Huyu dogo kiswahili hakijui ni mzungu mweusi anaongea very smart 🤓 nakupenda dogo
@kaukaofficial1813
3 жыл бұрын
This Small boy is very smart for really, Respect ✊
@vickyshoo1812
3 жыл бұрын
Nimempenda bure anavyojibu na kushukuru. Ametulia Sana. Mungu amlinde na kumzidisha
@spelansiakafuka9381
3 жыл бұрын
He's very brilliant
@avittykilizant6310
3 жыл бұрын
Mungu akufikishe mbali mdogo wangu
@twalibumohamedi
7 ай бұрын
Wow! Mungu akusimamie kila hatua unayopiga
@saramwakasaka8021
3 жыл бұрын
Yan mtoto yuko respect hataree yan mpk 😭😭.. Mungu atusaidie wazazi kuzi wish na kusupport ndoto za watoto wetu.
@ameenaameena1224
2 жыл бұрын
Mtoto anaongea kiumalini mpaka mchozi ya furaha yananitoka
@ireneimbuhira7759
2 жыл бұрын
Love him ❤ and wish Him all the best in All 👏👏👏❤❤❤
@agnesjohn84
3 жыл бұрын
Waoooh so genius Juju
@scanertv7806
3 жыл бұрын
Hakuna kitu hapa niuongo mtupu
@shangwekamando2599
3 жыл бұрын
@@scanertv7806 kalagabaho na ubozi wako🙄🙄🙄🙄🙄
@rodinemahega9925
3 жыл бұрын
Smart guy
@agnesgervas8070
3 жыл бұрын
Jmn mtoto ana uchaji wa mungu
@amenyemwansile631
3 жыл бұрын
Mungu akubariki kijana wetu ukikuwa uje kuwa mtu muhimu katika nchi hii
@cowblondonofficiel787
Жыл бұрын
Mfano muzuri kwa watoto wa Africa!👌🏾✊ Africa Needs Smart Children for a better future, So parents Must encourage their children to acheive their dreams et orient them
@olivaoisso3198
2 жыл бұрын
Very smart kid
@neemah6517
2 жыл бұрын
Kafuta akiri yababa dam zito kuriko maji mzee Runge mungu akutangurie bere zahaki
@joycemallya3081
2 жыл бұрын
Mtoto ana kauli ya ukarimu na utaratibu sana
@suzanpatrick9380
2 жыл бұрын
Kama baba yake for sure
@kilamiko8299
3 жыл бұрын
Mtoto yuko vizuri, ni mwanzo mzuri
@mfalmewanyika2804
3 жыл бұрын
Mtoto kazaliwa Tanzania kiswahili hajui dah. Nilikutana na mchina lkn anaongea kiswahili vizuri sana kama kazaliwa TZ.
@ABEST_HYDOR
3 жыл бұрын
Mtihan kwa kweli
@shangwekamando2599
3 жыл бұрын
Mbon anajua japo Si vizuri sana na vile vile kiingereza ni lugha ya biashara kwa.hiyo mtoto ameshatoboa Tayari Wee kaa unamsifia mchina anaongea Kiingereza vizuri Mwenzio Kwenye biashara ana mkalimani wake
@mfalmewanyika2804
3 жыл бұрын
@@shangwekamando2599 kakwambia nani biashara haifanyiki mpaka ujue kiingereza, acheni kuzarau lugha zenu huyo baba yake alitoka kimaisha bila hicho kiingereza. Baharesa ni mfanya biashara mkubwa east Afrika na sijamsikia hata siku moja akibwabwaja maneno ya kiingereza. Halafu sijawahi kumuona mzungu kazaliwa uingereza asijue lugha yake aongee lugha za wengine watu watashangaa sana!
@shangwekamando2599
3 жыл бұрын
@@mfalmewanyika2804 labd uuze maharage y mbeya utaongea kiswahili na wanyakyusa Wenzio lakini.kama ni.biashara ya kimataifa Kiingereza kinakuhusu kubali kataa na kuhusu bakhressa Kama ulivyosema Hujawahi kumuona na hutowahi kumuona mpaka apende mwenyewe kwanza.toka uzaliwe umeshawahi kumon mara ngapi licha ya Kupatatu bahati ya kumuona anongea🙄🙄Halafu kuhusu dharau Hakuna niliposema nimeidhrau lugha yangu Hata mara moja japokuwa wewe umesema Kwa Hiyo umenihukumu Halafu kubali kataa Ndiyo lugha ya kibiashara Kwa Hiyo Kama hujui kasome tu Hata english course
@rukayyawendo1268
3 жыл бұрын
Jaman watt ndo wanaakili
@peninamirimbo4160
3 жыл бұрын
Duh! Mtangazaji kizungu shughuliii
@fatmaallyabdul1732
3 жыл бұрын
Ruge wa Ruge.....nimejisikia raha hadi mchozi umenitoka!!!
@pettyjongera1295
3 жыл бұрын
Wallah lzm machozi,,hapa ni Ruge mwenyewe
@felixbenos6365
2 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@agnesslyatuu8026
3 жыл бұрын
Huyu mtoto anaakilii saana anajibu vizurii maswalii anayoulizwaa
@aishakhamis2996
3 жыл бұрын
Kabisaa mungu amzidishie...
@foibekajiru6144
3 жыл бұрын
Wow!
@saidzbron6711
2 жыл бұрын
Very genuas boy
@mwasimbega8712
3 жыл бұрын
😭😭RUGE
@pettyjongera1295
3 жыл бұрын
Rugeeeeeeeeee
@gwakisamwakabulutu4247
3 жыл бұрын
Maskini kana akili sana
@mercypeter162
3 жыл бұрын
Yule wa hesabu 💪💪💪
@tanzanite9944
3 жыл бұрын
Mtangazaji si uulize maswali kwa English? Huoni mtoto ana struggle kujieleza?
@shizaarfred4059
3 жыл бұрын
😂😂😂Tanzanite unanini wewe
@ABEST_HYDOR
3 жыл бұрын
Kumbe mzunguu uyu
@saketnicholaus9962
2 жыл бұрын
Mwamba kaacha alama safi
@rodinemahega9925
3 жыл бұрын
Huyu mtoto anaelewa kingereza, Kiswahili haelewi kabisa.
@marygregory7566
3 жыл бұрын
Mbona nikimsikiliza nahisi kama kulia
@Siti_maroneit
3 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@pendosisiu1230
3 жыл бұрын
Anapt tabu kuongea kiswahili jmn
@gwakisamwakabulutu4247
3 жыл бұрын
Kwelii kabisa
@elizaboster9479
3 жыл бұрын
Ametungiwa waongo sana
@marypanga3764
3 жыл бұрын
Hiki ni kipaji myder mtoto yuko bright sana ,
@maryammohd4867
3 жыл бұрын
Jamani walimwengu hamna jema!! ht km katungiwa huo uwezo wa kujieleza c mdogo
@kakurukakurupacha859
3 жыл бұрын
Hawezi kutungiwa kisha akawa na uwezo wa kujieleza elewa hilo.
@neemakaluwa1841
3 жыл бұрын
Kwa confidence aliyonayo kujibu maswali ni dhair huyu mtoto anakitu Mungu kaweka kwenye kichwa chake. Kuna mikubwa mizima ikiambiwa kujieleza inahemeana hovyo km ana homa ya mapafu. Lkn dogo anajieleza kiutu uzima.Big up sana totoo Ruge.
@texastexas2545
3 жыл бұрын
Uongo tu kwa kutaka sifa
@cathynunu7426
2 жыл бұрын
Mtoto makini kama babake,hajibu maswali kwa kukurupuka. Ruge anarudi kupitia mtoto jamani.
@yvetteuwase2740
3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@zariadunia6328
3 жыл бұрын
Namuona Ruge hapa kila kitu kamrithi baba yake
@bonychitanda6410
3 жыл бұрын
Acheni uongo
@zulfaissa7814
3 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akujalie utimize doto na malengo yko Inshallah
@neemakaluwa1841
3 жыл бұрын
@@zulfaissa7814 Ameen
@shangwekamando2599
3 жыл бұрын
Upi? Ona jamaa inajielezea kuliko baba ako😡😡
@scanertv7806
3 жыл бұрын
Tuache kudanganyana haua mambo ya ahitaji busara na akili sasa hata demu hana dunia ameijuaje kama suto uongo angekuwa hata anamiaka 15 afadhali tungeshawishika kwahili ni uongo
@shangwekamando2599
3 жыл бұрын
Ivi hujui Kama wajinga nao saivi wamezeeka kama.hujawahi kuona mtoto ana talent Ndo huyo sasa muone na umkubali
@texastexas2545
3 жыл бұрын
Mtoto mdogo mnamjaza ujinha tu kwa kutaka sifa,
@marygregory7566
3 жыл бұрын
Kama hujaelewa hapa we ndo mjinga
@whitnesskeffa5076
3 жыл бұрын
Mungu akusaidie utimize ndoto zako kama unazo na wewe🤢..maana Huenda hauna ndoto..km unazo zitimize ili uache kuona watu waongo..na Uamini Kua inawezekana ikiwa tutafanya yote katika Mungu
@shangwekamando2599
3 жыл бұрын
Mbona.unaonekana Wee Ndo mjinga ona anavyojieleza Wee kuweza?
@fetychina3273
3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤦♀️🤦♀️💋❤
@elizaboster9479
3 жыл бұрын
Zama mjamzito
@irenealen9598
3 жыл бұрын
Jamn kizunguu nitatizo kwa wanao hoj wap kizung akee!!!!
Пікірлер: 80