Safi saaan, hongereni sana ndugu zangu kwa kazi nzuri ya uimbaji. Video ipo vizuri na sauti zimenolewa vyema. Mungu awabariki zaidi. Big up saaana Mwl. Kiatu na shemeji.
@SeveMkali
Ай бұрын
Mbarikiwe kazi nzuri
@vairethmhoza
4 ай бұрын
EE MUNGU UWATUNZE HAWA WANAO KWA KAZI HII NZURI YA KUKUTUKUZA WEWE ULIE JUU❤AMINA.
@AnthonyKiatu
4 ай бұрын
Aminaa
@AnthonyKiatu
4 ай бұрын
Aminaa.. Nawe pia Ubarikiwe pamoja na familia yako.
@JoelyPhinias
4 ай бұрын
nyimbo za kisabato
@veronicanyangwilamalindila
4 ай бұрын
Hongereni sana, matendo ya Mungu hutisha . Mbarikiwe🎉🎉🎉
@AnthonyKiatu
4 ай бұрын
Aminaa tubarikiwe soote
@FrolahDoela
Ай бұрын
Mmebarikiwa wote watunzi hongereni
@JulianaWataigo
4 ай бұрын
Waoh jaman Hongera sana
@AnthonyKiatu
4 ай бұрын
Ahsante sana
@mikerichard20
4 ай бұрын
Mungu awabarik sna kaz nzur❤️❤️❤️❤️🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@AnthonyKiatu
4 ай бұрын
Aminaa tubarikiwe soote
@laurentinalaurent8952
3 ай бұрын
Hongereni sana jamani🎉❤🙏
@mariamtepa1740
4 ай бұрын
Hongera Sana mtunzi. Big up. Mungu azd kukikuza kipaji chako.
@AnthonyKiatu
4 ай бұрын
Ameeen tubarikiwe soote
@winfridahmipata8132
4 ай бұрын
Big up sanaa dada na shemeji Mungu awapeleke viwango vingine❤❤❤
@AnthonyKiatu
4 ай бұрын
Aminaa
@abelmochama680
4 ай бұрын
Kwa kweli kazi nzuri sana ❤❤ Always following you people feel blessed. From Nairobi Kenya 🇰🇪
@AnthonyKiatu
4 ай бұрын
Ahsante sana kiongozi
@abelmochama680
4 ай бұрын
❤❤❤ wimbo umetulia sana 🎉🎉
@KMJ-Lukobe
4 ай бұрын
Muumizi wa mziki mzuri Kiatu family mnaupiga mwingi sanaaaa
@AnthonyKiatu
4 ай бұрын
Ahsante sana.. Tuendelee kuombeana
@davidmwipopo2743
4 ай бұрын
Safi sana
@AnthonyKiatu
4 ай бұрын
Aminaa
@vincentkatabi1063
4 ай бұрын
Kaka Uko vizuri Sana. Barikiwa sana najivunia kuwa mkatoliki.
@AnthonyKiatu
4 ай бұрын
Aminaa..
@blandinabugomba9226
4 ай бұрын
Hongera sana ila ungeimba solo Yako kwanza wewe
@AnthonyKiatu
4 ай бұрын
Usijali kazi zinakuja
@mariamwinyi-pi9cn
4 ай бұрын
Aaaah wajina nimekubambaa😂
@MARIAGORETHDIHOMBO
4 ай бұрын
Unyamaaa mwingi sanaaa keep it up 💪💪💪
@AnthonyKiatu
4 ай бұрын
🤝🤝🤝🤝
@waromokello
4 ай бұрын
A beautiful song
@AnthonyKiatu
4 ай бұрын
Ameeen
@meshmusyoka6449
4 ай бұрын
Amazing vocal
@otimarymashaka7462
4 ай бұрын
Big up dada Sifa kazi nzuri sana👏
@AnthonyKiatu
4 ай бұрын
Aminaa
@VedastusBada
4 ай бұрын
Hongera sana kwa utume uliotukuka
@AnthonyKiatu
4 ай бұрын
Ahsante sanaa
@Blessedhopefamily
4 ай бұрын
Kama mana itokayo kondeni.
@ferdinandikubila3669
4 ай бұрын
Mungu azidi kuwa nasi ktk uimbaji ili tumtukuze yeye tuu.
@AnthonyKiatu
4 ай бұрын
Aminaa mtumishi Tuendelee kubarikiwa sote
@evaalute2556
4 ай бұрын
Hongereni saaaana 🎉🎉🔥🔥🌹👏🎉👏👏
@AnthonyKiatu
4 ай бұрын
Shukrani sana
@optatlymo709
4 ай бұрын
Nimeishiwa na maneno ya kutosha; itoshe tu kusema hongera na asante kwa kazi nzuri inayogusa mioyo ya watu
Пікірлер: 75