Hongera Chino Kidd, umefanya vizuri sana pia. Kupitia Fid Q, utajifunza vitu vingi sana. Mtumie ipasavyo. Endeleeni kutuletea mziki mzuri. Ahsante.
@sosomokobiasharamgaya3020
Жыл бұрын
AmaHipHop Big up kilichobaki ni kwenda na soko linataka nn chino wana man#Achana na Fid wa zamani mzingatie huyu wa sasa let' Go
@novertsirgent8564
Жыл бұрын
tshamzingatia wa sasa atuna namna kaka wana man😀
@sosomokobiasharamgaya3020
Жыл бұрын
@@novertsirgent8564 enjoy Bro
@lampadshigonko3006
Жыл бұрын
aiseee... big creativity
@Namwai_media
Жыл бұрын
Chino wan man ....eweee💥💥🔥🔥🔥
@lenny_DMA
Жыл бұрын
Oyah weeh,nimechelewa sawa ila mnipe tu likes bn😢🔥🔥🔥 Hili goma ni🔥🔥🔥💐🚀🚀
@BarakaAlexMalezi-ym4vj
Жыл бұрын
Haya mapenzi bora niyaongeze kwa yesu kesho niend mbinguni💥💥💥💥
@RamadanPaul
Жыл бұрын
Ngosha wanama,, kitaan now ni vurugu kwa hili piano
@JEANS-y4k
6 ай бұрын
Kama unasikiliza hii ngoma mwaka huu 2024 like hapa❤❤❤
@passuavenancy988
Жыл бұрын
Fid qnakubal Sana mzeeee pga ngma Kama vile huerewiii ❤❤❤❤❤❤
@kilulumtunyungu9369
Жыл бұрын
Duuu hii fid umetisha hii inaitwa rapiano
@onestartz
Жыл бұрын
Kwa mara nyingine teena😂😂😂🙌🙌 NGOSHA WANA MAN ft CHINO WANA MANA🎉🎉
@HassanMtalika-mw2xz
Жыл бұрын
Ngomaaaa hiii umeuwa sana @fidq💥
@Muba-Gucci-TV
Жыл бұрын
Bora nishi mbali mbali eeeeh tusijuane nimechoka bora nishi mbali mbali eeeeh nimechoka❤❤
@lusetheshadow2821
Жыл бұрын
Oyaaaa hilo dude kaliiiiii
@abubakarizuberi7165
Жыл бұрын
Uyu chino yupo serious bhana🤑
@ArafatiZinu-gi8qv
Жыл бұрын
Ngosha Wana man🔥🔥
@benjaminbenedicto5218
Жыл бұрын
Hii sawa Mzee.....imeenda hii
@BarakaKulindwa
Жыл бұрын
One love Sana wanetu hamtmii ngvu japo so pw najua mnatmia ubnifu mkbwa na akili nyng
@directordeemer4810
Жыл бұрын
yakwanza imegoma at least hii inaweza penya kdg 😅😅😅😅😅😅 Natania bhn zote kali 🙌🙌🙌🙌
@emmanuelghuliku5080
11 ай бұрын
Goma Hili lisikilize bar ndo utalielewa vizur yaaan ni 🔥🔥🔥
@juliuskalawa7860
Жыл бұрын
Kali sana good and unique idea
@eclatsadam95
Жыл бұрын
Huu moto nani anaweza kufuataa,,, 🔥🔥🔥🔥
@casmirymusic
Жыл бұрын
Ngosha wana man🙏🙏🙏🔥🔥
@frankpablo8256
Жыл бұрын
Mhmhmh kama naona vile jinsi itakavyotrend hii Ngoma dadeki 😍😍😍🥰 Respect saana wanangu mmetisha 🥰🥰😊
@elijahap7871
Жыл бұрын
Farid Kubanda💯💪 Kama unamkubali gonga like hapa
@sanaanimaisha4072
Жыл бұрын
Huwa nasema Fid Q hajawahi kubahatisha. Profesa wa ghetto ni hardcore rapper. Best flow.... Huo ni mstari wa kwanza kwenye wimbo wake "ujio".
@yusuphomary5462
Жыл бұрын
Big up ngosha ngoma kaliiiiii snaaaa
@yunusabeid74
Жыл бұрын
Uyu dogo kashatoboa 🤝
@nevillekalinganevo_2512
Жыл бұрын
bonge la track master!!! bonge la video
@Mbunatv
Жыл бұрын
Ngosha amapiano ndo mziki utakaomlipa kuliko ngoma zake zotee
@SayyedIssa-fj9jn
6 ай бұрын
Fid anapotea mwana .. Mashabiki wake tunataka ngumu za hip hop
@nurulwimo6947
Жыл бұрын
Fid mnyama, genius!!!😅😅😅😅umeuaaa
@realsam2017
Жыл бұрын
Fid q hujawah niangusha rapper wangu salute kwako
@williamlugwisha420
Жыл бұрын
kali mnoo
@samirmswahili
Жыл бұрын
Ngosha wana man noma sana
@mpegwamakama7331
5 ай бұрын
very nice work kila saa nasikiliza hii ngoma its cool
@mrsinia3064
Жыл бұрын
Miondoko kama hii anaiwezea Ngosha wana man peke yake emu gonga like za kutosha hapa kama nawew umeikubar....🔥🔥🔥
@winepreneur7329
Жыл бұрын
Sana tuu Fid,unajua sannaaaa
@ObediMeck-bc7sq
Жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌🙌ngoja n nomaaaaa
@Tztechhub
Жыл бұрын
Ngoma kali kinyama 🔥
@abubakarkhamishaji2849
Жыл бұрын
Ngoma hiii umeiweza tofauti na Ile ilopitaa🎉🎉🎉
@jongelastudio8259
Жыл бұрын
Bongo hipop big up fidq hujawah ifelisha hipop
@ccilarusha
Ай бұрын
Blessing san ngosha na brother chinno wena man tuna wakubari san wanetu ✍️💯💯
@brunonjawike1722
Жыл бұрын
Mwanangu kabisa kubanda go go go go to the top
@NizraRashid
Жыл бұрын
Ankol Faridi ndio umeamua kutupeleka huku daah basi daaah🙌
@johannesssamsonambogo4125
Жыл бұрын
Bongo HipHop ni FidQ na hakuna mwingine ❤❤🇹🇿🇹🇿
@colirass
Жыл бұрын
Wengine waimba kwaya sio au ndo ushabiki mandanzi🙂
@joshuanyakasi5151
Жыл бұрын
🏌️♂️🎱kashakua mlaini
@sosomokobiasharamgaya3020
Жыл бұрын
Alisema tuachane na yule wa zamani tumzingatie huyu wa sasa huwezi lazimisha kuuza bamia wakati nyanya zinalipa hebu tuwaache watafute mkate wao lakini mkitaka wagumu wapo akina Dizasta Vina😂😂
@Makomando-l8s
Жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/sGZ_p4CQn5edeZg
@mundhirseif7492
Жыл бұрын
@@sosomokobiasharamgaya3020fid Ni Yule Yule tunaoijuwa hip-hop tunajuwa kasimamia misingi kama kawaida,,still hardcore mzee
@shedrackhyera1844
Жыл бұрын
Ngosha kama ngosha Ngoma Kali mzee
@legawayz6093
Жыл бұрын
Fid Q kapita humu duuu!! 👏👏👏👏🔥🔥🔥
@indiaboytz5731
Жыл бұрын
Bora Fidi Karudi alikua amepoa sana
@noelngakuka5821
Жыл бұрын
Chino you kill It💯 Ngosha much respect🔥
@andrewraphael3098
10 ай бұрын
Ngosha Wana man😊
@BIGCHENDREADLOCKS
Жыл бұрын
Ngosha the don wakilisha bongo hipop
@angelotiktok9514
Жыл бұрын
Hii imeenda hii🔥🙌
@jacksoncharles9332
Жыл бұрын
🔥🔥Mzee mbuzi u are a Hiphop Legendary …🫡icho kiitikio chino katisha
@EzzyK438
Жыл бұрын
Goma la kusikiliza mara nyingi zaidi ya doz ya panadol. Big up Ngosha ✊
@MusaSalim-pr4ky
Жыл бұрын
Ngoma Kali sana
@ombenimesso5119
Жыл бұрын
Naqubarii sana fid q brother 💪💪💪
@jumakhaji1620
Жыл бұрын
kazi ya Kwendwa naitwa Juma Haji Babu J nipo Pemba 🎉🎉😂❤😂 ahaaaaa chinoo big up man 😂😂😂❤❤
@magangasaidi468
Жыл бұрын
Ngoma 😂😂😂❤❤❤❤ kali sanaaaaa sanaaaa ngoshaa ulikuwa unachelewa wapi kaka kweli kwa ngoma hiii chino aliki imekuwa sanaaa nakubali wakubwa kaz good
Пікірлер: 742