Jina la wadudu sio waendesha bike wala nini..simpingi kaka ila nawapa historia ya jina wadudu....Jina wadudu lipo tangu miaka shazi manyu limeanzia kwa wale machalii walikuwa wanapakiaga takataka kwenye gari wanapeleka jalala kuu kwa jina la wakati huo kwasasa wanapaita dar au dampo,sasa walikuwa wakipita sinoni miaka iyo hakuna ata lami kuna jalala wakiwa wanapakia taka tuna watania wadudu kutokana na wao kufanya kazi dampo na mataka taka ndo tukawa tunawaida wadudu wa dampo,vikaja vikaibuka vikundi vya wadudu vingi kuna wadudu wa unga na kuna wadudu wa unga wanasaga paka chuma ...ndo kwanzia apo miaka ya 2010 kuendelea sisi tunakua wadudu ikawa fem maana zamani mdu akikuita mdudu ni mnazichapa halikuwa jina zuri kabisa majamaa wenyewe tulikuwa tukiwatania wanakutukana mbaya ...hiyo ndo mwanzo wa jina wadudu kaka
@msafitv5461
22 күн бұрын
leo fido umeongea kikukwa sana from dar sema nakukubali sana🎉🎉
@Worldunite
22 күн бұрын
Daah, huyu.mshikaji ana bonge la Confidence aisee, keep it up bro
@GibsonNtamamilo
22 күн бұрын
Nimeipenda sana hii interview
@peterlyimo6696
22 күн бұрын
Leo Fido katulia sana.
@johnmeshack4431
22 күн бұрын
❤fido upo vizuri sana Big gap
@deusmallya3384
20 күн бұрын
Big up sana👊👊👊👊👊 Rambo umeiheshimisha chuga
@SamwelLaizer-mg5ww
22 күн бұрын
Jina la wadudu ni wanamziki wa maeneo ya engosengiu kwa malaizer ndo wadudu wa dampo
@mkushtz7671
22 күн бұрын
WADUDU WA DAMPO🔥🔥🔥
@cantyurassa3089
22 күн бұрын
yap wadudu dampo ndo ooooog
@SamwelLaizer-mg5ww
21 күн бұрын
Hakika
@obedingilisho
21 күн бұрын
Ndio naanza kukumbuka.. Toka miaka ya 2000 uko
@SamwelLaizer-mg5ww
20 күн бұрын
@@cantyurassa3089 really
@MAILAGUN
22 күн бұрын
Wadudu tunasema Braaaap nakubali sana brodhee fido
@paulomollel7721
22 күн бұрын
Mwamba fido kwanza kulikuwa nawa dampo usiwasahaau
@petercostakisoka
22 күн бұрын
Salute sanaa mwamba
@gideonstanley2155
22 күн бұрын
Twende yukaingalie chuga youtube❤❤❤
@yusuphtwaha8386
22 күн бұрын
Leo.umeongea point
@EvansGodfrey-tj5op
22 күн бұрын
Jamaa anauwezo sana wa kujieleza
@AdamMwava
22 күн бұрын
Fido nakukubali San ❤
@user-sg6ez3cf1f
22 күн бұрын
Broh all the best wonderful ahead crank hip hop music there just take it to another level interm of promote tourist external,That's will nourish your music international
@user-gy5en6cy8o
22 күн бұрын
Dah fido ni mtoto wa chuga namjua tangu yuko mdogo
@SuperdollGuard
22 күн бұрын
Leo nimemuelewa fido sana jamaaa kuna busara anaanza Kuwa nazo tunakitu cha kujifunza kwake
@autoroyaledubai
22 күн бұрын
anaheshim media
@emmahaugusty2383
16 күн бұрын
Me nawajua wadudu Toka 2007-8 wakiwa wanaitwa Wadudu wa Dampo tulikuwa tunavunja kwenye Free stage ya Via Via.....chuga Ina historia kubwa sana.....Hawa machalii wa juzi mengi hawayajui.
@J96_PFT_ACADEMY.
18 күн бұрын
Wadudu og ,wapo dampo na wanatakiwa kupewa heshima yao,, ila wanao trend sio walio anzisha jina wadudu
@goodlucktemu3149
14 күн бұрын
Anafact mno 🤝
@husseinrashid2833
19 күн бұрын
Waoga mnajulikana katika hilo njoeni kiumeni huku🤣🤣
@user-wz5qr5cb2t
15 күн бұрын
7:00 hizo style sio poa😂😂🔥
@raskise7493
21 күн бұрын
Wadudu wa dampo ,,,,,Ankle D,na rasta ,wanajiita wadudu toka nijuane nao kwenye harakati za sanaa 2014,wanajuklikana sana kama wa dudu wa dampo ,,,,,,ingekuwa dar ilo jina lingeleta maneno sana sema majamaa wametulia hawajesema jina lao limetumika
@mbembetyson05
21 күн бұрын
Is necessary Kumeza mate na kufanya Mtaaah mdomoni? But nakubali
@benjaminandrew5265
14 күн бұрын
Mzee wa cordonyo, CO wa wadudu
@barakae.n6418
22 күн бұрын
Nakubali
@SamwelLaizer-mg5ww
20 күн бұрын
Voice of arusha
@GetrudeWilisoni
22 күн бұрын
Mimi wa Kwanza Leo jamani
@shakilamasoud2983
17 күн бұрын
🤣🤣🤣 hapo kwa wanawake sasa🙌
@GREATESTHITSREPLAY
22 күн бұрын
Huyu jamaa kuna media akifanya interview anakuwa smart sana.... Kuna interview alifanya Manara Tv 😂😂😂😂 sema yule prizenta wa Manara alistahili yale
@desolz3809
22 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@fidahusseinkassim9778
22 күн бұрын
Stupid question goes with stupid answer.
@annamussa185
22 күн бұрын
Huyu kaka huwa Mhandsom shida Bangi yani akubali akatauye acha Bangi
@Aiisha901
21 күн бұрын
amekaa kama mu mexico hatari au wale wa huni wa south amerika 😂😂😂😂
@mussaKimaro-cj6ge
21 күн бұрын
😊@@Aiisha901
@Trey2k365days
21 күн бұрын
Nmekukubali aisha😂😂@@Aiisha901
@user-zo1ym2te7r
14 күн бұрын
Uyu ndo king wa chuga
@nakalikyumile3234
20 күн бұрын
Kweli nchi hii ina vilaza,ona kiandunje
@polycarptarimo5141
21 күн бұрын
Fido leo nimemsikiliza kwa mara ya kwanza ila kila nikiona picha zake nilijua ni mmarekani
@mulastar
22 күн бұрын
ila Vato mbona ukifanya mahojiano na Kiswahili Tv unajiachia ila kwa Millard unaweka attention sana.?
@emmanuelmchomvu2676
20 күн бұрын
Buda hujui ayo n brand kubwa mzee
@hamadathuman6939
19 күн бұрын
Uyuu jamaa madin anayo
@mrjohn4446
22 күн бұрын
Hao wadudu wana faida gani kiuchumi
@alexchungu6263
22 күн бұрын
Unajikuta unapenda sana uchumi
@josephjames2504
21 күн бұрын
Uchumi wa nyoko
@paulomollel7721
22 күн бұрын
Wailio anzisha neno wadudu niwale wale jamaa
@warakawayohana2896
22 күн бұрын
Interview kali
@pascalvitalis
22 күн бұрын
Fido anaangalia na media anayofanya nayo interview nd maana hapo katulia😂
@MabatiQualityHQ
22 күн бұрын
😳😳
@nicksonnewton1540
22 күн бұрын
fido leo kaongea saut ipo cool
@paulomollel7721
22 күн бұрын
Hawa madogo wa juzitu
@user-jj9mn2on9s
22 күн бұрын
Hahaha eti aliona demu wa ki Black. Yaan Mama ako unamuita Demu
@Worldunite
21 күн бұрын
😃😃..labda alijisahau, si unajua tena katumia lugha ya kihuni
@janifajani8875
21 күн бұрын
Leo ame tuliaa kawa mtu kweli 😂😂😂😂❤
@user-cq2lt6ho5w
19 күн бұрын
Inaonekana somo la Makonda limeanza kufika
@pwanihabari
22 күн бұрын
Meno machafuuuuuuuu kama anakula Udongo😁😁😁😁 au ndio U gangster😀
@Worldunite
22 күн бұрын
Hapana, wengi wana meno ya aina hiyo ni sbb ya maji aisee
@happynesbaemuhappynes8813
22 күн бұрын
Na baridi pia @@Worldunite
@Worldunite
22 күн бұрын
Huyu jamaa yuko fit alafu anaonekana ameshapambana mno kimaisha
@pwanihabari
22 күн бұрын
Maisha yasiyo rasmi daima haya mwisho mwema, haya maisha ya hawa wapuuzi waitwao wadudu sio maisha rasmi wala sahihi hayana baraka ya dunia wala kutoka kwa Mungu, wanapaswa kubadilika, vyenginevyo watajutia milele
@melanialeonard4031
22 күн бұрын
Acha watumike tu kwanza kuna laana kwenye majina ya hovyo hii ni nchi ya vimbwenga upepo ukishapita hutawasikia tena
@abuubaqr5808
22 күн бұрын
Pelekeni ujinga uko, acheni kuchanganya mambo embu
@ibrahimudamas326
22 күн бұрын
Akili ndogo sana Aibu kwako😅
@rendemickey9318
22 күн бұрын
Watu kama nyie ndo hamfai kabisa mnajitia watakatufu kumbe wachafu
@user-ck7fv1ge7d
22 күн бұрын
Mshamba uyo angalia maisha yako aloo
@reganimushi8062
22 күн бұрын
Kaka mkubwa kumbe Muhindi
@EvansGodfrey-tj5op
22 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@Worldunite
22 күн бұрын
Muhindi mixer na mrangi😂😂😂 Mhindi pori huyo lkn yuko tofauti na wadosi wa kawaida
@AlvinKhim-lc1jo
21 күн бұрын
amewazidi wadosi😂
@elbaricktv1632
20 күн бұрын
Kumbe fido ni mrangi wa kondoa?
@FadhilNtoga
19 күн бұрын
12345😂😂😂😂😂😂😂
@TellaaxisTz
18 күн бұрын
😂😂
@GetrudeWilisoni
22 күн бұрын
3:33 3:36 3:37
@MariamMgaya-bs4pw
18 күн бұрын
Hogera mtoto wetu rangi yetu hiyo kondoa
@Az__2012
22 күн бұрын
Kumbe unajifanya gangster na ni mdosi🤣
@Worldunite
22 күн бұрын
Gangster ni lifestyle ya mtu na mdosi ni kabila
@Worldunite
22 күн бұрын
Aweza kuwa mdosi lkn makuzi yake yakawa tofauti na yakawa ya ki-gangster
@Az__2012
22 күн бұрын
Wachaa kutetea,,, ukishakua na damu ya kidosi tu anakua muogaa muogaa au snitch
@Maxpaul-oi8pw
22 күн бұрын
@@Az__2012 uyu anakataa usnitch sasa
@user-if9mg6ou7r
21 күн бұрын
Real gangster hatizami rangi wala kabila wala nchi acha kubagua magengster wote peponi
@paulomollel7721
22 күн бұрын
Walemacha li unawajuwa vyema and kawadudu wa dampo
Пікірлер: 99