa kidini tuu lakini ni katika jamii kiujumla, Hongera sana mzee wangu
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@IbrahimuAmiry
3 ай бұрын
Nilibahati kukaa na Sheikh PONDA zaidi ya mara moja,Kuna vitu niliviona kwake ambavyo vilinifanya nione kuwa Sheikh ana uwezo mkubwa na ktk SERIKALI YETU anweza kufit nafasi yyte ile,hongera sana baraza la Maimam kutuwakilisha vyema ktk walaka uu, MUNGU ajaalie niwe km Sheikh PONDA,ALLAH akuweke zaidi Sheikh wetu akuzidishie ulinzi zaidi 🤲
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@pascalsafari3476
3 ай бұрын
Shehe ponda mwenyezi mungu muumba wa mbingu ardhi akupe maisha marefu kwenye uso wa ardhi
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@YOSHUAMWAMPETA
3 ай бұрын
Samahani ndugu Jitahidi sana Unapoandika MUNGU ANDIKA kwa herufi kubwa hususani Herufi ya kuanzia.
@elimborandewario8922
3 ай бұрын
Msemakweli ni mpenzi wa Mungu, ubarikiwe sana baba
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@PrudencianaPkiyagi
3 ай бұрын
Mwenyezi Mungu awe pamoja nawe katika maisha Yako nimeipenda hii sanaaaa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@MathewNathan-yb2bz
3 ай бұрын
Sheikh ponda Mungu akubariki sana umeongea ukweli mtupu.Tatizo linaloisumbua serikali hii ni ufisadi,rushwa na ubadhirifu.ufisadi,rushwa na ubadhirifu ni kama umehalalishwa na ni sifa.Mafisadi wanaimaliza sana nchi hii na wanaiba waziwazi bila kuchukuliwa hatua kana kwamba hakuna serikali na vyombo vya usalama vinavyohusika.
@allymganga3223
3 ай бұрын
Apo msumali ni katiba ikiluusiwa laisi kushtakiwa mawazili kushtakiwa Kwa makosa ya makusudi na ata uzembe kutakuwa na uwoga lkn hii kuchekeana chekea kulindana U ccm umaskini Tanzania itakuwa ndoto
@respiciousbishubo1158
3 ай бұрын
Upo sawa
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ceciliamagalabajimmy4391
3 ай бұрын
Asante sanaaa Shekhe, Mungu akubariki.
@dassustephen731
3 ай бұрын
Serikali inayopenda kusifiwa Tu hata Kwa mambo yanayokwenda hovyo kabisa
@luganomwaigomole7441
3 ай бұрын
SIJAWAHI KUKUCHOKA WEWE MZEE ...NAKUPENDA SANA JAPO NI DINI TOFAUTI LAKINI I ALWAYS SALUTE YOU..NAPENDA JINSI ULIVYO MKWELI NAPENDA MAONO YAKO NAPENDA MISIMAMO ULIYONAYO...HUPENDI UNAFIKI WALA KUJIPENDEKEZA .WEWE NI ZAO LA WAISLAMU WA KWELI WASIOYUMBISHWA...
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@akramissa3393
3 ай бұрын
Alhamdulilaah! Huwezi kuja ni jinsi gani your statement touched me. Hakika nawe si mbaguzi wa dini bali msimamia kweli na haki
@bennymochiwa4800
3 ай бұрын
Viongozi wetu wa Dini wengekua na misimamo ya kweli na haki Nchi yetu ingekuwa na maisha bora kwa raia wake
@awatifalghanim1106
3 ай бұрын
@@bennymochiwa4800🤝Tanzania ni Nchi ya kupigiwa mfano kwenye Dunia lakini uongozi na siasa mbaya bila ya kujali Wananchi wao. Watalii ni Bora kuliko Wananchi.
@mrishotufu6859
3 ай бұрын
Kuhusu chakula niduniya nzima chakula kimepanda apanilipo unga wasembe 10kg dola5$
@SalimKombo-xo4pq
3 ай бұрын
Shukran sana sheikh wetu ponda M.mungu akubariki
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@dignakanje4508
3 ай бұрын
Sheikh Asante kwakutusrmea watanzania wahali yachini.Kwasasa tunakula mlo mmoja kwasiku ,Kiukweli viongozi wetu hawaangalii kbisa maisha yamtanzania wahali yachini.Hla imekuwa ngumu sana,lakini wapo machawa wanaoshiba kupitia uchawa wao wanapinga hya nakutuletea siasa kwenye jmbo lauhai.
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@YusuphRajabu-hz3pv
3 ай бұрын
Mzee unahitaji Mauwa yako nimekupa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mzee leo kulasiku der eva anatungiwa shelia hali yakuwa wao hawajawai kumpambania masilai yake mzee sema tu japo watakusumbua ila kwasababu unalisemea taifa mungu atakulipa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@kajanksimon7432
3 ай бұрын
shekhe ponda gombea mzee wetu unauwezo mkubwa sana na nimsema kweli huangalii anaeongoza ni mkristu au ni muislam hata kipindi cha magufuli ulikuwa unaongea ukweli mzee wangu Mungu akulinde sana
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@DeogratiusAndrew-zi7zv
3 ай бұрын
Mimi ni mkrisoto lakini Mh shekhe Mungu akutunze sana sana , kwani nikiongozi unaongea kwaniaba ya wote bila kujali dini yeyote, kiukweli watanzania hawajawahi kuwa na nafuu ,nakuongea wanaogopa, huku tukiambiwa tumeingia uchumi wa kati huo uchumi wa kati kwaajili ya kuwa nufaisha vingozi wa serikali, watu wana teseka sana hakuna wakuwasemea , hongera sana shekhe, nahapo unatoa elimu ya kutosha juu yao, lakini sio wasikivu kabisa,
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@joejohn8115
3 ай бұрын
Wewe usiwe mjinga, Hawa Waislam wote ni wanafiki. Tatizo lenu Wakiristo huwa mnanaswa kijinga na Taqqya yao. Hapo unachofanya ni kwa maslahi ya wao Waislam tu. Usifikiri atakuweka wewe mkristo kwenye interest zao
@charlesboniphace2249
3 ай бұрын
Mkristo gani wewe ujinga unakusumbua tu soma biblia uamke kifikra
@DeogratiusAndrew-zi7zv
3 ай бұрын
@@charlesboniphace2249 hongera wewe usie na akili kwa wizi ulio nao sasa unaumia mbona utakoma mwakahuu
@ShaabanAbubakar-nx4vk
3 ай бұрын
Hiidunia tu. Napita tu
@Donyo-rh8do
3 ай бұрын
Hongera Sana shrhe.. unaongea point tupu kisha kwa utulivu mkubwa. Una utulivu kwa kweli 👏👏👏
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@SarahShao-jw1up
3 ай бұрын
Asante sana Shekh Ponda MUNGU akubariki sana.
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@YangaNews
3 ай бұрын
Mimi ni mkristo but leo nimeamini wapo watu duniani nje ya dini yaani100 shekh asante
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@AndrewShiratu
3 ай бұрын
Mzee hongera sana .viongozi wa dini mkiungana mkaamua kusema ukweri hawa mafisadi kinaereweka mapema tu.
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@chandeyusufu9570
3 ай бұрын
Asante shekher wetu kwa kusema ukweli
@MatronaThomas-wz5si
3 ай бұрын
Kumbe Shekhe uko vizuri Hata Mkaguzi mmoja alipoteza nafasi kutoa maono yake
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@YussufPandu-es7ou
3 ай бұрын
Sijapata kuona sheikh madhubuti na ambaye si mnafiki kama sheikh ponda ,,hongera sheikh ponda wewe ni msema kweli na ni kipenzi cha watanzania wote na ni kipenzi cha mwenyezi mungu,mashehe wengi wa Tanzania ni wanafiki
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ibrahimhodabaksh3939
3 ай бұрын
KWELI MAISHA NI MAGUMU VITU BEI JUU SANA
@awatifalghanim1106
3 ай бұрын
Hakuna kitu kizuri kama Wananchi kuwa kitu kimoja msimamo mmoja. Siyo kusimama kwenye majukwaa na kuwadanganya Wananchi maskini.
@omargargaar5611
3 ай бұрын
MashaAllah MashaAllah MashaAllah TabarakAllah Allah awahifadhi wte mlio jumuika
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@asiaasia2908
3 ай бұрын
Shekh ponda issa ponda Mungu akujalie maisha marefu
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@akramissa3393
3 ай бұрын
Katika. Mashekhe naoamini kabisa kutoka moyoni kwamba Mwenyezi Mungu kawatuma kusimamia ukweli na HAKI basi huyu kwangu ni namba moja. Nasema Alhamdulilahi, Inshalaah upewe baraka na Nguvu nyingi kusimamia yaliyoyakweli Inshalaah🙏
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@amadally5837
3 ай бұрын
Nakuomba ALLAH umhifadhi sheikh ponda
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@kwisa4899
3 ай бұрын
Huyu mzee ninampenda sana japo mimi ni mkristo ,lakini huyu Baba kichwa
@lwagamwakalinga8038
3 ай бұрын
Saana
@abuukarata9653
3 ай бұрын
Nadhani anachoongelea hakinaga dini. Hukuwa na haja ya kuweka mkristo. Anaongea maisha kwa jumla
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@DumishaTanzania
3 ай бұрын
Kwanini umeona kuna umuhimu wa kusema "japo mimi ni mkristo"? Si unaweza kumpenda kwa matendo yake tu
@shadrackwilfred2606
3 ай бұрын
Wachache sana wako hivyo. Huyu ndugu kajitahidi
@KarimuMkini
3 ай бұрын
Thank you very much Shekh wetu Mungu akubariki Sana.
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@nicholauskilosa5336
3 ай бұрын
Matatizo ya nchi yetu yanasababishwa na wezi waliochukua madaraka,kodi wanakusanya kila sehemu lakini wanashindwa kuisimamia kuboresha maisha ya watu.CCM ni tatizo kwa maisha yetu maana wameshindwa kututoa kwenye umasikini,
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@IddiKhamis-u6c
3 ай бұрын
Kweli CCM ndio kikwazo kikuu cha maendeleo ya Tanzania.
@bennymochiwa4800
3 ай бұрын
Swadakta
@ibrahimkibira9943
3 ай бұрын
The only one 😇 shekhe ponda Allah akuweke miaka mingi ww sio mnafki...tujitahid kuwezavyo kuwaondoa ccm
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@josephudoba5563
3 ай бұрын
Asante shekhe huo ndio ukweli watanzania tutafakari viongozi wetu ni waaina hani
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@salimabdul4424
3 ай бұрын
Vizuri kwa taarifa nzuri..
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ismailhassan5209
3 ай бұрын
Shukran sheikh Ponda ni wakati muafaka kuwaombea kuachiwa walioko mahabusu kwa mda mrefu kwa tuhuma za ugaid
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@hamzamajenja4891
3 ай бұрын
Hongera Sana shekhe Wangu Hakika wewe msema ukweli na umeletwa na mwenyezimungu akulinde na maadui Zako wote
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@kingngojea
3 ай бұрын
Mimi ni mkristo lakini wewe ni shehee wangu nakupenda buree mungu akupe miaka mingi sanaaaaa
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@chezariboy
3 ай бұрын
Hazungumziii mtu wa itikadi gani hampendi au anampenda,, ufahamu wako 0' kweli elimu haipo kichwani, SHEKHE ANAZUNGUZA UKWELI NA EVIDENCE KUPITIA REPORT ZA CAG, SHERIA ZILIVVYO, SHEKHE ANAZUNGUMZIA MALI ZA TAIFA ZINAVYOPOTEA bila huruma na ushahidi upo lakini hakuna hatua inayochukuliwa na wenye mamlaka,, japo mali za umma SIO ZA WAISLAM AU WAKRISTO zinaibwa huku mifumo nayo ikiwa ni mibovu tangu miaka yote.
@mtigandibori7244
3 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu na sauti yako isitoke masikioni kwao pengine wanaweza kuwa na hofu mioyoni mwao
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@adamlubawa1281
3 ай бұрын
Mashehe wetu tafuteni vyanzo vya pesa ili mjikwamue kimaisha iwapohuna vyanzo vya pesa utaona hali ya maisha ngumu shehe ponda
@daudykasherente8667
3 ай бұрын
ACHA unafi@@adamlubawa1281
@daudykasherente8667
3 ай бұрын
@@adamlubawa1281ACHA unafiki
@shakaurembo477
3 ай бұрын
Asante sana mzee umetisha 🎉
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@shabanizayumba5432
3 ай бұрын
Asante sana mzee,shekh Ponda,mungu akupe nguvu na akulinde n'a yote mabayo wanayokusudia mafisadi,umesema ukweli n'a. Mungu atakulinda,nchi yetu inamahali panapwaya katika suala zima la uongozi,kuna kulindana kwa viongozi wa juu.
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@gowekogoweko5803
3 ай бұрын
WELL SAID OUR LEADER SHEIK PONDA 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@stephenndagalla8183
3 ай бұрын
Sheikh Mponda umekuwa mtetezi wa HAKI mara zote. Kuhusu ufisadi kutamalaki nchi, SIO tatizo la Serikali (kama ulivyosema). Ufisadi umehalalishwa Kikatiba. Rais wa Nchi hafunguliwi mashtaka hata akifanya ufisadi wa aina yoyote. Rais akiwa FISADI (Kama ilivyoisha/ inavyoendelea kutokea), ripoti ya CAG haina nguvu ya kuwashtaki Viongozi mafisadi. Ktk mazingira haya nchi itaendelea kuingia kwenye Umasikini wa kutupwa..
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@Mima-cl2im
3 ай бұрын
Asante sana sheikh. Tanzania tumekuwa ombaomba kwaajiri ya uongozi mbaya. Tanzania ni tajiri, lakini fedha zinazoibiwa, ni nyingi sana na serikali haichuiuwi hatuwa. Tusidanganywe mambo hayaendi sawa. Basi hii ombaomba ya mikopo itapunguwa. Viongozi wa dini, musikae kijmya. Mukikaa kimya wananchi wa kawaida kwa kacha yetu ndiyo hawatasema kitu. Asante sana Sheikh kwa statement yako.
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@poolkingservices6928
3 ай бұрын
Hongera sana kiongozi Shekh Ponda. Mungu akubariki sana kwa kutufunulia yote hayo. kwa kuwa wanao fanya ufisadi na ukiukaji wa haki za watanzania wanakijua vizuri kitabu cha Qumran Tukufu na wengine Biblia Takatifu na huapa kwavyo, Hukumu ya Mungu itawajia ghafla. Vyakula wanavyokula vilivyo patiala kwa fedha haramu wanavyolisha familia zao, elimu na majengo ya kifahari
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@charlesmtangi9046
3 ай бұрын
Tuko pamoja shekhe wangu Allah azidi kujuongoza amina
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@wanguwangu34
3 ай бұрын
Huyu mzee yuko makini sana, big up, mimi nimekuwa kila siku najiuliza hivi hizi sheria zimetungwa na watanzania au wazungu?, mfano wewe mgombea halafu unateua wasimamizi wa uchaguzi ambao na wewe unashirika, pili mtu anapewa madaraka ya kufuta chama cghenye mamilioni ya watu, hongera sana.
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@titus_maridhia
3 ай бұрын
Barikiwa Sana Sheikh Ponda
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@lordymawoiya5818
3 ай бұрын
Mungu akubariki sheikh Ponda mpenda aki si mkabila c mdini asante sana kwa mawaitha yako
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@margarethpolepole7438
3 ай бұрын
Sasa hivi maji yaneanza kukatika hovyo sijui kwanini wakati mito ilikuwa imejaa mpaka mvua inauwa watu
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@valenakomba7686
3 ай бұрын
Tusemage tuu ukweli .Tuache unafïki wa kupigapiga makofi hata pasipofaa.
@piusrweyemamu3900
3 ай бұрын
Kweli😢
@awatifalghanim1106
3 ай бұрын
Jiulize makosa mnayo yafanya kwenye Nchi yenu. Mengi anokataza Mungu nyiye ndio mnayo yafanya.
@DdAs-ti5bo
3 ай бұрын
Mungu akuweke shekhr❤🎉
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@juliusmalanga7185
3 күн бұрын
May God bless you Ponda we are dying in this country
@ICONTVTZ
3 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@HawangaMohamed
3 ай бұрын
Asante sana shekhe endelea kutusemea kwa kweli hali ni mbaya sana nchi hii usichoke tunakuombea
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@zaydamos874
3 ай бұрын
Safi sana sheikh ponda we n msema kweli miaka yote ujawah kuongopa Wala kusingizia jambo na ndio maana mungu anakusimamia
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@saidmajeba9791
3 ай бұрын
Allah akulipe sheikh Hizi ndio kazi za viongozi wa dini
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@bakarimmbaga2344
3 ай бұрын
Shekh mwenyezi mungu akupe kheri katika dunia insha allah. Ni kweli ufisadi unaofanywa na waliopewa dhamana ni muda sasa unakuwa ni suala la kawaida, ila wapo waliokamatwa na kilo 4 za nyama ya swala walisha hukumiwa vifungo na kama khisan za baadhi ya mawakili wangeozea magerezani😢😢
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@DamasKihungu
3 ай бұрын
Hii inatokana na kuwa na bunge dhaifu lisilo na naono
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@dassustephen731
3 ай бұрын
Kazi yao NI kusifiasifia serikali Tu.Nonsensw
@Rashid-pk4ge
3 ай бұрын
Allah akulinde Sheikh
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@DamasKihungu
3 ай бұрын
Damasi mdudumbe nashukuru sana nikweli tunamaumivu makubwa sisi watu watchin. Tunaumizwa sana
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@StevenMeck-pm8pq
3 ай бұрын
Mzee upo vizuri sana hukubali kupiga makofi wakati unateketea
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@humphreymkony8915
3 ай бұрын
Shekhe Ponda umeongea ukweli mtupu. Mungu aendelee kukutunza.
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@AbdallaDaudi
3 ай бұрын
Ni kwel kabisa shekh viongoz wet wana matumbo jaba yasiyo jaa wamezid tamaa wakidhan pesa waenda nazo mbinguni
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@hidayahidaya-vd3ze
2 ай бұрын
Hongeraa shekhe halafu watu utasikiya mitano tenaa pumbavu haliyakuwa watu wafa njaa
@ICONTVTZ
2 ай бұрын
Asante Kwa kutufatilia
@BakariMtangenange
3 ай бұрын
Bakwata wataambiwa na serikal wakujibu
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@DdAs-ti5bo
3 ай бұрын
Mungu akuweke shekhr
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@AmaniFundi-c7z
3 ай бұрын
Shekhe Mw.mungu akuweke sana
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@CharlesAlly-jp1ms
3 ай бұрын
Kwa hili uko vizuri sana shida watanzania tunakazi yakushangilia simba na yanga hongera sana😂😢
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@mataypanga5262
3 ай бұрын
Sheikh Ponda,gombea nafasi za ya uongozi siasa,nimekusikia sana na nimechoka.una uwezo.watu wanataka kukuona kuwa mbunge au Waziri 😂
@abunajreenELSESANY
3 ай бұрын
Sio sehem yake hiyo, nafasi aliyonayo ni kubwa mnoo.
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@evarimdecoration4256
3 ай бұрын
Huyu shekhe mzalendo sanaa mimi mkristo lakini nakukubali sana Tunakupenda sana!!
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ScopionScopion-zj9cd
3 ай бұрын
paka hawezi kumkamata paka mwenzie wakati wa magufuli mlisema yy katili hana ubinadam ngoja tuone hii movie
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@gidongailo7174
3 ай бұрын
Wewe ulikuwa ukisema nini
@halidimgonza5945
3 ай бұрын
ni mpumbav usiyejua utendalo
@aishaalbalushaishabalush8291
3 ай бұрын
umeona ee ndugu hawa hawa walikua wanasema magu katili kwa akiwawajibisha mafisad
@muzzoonlinetv7446
3 ай бұрын
Kila mmoja atasemwa kwa maovu yake
@paulremigiuspaul3293
3 ай бұрын
Stand up with Justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Qur'an 4:135)
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@salmajafari6838
3 ай бұрын
Hivi ilikuwaje Samia mama Abdull akawa raisi, maana mie sikupiga kura
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@SalimKombo-xo4pq
3 ай бұрын
Sheikh ponda tuko pamoja sema kweli. Msaidie mama samia. Hao viongozi wengi wanamuangusha mama samia. Wana kula.pesa tu.
@FrankMwakatundu-cu6bd
3 ай бұрын
Salim, ndugu yangu usimtete mtu mwovu hats kama ni WA Dini yako wala ndugu yako ni dhambi mbaya!!! Rais Kwa mujibu wa katiba yetu ana mamlaka yote, sasa unaposema anaangushwa asaidiwe anaangushwaje na watu walio Chini yake na ndiye mwenye mamlaka nao!!! Salim ogopa Sana kuwa MDINI penda sana kuwa MWANADI!!!
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@enockgogy5458
3 ай бұрын
Asant mzee wang kpitia ayo mauzui itanibidi nisilimu kabisa napenda ukweli sana asa mtu anasimama kuongea ukweli inapendeza sana .. awa wengine wamebaki kuzikomba nakjikosa ili waonekane nawakat mnaviki wakbwa sana .. inchi awezi kpata unafuu uku mafuta yakiwa zuuu wee ptroli paka iko juu paka tunajiuliza tnaenda wap naviongozi wapo wamenyamaza au ndio nchi imeizwa kama inavyo daiwa
@mansourkhamis457
3 ай бұрын
Karibu kwenye Uislamu
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@issaomari5297
3 ай бұрын
Naumia sana majinga mengi hayajui kuhusu hili mm ni msomi sijsifu ila Tz itabadilika mpka wasomi waongezeke sana kama majiran zetu ndomaana wanajua wajibu wao na haki zao za msingi kwasasa ngja watz wawe wanaelimika taratibu mbelen itatatua changamoto ...maana nchi ikiwa na watu wengi hawajitambui wanaumia huku wanacheka wakiwa na vilio vya machozi
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@MudathirJamal
3 ай бұрын
Sheick Mungu akujalie mashAllah nikweli Africa umekua na viongozi wa hovyo sana Kamavile ni bara la wehu lakini siokweli ni lazima wanainchi kusimama imara na kumchagua kiongozi anaefaa siowakuletewa wengi pia hata Shule zao ukichunguza walikua ni wazee wa nondo so kila siku nasema kusoma sio kuelimikaaaaaaaa wengi walienda Shule lakini kichwani hamna kitu just wanadhani pia wanainchi hawana akili so tuombe Mungu atujalie kua Imara
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@MasoudSnani
3 ай бұрын
hio title na anachoongea sheikh mbona haviendani? neno kukosoa au kukemea na hio sound ya Sheikh no tofauti sana. yeye kama kiongozi wa dini katoa maoni yake na sio hio tittle yenu.
@allymusira2153
3 ай бұрын
Yaani hawa jamaa walishatuona wajinga ni vichwa vyao vya habari
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@BeatriceJoas-vs4ld
3 ай бұрын
Safi sana vionggozi wa namna hii, napongeza sana Kwa uongozi wako, mungu akulinde, nawapongeza na waumini wote, kuchanguwa jembe,safiiii wewe ni jembe
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@nicholauskilosa5336
3 ай бұрын
Mama anakopa kila siku alafu fedha zinaibiwa na wachache
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@stewartdyamvunye-wz6rn
3 ай бұрын
Aksante sana bro. Ponda. Shekhe, kwa muda mrefu nimekuwa nimekukubali kutokana na msimamo wako. Leo kwa clipp hii umejiongezea sifa. Umetekeleza wajibu wako kwa umma. Umenigusa sana hasa pale ulipomvaa braza Isidori Mpango kuhusu ufisadi. Na katika yote haya nazidi kukuhakukishia utaendelea kuwa katika orodha yangu maarufu ya wanamapinduzi duniani kanda ya Tanzania. Usijebadilika endelea hivo hivo. Naam na salaam zako hizi kupitia clipp hii, naomba sana zimfikie rais, mzee Steave Wasira, sheikh Mwaipopo, rafiki yangu ustaadhi Gershon Msigwa na wote kwa ujumla si rahisi kuwataja hapa, itifaki imezingatiwa.
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@husseinmkanga7794
3 ай бұрын
Leo shekh PONDA nipo na wewe hapo kwenye ufisadi.
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@kingmichael1234
3 ай бұрын
Mungu akulinde sana. Sheikh ponda. Huu ndio ukweli serikali yetu imekuwa ndio fisadi mkubwa wa kuhiujumu nchi
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@KiagoBakari
3 ай бұрын
Huyu aache usheikh aende tu kwenye siasa hamna sheikh hapa huyu ni sheikh siasa au sheikh ubwabwa
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@robertphilip385
3 ай бұрын
Mbona wafalme wa Sadia Arabia ni wanasiasa ponda hanakasa ktk hili Wacha asemeukweli
@ahmedalbalooshi8518
3 ай бұрын
Huyo ni mwananchi na Ana haki,kikatiba, kuongea mambo ya dini na siasa.Kama humuungi mkono kwa hayo basi ni hiyari yako,nawe una uhuru
@adamlubawa1281
3 ай бұрын
Hana ukweli Tatizo la mashehe wetj baadhi yao hawana vyanzo vya pesa wanategemea pesa za ibada ziwaendeshe kimaisha
@bakarifakih4228
3 ай бұрын
hayo ni maoni yako, tena inaonesha ulivokuwa mbinafsi kwa shekh wetu
@ShebbyMageta
3 ай бұрын
Nakuelewa sna shekhe sababu huwa unasema ukweli mungu azid kukueka
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@Issanuru83o
3 ай бұрын
Allah akupe umri mref na afya njema sheikh wet
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@LazaroMwakasege-bh5en
3 ай бұрын
Ongera Sana sheikh mungu akupe Maisha marefu kwakusema ukweli
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@fadhilihussein6580
3 ай бұрын
Asante Sheikh
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@Trys6254
3 ай бұрын
I don't understand the language but to be honest shekhe ponda ni mtu na nusu big up sana 😅
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@andrewkalubi3524
3 ай бұрын
Akiri kubwa shehe,,ww ni kiongozi unayejari ...mtaa wetu Toka mwezi WA name mwaka Jana hatujapata maji hata tone la maji..kwakweli nchi hii inapuuza haki zetu za mwingi.aksante shehe.
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@Man-w4o
3 ай бұрын
Hakun kinchoshindikan ila n ufisadi kwa viongozi n uongo wao, hawan hurum utasem wao walitoka maisha y kitajir, njaa wanaijua vizuri ila wanjihumuza
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@thomaslima3989
3 ай бұрын
Mpo sawa kabisa hapo kwa CAG Katie is hapo wizi wizi
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@AmaniFundi-c7z
3 ай бұрын
Hakununuliki chochote shekhe ongea tu ukwel mungu atakulinda maisha niyakwao wao.
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@MamboMbuli
3 ай бұрын
Kweli kabisa ,maisha hayana mzinguko Kuna utofauti kati ya aliekuwa nacho na asienacho
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@SilveryMasalu
3 ай бұрын
Dr Ponda Issa Ponda katika ubora wake
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@GodfreyJohn-py1cr
3 ай бұрын
Ndugu zetu mmeona vyema sana ,mungu atusaidie
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@aishamzeehamissi6859
3 ай бұрын
ASALAM SHEKHE UMESEMA KWELI. HAYOO ULIYONENA NI SWADAKTAA.
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ShamiraSued
3 ай бұрын
Allahu yaalamu allah analiona taifa letu Kuna mtu anamtengeneza kwa ajili ya ukombozi allahumma amiin
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ShamiraSued
3 ай бұрын
@@ICONTVTZ Asante mkuu
@AbubakarAlex
2 ай бұрын
Unfortunately we have granted the government too much power over us when they are meant to serve us. To more forward, We must first tackle lawlessness Enforcing the law amportiately, regardless of one's status is crucial, Next, we need to digitize our nation Transitioning from paper -based system to digital records and transactions will reduee corruption and increase transparency.Additionally it's essential to involve the youth in understanding Tanzania politics and economics.
@ICONTVTZ
2 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@righitkileo
3 ай бұрын
Sheikh Ponda Allah akupe Maisha Malefu. Umesema ukweli mtupu.
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@maulidbadali9530
3 ай бұрын
True shkh ponda mafisad yanalindana tutaongea sana wahaelewi
@ICONTVTZ
3 ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@athumanimwalembe7210
3 ай бұрын
Kuna sheikh kweli na sheikh machawa huyu ni sheikh kweli Allahamdulilah napenda mno masheikh wanamna hii hapo yatatokea machawa kubwabwaja
Пікірлер: 1 М.