Hii ni dhuluma kubwa Mungu anawaona, malipo ni hapa hapa duniani
@omariramso7323
4 ай бұрын
Daah yani ela yako unapangiwa namna ya kupewa
@user-zt6re1dr5f
4 ай бұрын
Hakuna Cha maisha Bora ila ni unyanyasaji kibadilishwe haraka
@FilbertSamson
3 ай бұрын
Wafanyakazi tuungani kupinga kikokotoo kipya
@hemedsabuni9965
Жыл бұрын
Mnatuumiza wastahafu wenye mshahara mdogo
@hemedsabuni9965
Жыл бұрын
Hakuna maisha Bora yeyote acheni kudanganya watu
@josephmchila6467
4 ай бұрын
Hakuna msitaafu anaeoemba kikokotoo hiki,msidanganye.Vyama vya wafanyanya kazi viliwasaliti wafanya kazi
@beosumali4882
2 ай бұрын
Hakifai mtu afe na chake
@esterpius7423
10 ай бұрын
Kwa kweli. Hii ni dhuluma kubwa sana kwa mfanyakaxi. Naomba serikali.iangalie upya sheria hii..Ninkero na stress kubwa sana kwa mstaaf na familia yake
@hemedsabuni9965
Жыл бұрын
Mnachotufanyia sio haki hata kidogo
@YunesMzava
Ай бұрын
Acheni mambo ya kikokotoo,sheria ya mkataba wangu was kazi hausemi hivyo rejea
@user-le2ep5nq8c
3 ай бұрын
Hatutaki jamani mbona mnatulazimisha?
@josephmchila6467
4 ай бұрын
Hii ni mbaya saana,ni dhuruma mbaya Sana. Hanna huruma kabisa,uonevu huo
@aronmtui597
5 ай бұрын
Hapo shida ni wabunge hawjui wanaumiza mpaka familia zao
@aminimushi6945
8 ай бұрын
Hivi pensheni ni fedha za nani?je ni wangapi wanapata mshahara wa sh 2,000,000/-,kama ninacho pata siyo nilicho changia,zinatoka wapi hizo za ziada?je hizo za ziada ni haki yangu?
@AnociathaChuwa-cb5nk
2 ай бұрын
Hii sio sahihi Mnawadhulumu watu haki zao Mishahara ni midogo sana Wafanyakazi wanastaafu wakiwa hawajajijenga hata kidogo Wengine hawana nyumba Walitegemea hayo malipo kujipatia makazi and then kuendelea na maisha Mnapowapa kiasi hivyo watafanya je??? Halafu akifa watoto wake watafaidia nini??? HUU NI UDHALIMU MKUBWA SANA
@user-bx3em9jc6m
10 ай бұрын
Hiyo ni dhulma Mungu atatenda tu hatutak hadithi hiy ni wizi
@hamadmavere4406
10 ай бұрын
Hayo maisha ya watu MSI hezeee
@twalibmassea6593
3 ай бұрын
Wezi wakubwa nyie
@lidyateddy6950
7 ай бұрын
Hayo mahesabu fanyieni familia zenu jamani msicheze na maisha ya watu .baada ya kuwachosha miaka yoote na sasa ni haki ya kiinua mgongo,matokeo yake mnawavunja kabisa na viuno
@user-bx3em9jc6m
9 ай бұрын
Wapumbavu wakubwa kama mmeongwa Mungu stawalani ondoeni upumbavu wenu kaelimishe mkeo
@MiriamAbdallah
2 ай бұрын
Hakuna maisha bora kwa kila mtanganyika bali ni maisha mabaya kwa kila mtanganyika hii ni aibu kubwa kwa uongozi wa CCM 🚮
@user-zt6re1dr5f
4 ай бұрын
Nchi Ina vyanxo lukuki vya fedha pesa zipo walipen wazee wa watu hamkuwaandaa Wanaadeni ambayi walikua walipa mara baada ya kulipwa,walipen ndio make mrekebishe
@lidyateddy6950
7 ай бұрын
Hivi kama mwenye mshahara wa milioni2 kwa mwezi anapata kikokotoo cha miloni30😢 vipi yule anaye pata laki5 au 6 kwa mwezi😅huu ni uonevu jamani.we mzee hiyo milioni 2 wanapata inaweza kuwa ni asilimia kumi ya wafanyakazi wote tanzania nzima asilimia 90 wengi wanapata mishahara chini ya milioni moja kwa mwezi. Manaumiza watu jamani 😢😢😢😢
Mshahara wa mil 2,000,000/=!!!!!!!!! VIONGOZI HAWA HAWA UKIWAPELEKA WAKAWAONGOZE MATAIFA YA WAHARABU MPAKA SIDHANI KAMA WANGEKUWA KATIKA NAFASI HIZO.
@godfreyzungwa2126
Жыл бұрын
Ni shida!
@reginaldmapunda6702
10 ай бұрын
Hii ni zambi kubwa. Kwa sababu kwa mfano huu Kwa kikotoo cha zamani angepata lumpsum ya zaidi ya 180 mil. na monthly pension ya zaidi ya 800000/=. Ukweli ni kwamba hii ni dhuluma isiyovumilika. Magufuli alikuwa sahihi kusitisha matumizi ya kikokotoo. Huu ni wizi WA Moja kwa Moja na ni dhuluma kubwa kwa wafanyakazi. Hiyo lumpsum anayolipwa ni sawa na mshahara wa MTU aliye kazini hapahapa Tanzania.
@user-bx3em9jc6m
10 ай бұрын
Hicho kipindi cha maudhi pumbavu
@worldherotv
10 ай бұрын
Wezi tu nyie
@user-bx3em9jc6m
10 ай бұрын
Pumbavu nyie hatutaki elimu wastaa wanaibiwa vibay
@user-yu6gy9so7p
8 ай бұрын
Kuna wastaafu wangapi wanaishia mshahara wa million 2 kwa hapa Tanganyika?Kabla ya Kikokotoo mstaafu angechukua zaidi ya million 46 mkupuo ila sasa anapata million 30.Nani anaweza kuamini kuwa hayo ni maboresho?
@hemedsabuni9965
Жыл бұрын
Mimi nimefanya kazi zaidi ya miaka 30 mmenipa milioni 21 mwisho wa mwezi mnanilipa laki mbili mnategemea nitaishi vipi???
@RenaldaZeramula
11 ай бұрын
Du pole.sana my
@syliviakente9460
11 ай бұрын
Wakajifunze nchi nyingine mifuko ya pension wenye maamuzi ni wanachama ndio wenye sauti katika uwekezaji n k serikali ni msimamizi tu tu
@user-bx3em9jc6m
10 ай бұрын
Nyie wababaishaji kama mmetumwa na wathulmaji MUNGU atawalan
Пікірлер: 38