Hongera Sana Mkuu Wangu Daima nakumbuka hile kauli yako usifosi umaarufu,,,, Acha Muda ukifika umaarufu utakuja Wenyewe keep it up fighter 💪💪💪💪
@AnthonyKiatu
6 ай бұрын
Tusisahau kuomba rehema za Mungu wetu. Maana ndiye atupaye kushinda...
@Madiliofficial
6 ай бұрын
Love from Burundi Aise nyimbo kali
@AnthonyKiatu
6 ай бұрын
Shukrani
@optatlymo709
6 ай бұрын
Hongera sana dogo kwa kazi nzuri inayotubariki wengi, mbarikiwe sana.
@AnthonyKiatu
6 ай бұрын
Amina sana Kiongozi wangu
@BUSYMELODY
6 ай бұрын
Kweli,kuimba kutamu..sauti nzuri na na za kumpendeza Mungu..
@gonsalvachristianmatembo8041
6 ай бұрын
Hongera sana kaka mkubwa A. Kiatu na timu yako. Kazi ni nzuri sana, tuzidi kusali daima.
@kelvinchambulila3608
6 ай бұрын
more than best..congratulations💪💪
@AnthonyKiatu
6 ай бұрын
Thanks my brother
@winnieavit5985
6 ай бұрын
❤ Am blessed!
@blandinabugomba9226
6 ай бұрын
Hongera sana sana ❤❤
@AnthonyKiatu
6 ай бұрын
Ahsante sanaaa
@felisterligwa
6 ай бұрын
Amina asanteni kwa wimbo mzuri
@aloycesemkalami
6 ай бұрын
Mwenyezi Mungu aendelee kuwapigania katika utume wenu. Hakika tunajufunza meengi sana kupitia ninyi... Mbarikiwe sanaaa
@abelmochama680
6 ай бұрын
Jamaa yangu Isack nakuona ❤
@flavialatinus2162
6 ай бұрын
Kusali ni heri.Amina God bless you all❤❤❤❤penda sana pro studios na choir
@abelmochama680
6 ай бұрын
Pro studio guys God bless you
@veronicanyangwilamalindila
6 ай бұрын
Hongereni wanakwaya kwa sauti nzuri, kusali ni heri, mmenibariki
@Arati3
6 ай бұрын
Nimeipenda😊
@AnthonyKiatu
6 ай бұрын
Aminaa
@konjaramaxwellotienomaxyle483
6 ай бұрын
❤
@pascalsindani155
6 ай бұрын
Hongera Sana kwa kazi nzuri
@AnthonyKiatu
6 ай бұрын
Ahsante sanaaa
@abelmochama680
6 ай бұрын
Kazi safi watu wangu kama kawaida ❤
@AnthonyKiatu
6 ай бұрын
Aminaa
@justinekiboko616
6 ай бұрын
Kazi nzuri
@JosephElias-vr2ck
18 күн бұрын
Hongereni Sana, father kiatu Kwan niaba ya wengne tunaomba utoe vipindi vya kufundisha music ,binaf napenda niujue mziki mtakatifu ,ili tumtukuze Mungu kwa njia ya uimbaj ,maana nimefatilia kipind kilichoandaliwa na jugo media , kwenye maisha yako ya mziki ,, asant
@vairethmhoza
6 ай бұрын
Nawapenda mnajua kuufurahisha Moyo wangu Kwa nyimbo nzuri hongereni
@meshmusyoka6449
6 ай бұрын
Amazing vocals 🎉
@mutongoreprostudios
6 ай бұрын
Aminaaa
@jescaemmanuel8671
6 ай бұрын
Kazi nzuri!!
@AnthonyKiatu
6 ай бұрын
Aminaa
@starvisionmediapro
6 ай бұрын
Yaani Mtaenda mbinguni direct.. you sing very well.. Also love your production.. its very wow... naamini ipo siku tutakutana tupo kwenye tasnia moja.. keep up.. Nawapenda
@pauljustinian8271
2 ай бұрын
Great song 🔥🙌🏾🙌🏾🔥 tunabarikiwa Sanaa, copy ya mziki tafadhari kama inawezekana 🙏🏾
@CharlesLazaro
4 ай бұрын
nabarikiwa sana ninapo zisikiliza nyimbo zenu. Mwenyezi Mungu awabariki
@ErickJoackim-n6g
Ай бұрын
Aise yaani kila nikitafakari ujumbe uliopo katika wimbo huu kwakweli naamasika sana kiimani
@jonaskweyamba9747
6 ай бұрын
Hongera kwa utume wenu mwema nina nia njema nanyi.ktk.uimbaji.
@ReginaAngelique-qk9eh
6 ай бұрын
Santé kwa wimbo. N'a hitaji partition ya wimbo huu
Пікірлер: 48