siku nicki mbishi akifa ndo watasema alkua mpambanaji ktk hiphop..sio kwamba watu wa media hawajui kama ni mkali wanajua san .lakin kwakua msema kweli huchukiwa basi wanamkataa lakin nicki mbishi ni hiphop artist na hatak kua mnafki au kufuaat matakwa ya media.. a strong man stands alone n he is alone
@furahamoshi8998
4 жыл бұрын
Ulitaka wamfanyie nn
@hkmeme5437
4 жыл бұрын
@@furahamoshi8998 wampe michongo
@omaryahmed7100
5 жыл бұрын
daaahh hili nikki mbishi lina akili kisenge....yupo flexible sana anajib maswali vizuri sana
@gthirty
5 жыл бұрын
My favorite rapper kwa hewa.. Nakuelewa sana broo.. 🙌🙌🙌🙌
@jamalally3735
4 жыл бұрын
Appreciate Brother Nikki mbishi stay Real Daima
@kambikashama4619
5 жыл бұрын
Nakubali Nikki Mbish 🤣🙌🙌🙌🙌 Upindishi Manenoo.!
@badmanno.1650
5 жыл бұрын
Mimi ni mmoja kati ya wachache wanaokuskiliza...you are so talented my nigga...after Fid unafata ..
@rammyseykhaleed3481
4 жыл бұрын
Jamaa ni bonge la genius
@monicajacob6687
5 жыл бұрын
Ni nomaaa jamaa anaelewa sanaaaa
@vessobwoy4623
5 жыл бұрын
I respect u mjomba unju Vessobwouy from #254
@kinglance6365
5 жыл бұрын
Unju ni genius
@adinaniissa6924
5 жыл бұрын
Genius Nikki mbishi
@vinchystyles1675
5 жыл бұрын
Interview kal💪💪 Unju nataman angekuwepo na Nash Mc hapo! 🔥 🔥
@jumaanassib3809
5 жыл бұрын
Ifike wakati media pamoja na washabki wa Hip hop na Rap tuwe wakweli na wawazi uyu jamaa anajua sana pia media pigeni ngoma za hip hop tumechoshwa na ngoma izo kila siku mapenziii tuu ndio mmeona zinatugusa sana sio kiukweli mnazingua sana media
@Commentsplus
4 жыл бұрын
Nakubali interview za nikki
@7mc794
5 жыл бұрын
Safi kaka unajua vingi mm pia mshabiki wako pia ni rapper
Dahh we jamaa Stewart bora ungemuhoji Nikki hao hawana uwezo wa kufikiri kitu cha kumuhoji jamaa pia maswali yao ni mafupi kimawazo hapo nimemkumbuka Lil omy asee
@ibraimoissiaca6058
5 жыл бұрын
Unju Nash makanta one
@solozukc-1
5 жыл бұрын
Unjuuu
@nasrikileo
5 жыл бұрын
Unjuu, nakubali bro
@tommytyga4417
5 жыл бұрын
naomba interview mm pia ni rapper
@maxjofrey70
5 жыл бұрын
Unju 🙌
@mau__fund7322
5 жыл бұрын
Wa kwanza kucoment
@mbenamdudu7856
5 жыл бұрын
Mbona interview Kali tu unju ajawai kuboa madini
@musso238
5 жыл бұрын
Baharia mzee
@PAndGMusic
5 жыл бұрын
Unju bin Unuq 💪💪💪💪
@martinnkwabi5640
5 жыл бұрын
Unjuu mzazi soon nakuja kuchukua album
@zackypapla5511
5 жыл бұрын
Tunavaa Machata Tu
@georgemagori2158
5 жыл бұрын
Unju MTU hatari xnaaa hii ndyo Hadhina y hip hop Bongo
@localvocals7206
4 жыл бұрын
Yan braza Nikki we una akili sana sema watu hawajui tu
@secyponera9017
5 жыл бұрын
Makanta
@wazaelykichomory422
5 жыл бұрын
Respect M.A.K.A.N.T.A...
@West-side-lt9nb
5 жыл бұрын
Unju bin Upupu.. napendaga kukusikiza tu
@Majuto_shop21
5 жыл бұрын
Hongera ndio song
@West-side-lt9nb
5 жыл бұрын
@@Majuto_shop21 🤙
@Majuto_shop21
5 жыл бұрын
@@West-side-lt9nb nice
@hkmeme5437
4 жыл бұрын
Skiza mpaka nyimbo zake kwa youtube, nisupport jamaa
@jumazinga941
2 жыл бұрын
Unju bn upupu washa washa ama nn Genius sn👊🏿
@mugadimon3563
5 жыл бұрын
Huyu jamaa hazina ya Hippop bongo
@andersonchibule4761
5 жыл бұрын
Ugali m'bichi kaa Nikki m'bishi.
@kherisaid6374
4 жыл бұрын
Unju 🔥
@charlesleopold7204
3 жыл бұрын
nimeipenda iyo maana ya interview
@muddseuc2240
5 жыл бұрын
Huyo jamaa lina akila sana ila basis tu
@calvinnicholaus4906
5 жыл бұрын
Inawezekana wengine awakuelewi unacho kimaanisha mbishi
@princemujuni9803
5 жыл бұрын
Yan huwa cjui jinsi ya kupata nyimbo za hip hop real kama want wakina MBISHI na on e
@brightvatta284
4 жыл бұрын
Hahhaah kitambi kwa mbali kama Planet Asia...
@patrickmtiesa1033
5 жыл бұрын
Unju bini UPUPU
@rasvegas8991
5 жыл бұрын
Hawa walikutana vchwaa wote ingekua ngumu kukaaa pamojaa
@awadhgambus1457
4 жыл бұрын
The real baba malcom
@johnmmwiburi5261
4 жыл бұрын
Pia nawatakia biashara njema by John
@adamalfred5336
5 жыл бұрын
Og
@esaubakuza3287
5 жыл бұрын
Hiii ni interview???mbona anaehoji hajulikani na muhojiwa haeleweki
@mochings8012
5 жыл бұрын
MAKANTA
@rodgersgingila9367
5 жыл бұрын
MAKANTA..
@jamalshaha4512
5 жыл бұрын
Sema twambie unapatikana vipi cause haupatikani mdundo
@frankanold9803
5 жыл бұрын
nunua album au nenda boom play
@jamalshaha4512
5 жыл бұрын
@@frankanold9803 shukran kaka siwez nunua album cause sipo bongo
@frankanold9803
5 жыл бұрын
@@jamalshaha4512 inawezekana mcheck Instagram anaitangaza album yake anakutumia kwa email
@saidijuma9386
4 жыл бұрын
Kaka nakukubal sana ww ni real hip hop
@CoachHafidh
4 жыл бұрын
Kama consciousness yako iko chini huwezi muelewa UNJU
@hemednassor4560
Жыл бұрын
Unju nakubali nigga ila mie hihop za kina nei upimbavu lkn umemaliza kwenye babu talent
@malcolmkomba4067
4 жыл бұрын
Freestyle sio nguzo ya hiphop , hapa ameteleza kidogo
@nehemiahmguluka9505
3 жыл бұрын
Acha ushamba wewe kama hujui nyamaza,,,,unaskiliza HipHop interview na hujui Kama freestyle Ni nguzo Mojawapo....miii nashauri ukalale tuu mwana show sio zako hizi
@hassansalma743
5 жыл бұрын
Maswal yakitoto jipangeni nyie mapimbi
@mobaisa1704
5 жыл бұрын
unju bin unuq
@binyezanch8271
4 жыл бұрын
Hatr
@johnmmwiburi5261
4 жыл бұрын
John Mongo napatikana kariakoo moja nawapa salaam wana simba wote hapa k/koo pia nampa salaam Marwa na god wote wanapatikana k/koo
Пікірлер: 81