Ivi kwanini mnapenda kucheza na maisha ya watu mnatufanya mnavyo taka mtu nafanya kazi kipindi chote icho arafu kwenye kupata staiki zake mnataka kumpangia mnajiona Nani mungu mnamwambia mtu mpaka afike miaka hamsini au stini mnagawa uhai zuruma wa kubwa nyie kushibisha matumbo yenu
@brightontibenda2346
2 ай бұрын
Sio KWELI! Hasars Ni kubwa kuliko faida!
@iluminatasagalani6791
4 ай бұрын
Acha uongo
@user-zt6re1dr5f
4 ай бұрын
Hakuna sbb ya kuendelea na sheria ambayo watu wanaumia
@estheronesmo1717
6 ай бұрын
Kikokotoo hakitakiwi kabisa kifutwe kabisa
@mgosimkome9242
5 ай бұрын
Naomba wabunge mmfute kigezo cha umri kwenye ajira mwisho wa kuajiriwa miaka 45 Kama ilivyokuwa hapo awali na sio hii mwisho miaka 29 ,je baada ya hapo kwa hiyo mtu aliesoma akae nyumbani tu. Tunaiomba serikali kupitia Bunge letu
@gellangi9694
5 ай бұрын
Waziri ndiye hana Elimu, tunataka mafao yetu either>50-100%.Hatukitaki wapigeni Wabunge.Waziri tupe taarifa ya utafiti wako.
@user-jc8vt7ct9t
4 ай бұрын
Off point
@shamtenyambega2944
5 ай бұрын
HAWA TUWASUBIRIE KWENYE SANDUKU LA KURA
@monicamwita7865
4 ай бұрын
Muongo mpaka shetani anashangaa
@harunamtiko117
6 ай бұрын
Elimu kampe baba ako.
@user-ce3tx7mr8v
4 ай бұрын
Huyu KATAMBI ALIJIFUNZA HESABU KUNYONGA WATU SIO BINADAMU,BINADAMU HAPA NI GAMBO PEKEE YAKE
@gellangi9694
5 ай бұрын
Hatutaki Kikokotoo Cha kutunyonya.Maboresho gani yanayopunguza nitakachopokea?Hiyo elimu wapewe wenza wa Watawala.
Hii inawafaa we nye mishahara mikubwa sio mishahara midogo inatakiwa muse na asilimia mfano hamsini na Hiyo thelathini na tatu
@user-zt6re1dr5f
8 ай бұрын
Kikokotoo KIFUTWE MLISHIRIKIShA MTUMISHI GANI WA CHINI?hakitakiw
@shamtenyambega2944
Жыл бұрын
HATA sisi wa kampuni binafsi,tunateseka kuwa WATUMWA kwa waajiri kwa kutokutupatia MICHANGO yetu mkataba UKIISHA. NASHAURI, TUPEWE MICHANGO YETU mkataba ukisha kuliko kusubiria hadi TUZEEKE ,wakati unaisha mkataba tukiwa na mika 35.
@tobiaskigodi3780
10 ай бұрын
Hujui hata unachochangi,hakuna hui kitu
@BernardMwakipesile-nq5ze
Жыл бұрын
Mbona waziri hueleweki
@shamtenyambega2944
5 ай бұрын
IVI WABUNGE WAMEPATA WAPI HAKI YA KUTUSEMEA SISI WAKATI WAO HAWAINGII KWENYE HICHO KIKOKOTOO??? HUYO MSEMAJI ANAONGELEA FAIDA , HAONGELEE mimi ninaechangia pesa KWA MFUKO????
@josephmchila6467
8 ай бұрын
Jamani,kwani maoni ya watumishi hamyaoni? Hakuna comment hata moja inayounga mkono kikokotoo, Hawa TUKTA wanaosema waliwashirikisha wafanyakazi, ni uwongo mtupu. Tunakupongeza Mama umeshasikia kilio Cha wafanyakazi umeahidi kushughulikia suala hili la kikokotoo, inaumiza wafanyakazi kwa kiwango ambacho hata huyo naibu waziri anajibu hivyo kwasababu yeye hakimgusi. Kirejeshwe Cha mwanzo please!
@linuskyando4155
8 ай бұрын
ELIMU YA KIJINGA HAIWEZI KUPOKELEWA KIJINGA
@goodnessmndeme198
11 ай бұрын
Hatutaki elimu mimi ni mwalimu mtarajiwa huo utafiti mmefanya kwa nani wabunge wetu wana haki ya kututetea ,hatuna haja ya elimu futeni kikokotoo
@user-vl5tz6xt2m
5 ай бұрын
Wee Acha watu wanalalamika hakuna aliekubaliana na kikokotoo hikisuala sio elimu ,watu wanapunjwa mtu anatakiwa kupata million 160 anapewa million 47
@user-ew4be3us9c
Жыл бұрын
Ahela simbali
@user-zt6re1dr5f
8 ай бұрын
Hatukitaki kabisaa
@martinegeorge4696
Жыл бұрын
Hatutaki kikokotoo
@user-bx3em9jc6m
Жыл бұрын
Nan anataka elimu?wew unajibu kama kichaa miaka 30 malip mil 16!pesa mmeiba
Huyu kijana hajajibu swali LA nyongeza anajibu lake anavyofikiri
@GeraldinaGerard-xy6pl
4 ай бұрын
Kwanini muwaamulie watumishi? Wapeni nafasi ili muone ni akina nani wanakubaliana na kikotoo hicho kwa kupiga kura
@BernardMwakipesile-nq5ze
Жыл бұрын
Tupo Sana acha uongo
@goodnessmndeme198
11 ай бұрын
Kikokotoo hatutaki tupeni pesa yetu habari ya kutuwekea haina maana .tunataka chetu
@user-ce3tx7mr8v
4 ай бұрын
TUCTA INGEFUTWA TU,HAINA MSAADA KAMA KITAMBI WOTE HAWAJUI HESABU HAWAELEWEKI KAMA NI MNYAMA AU NDEGE NI POPO TU
@BernardMwakipesile-nq5ze
Жыл бұрын
Dhuluma tupu nchi hii
@shamtenyambega2944
Жыл бұрын
Hawa ni wabinafsi,huyo mwenyewe anaezungumza haiingii kwenye hicho KIKOKOTOO?
@shamtenyambega2944
Жыл бұрын
IVI WABUNGE sio WATUMISHI?
@shamtenyambega2944
5 ай бұрын
AACHE UNAFIKI, NI KWELI ILA KIHESABU UMEPUNGUZA KWANI ZAMANI ILIKUWA inagawanywa na 540 sio 580 kama sasa, na ilikuwa inazidishwa kwa 15.5 sasa inazidishwa na 12.5 hivyo majibu YANAKUWA jawwbu ni dogo sana
@andrewmasele1963
Жыл бұрын
Rekebisheni kanuni ya kikokotoo yaani Formular haijakaa vizuri ondoeni baadhi ya tarakimu kwenye kanuni ya malipo ya mkupuo, mfano, ondoa 580 iwe 540, ondoeni 12 iwe 15 na ondoeni 33% iwe 50% na malipo ya mwezi ondoeni 67% iwe 50%, mkirekebisha hayo hamtasikia kelele, Vinginevyo mtatukuta kwenye uchaguzi labda muibe kura kama kawaida yenu.
@harunamtiko117
6 ай бұрын
😅😅😅😅 ndo muache kusaidia wizi wa kura mana walimu ndo mnaongoza kusaidia wizi wa kura.
@gellangi9694
5 ай бұрын
Hatuibiwi Kura na Kikokotoo kinaenda kuwaangusha CCM wapende wasipende Waalimu si ndiyo wasimamizi wa vituo vya kupigia Kura?Tusilaumiane.
@user-ce3tx7mr8v
4 ай бұрын
HUYU jamaa Hana maaana anadhani watumishi hawajui hesabu,loss ya SERIKALI inahamia KWA watumishi?
@emilianchibinda82
Жыл бұрын
Huyu waziri hana majibu kwanza walikuwa wanapingapinga si alikuwa chadema?
@martinegeorge4696
Жыл бұрын
Hatuhitaji utafiti
@hadijakindopa8518
Жыл бұрын
Hatutaki mbona mnalazimisha
@stellacosmacy4785
10 ай бұрын
Mungu yupo mungu yupo,mtahukumiwa nyiyee,hiyo dhambii
@stellacosmacy4785
10 ай бұрын
Hakuna semina, Ripeni pesa za watu
@goodnessmndeme198
11 ай бұрын
Hivi ndugu zetu nyie wabunge mna kikokotoo? ,tunataka asilimia 50 suala la elimu hatutaki ,hivi pesa yetu mnaipangia walimu mnatutesa na pesa yetu
@user-gz5fp9pt4h
3 ай бұрын
NCHI ZA WENZETU WASTAAFU WANAWEKEWA MAZINGIRA MAZURI NA KUTETEMEKEWA LAKINI NCHI YETU INAFUKARISHA WATU SHAME UPON YOU
@user-du6fx8ke8i
Жыл бұрын
Hatutaki kikokotoo huo ndio ukweli. Hakuna elimu ya aina yoyote ya kumgandamiza mtumishi
Пікірлер: 57