Mbona me napenda sana lakin mwanamke tofauti na mwanamke wangu naona kinyaa naona kama anakuwa mchafu hv mana nimemzoea mke wangu msafi sanaa na napenda sana kumfulia nguo zake za ndani yani nazipenda sana ila kulala na mwanmke mwingine yani kwanza nakosa amani afu nakuwa na stress so muda mwingi nakuwa namke wangu tu now tuna miaka mitatu
@mariamabdulazizi7987
Жыл бұрын
Asante Sana kwa kipindi hiki, mm ningependa kushauria sababu naona Leo aneningusa Sana tu, kwanza nililelewa na single parent ambaye ni mama Kisha nikaja nikaolewa na mume ambae alininyanyasa vibaya Sana nitasema I have sexaul trauma coz sahi naongopa Sana uolewa Tena napia kwa hivi Sasa nalea watoto wangu mwenyewe nahofia wanangu Kuja kupitia the somethings nimepitia n, nifanye nini ili nilee wanangu kwa malezi yalio bora?
@aminanamoyo83
Жыл бұрын
Thanks kwa kumrudisha,anaweza rudi tena na tena ikikupendeza 😉🇨🇭🇹🇿❤
@user-xm4gs9gk9v
Жыл бұрын
Nashukuru kwa masomo mazuri tunaomba mtuleteee masomo namna ya kuishi mume au mke aliyepoteza wazazi wote.
@kutailass6671
Жыл бұрын
Kuna tabia zinyingine kutoka Kwa wanaume yaan ukiingia Nae Kwenye mahusiano hupenda sana kutumiwa Picha Za uch na Unakuta Kweli Mwanamke anania YA kuolewa na hapend kujidhalilisha Sasa inapotokea kumnyima Picha hizo mnagombana NA inafikia kuachana Sasa hii nayo imekua tatizo Kwa Upande Wa Wanawake Jamani hii nayo tutasovu vipi hili tatizo? ningeomba usaidiz Wa hili, Maana nitatizo sana
@hellenmwasalwiba6555
Жыл бұрын
Hao wanaume wa kukulisha, kukuvisha wako wapi? Kwenye Chumi zetu hizi za Africa wanaume wana-struggle na kutoboa ni ngumu sana je swala hili sijui unalichukuliaje. Hapo ndo mmependana na mmeoana. Huko makanisani ndo wamejaa wasio na kazi wala biashara, na wakifika umri wa kuoa ndo hao wanatia tabu tupu cause hawa kipato cha kutunza familia. Utakuta binti kabla hajaolewa alikuwa vizuri sana wakati yupo kwa wazazi wake, akiolewa tu anaanza kuchujuka.
@adamdaudi6191
Жыл бұрын
Mwanamke kazi yake ni nyumbani, full stop!, hayo mengine hayawahusu!, ni vile tu hali ya uchumi imekuwa ngumu!.
@gaddafimohd4129
Жыл бұрын
👋👋👋 Ndio tunazidi kusoma day by day.
@jamilaathumani5481
Жыл бұрын
Ngoja nifanye hitimisho,,,kama mwanamke anakila kitu kikubwa akiwa na dini na hofu ya mungu bila shaka atakupa nafasi yako kama mwanaume
@norahmajaliwa3841
Wanaume walee watoto wanaowazaa
@superstuwart2434
Жыл бұрын
Imagine mwanaume mmoja anasema matwaka ya wanaume wote wa duniani. Ni hatari sana. Swala la ngono ni hisia za mtu anaweza asipende ngono na pia akawa sio mume sahihi na akapenda ngono akawa mume sahihi na pia anaweza akawa kwa namna anayosema. Ndoa haina fundi kamwe. Tunawajua watu makahaba na wana miaka 20 ya ndoa saivi na tunawajua watu wema na hawakuweza kukaa hata miezi miwili kwenye ndoa. Mfano mzuri billy gates ndoa imemshinda ila amber rutty bado yupo kwenye ndoa. Ndoa ni mtihani mkubwa sana na hauna fundi kabisa
@John-vn4pp
Жыл бұрын
Kuanzia
@puremagic633
Жыл бұрын
Nimekuta maswali yangu yamejibiwa vizuri na Pastor Sikambi tena ni maswali ambayo yalikuwa yananitatiza kwa muda mrefu sana asante Dada Irene kwa kutuwakilisha vizuri kupitia maswali 🙏🏾🙏🏾
@babyhamisi1437
Жыл бұрын
Wapo wanaume ukiwasaidia wanajua kuregesha wema kwa kweli, yaani sio wote
@azizakombo376
Жыл бұрын
Yaan kka nikupe hongera mashallah mashallh uko vizuri kila swali upo sahhi
@humairamajengo6616
Жыл бұрын
Asante sana dr nimejifunza mm pia muhanga ktk hilo
@mercykabuu2411
Жыл бұрын
Mawaidha mazuri kweli@🇺🇸🇰🇪🇰🇪🇰🇪💘❤️
@northerntanzaniatv4033
Жыл бұрын
Thanks Irene for your content
@sharifamohammed9955
Жыл бұрын
Please elaborate more kuhusu wanaume waliolelewa na mama zao tu. Nineipenda hio topic. I have a guy who is been raised by a single mother, I do really wanna know him in deep.
@simonpeterz9179
Жыл бұрын
Shukrani mchungagi je swali langu ni ivi ikiwa mwanaume alikau na kanzi akaja kaipoteza. Sasa Hana uwenzo waku mdu jamii ni vimbaya kusaidiwa na mke wee
Пікірлер: 164