nimependa huyu dada daktari alivyo na hofu y Mungu apart from being a proffessional doctor! honger san Mungu akubarik ktk kazi yako kwakua umemkiri yeye ktk kila ufanyalo👏
@raphaelfidelis4846
Жыл бұрын
Asante Dr. Grace Andrew, Sonona (Depression) is real, na tukiipa nafasi kwa kujua ama kutojua inaweza kututoa kabisa Kwenye reli. Tuweke tujuhudi ktk kudhibiti mawazo yetu ili yasitupeleke Kwenye stress na kisha Sonona.
@soultalkpodicast
Жыл бұрын
This is powerful tusikilize tujue tuko wapi tuchukue hatua tupone🤗🤗🤗
@tumainichanya3268
Жыл бұрын
Nimezidi kukupenda Irene Kamgisha naamini umekusudia kutuponya ndani na nje haya mazungumzo nitasikukiza zaidi na zaidi na zaidi Mungu akutunze doctor
@ashaidd2912
Жыл бұрын
Pindi zuri sana big up
@msangodiesel3132
Жыл бұрын
❤Dada kamgisha kwa maada nzuri kufundisha na kujiandaa ikitokea matatizo❤dada
@aquilineanthony1115
Жыл бұрын
Thankx for good episode for our life
@nickolatharwelamila776
Жыл бұрын
Leo wakwanzaaaaaa❤❤❤
@simpilumboma4760
Жыл бұрын
Somo zuri nimepata kitu,being bless Dr
@zithafaustin3815
Жыл бұрын
Thank you for the knowledge Dr gracie
@GraceMapunda-c8h
Жыл бұрын
Thank you so much for your time sis❤
@beatricefrankngalubutu1448
Жыл бұрын
Duuuh huyu dad nimependa sanaa dad irine tunaomb arudi tena.....sauti yake imetulia mnooo
@pierrebigirindavyi4378
Жыл бұрын
SNS love from 🇧🇮♥️🇲🇿
@cindypaul5254
Жыл бұрын
Sonona inanisumbua haswaa ila najitahid kuikataa ila ndo ninayo na inaelekea kunishinda 😢…..IJN I will be fine 🙏
@nacksuma2263
Жыл бұрын
Mimi pia sielewi kichwa upande mmoja kikubwa silali uchizi mwingilio duh
@farajamwika8667
9 ай бұрын
Uyu dada yuko vizuri.
@ashaidd2912
Жыл бұрын
Arudi tena
@mussafoum6562
Жыл бұрын
Nice one Irene
@irenekamugisha
Жыл бұрын
🙏🙏
@easternyerembe7271
Жыл бұрын
@@irenekamugishanaomba kupata kitabu,
@nacksuma2263
Жыл бұрын
Mimi siogi kabisa hadi naona nanukaaaa
@nacksuma2263
Жыл бұрын
Sonona jamani ni mbaya mm mama yangu si nikapata ugonjwa acha si vikapeana nikajichanganya tena kwa waganga siwakanichanganya sasaivi nipo na mungu
@fathimamct232
Жыл бұрын
Wazee wetu walikuwa wakisema umepata hili tatizo lakini usisononeke Ana kihoro maskini
@queenmilan2024
Жыл бұрын
tuletee Chris mauki
@awatifalghanim1106
8 ай бұрын
Wewe ulifikiriya umewacha 😂😂😂😂😂😂
@dayana5513story
Жыл бұрын
Sonona yangu ishakua sungu maana mhhhh,
@damariszuckschwert9489
Жыл бұрын
Jamani tafuta msaada kwa wataalamu. Pole dear.
@wemamtundu7906
Жыл бұрын
Fanya Mazoezi ya mwili/ viungo, epuka kukaa pekeako( tafuta mtu wa kusema nae, Punguza vitu vilivyo nje ya uwezo wako. Kubwa kuliko yote mweke Mungu Mbele, go for cancellig, Punguza au ondoa watu Wasio kuwa na faida kwako, Punguza au ondoa makundu ya WhatsApp, social Media kama huingizi pesa
@nurukwilabya2790
Жыл бұрын
@@wemamtundu7906Umenisaidia hii meseji ni kama umeniandikia Juzi kuna mtu alinishauri mengi ulivyo andika hapa🙏🙏🙏
@easternyerembe7271
Жыл бұрын
@@wemamtundu7906nashindwa hata kutoka nje, kukaa na watu naona shida km wananipigia kelele
Пікірлер: 44