Bora umeona Hilo u reality haupo tunapigwa parefu na wakorea because kwanza support ipo kubwa rising star Kila siku wanaonekan kwny industry ya Korea si hapa nyumban mbaka kero sometimes kuchek movie za bongo
@RAHY_MOON
2 күн бұрын
Mi naunga mkono kuhusu hii Jambo tusiseme au kudai kuwa ni mfano hii nikweli mamlaka husika uko juu ifanye Mambo taifa lijulikane❤❤❤
@GucciJackson-sw6pg
Күн бұрын
Wabongo kwenye mambo ya movie tubaki kama mashabiki tu
@benjo_brighter
2 күн бұрын
Fikra pana mkuu 🙌
@abdulyabdunuru1476
Күн бұрын
Kenya tu wenzetu wapo mbele kwenye hilo
@sura_Artist
2 күн бұрын
Umetisha kak
@hanspopo3066
2 күн бұрын
Dah since unaanza nakufwatilia sna
@Omix_production
Күн бұрын
Mawazo yetu yanafanan nilishawahi kuwaz hvi bro ila sikuwahi kuwaza km kuna mtu ataongelea hilo jambo kiukwel upo sahihi tasnia ipewe hii nafasi
@yusuphnewton.
2 күн бұрын
Suala la mazingira yanayoonekana kwenye movir sio yote no real yanatengenezwa baadhi sisi tu hatuna uchumi mzuri utao-push movie ziwafikie hao wenzetu tutengeneze tu drama nzuri story kali baasi
@glassguychaneltz2553
2 күн бұрын
me nawaza makubwa sana kuhusu movie serikali haielewi tu
@yusuphnewton.
2 күн бұрын
Videos nyingi za Snash huwa sioni Ads bro hau monetize au hutak maokoto au mm ndio sielewi😂
@DJDAVIDMOVIES
2 күн бұрын
Mi nakutana nazo ila unachotakiwa kujua kuhusu google ads nikwamba Huwa wanaweka matangazo kutokana na watangazaji walioko kwenye location yako mfano Tanzania matangazo mwengi unayoyaona ni ya mikopo sababu watangazaji wengi bongo ni mkopo, lakini ukitumia vpn bas utaweza kuona matangazo tofauti na mikopo pia matangazo ya katikati ya video unaona matangazo
@yusuphnewton.
2 күн бұрын
@@DJDAVIDMOVIES Sawa mtaalam
@gdence9747
14 сағат бұрын
Shida n moja tu storyline Kunamuv za bajet za chini na zinaingiza hela ndefu Muv nying zenye story mbaya n zimefel,muv kama antman, flash na zilikua na bajet nzuri shida n story Juzi nmeona muv ya kibongo ya eonii ilikua na bajet nzur ila kiukwel story haielewek kabs Nenda katafute muv kama andhadhun ilikua na bajet ndogo sana ila imeingiza pesa ndefu sababu ya story huwez pata mafanikio yoyot kweny muv bila story Makampuni makubwa tu kuna muv zinafeli sababu ya story na walikua wana access ya kila kitu madaraja,hela,jeshi na zinakua flop nenda tafuta muv kama stree hata bongo tunaweza igiza muv kama ile bajet ya kawaida kabs ila story ndo zinafany muv kuwa ATB
@Johndestar470
2 күн бұрын
Kaka Snash umetoa Ushauri Mzuri sn kuhusu Tasnia yetu ya Filamu 🎬 Japo Ushauri huu umfikie Mama Samia lakini,,, Bodi ya Filamu🎬 ndio Wamepewa dhamana huu kuzungumza na Serikali ili waanze kuufanyia Utaratibu huu ✍️
@fivi06
2 күн бұрын
Tuna shukuru kwa elimu ila ninacho fahamu ni kuwa wenzetu sasa hivi hawa igizi kwenye actual location hiyo Tanzanite ita fungwa mara ngapi..? Filamu ni Nyingi sana...! Wenzetu wanacho fanya wana tengeneza settings za location mfano mpvie ya titanic ime chezwa tu kwenye swimming pool lakin pia sasa hiv kuna technologia ya CGI.. So kikubwa ni kujifunza, kuongeza ujuzi na kutumia techinologia ya kisasa coz huwezi enda muhimbili kuigiza wakati kuna wagonjwa wana taka kutibiwa alafu wakuache wewe ufanye uigizaji....😬
@catalyst07
2 күн бұрын
Big up valuable comment...lakini izo CGI zinaanza na idea na sio full movie unaweza kutengeneza tu kwa computer pekeake, bado kuna vitu na locations zitatakiwa kuhusika ili kuweza kuleta kitu kizuri, chenye ladha na chenye mvuto💪🏼
@amzamuamede6156
2 күн бұрын
Big elephant 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@Billystewart999
2 күн бұрын
FINDE ANOTHER WORK
@fallykhan2383
2 күн бұрын
Bro hiy ndy kitu me nafikilia lakin kwa hapa tz bd sana. Kuna story unaifikilia kichwan lakin mamlaka hairuhusu mwisho wa siku tunaishia kuigiza za kichawi tu.
@Billystewart999
2 күн бұрын
WE DON'T NEED THE SEASON
@techbossbernardo2093
2 күн бұрын
Kuna another trailer ya Venom Subscriber wako tusaidie review. Movie kikorea ni nzr sana ila tatizo mimi kuziangalia ni moja tu wakorea wanafanana sura. Sana mimi kuwa tofautisha siwezi kbx yani kwangu imekua tatizo sijui watu wengine wanawezaje 😂😂😂
@mnyaturu_only
2 күн бұрын
Ipi tofauti kati ya series na single movie snash naomba jibu
@Don.26Alien
2 күн бұрын
We unajuaje..??
@Don.26Alien
2 күн бұрын
Series ni ndef.. ina Epsodes.... lkn singo... no moja story inaisha.. ingaw inawez kua na party
@voicdesition897
2 күн бұрын
Snash ee mi kwa mtazamo wangu naona umewaza vyema ila sasa ushawahi kufikilia tanzania kama bado hatuna platform nzur ya kuuza movie zetu kiasi cha kutufanya tuwaze bajet kubwa coz kufunga tazanait hata nusu saa tu unaeza kuta unapoteza kiasi kikubwa sana cha pato la taifa je wao wenye tasnia yao watuambie kama wataaford hiyp price
@mwasavevo
Күн бұрын
Hii nalo ni swali zuri
@mwasavevo
Күн бұрын
Soko ni shida sana
@pollo_tv4514
2 күн бұрын
Brooh samahani nipo nje ya mada.. Hivi huwei zinapatikaje
@snashtz
2 күн бұрын
Sijakuelewa
@pollo_tv4514
Күн бұрын
@@snashtz nasema hivi kama mimi kama napenda sana.. Kutumia huweil lakini upatikanaji Tanzania mgumu unaweza nisaidia
Пікірлер: 32