Velina Mboya ni mwajiliwa serikalini ( mkaguzi ) lakini amejikita katika ufugaji wa Kuku wa mayai ambao unamsaidia kuongeza kipato cha familia, kwa maelezo zaidi wasiliana naye kwa namba 0784 204 042.
Je unaswali, au unahitaji kuunganishwa na watalamu wa kilimo, mazingira, maliasili na utalii? KIJANI CONSULT itakuunganisha nao, unachotakiwa kufanya ni kulipia sh. 1000 tu kupitia TIGO LIPA NAMBA 22922127, kisha tuma ujumbe au piga simu kwenye namba ya 0655753023, kueleza hitaji lako, NASI TUTAKUHUDUMIA.
Негізгі бет Fahamu njia muhimu za ufugaji kuku wa mayai
Пікірлер