Watanzania tufanye kazi jamani hizi mambo za dili kichaa tuziache ardhi ipo kubwa sana tz kwa uzalishaji mali tuitumie. Asante Ben kwa kutuhabarisha
@athumanomary1438
5 жыл бұрын
Asante san majeshi retu ya polisi kwa kanzi nzuri sana taifa ritu ripo mikononi mwenu na miradi yetu yote hakika mwenyez MUNGU yupo pamoja nanyi na atazidi kuwapa nguvu
@saloujohn3639
5 жыл бұрын
Kazi nzuri ofisa
@anafisuleimani7083
5 жыл бұрын
Hao sio wazarendo wafungwe miaka mingi ni adui wa maendeleo
@aridiyahya8049
5 жыл бұрын
Jela na viboko juu yake. Hao sio kwamba wamemuibia mkandarasi. Wanaiba kodi zetu.
@ernestsinje9532
5 жыл бұрын
dili za kizamani zimeshapitwa na wakati
@HASASON
5 жыл бұрын
Jamani mbona watu wanatia aibu hivi, haya sasa wamevuna walichokipanda ujanja mwingi mbele kiza
@yohanangwaletv7777
5 жыл бұрын
safi sana hao wanahujumu mradi
@uledimtumwa2406
5 жыл бұрын
Waafrika ndio maana tunafukuzwa nchi za watu, huu ni ushenzi wa waziwazi.
@valentinamussa4212
5 жыл бұрын
Duu mnaibia standgeji kuma nyie bola mmekamatwa ili mchapiwe wakezenu jinga Sana
@mbisajafar7601
5 жыл бұрын
Hawa wajinga kweli hawa,wakakae kwanza ndani pumbaaafu kabisa
@shukurumwangosi1537
5 жыл бұрын
Tupewe nn loooh
@amashakigelulye7632
5 жыл бұрын
akili no nywele
@jamesngundateresia2600
5 жыл бұрын
DUU WAPENI CHA MOTO KIMYA KIMYA
@amenyekibona8730
5 жыл бұрын
hao waficheni miaka 20
@jamesngundateresia2600
5 жыл бұрын
JAMANI HII NI AWAMU YA JPM AU MUMEJISAHAU
@khatibjuma9873
5 жыл бұрын
Aiseee huu jambazi wa kinyama wapigwe risasi wafe uwe mfano kwa wengine
Пікірлер: 17