Mashabiki tuchunge sana midomo yetu! Inawaharibu wachezaji wetu! Bora tujitahidi kufunga midomo yetu na kuwaachia benchi la ufundi na viongozi kuamua! Mashabiki tunapowakandia wachezaji wanaposhuka kiwango kidogo inawakatisha sana tamaa wachezaji wetu! Ona sasa Kibu tuliyekuwa tunamkandia amesharudi kwenye kiwango chake na juzi anatutoa kimasomaso! Lile shuti lilikuwa ni kombora la nyuklia💪
@joachimgolola62
2 ай бұрын
Hakika midomo nitatizo.
@brianitunda6051
Жыл бұрын
Interview nzuri sana, Mungu akutunze na kuzidi kukuza kiwango chako Kibu D.
@muttae2
Жыл бұрын
Ila Ahmed anajua kuhoji vizuri sana. Full utulivu na kumsikiliza mtu amalize then swali. Big up sana man.
@dannydannizo8099
Жыл бұрын
nikiitazama na kuisikiliza hii interview namkumbuka Baraka Mpenja pale lunyasi baada ya Kibu kufunga goli la pili Baraka alisema "usimkatie mtu tamaa" Kibu ana kitu naomba mashabiki wenzangu wa simba tusimkatie tamaa"SIMBA NGUVU MOJA💪"
@angellomarcel5677
Жыл бұрын
Sahihi
@frasiscobasigie-xo2qs
Жыл бұрын
Sanatu wahasituna pambana
@danielndilili7525
Жыл бұрын
Jamaa anakitu huyu nisehem tu ya mpra wat mwingine huwa unagoma ila ipo siku jamaa atazibitishat
@mrikongosi3151
Жыл бұрын
Sijawahi mkatia tamaa kibu
@vailethkihiyo56
Жыл бұрын
Sijawah mkataa kibu maan mpira unamkataa kila mmoja
@omarswaleh6082
Жыл бұрын
Amebadilika sana yaonesha huyu kocha mbrazil ni mzuri sana wana simba tuweni na subra ikiwa kambadilisha kibo na kumfanya tegemeo la simba sio mchezo na mkubali
@JaribiwaRungwe-nl6gf
Жыл бұрын
licha ya kujituma kibu unanidhamu sana uwanjan sijawahi kukuona unamfokea mtu au mpinzani ukifanyiwa rafu
@lightnessgoodluck8123
Жыл бұрын
Mpole sanaa
@gibsonjosephat6352
Жыл бұрын
Jamaa anafaa kuwa wakara. Alitambua magarasa kule Ngara akamuelekeza walipo Wachezaji. Big up Kib Dider Drogba.
@iddimngazija1957
Жыл бұрын
Mm nishabiki wa yanga lkn nimevutiwa kufuatilia interview ya kibu kutokana na changa moto alizokua akipitia,tuckate tamaa kwenye maisha,Kibu amenifunza kitu💪
@alfredirankunda3698
Жыл бұрын
Mwenzenu niko hapa mwana yamga ila hii interview nimeipenda
@victorwilliam8428
Жыл бұрын
Red Star ya Kasulu Mjini🎉🎉
@zundahbartazal4861
Жыл бұрын
Keep It Up RastaMan..Umeitafuta fursa kwa juhudi zako..
@pacificalembegaspard7624
Жыл бұрын
From black American I’m always proud of kibu d❤❤
@victoraugustino4832
Жыл бұрын
😂Where is black america?
@josiahmeivukie3246
Жыл бұрын
@@victoraugustino4832 😂😂😂
@josiahmeivukie3246
Жыл бұрын
Black yaa nyokwe! kwendraa
@alfredirankunda3698
Жыл бұрын
From kwa Putin urusi magomeni nalipenda hili riha lenzetu la Kigoma 😂😂😂
@medardnhungwa685
Жыл бұрын
mzee wetu magori alitabiri utakuwa tishio afrika. naona maneno yake yanaenda kutimia. kibu upo vizuri sana pamoja na baadhi ya mashabiki wa simba kutaka kukutoa kwenye reli lakini umekuwa mtulivu. kibu utafika mbali sana
@modestebirindwa8693
Жыл бұрын
Nyinyi wa Tanzania mna zarau sana kibu mkali tokea kigoma kwenye team Ya Young Boys Hata huyo Ezekiel rafiki yake wa team ya Aliance sio poa ni moto kuliko hata kibu mwenyewe….bahati nzuri yeye tupo nae hapa USA sasaivi
@thehunter5920
Жыл бұрын
Labda USA ya buza
@officialnadoboytz1005
Жыл бұрын
@@modestebirindwa8693 Eze hakuwa Tishio kama KIbu mzee tulio
@modestebirindwa8693
Жыл бұрын
@@thehunter5920 we matako kweli kibu mwenyewe hana jua Eze sio level zake
@justiniankamuli5259
Жыл бұрын
@@thehunter5920 atakua Usaliva Arusha
@amosafrica2350
Жыл бұрын
Hiyo game ya finali Kumuyamge na Eleven Stars naikumbuka nilikuwa Bukoba. Ilikuwaga gumzo mkoa mziama hiyo Eleven Stars ya Mutukula walikuwa ni Waganda watupu. Hongera Kibu
@aureusngonyani4299
Жыл бұрын
Pongezi sana kibu, izo rasta juz umewachezesha rege pale kwa mkapa noumaa
@ericksumari6892
Жыл бұрын
This one is ICONIC interview what a story
@yassinmsabila6850
Жыл бұрын
Very humble aise Huwa tunawakosea sana wachezaj kwasababu wenyew ndio wanajiandaa kuliko mfumo kuwaandaa .
@wilsongeorge1353
Жыл бұрын
Huyo jamaa muongo sio mtu wa kigoma ni mkimbizi huyo amepata tu ulaia wa tanzania .leo kuwafunga yanga ndio amekua mungu wenu duuuu wewe fara kweli
@wilsongeorge1353
Жыл бұрын
Mimi ni simba acheni kumpa sifa huyo jamaa hana chochte kile
@chengeson
Жыл бұрын
@@wilsongeorge1353 pole sana african akuna mkimbizi hapa sote niwapitaji na machafuko yanapo tokea kwa ndugu zetu tusi wabague kwani kesho yako uijui
@africanentertainment2124
Жыл бұрын
@@wilsongeorge1353acha wivu wewe mbembe
@byaombeomary7996
Жыл бұрын
@@wilsongeorge1353 Roho mbaya ya nini kaka ? Hacha majungu kwenye mafanikio ya mwezako hayakusaidii kitu. Pambania ya kwako.
@vumiliachacha1730
Жыл бұрын
Kiukweli mdogo wangu kibu nakupenda sana nilikuwa najisikia vibaya sana kwa kweliuliyokuwa unapitia,mimi binafsi nakuombeaga sana
@JoscoBoy20
Жыл бұрын
Nimemkumbuka Kibu Denis Pale Kwenye timu Ya Young Boys Pale Kigoma Daah Bro Ulikuwa Level Nyingine Brother Niliona Mzuka Wako - Watu Walikuita Msuva..!
@mwajumaabdallah3254
Жыл бұрын
Tuwavumilie wachezaji wetu,sometimes wanapitia kipindi kigumu cha uchezaji wao,hata maisha ya kawaida kwenye nyumba zetu baadhi ya wakati yanatetereka,tuwavumilie,i love u Simba❤❤
@teddymhagama611
Жыл бұрын
umetuheshimisha kibu😍
@chrissg4026
Жыл бұрын
Kweli kabisa! Midomo yetu ndo inayowaharibu wachezaji wetu! Bora tujitahidi kufunga midomo yetu na kuwaachia benchi la ufundi na viongozi kuamua! Mashabiki wanapowakandia wachezaji wanaposhuka kiwango inawakatisha sana tamaa wachezaji wetu!
@justiniankamuli5259
Жыл бұрын
Kweli kuanzia leo Kibu nmemsamehe na Mungu anisamehe nilikuwa namsema vibaya
@stevejeremiah4497
Жыл бұрын
Kuna ile unakuwa star wa kufunga magoli, lakini kuna ule ustar unakuwa the big star ukidondosha utopolo, One love Mha mwezangu
@gabrielmathias6445
Жыл бұрын
kasulu moja nakukubali kaka kama nakuona ukiwa na RED STAR KASULU
@Baba_p7295
Жыл бұрын
Nakumbuka kipindi hicho upo team ya mtahani ukitwa jina la msuva daah umetoka mbali pambana bro 🔥🔥🔥
@costaaramu78
Жыл бұрын
ilikua wap!?
@emanuelmbise2348
Жыл бұрын
Every successful man has a painful story to tell and each painfull story has a successful ending,,,, hongera kibu umetokea mbali....
@timcee2670
Жыл бұрын
watoto wa kishua waliovikuta wapo kwenye hilo kundi ?
@modestebirindwa8693
Жыл бұрын
Wa Tanzania mna zarau sana kibu mkali tokea kigoma kwenye team Ya Young Boys Hata huyo Ezekiel rafiki yake wa team ya Aliance sio poa ni moto kuliko hata kibu mwenyewe….bahati nzuri yeye tupo nae hapa USA sasaivi
@bonanzagaston6975
Жыл бұрын
Kila mtu kwenye maisha ana historia yake.keep walking brother ulumugabho🥴
@GuerschomOmollo-wz9ly
Жыл бұрын
Mtoto wa nyumbani Kibu D💪✌️
@geraldmkusa7958
Жыл бұрын
Safi sana mchezaji wetu
@simonmadiba2053
Жыл бұрын
No one can stop reggae
@mariatinda3264
Жыл бұрын
Kibu dii hongera sanaa tunakup endaa Simba nguvu moja ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@conradmwingira684
Жыл бұрын
Work hard Kibu Mungu ndiye mpaji
@Makavelithedon2086
Жыл бұрын
*Watu wa nyumbani tunamjua Kibu Denis tangu Young Boys EF3 enzi hizo anaupiga mwingi kinoma noma,Mungu hamtupi mja wake cha msingi tuendelee kupambana*
@PascalSongo-qo4xp
Жыл бұрын
Vema
@mmassadieudonnengomoya8607
Жыл бұрын
Kigoma akutokagi fara we are the best for everything 🙏🏾 keep going bra 👊🏾
@donaldmartin-ps2ig
Жыл бұрын
Sawa kigoma hatoki fara lakin huyu kigoma ni mpitaj tu kibu a boy from Congo
@EmmaPallanjo
Жыл бұрын
Kweli maisha ni safari ndefu nemeenjoy sana na kujifunza mengi kutoka kwenye live story ya Mwamba Kibu D ni bonge la stori
@samsonilengteng-oc4hp
Жыл бұрын
Kibu D Mungu akubariki sana na akupe afya njema 🙏🙏🙏
Ninachokipenda kwako dogo,ni nidhamu YAKO,utafika mbali Sana 🔥🔥🔥
@willembwilo8833
Жыл бұрын
Kibu d mimi nimmoja yawatu ninae simama KILa Mahala kukutetea kuwa wewe nibonge lamchezaji sema vipindi vya mpito vipo kwa kila binadam. Mungu azidi kukublles kibu uwe na afya njema Ili uwashangaze wale watesi wako wote. Good luck kibu denis.🦁💪
@AmosSniper
Жыл бұрын
Utakua umecheza fotbool,ndiyo bana unamtetea! Washangiliji hawawezi jua uwezo wa kibuD, mie Hadi Leo ninamkubali sana Sawa dogo,sema mikelele mingi ndiyo inamtoa kwny reli yule nae bonge la mchezaji
@nuhhumwakanyamale4771
Жыл бұрын
Sure, I salute you
@karimhemed9261
Жыл бұрын
Very Humble Man… 👏🏽 KIBU D
@MONEY_CHANNEL.
Жыл бұрын
True.
@eliabumakunzo8856
Жыл бұрын
Kabisa yani
@gapablessgadison6863
Жыл бұрын
MUNGU hatuachi watu wake, KIGOMA kisiwa Cha vipaji🔥🙏💪🇹🇿, biggup KIB D, karibu KASULU MJINI uwekeze pia
@eliazalgwambie6316
Жыл бұрын
Warozi huku
@gapablessgadison6863
Жыл бұрын
@@eliazalgwambie6316 warozi pia NI neema ya MUNGU,kuwapa kipawa hicho ili kubalance Dunia
@ministeramanirobin2454
Жыл бұрын
Very humble
@mjagambahamza579
Жыл бұрын
KIGOMA FINEST 🙌💥
@laureanponcian9347
Жыл бұрын
One love
@chrissg4026
Жыл бұрын
Duh! Bonge la Interview! Tamu sana! Yani hadidhi flani hivi amazing! Jamaa anajua sana kusimulia! Safi sana!
@piuslaurian5777
Жыл бұрын
Kumbe kibu wa nyumbani mpk nyakanaz umefika bro
@daudiwilliam1971
Жыл бұрын
Duuh!! Maisha ni safari kweli nimeamini. Kumbe #KIBU_DENIS Nyumbani ni #Lubengera?!!! Mwambao wa Ziwa #Tanganyika Barabara ya kuelekea #Hifadhi_ya_Taifa ya #Milima_ya_Mahale. Ndio nyumbani huko. Aiseeh!! #Mungu Mkubwa sana. Akubariki uzidi kuzifikia ndoto zako. #Nguvu_Moja💪
@3malis
Жыл бұрын
✊
@daudiwilliam1971
Жыл бұрын
Daah!! Kumbe jamaa wa nyumbani huyo
@3malis
Жыл бұрын
@@daudiwilliam1971 kijiji kikubwa sana mpaka usimjue??
@daudiwilliam1971
Жыл бұрын
@@3malis kaka yaani hicho kijiji cha #Lubengera anacho tokea Bwana #Kibu kipo njiani nakipita nikiwa naelekea nyumbani kwetu. Ila hapo alipotokea napafahamu japo Sijawahi ishi.
@3malis
Жыл бұрын
@@daudiwilliam1971 ahaaa apo nmekupata
@anoldmbarama985
Жыл бұрын
Unajuhud sana kibu ongeza kujiamini ongeza utulivu pia ongeza usahihi wa matendo ndan ya uwanja
@khadijamisayo7476
Жыл бұрын
mimi siujui sana mpira, ila baada ya kukufwatilia mechi zile za kwanza kwanza tangu umesajiliwa simba nilikukubali mpaka leo kibu nakukubali, nakuombea kwa mungu ufike mbali zaidi ya hapo ulipo,
@user-yh7fr7vp9s
8 ай бұрын
Kibu wewe ❤ nauongeze mazoezi ya binafsi hasa mashuti ya mbali hongera sana tunakutegeme taifa hili wewe moto
@davidbahati3748
Жыл бұрын
Kibu Tunaomba utusamehe sisi utusamehe sana, 😢😢
@promax699
Жыл бұрын
No one can stop Regee
@hastatz
Жыл бұрын
Leo ndo nimejua kwanini walizusha kibu et sio mtanzania 😅😅😅
@chengeson
Жыл бұрын
Yah inchi ukitokea kigoma ni shida pia pale uvinza ata uonyeshe chet cha kuzaliwa uta ulizwa tuu kua wewe ni mtanzania au
@agustinoshukran8558
Жыл бұрын
I'm always proud of KIBU. ❤ I'm happy when he misses scoring a goal because we all learn from our mistakes ❤
@mwajumaabdallah3254
Жыл бұрын
Sure
@salehehassan3665
Жыл бұрын
Kibu d kibu denga ana kitu, namuona akifika mbali.
@josephkibasa6926
Жыл бұрын
Hongera sana Kibu Dennis Rasta man umetuheshimisha, Mungu aendelee kukupigania Uzidi kupiga hatua
@matendostephano2274
Жыл бұрын
Kibu Kama kibu💪
@user-dv4xw4mb4l
Жыл бұрын
Kibu Denis from lubengera kigoma . Kigoma all the best on foot ball
@drfrancismsawila1014
Жыл бұрын
Great Interview Ever 💪
@jeffferdinand788
Жыл бұрын
Tulimchukia Sana jamaa Ila akubali maisha bila lawama uwezi kufika nchi ya ahadi Ila tunaomba mashabiki wengi utusamehe
@Mwene_Jery
Жыл бұрын
Kibu Denis msuva young boys tumekumisi wewe na crisia bro😢 ila Mungu abariki kipaji chako bro 💯💯🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿
@costaaramu78
Жыл бұрын
ilikua wap.iyo.young boys
@khatibumpare6865
Жыл бұрын
Kweli mwamba umetisha pambana ufike mbali
@aaronswai6935
Жыл бұрын
Bidii hajawahi kumtupa mtu. Huyu Kijana alidharauliwa sana. Sasa Mungu anawathibitishia waliomdharau kuwa walikosea. Kama ataendelea na unyenyekevu huu na asinyanyue mabega na kulewa sifa basi Mungu atamuinua sana. Sitoshangaa siku moja nikimkuta nje ya nchi, haswa klabu kubwa za Afrika hata Ulaya. Kila la kheri Kibu Denis
@browndebora2195
Жыл бұрын
Mungu akulinde kibu D sio kwa goli lile
@donaldmartin-ps2ig
Жыл бұрын
Naaam interview kubwa Sana hii interview ya mtoto wa maskini mpambanaji mwenye njaa kali mkubwa MUNGU tu maisha hayana mwenyewe bwanaa all the best kibu D mkandaji interview haichoshi kusikiliza
@festorama4580
Жыл бұрын
Hersi alitaka akufanye Kama Feisal Una bahati
@osbonmusa2619
Жыл бұрын
Ukimsikiliza kibu history yake Kuna kitu unajifunza usikate tamaa na jambo lolote ukiamua na kumtanguliza Mungu inawezekana
@saidsalum6101
Жыл бұрын
Mungu akujalie kibu d kwenyemihangaiko watu wanatokea mbali sana asee mungu akujalie ufike mbali sana
@sirkingsky108
Жыл бұрын
Kaka kibu unisamehe sana kama niliwah kkukosea, sasa naenda kkufollow na ntakuwa shabiki yako namba moja kudadeki hata ukilud kamuyange yaani nakushabikia hukohuko
@samsonilengteng-oc4hp
Жыл бұрын
Kibu D 🔥🔥🔥👏👏👏👏👏👏
@lumo9999
Жыл бұрын
Hongera sana bro, mengi umeyapitia lakini mwishoni umewine. Kaka hongera sana
@MariaWaziri-ox7bn
2 ай бұрын
Mungu akubarik k
@babusbabu3699
Жыл бұрын
wachezaji wakitanzania wenye juhudi kwasasa ni wachache sana akiwepo na jibu mungu atamfikisha mbali no master what
@mirladymirla6180
Жыл бұрын
Mungu akujalie kibu d
@cosimasedward
Жыл бұрын
Sisi aooo💪💪💪
@DirectorAllyHabib
Жыл бұрын
huyu dogo ana msimu mmoja tuu hapa tanzania huyu lazima aende nje kwnye timu kubwa
@ericmambele1230
Жыл бұрын
Duuuuuh....!kisa kafunga goli dhidi ya Yanga sio?
@vailethkihiyo56
Жыл бұрын
@@ericmambele1230 utopolo 😅
@zundahbartazal4861
Жыл бұрын
KIBU HANA TAMAA KABISA...
@salumjumah5648
Жыл бұрын
KIGOMA FINEST KIBU DENGA
@ngarasaajunior5323
Жыл бұрын
Kibu is talented star big up Rasta man🤷
@khadijamisayo7476
Жыл бұрын
naomba wote mliomsema vibaya kibu, mumuombe msamaha, mungu anawaona
@lekianzuruni8400
Жыл бұрын
KIBU D Mungu Akutangulie Katika Safari yako ya Mpira,, nategemea Miaka ijayo Tutakuona CHELSEA Pale UK.
@fredfrancis2544
Жыл бұрын
Kibu dee🎉
@matthewbwanga395
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana kijana Kibu Denis, umefanya vizuri na Mungu akuwezeshe uendelee mbele ⚽⚽⚽🦁🦁🦁👍👍
@GraceMhoja-zc7yg
8 ай бұрын
Ndio maana unapambana kumbe unapenda Simba love much KIBU d
@athumanmgissasimbadamu3316
Жыл бұрын
Starehe Ya Kibu Ni Ngumuuuuu Sanaaaa 😀😀😀😀😀😀😀😀
@sethkivuyo3342
Жыл бұрын
❤❤nice
@Kakajambazitv..
Жыл бұрын
Mwana wetu !!! Kumbe Unakumbuka team yako ya young boys 🤣🤣na rafikiako CR7 🤣🤣🤣🤣 KIBU D
@majahjuma7276
Жыл бұрын
Sawa
@suwediselemani8884
Жыл бұрын
Nmegundua kumbe hii interview ni ya zaman sanaaa yan mwanzo wa msimu lakn wamekuja kupost baada ya mech ya dabi na baada ya kumkanda mtan na Kibu akiwa miongon mwa waongozaji wa ukandaji wa mtani lengo kuendelea kuwakumbusha mkandaj wao
@albertmullah2377
Жыл бұрын
KIBU amecheza kila timu msimu m1 na kuuzwa, KIBU amecheza ligi kuu msimu m1 tu na kuitwa timu ya taifa, KIBU ana kitu kikubwa sana ambacho ipo siku kila mtu atakiona,
@farukimustafa8437
Жыл бұрын
Keep up kibu Denis
@sarahtz4936
Жыл бұрын
Kumbe una sauti nzuri hivyo 🥰🥰🥰🥰🥰🥰♥️♥️♥️♥️♥️♥️
@claraluoga6828
Жыл бұрын
Umewanyoosha yanga
@DoctorEvarist
Жыл бұрын
Kibu Drogba 🔥👏👏
@emanuelsamanii6318
Жыл бұрын
Very humble 💪
@raheemvianey7343
Жыл бұрын
Mtu poa, hambo, mkweli sn na muungwana. Ahsante Kibu kwa intavyuu nzuri sana.
@nasibyahya9778
Жыл бұрын
God bless you bro...#kibu
@fpyusuphmagige3954
Жыл бұрын
Kila la heri brother kwenye safari yako ya mpira
@Johnnestory-lk7wz
Жыл бұрын
Good blessing for you my friend 🙏❤ kibu
@bbclondonulimwenguwasoka6126
Жыл бұрын
Now ur improved a lot
@Mr_Ben255
Жыл бұрын
Kibu sahizi amewa aise mpe pongezi Kwa Alie mbadikisha najiamin sana ni apo ona Kibu anaanza kikosi Cha kwanza
@mcbartonkesh3664
Жыл бұрын
Red star ndo team pedwa mkoani Kigoma
@elizabethaugustine8190
Жыл бұрын
Bonge la interview. Mimi Kibu D sijawahi kukukatia tamaa, ndo mchezaji wa timu ya Taifa naempenda kumtizama
@aminakeya9951
Жыл бұрын
Kibu D mkandaji ❤❤😊
@abatinkalango4571
Жыл бұрын
Interesting interview 🙏
@nilmadaudi9358
Жыл бұрын
Interview ipo 🔥🔥🔥🔥🔥
@hosanarecords9192
Жыл бұрын
Mungu akutunze sana Kb
@kumbilizabilombele2327
Жыл бұрын
Endelea kujiandaa man, maana siku zote leo ndio kesho nzur na usije ukajisau mwanetu kama mpira una ajira ya kipindi kifupi kula na tambua baada ya ayo kuna maisha mengine jinoe na safisha yasije kukuta kama ya zanzibar finest akili kichwan mzee
Пікірлер: 470