Afu Kuna kenge utaskia alikiba aendi kimataifa mnajua galama ya kwenda kimataifa ninyi acheni watu wawe namisimamo yao muacheni tajili no moja apambane na no moja yake alafu muacheni Ali maskin apambane naumaskin wake
@RAAJMELODY
Жыл бұрын
Napendaga sana interview za Babu tale l wish one day l will meet him
@elinamilyatuu7337
Жыл бұрын
Interview kali sana kwann imeisha mapema😮😂
@neemamaganga9774
Жыл бұрын
watu wanaohitaji kuoana hufanya kwa vitendo sio maneno kwa sababu mkiridhiana mnafika kwa wazazi kisha taratibu zinafuatwa. Ila drama ni nyingi kila siku kusema hili mara lile. Kuvuta tention za watu.
@kantai737
Жыл бұрын
Kwa kweli, hatutaki kila siku kumdhalilisha zuchu, anayekupenda anakuheshimisha,kama si hivo wafanye mambo yao ndani kwa ndani,sisi tunataka kumuona msanii wetu anaheshimika.
@rancitv
Жыл бұрын
Umekuwa mkweli bab tale, tumejifunza
@hakimayubabdul8117
Жыл бұрын
Alfu vice President wa marekani eti kazijua nyimbo za bongo fleva?😜😜😜 Duffy alikuwa hamjui Platnum?
@TechPlatform-lp4og
5 күн бұрын
Baada ya hili li Diddy kudakwa nimeamua nije nicheck hii interview 😂nijue lilimkuta nini simba wetu😂
@RoseGeofrey
5 күн бұрын
Ila millard wangu wewe ni mtu bora sana sauti ya mamlaka taarifa zako zinaaminika sana nakupenda mnooo❤❤❤nini nifanye zaidi yakukuombea kwa mungu uwe na maisha marefu tuendelee kuinjoy
@twalebleboss9687
Жыл бұрын
RESPECT SANA...#TALE....Allah azidi kukulinda kiafya na kimaisha... #WE LOVE YOU BRO...👌💪
@saumusalimuhassan2499
Жыл бұрын
Ila namkubali sana Tale, interview ya kizazi sana hii, part 2 please 😅
@dannygmk379
3 күн бұрын
alikuwa anapakwa Johnson and Johnson baby oil.. massage kama zote😂😂😂😂
@loveneskaaya1652
Жыл бұрын
Mbna BEYONCE kwenye renaissance tour kuna nchi katumia uwanja unaochukua watu 80k nakauza tiket zote?
@ichicarodan6931
Жыл бұрын
Beyoncé ana 20 yrs kwny muzik
@yusufujaluo979
5 күн бұрын
Sakata la Diddy ndio tumekuja upya
@PepiteSquare-cp9wd
Жыл бұрын
Love you babu tale nakukubali sana papa
@Saada-g4j
22 сағат бұрын
Anarembua macho kama mwanamke
@HeriOnesmo
5 күн бұрын
Alafu babu tale nayeye simuelewi maana ivyo alivyo naona kama ni shogs2
@nancyg8664
5 күн бұрын
sauti yake sasa
@elastotulyanje5456
Жыл бұрын
MWENDELEZO BASI WA HII interview,,,, nimeipenda❤
@kisalu-k5d
6 күн бұрын
Hapo kwenye chumbani hapo...🚶♂️🚶♂️🚶♂️
@adibartv2047
5 күн бұрын
😂😂😂😂pidid kashapita
@JeannetteManirambona-o6m
4 күн бұрын
😂😂
@sumatraveler1957
2 күн бұрын
😂😂😂😂 Chumbaniiiii
@bigdaddy_faustinjumong4427
Жыл бұрын
Bbutale ulikuwa ulichelewa saaana kuingie kwenye siasa #portique
@paulmasunga1754
4 күн бұрын
Mi nimeelewa neno Moja Diamond hatak kuwaacha Wasanii kirahis wajitegemee kwa sababu anawaona ni hella
@saidabdulkadirmjahid8255
Жыл бұрын
That Babu Tale's Ring is 🔥
@feronandsulubu6711
Жыл бұрын
Yani Diddy nimsenge kiasi iko adi anauliza ka Africa ni jangwa tu
@made5167
Жыл бұрын
Brother Pdd n mtu wa masihara sana atakuwa alsema hvyo to clear the air
@sir_ENOCKMACHA
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 watu wenye pesa mwanangu nomaaa
@GeorgeAkasha-zx2rj
3 күн бұрын
Ana haki ya kusema hivo sababu vyombo vya habari vinawaaminisha hivo kwamba Afrika ni sehemu mbaya sana yenye vita, njaa, majangwa, wakimbizi na n.k..Kiufupi Image ya Waaafrika kwa watu waishio nchi za ulaya na Marekani ni Mbaya sana.
@sakinamixpambe2602
Жыл бұрын
Babu tale umenichekesha hapo kwa P -DD wekweli comedian 😆 😄
@nancyg8664
Жыл бұрын
Yan🤣🤣🖐
@adolphmwangoje2887
Жыл бұрын
Napenda interview za tale I see😂😂
@saumusalimuhassan2499
Жыл бұрын
Me too
@Jodrey1
Жыл бұрын
Kuanza leo namuheshim #Tale we ni story teller 🎉❤
@marthamushi9390
Жыл бұрын
Dah! Nimependa sana hii interview iko🔥 Then kumbe na wao wakikutana na wasanii wakubwa huko wanakuwa so saprise😂😂😂😂😂
@jaymandy8136
Жыл бұрын
Ndio
@videodon3280
Жыл бұрын
😂That shit normal mehn. Mimi nimependa venye Tale anaelezea Diddy alikuwa anamuongelesha Diamond "Yo Lion whatsapp"🤣
@officialdogobdance672
6 ай бұрын
Tamu sana
@esperancenathali
Жыл бұрын
Nisiwe mchoyo babu tale km ndugu yangu vile maana kafanana na mzee wangu hadi kuongea sorry guys for saying that cause I been watching his interviews so many years daah ila mimi mkongo tuuu
Eti nyumba kama garage 🤣🤣🤣🤣,kuzungushwa bonge la jumba
@sir_ENOCKMACHA
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 hakuamin macho yake
@princekarani7836
Жыл бұрын
@@sir_ENOCKMACHA wamezoea ramani ya nyumba zetu za Africa,ndomaana aliona kama garage mwanzoni,alipozungushwa na akaona nyumba yenyewe🤣🤣🤣
@shinipapaya846
Жыл бұрын
Na pia kasema aise mwamba ana maisha 😂😂😂😂 huyo ndio B TALE bwanaa
@Saleh-mg8fr
Жыл бұрын
Babutare mupole
@irenemzirai5890
Жыл бұрын
Sijawahi kuona interview ya huyu mkaka ndo leo kumbe ana busara na dini mnoo. Ntaanza kumfatilia
@barhepaul4754
Жыл бұрын
Mzee ni story teller hatati sana apo udambuudambu wakutosha mzee 😂😂
@3malis
Жыл бұрын
Unavutiwa yani 😅😅😅
@glorytarimo8321
Жыл бұрын
Hongera Millday Ayo kazi yako nzuri sana uchangui ubagui safi sana wengi wajifunze kutoka kwako ni mtu wa kipekee sana 🥰
@michelinemapendo6652
6 ай бұрын
WALILIWA WATE NA DY DD😂😂😂😂😂
@richcompanyfilmtv823
Жыл бұрын
Babu tale story Teller 😁😁😁🔥🙌🙌🙌🙌🙌
@GloriaAlexanda-ld5zt
Жыл бұрын
Daah! Mzee wangu tale wewe ni hatare talking style yako nimeipenda 💪
@naimasbuguza2395
6 ай бұрын
Ungependa awe mpenzi wako au baba yako??😂
@BuntuAlkebulan-yh6qu
5 ай бұрын
@@naimasbuguza2395😂😂😂😂😂😂
@RomanMwinyi
5 күн бұрын
Kelegezwa
@hamiduhamdun1858
4 күн бұрын
Mmmh Diddy ameshafanya yake hatari sana hii dunia ina mambo mengi sana Allah atunusuru sana
@LilianMpenda-gw5pp
3 күн бұрын
@@RomanMwinyikabisa sio kwamapozi hayo na kisaut hicho
@blandinamyinga9489
Жыл бұрын
Safi sana,majibu mazuri
@sanauswahilimovies
Жыл бұрын
Bonyeza hapa kutazama filamu mpya za bongo movie
@madammbago9787
6 күн бұрын
Wakina juma lokole walisem mondy hanywi tale anasem walivuta waliwaka yeye pek ake akaw hajanywa
@kilsonghalck9124
Жыл бұрын
Daa!, ni hatari, nawaomba mka m'contact "Decky real" ni msanii ambaye hana kuja na project kali hijapokuwa upande wa promotion haja kaha sawa ki hivo, haki pata promotion hata kuwa hit ndani ya bongo, ali kuwa haki fanyiya kazi kigoma ila ame panda DSM kwaku tafuta kuji push, shukrani kwa hatakaye mfollow maana huyu jamaa hanaga show mbovu mwene sauti yaku vutiya anaye juwa kuteka hisia za mashabiki🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤
@Luzwiro27
5 күн бұрын
Anavyoitamka Puffy dad kmmk
@remmywillyz8472
Жыл бұрын
😂😂 sema tale anajus kupigish story nimekubal bro hufich umefunguk san 🔥❤one love
@abdirahmanali7347
Жыл бұрын
Will you have extend the interviews ....
@juliusmethod6380
Жыл бұрын
ssa labda hamjakutana na matajiri wengi wao huwa wanaongea bila kutumia nguvu alaf simle yani hatutemeani mate usoni, hata wwe ukija kushika pesa utabadirka muonekano mpaka kuongea kwako, mwendo nk..
@juliusmethod6380
Жыл бұрын
mtaj wa maskin nguvu na mtaji wa tajir pesa😅
@kakaaignas3675
Жыл бұрын
Kabisa
@TALLUBOY
Жыл бұрын
Babu tale wew ni mtu poa sanaaa
@aishaomar1845
Жыл бұрын
WE 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💯💯💯💯Break record of 🌍🌍🌍🌍
@Renatusrenatus
6 ай бұрын
Umethibitisha kuwa unamshauli aachane na hao watoto. Tafsiriyake nn? Roho mbaya?
@MwitaKihugi
2 күн бұрын
Mbona anaongea kama mmh au basi😢
@bakarisaady181
Жыл бұрын
Tale mbona kama mtu safi ukikuelewa✔
@heronimomsefya3190
Жыл бұрын
Be Blessed Brother Tale &Comrade Millard
@mdyoung5163
2 күн бұрын
😂😂eti ni chumban
@hollanddutch-day
Жыл бұрын
Respect Legend Journalist Millard upo na Muheshimiwa
@athanaswilliam6940
Жыл бұрын
Huyu muheshimiwa anaongeaje ..??? Mmh!!!
@Lassana755
Жыл бұрын
Kama punga
@m___ck799
Жыл бұрын
@Getonmyfeet he comes across gay to me.
@Swahili14
Жыл бұрын
@@m___ck799 judge your life first Mpk saut mna judge 🙌💀 Unaeza ongea km mbavu afu ukaliwa
@emmyfamily3487
Жыл бұрын
Tunaweza ponda yoyote ila co huyu mtu mungu ampe hekma ilokua kubwa ,mungu amlinde na baya ktk ulimwengu huu
@AngelmackieCharity
4 күн бұрын
Mungu halindi wafiraji wala wafirwaji😅😅
@FatmaFatmabbythuma
4 күн бұрын
@@AngelmackieCharitykwli kabisa 😢
@givenessdavid3743
2 күн бұрын
Amen
@pedeize4987
Жыл бұрын
Ndugu zangu tupambane kilakitu kinawezekana
@patrickvove
Жыл бұрын
Story Teller 👍👍❤️❤️🫡🤝
@Bongotimemedia
3 күн бұрын
GUY BAADA YA ...... TUMEKUJA KUANGALIA APA 😭😭😭😭😭😭😭😭
@kageclemence7096
Күн бұрын
Binafs nimeangalia. Sep 30 ila uyu mwamba Mr D. Ukiingia kwenye part lazma akutengeneze kiboga 😢😢😢
@juniorborbo
Жыл бұрын
Ni kweli kutojaza show kwa Zuchu America sijambo la ajabu. Kumbuka Bob Marley alipoanza safari yake ya mwazo mwazo kuingia United Kingdom, alifanya show Southhamption wakaingia kwenye show watu chini ya 150. Bob Marley alikufa moyo sana na kusema pengine mimi sistahili kuwapi hapa UK kama muimbaji. Baada ya team kumliwaza Bob Marley na kumtia moyo asife moyo baadae Bob Marley akawa World Star.
@amanimapenzi571
Жыл бұрын
Watu wakimuona diamond hawaelewi ni msanii mkubwa sana na anauzika nje. Ile kitu ameona hapa watu wanamuona ni kanjanja
@molenicharles9107
2 күн бұрын
Wote wamekalia chakula ya p didy...washaliwa wote nungwi hawa🤣🤣🤣🤣🤣check alivyokaa🤣🤣🤣🖕🖕🖕🖕
@lazarobomani1466
Жыл бұрын
Big up tale for exclusive interview
@EstherYouze
Жыл бұрын
Talee😂 awe msimulizi wa story jmn
@HachimRachide
5 күн бұрын
Jamani huyu mueximiwa tumtazame vizuri Namna yake yakutupa mikono na uongeaji wake... Tumuombe apambanie uxoga km kweli!!!
@hassanmwallimu5767
6 ай бұрын
Msanii mlikua hamumjui fiscally but mlikuwa mnamsikia kama sisi
@mwanaimamsangi971
18 сағат бұрын
Ukisikiliza hii unaelewa vizur big up diamond usivunjike moyo
@kimah9855
Жыл бұрын
Tearm Zuuh tumefuraha❤❤❤
@bonabonala5559
Жыл бұрын
babu tale jambazi la wasani kama ruge marehemu nae yatamkuta ya ruge punde tu tuongopee ya p didy tukucheke
@Jamestar001
Жыл бұрын
Sema huo mfano wa jeshi Kama kichupa hiv au meelewa vibaya, uncle tale 😂😂😂
@edwinalexander1170
Күн бұрын
Hapa walivyoenda kwa didy ilikuwa kama sifa kusema kwani ilichukuliwa kama ufahari kwenda marekani kukutana na mwanamziki mkubwa kumbe kunayalifichika na tungeyajua baadae.😂😂😂😂😂😂😂
@bellogregory7175
Жыл бұрын
Talking style ❤😊
@mercymodest2248
5 күн бұрын
Maelezo MIXED… si mlisema hamjaonana na Diddy😂😂😂
@boazmvellah6286
5 күн бұрын
Chumbaniiiiii 1y Ago, 2day ago alituita chumbani tukakataa🤣🤣🤣🤣🤣
@Sheby001
5 күн бұрын
Ulembue macho ivo nyumbani kwa Diddy afu urudi salama???😂😂😂
@fauziaabdul8732
Жыл бұрын
Tale huchoki msikiliza.
@ashuramhandoashuramhando6798
3 күн бұрын
Duh Siri imefichuka Lukamba anasema hamkupata mda wa kuongea mheshimiwa anasema wameongea hapo Futa limetembea 😂😂
@MichaelWilliamsNyirenda
4 күн бұрын
Sasa Ajaze Anajua kuimba Kingereza Nyie jazeni hapa kwetu Kingereza chakushanganya na Yani ,Yani ,Yani aaaa ,mara mmmm 😂
@masongatz
Жыл бұрын
Sikiliza hii KAZI ya MIZIMU kzitem.info/news/bejne/koeommGlsah6oI4
@tolekabizneztv
Жыл бұрын
Millard ukinisupport na mic moja ya podcast naeza kujidai sana🙏🙏🙏
@cbegram6161
5 күн бұрын
Eti chumbani, anafanyiwa masage, na mdada anaimba vizuri, tukaambiwa subirini kwanza hapa nje, du😮😮
@nancyg8664
Жыл бұрын
Kwa p.didy apo amenichekesha🤣🤣
@christinaonditi9341
Жыл бұрын
Tale naona kama ukiongea unarinha sijui unamapozi sana sijui ndio ulivoumbwa Yani sielewi
@BaitulNoorOnlineTv
11 сағат бұрын
Daaah hapa mheshimiwa ilikuwa atupatie ufafanuzi chumbani kuna mabaunsa umewaona chumbani kile kile chumba cha wese au???
@mbungulanga6729
Жыл бұрын
Aende wapi mtoto wa watu heheh Hana option inamana
@eliuskamwelwe1018
Жыл бұрын
Sema Lina na mapozi ,mashauzi 🤣🤣
@hyacintagugu7
2 күн бұрын
Yàan
@martineuzebio535
Жыл бұрын
Wsb wanamapungufu ila n wanyama sana😂
@njoroboihastla
Жыл бұрын
WCB NO WSB
@valeriaally6584
Жыл бұрын
MARTIN EUZEBIO sana🤣🤣😂😂
@mahdsalim
10 күн бұрын
PDD scandal brought me here 😂😂😂
@hillarykerry6385
2 күн бұрын
Wangapi wanaiwatch 2024? Gonga like
@habibuomary1935
4 күн бұрын
tukafanya tuloyafanya mengine huez kupost imeisha hiyo
@Aziz-p6s
6 күн бұрын
Huyu ndo alimsindikiza simba aiseee😂😂😂
@SixmundMholo
4 күн бұрын
Na mashaka na maneno yako😂😂😂🎉🎉🎉🎉
@SixmundMholo
4 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@japhetjohntv5579
Жыл бұрын
Wcb bhn wako vizuri check views
@manizobizness1052
2 күн бұрын
Nimerudi hapa baada kusikia habari ya baby oil ya P Diddy 29 September 2024,
Пікірлер: 435