Amen nikweli MUNGU akubariki mtumishi wa YESU KRISTO wanazareth
@MabelKaaya-hl2je
2 ай бұрын
VERY GOOD MESSAGE EVER FOR THE GLORY OF GOD ALMIGHTY. HALLELUJAH. BLESSINGS TO YOU SERVANT OF THE LORD. VERY POWERFUL AND ENCOURAGING.
@margaretnekesa2019
2 ай бұрын
Neikwlle. .baba
@waleedbahar5275
2 ай бұрын
Amina ubarikiwe Sana mtumishi Kwa ushauri mwema
@Annsikoboy-ut8bs
Ай бұрын
Vyema kabisa, mtumishi
@phaniceariviza4399
2 ай бұрын
Mtumishi hakika Mungu amekutumia katika hili
@JENNIFERKAJUNI
2 ай бұрын
Amina sana
@catherineangaufoo2530
2 ай бұрын
Amen mtumishi.. mwenye sikio na asikie. Manake watumishi wa Mungu nao wanapigana mwilini.
@emmanuelkasumawasingya8031
2 ай бұрын
Asante sana kwa mafundisho ❤
@marymusa8136
2 ай бұрын
Amina
@EstherChadi-xe7se
2 ай бұрын
Amen Amen
@ambokilegwakisa3526
2 ай бұрын
Asante kwa ujumbe nimejifunza kitu.
@jowarialphonse-wn2yz
2 ай бұрын
Amen Mungu akubariki
@JUMAMwambeule
2 ай бұрын
Amina mtumishi na mwalimu Mankemzi.
@priscillahpolepole8427
2 ай бұрын
Umenena vyema Mtumishi wa BWANA.
@Visionofeagle9689
2 ай бұрын
Ubarikiwe
@leticiamakoye4871
2 ай бұрын
Mbona wakati peter anasema mlinyamaza mali ya BWANA alipojibu ndo wasemaji wamekuwa wengi? Kwani mlikuwa amusikii MUNGU anaona mioyo yenu ilipolenga. Ila Mali ya BWANA ana haki ya kutuweka sawa washirika wake sisi tunamuelewa .na ambao hawakuwepo chamanzi wanyamamaze
@RehemaMtono
2 ай бұрын
Nikweli kabisa
@Visionofeagle9689
2 ай бұрын
Nazani hupaswi sema haya, tembo wa 2 wanapo pigana majani ndo huumia, kwaiyo msiwe na upande wowote ninyi waombeeni shetani analitafuta kanisa.
@Word649
2 ай бұрын
KAMA ULIVYO ULIZA SWALI KUHUSU UNABII TUNAPIMAJE JIBU YANGU NI TUNAPIMA NA MAANDIKO UNABII UKIENDA KINYUME NA MAANDIKO UYO NI SHETANI . KWA MAANA YESU ALIMJIBU SHETANI KUPITIA MAANDI IYO NIKIWAKILISHI CHA KWANZA AMBACHO YESU KRISTO ALITUACHIA. YOHANA 8:51 Amin, amin, nawaambia, Mtu akilishika neno langu, hataona mauti milele. KIBAYA CHAO MTU AKITOWA UNABII HAWAANGALIYI KWAMBA UMEHENDANA NA MAANA .
@Word649
2 ай бұрын
NIMEJIBU SWALI LA KWANZA.
@MabelKaaya-hl2je
2 ай бұрын
Halleluya
@nancykimaru8
2 ай бұрын
Kuna wengine hawaonyeki ata ukiwaonya ni bule,tena kuna uchungu kodoo wakielekezwa jia baya mtumishi
@RehemaMtono
2 ай бұрын
MAFUNUO NITATIZO WENGI HATUELEWI MAFUNUO NA NDOTO
@leticiamakoye4871
2 ай бұрын
Lilian mtono chamanzi ulikuwepo .watu waliokosa nauli walipata shida watu wa peter walikiwa hawataki tupewe .na kwa Nini mtume Mali ya BWANA ajibu ndo watu wainuke kusema kwa hhiyo wanamaanisha Nini?
@RehemaMtono
2 ай бұрын
@@leticiamakoye4871 kila mtu aingie magotini kwaaji ya hili jambo napia tuwaombee watumishi wa MUNGU hawa shetani hapendi kazi ya MUNGU isonge mbele
@RehemaMtono
2 ай бұрын
Niuchonganishi mkubwa sana uliotokea hata MUNGU hapendi haya yanayoendelea unaanza kusema tu baada ya ubatizo nilijiona nimesuka rasta sijui nini tutajuaje kuwa wewe kunamlango uliufungua sasa shetani anakutumia? MUNGU atuhurumie sana
@Word649
2 ай бұрын
JE UMEANGALIYA KATIKA MAANDIKO
@RehemaMtono
2 ай бұрын
@@Word649hao walioleta mafunuo hayo wameangalia katika neno? Watu wengine tulitoka nchi za mbali kuja kubatizwa unajua hili jambo limetia ganzi mioyo yawatu wengi sana
@Visionofeagle9689
2 ай бұрын
Nazani hupaswi andika haya, shetani analitafuta kanisa, ninyi waombeeni tu, na, wao ni watumishi wa Mungu, wataelewana tu.
@esterpeter8556
2 ай бұрын
Na wakati tupo pale kwenye mkutano na ubatizo yeye mwenyewe uyo aliposti akasema Mungu amependezwa na amefurahi sana kwaajili ya ubatizo,nayy mwenyewe alioneshwa na Mungu kuwa Mtume Meshack ndie anastahili kum batiza baada ya yeye kuzunguka makanisa yoooote,Aya tayar kabatizwa anasema kanyolewa jamanii khaaaa
@RehemaMtono
2 ай бұрын
@@esterpeter8556 hilo ndo swali ndugu yangu tusiwe wepesi wa kuhukumu watumishi wa MUNGU
@katungubamswekere7796
2 ай бұрын
Nimeku fuata lakini wewe shida yako ni nini? Unaweza kuja kwa mtandao ukielezea jambo ammbalo labda kila mutu hajui kuna nini kati ya watumishi hawa. Tena una dai kwamba watu wasome neno wakati wewe unafanya video ya saa moja athi una leta shauri bila hata verset moja ya bibilia. Je! Huu ni ungwana?
@DOTSConnect
2 ай бұрын
@@katungubamswekere7796 Ni neno gani lililoongelewa ambalo una mashaka nalo kwamba limeenda kinyume na Maandiko, ili ithibitishwe kwa kusoma neno..
@Visionofeagle9689
2 ай бұрын
Hivi katungu unajuwa Nini kimetokea, usi comment Kabla huja uliza na kuskiliza.
Пікірлер: 38