Hongera sana kwa kusimama imara katika wokovu, waliokupiga vita siyo wakristo ni wapagani.
@matendo238
amen amen. BWANA YESU akubariki sana dada Doris. unatutia moyo sana sisi wanawake kwa safari ya wokovu
@ShukuruDaudi-ue6in
21 күн бұрын
Amen 🙏🏼 🙏🏼 MUNGU akubariki
@julianawanjala6495
Amen ubarikiwe sanaa dada Dorice Mrema kwa ushuhuda mzuri Bwana wetu Yesu Kristo akubariki
@Judy37307
Amen barikiwa mtumishi na mjakazi dorice, mna njenga kiroho, mubarikiwe
@Shalom2018
Amina Mungu ni Mwema,sifa na utukufu ni kwa Bwana Yesu Kristo, ubarikiwe dada Doris
@InjiliyaUfalmetv
Hata Mimi Nilikuwaga nalia nasema mbona Mimi Mungu hunijazi Roho wako ,Yaan nalia namwambia Mungu au Mimi ushanitupa kabisa ? Ila siku ambayo haina jina Nilijazwa
@AmisiShukuru
14 күн бұрын
Aimeeee
@EstherJ2024
Halleluyah,Bwana apewe sifa
@failaprince9250
Amina amina uparikiwe sana mtumishi usijali namaneno yawatu Songz mbele tu
@jowarialphonse-wn2yz
Amen mjakazi wa Bwana wetu Yesu ubarikiwe. Alelluya Amen
@user-fx4gf5yw9w
Amen Amen mtumish wa MUNGU
@user-bo2ol7bh2r
Amen Amen USHUHUDA wanguvu asanti BWANA kwa kubadilisha MJAKAZI WAKO
@asminmakoha6889
Amen
@user-vz2mu8ze9u
Ameen
@InjiliyaUfalmetv
Amen Amen YESU KRISTO ametubadilisha wengi Tunamtukuza Halleluya
Пікірлер: 46