Ila frda bana huchoshi wala huboii makupendaga sana my best ❤❤❤❤❤❤
@rwizgelgeorge144
7 күн бұрын
Ayo staff mko na upendo mwingi saaana big up to international rapper tunakukubali Sana God leads to you at the Top.
@user-jn1gc7fy9z
9 күн бұрын
Ongera kipenzi love uu so much chuga wetu mwaa❤❤❤❤❤ kazi zako ni fire nakukubal kuanzia mzik mpk utangazaj
@joshuaoscar8183
2 күн бұрын
.mwanangu noumaa Sanaa aisee Frida anakiwashaa noumaa
@roudhamahmoud763
8 күн бұрын
Mrembo wa chuga unamacho mazuri na mwanya hongea
@MagrethMallya-we8ui
8 күн бұрын
Frida, ❤ hujapata chai ya kukulainisha. Hahahaa aya bana unanipa Raha sana.🎉🎉
@hanifamziray277
9 күн бұрын
Ila frida unachekesha sn sn ukiwa kwa kipindi lzm kila k2 ukatae😅😅😅😅
@DaudiMazengoMasterDTEM
4 күн бұрын
Ila dada Frida, nilisahau kuwa ulipiga wimbo nilio/niupendao wa Madam President. Japo bado naona kama unafit sana kuwa kama mtu wa DINI. Physical appearance yako yani kama upo tofauti na tukuonavyo ktk harakati zako za mzuki. Hongera ktk harakti zako. Big up.
@moseswatson6033
8 күн бұрын
Let's start with you have you faced her?..
@surusuru1994
8 күн бұрын
Kali mno🔥🔥🔥🔥frida🔥🔥
@roudhamahmoud763
8 күн бұрын
Mnakosa wachumbq wq kweli kwa sabau ya kupenda hela ndo mana mnapata watu wa kuwachezeya kwa kuamini wanakupendeni mwisho mnavuliwa chupi mtu ameshakuchora alafu anakupiga na chini jifunzeni kupendana na anaekupenda
@IsayaMwalongo-v5m
5 күн бұрын
Fact
@jizzotheking9238
Күн бұрын
nipe namba yake
@hildamasonda6528
8 күн бұрын
Hapo kwenye mahusiano umeongea vzr
@user-bu9wj5pi3t
6 күн бұрын
Vido vidox fire
@immaabukuku7180
9 күн бұрын
Hiyo dude ni bonge la dude
@AnatolliaDesderius
7 күн бұрын
Kheeee Hadi me nmeshangaa😂 wanafamilia mnahojiana
@ireneimbuhira7759
8 күн бұрын
i do love her ❤
@mimibusarachibu
7 күн бұрын
Fridah Amanireeeee! Freshi sana, mi natia hili;Fridah ni mrembo na umri wake unamruhusu kuwa kwenye mahusiano, kwa hiyo hata akiwa na MILLARDI AYO; hamna tatizo, tuwatakie mema tu😂😂😂
@MussaKulanga
8 күн бұрын
Nampendaga sn frida
@sharifasaidy6399
8 күн бұрын
Ila frida😂😂😂
@hellenmassawe7284
9 күн бұрын
Ongera kipenzi
@rizikylaizer1602
9 күн бұрын
Mimi nakupenda wewe pamoja na midia Yako Millard ayo ama kuna voice niseme I like you your teeth brunch pia mm nipo kati kati
@hildamasonda6528
8 күн бұрын
Kumbe frida ni mwanamziki
@AnatolliaDesderius
7 күн бұрын
Ila wewe😂
@TEDY-MTEMY24
Сағат бұрын
Hiiii🤔,, wewe? Na hana ngoma chafu hazipimiki anza leo sasa kusikiliza ngoma zake
@saidluva6679
7 күн бұрын
Kwa majina naitwa duli naishi Zanzibar nipo sirysi nandowa kama yupo tayr nime vutiwa sana na mwanya wake
@joycehaule9717
Күн бұрын
Meno yakioza yaka ng'oka basi na ndoa yenu itakufa mana mwanya tena utakua hauonekani
@TEDY-MTEMY24
Сағат бұрын
Utambulisho nimeupenda 😂😂 Yaani umetulia kweli kweli 😂
Пікірлер: 29