Mwachi ambaye ni mtoto wa kwanza wa marehemu Ruge Mutahaba amesoma wasifu wa marehemu baba yake na kusema kuwa kama familia, wamewasamehe wote ambao kwa namna moja au nyingine walimkosea #Ruge na wao wanaomba msamaha kama waliwakosea wengine.
#PumzikaRuge #AzamTWO #AzamTVApp
Негізгі бет Mtoto wa Ruge: Tumewasamehe wote waliomkosea Ruge, na mtusamehe tuliowakosea
Пікірлер: 209