Ndugu Mosses Raymond Samora, nimefurahia sana somo lako hasa kuhusu maana ya KUJITAMBUA. Kwa mujibu wa maelezo yako, sasa nimeweza kutambua chanzo cha MIGOGORO MINGI katika familia, jamii na mtu mmojammoja ni KUTOJITAMBUA. Asante kwa ufafanuzi unaoeleweka na sahihi. Ubarikiwe sana.
@farajaambakisye8292
Жыл бұрын
Nashukuru sana madam Irine kwa huduma yako bora sana katika channel hii ya kutuletea wataalamu bora sana. Kuna mtaalamu wa mauzo anaitwa MC KATONGO nitafurahi ukimtafuta
@Udindigwa
Жыл бұрын
Ujumbe Mzuri SANA Mungu Asimame Nanyi Mzidi Kutujenga Mnamchango Mkubwa SANA Tanzania na hata Dunia Nzima YANI
@denisernest1147
Жыл бұрын
My real brother samora
@irenemushi2635
Жыл бұрын
Asante sana Dad Reen ...i hav been listening hiz podcast zako natamani hata vijana wengine wote wangekua wanasikiliza its so working and am glad my lovely frnd sent me link yako. Mungu akubariki sana
@evnctmb1824
Жыл бұрын
Uyu jamaa hana chanel yake , Bro Mosses upo vizuri sana
@alicegyunda8053
Жыл бұрын
Do mi natafutwa sana kutoa ushauri kumbe najitambua❤🌷
@Mpakauseme
Жыл бұрын
😅 Na mimi pia nakuomba huwe unanipa ushauri
@monicadamiani8493
Жыл бұрын
@@Mpakauseme 😂😂😂Mimi pia
@EliudEugne
Жыл бұрын
Nimemuelewa sana huyu Mtaalam & Big up maybe tutamuona kwenye topic nyingine. Kama Mungu akipenda.😊
@noorrajpar3928
Жыл бұрын
Kweli yani kubali tu watu wanaoishi pamoja wakawezana lazima kunavitu wanaendana yani wanafanana
@emmanuelmnyongo
Жыл бұрын
I love this one thanks much Dada Irene
@ashaidd2912
Жыл бұрын
Mlete Tena yupo vzr sana keep going irene
@irenekamugisha
Жыл бұрын
Thanks
@ramadmikina1014
Жыл бұрын
Ahsante Nmekupata sana mkuu
@leilaassey1726
Жыл бұрын
Jamaa kama sio mangi sidhani ila ameweza sana mlete tena bhana tena mpitishe kwenye ujasiriamali atatusaidia sana
Пікірлер: 26