Tulikimisi sana hiki kipindi, thanks for back again dada Kamugisha
@tumainichanya3268
11 ай бұрын
Aisee da Iren mi comment yangu utaipata hapa hapa Kwa kila kipindi mi huko kwingine siko nipo hapa tu na napapenda Sana na napenda kila nikuonapo na wakufunzi unaotuletea Mungu akubariki sana
@irenekamugisha
11 ай бұрын
🙏🙏
@charlesokumu2363
11 ай бұрын
Dah hii ni content ya million views lakini sielewi watu wanaitaji gani nyingine but mimi binafsi nimeridhika sana asante fix you na team SNS
@elieshistephen1534
10 ай бұрын
Hongera dada Airin. Kipindi ni kizuri sana. Naomba umrudishe tena Bwana Christopher.
@virendavictoria5174
11 ай бұрын
Waooo nimefurahi Kamureen is baackkk...nilikumisi sana
@irenekamugisha
11 ай бұрын
❤
@chunanachu2529
11 ай бұрын
Jamaa arudi tena yuko vizuri
@khadijarashidy9304
11 ай бұрын
Hongera sana Irene leo umependeza sana❤❤
@irenekamugisha
11 ай бұрын
Ahsante sana
@romes-tz7323
11 ай бұрын
Wapili tena nipeni maua yangu🔥🔥🔥
@Udindigwa
10 ай бұрын
Ujumbe Bora Na Safi
@queenmilan2024
11 ай бұрын
JAMANI TULIKI MISS KIPINDI. FROM ITALY
@irenekamugisha
11 ай бұрын
❤❤❤
@tumainichanya3268
11 ай бұрын
Yani we Ireni unatuletea majembe mi nakukubali sana
@officialcandleboy6923
11 ай бұрын
Fix me 😂😂Leo nime faidi zaidi sana, yule mtoto wa mtu nakwenda kumpenda hadi hachanganikiwe zaidi
@irenekamugisha
11 ай бұрын
Safiii🔥🔥🔥
@tumainichanya3268
11 ай бұрын
Ila kesi y dawa ya meno nimecheka sababu nilishaisikiaga kwe fix hapa akiwepo Kyala tena Leo so nimejikuta kuhisi kumbe haipendwi na wengine
Пікірлер: 23