Ngerengere Morogoro
Jeshi la Polisi kikosi maalumu cha Reli Nchini kwa kushirikiana na maofisa kadhaa wa Shirika la reli Tanzania wamefanikiwa kuyakamata madumu yenye lita 2510 za mafuta aina ya disel na madumu matupu 94 yaliyoibwa kutoka kambi ya Ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa Standard Gauge ya Ngerengere ambako Ujenzi wa mradi huo unafanyika.
Негізгі бет Full Video Polisi ilivyo wanasa Wezi wa Mafuta kwenye Kambi ya Ujenzi wa Reli ya kisasa Ngerengere
Пікірлер: 43