Anasema baada kumuona rafiki yake akifanya kilimo cha umwagiliaji, naye akaingia kichwa kichwa bila ya kupata ushauri wa kitaalam na matokeo yake kaambulia hasara, lakini hakukata tamaa katika kilimo kwa sasa anaona matunda yake.
Je unaswali, au unahitaji kuunganishwa na watalamu wa kilimo, mazingira, maliasili na utalii? KIJANI CONSULT itakuunganisha nao, unachotakiwa kufanya ni kulipia sh. 1000 tu kupitia TIGO LIPA NAMBA 22922127, kisha tuma ujumbe au piga simu kwenye namba ya 0655753023, kueleza hitaji lako, NASI TUTAKUHUDUMIA.
Негізгі бет Mtazame mwanamke jasiri ambaye ameamua kujikita katika kilimo cha kisasa
Пікірлер: 3