G nako huyu atabaki kuwa juu sana, sikudhani kama anamsikiliza ata NASH MC! One love walawala 🎉🎉
@richardsaikong1138
25 күн бұрын
Sio "wala wala" ni "wara wara" kangkara finest wa R
@thomasgunje7640
16 күн бұрын
Labda kama umemjua G Nako baada Ya weusi Na Sio Nako 2 Nako.
@JacobMaganga-re9ji
26 күн бұрын
hata wanavozungumza ni kama familia 💪
@user-mb3zq1jr1q
26 күн бұрын
Oya bro nakubali kazi yako,🔥🔥🔥🔥
@adolfmathew9698
20 күн бұрын
Love+ respect+ desclipine= weusi family
@Hillary_Daudi_Mrema
25 күн бұрын
Nawakubali sana Weusi. Pia hongera SnS kwa Studio kali, muonekano na sound imeongezeka quality. Nasubiria kwa hamu uchambuzi wa GPS katika Studio mpya Inshallah
@eliasbiya9367
26 күн бұрын
Studio ya kimataifa. Hongera Sky👏
@issajohn5996
25 күн бұрын
One love from south Africa
@giftchristianmeela1409
21 күн бұрын
Napenda G anavyokuwa Flexible kuwaongelea wasanii wengine.
@babel4862
26 күн бұрын
Sns mmetisha san studio kali,sound kali,video kali hongera san
@allycaydo9865
25 күн бұрын
bonge moja la interview joh mtulivu sana Gnako anajitahidi sana kutoa darasa haswa miwishoni hapo Lord eyes mniga hip hop kabisaa yupo very free yani, i know hao wawili walidoubt kuhusu dizasta mark this najua dizasta atawaonyesha kitu swala la muda tu ataruka nao tuuuu atawaambia kwa vitendo
@user-nq4md3sj6d
24 күн бұрын
SnS bonge moja ya studio HONGERENI SANA 🔥🔥❣️
@seifally4457
25 күн бұрын
Big up brother G nako nimekuelewa
@MackameHassani
26 күн бұрын
Sound ipo so quality sn aiseee, safiiii
@msodokidasilva6739
26 күн бұрын
Unyama uo 🔥🔥🔥
@jamilaathumani5481
18 күн бұрын
Kaka sky naona office imependeza Sana Yan.. hongera..
@BabuuWakitaa-pb6gr
25 күн бұрын
SKY WE NEED DIZASTA VINA TULISHE UBONGO
@njoroboihastla
24 күн бұрын
🙌🙌🙌
@user-uw7er1ec3v
23 күн бұрын
Zee speaking good
@paschaldeogratius353
25 күн бұрын
Sns ❤❤❤❤
@user-ep3rl5tz6n
25 күн бұрын
Family
@johnnycynaite8226
26 күн бұрын
WEUSI on FIre
@Joh-p9f
18 күн бұрын
Weuuusii
@flavourboyke
26 күн бұрын
Hawa wanifanya nipende hiphop,,,soon natoa yangu kali
@user-xn5hw9ss8f
25 күн бұрын
Weusi
@topstories2815
25 күн бұрын
Weusiii nyie wana noma since day 1. Nawakubali endeleeni hapo hapo.. kazi juu kazi.. endeleeni kubalisha lock.. shamba la kahawa wale tuu makofiii 😄😄😄
@BabuuWakitaa-pb6gr
25 күн бұрын
Dizasta vina kk pls
@jamalmakishe4850
23 күн бұрын
jamaa wanang'aa sana dats Hip Hop
@dkensmopainvevo3683
25 күн бұрын
Weusi wana jua saana biashara ya muziki
@Maxpaul-oi8pw
26 күн бұрын
Miamba ya kaskazini
@lwengephillip7516
25 күн бұрын
Fid q bora kuliko jo makin hiyo ni fact, wala chid hamuwezi
@cornellmallya4455
25 күн бұрын
Comedians wamekuwa km wanasiasa. Lkn Sky, kuna fursa kwenye (PR, public speaking, ethics, nk
@Laizer3
18 күн бұрын
Mbona kama lord askilizwi .
@shuzashadyproduction8438
23 күн бұрын
Lord anatakiwa asuburi swali lake anadandia sana majibu ya wenzake😂
@epitomeapex
22 күн бұрын
Ye hana Solo trending hits song Ndomaana😂
@bensonswai-hl6fn
25 күн бұрын
DIZASTA VINA aje siku moja
@kevinjames3177
20 күн бұрын
Pigeni Bongo flavour acha kung'ang'ania piano tu
@hamidamussa-sy4fm
24 күн бұрын
Msanii mkubwa wa bongo diamond wasafi simba
@joesimba
25 күн бұрын
1:10:29 lord 😂
@henryedmund1046
25 күн бұрын
Unaishi mwembe chai haujanywa chai😅😅😅😅😅😅
@ClassicUsed-jg6ri
26 күн бұрын
Huyo wa kati kati si jay melody
@mpjozzegalvanize4926
26 күн бұрын
G nako
@Gilgal-fx5sh
25 күн бұрын
Sky mlete Vina Basi
@taylorkasitu3819
18 күн бұрын
basata pia ni tatizo wakiguswa ccm tu wimbo hautoki ,uchawa unaaribu hiphop bongo
@kassimrajabu7805
24 күн бұрын
DIAMOND PLATNUMZ 25:04"
@villyupdates457
26 күн бұрын
HIZI MAIC NDO ZENYEWE KAKA SKY ZINAKUPA SAUTI NZURI SANA HONGERA KWA STUDIO KALI ZA ONLINE BONGO
@SimuliziNaSauti
26 күн бұрын
Shukrani sana Villy
@BabuuWakitaa-pb6gr
25 күн бұрын
DIZASTA VINA
@MTOTOWAvitoto
25 күн бұрын
kama hip vs piano so rnb iko wapi,, barnaba, marioo, fobby, belle, mirror, diamond, kiba, harmo, jmerod, au nani?? hajatajwa
@user-pt7lc4xu3d
25 күн бұрын
Lod mbona ampii nafasi ya kuongea
@BabuuWakitaa-pb6gr
25 күн бұрын
Kaka tuletee kichwa chochote kutoka kikosi kazi....nikki mbishi,dizasta vina,one the incredible au stereo,songa,p the mc
@BabuuWakitaa-pb6gr
25 күн бұрын
DiZasTa ViNa
@njoroboihastla
25 күн бұрын
Kula piano kula michano,acha upanganga☠️🙌😂
@davidsonstevenson2653
26 күн бұрын
alafu mwambien joh makini aache kula ugolo
@kizdady2544
26 күн бұрын
😂😂
@mdachiog5211
26 күн бұрын
😂😂umejuaje
@abuubaqr5808
25 күн бұрын
Sasa ugoro unashida gani na ww😂embu testi uone kama utamjudge mtu
@kassiannyamba805
24 күн бұрын
😂
@filskischannel9737
26 күн бұрын
Sky , umeshacheck Album ya rema ? Album ya Rema imebuma 😂 , ndani ya ma 10 Akuna ata song Moja imefikisha 60K , streaming Iko very slow 😂😂😂😂. Yeye na Harmo ni Sawasawa tu😂😂😂😂😂
@Oldskulgemini9991
25 күн бұрын
We akili huna, acha kuendeshwa na mihemko
@mrenobishoo1118
25 күн бұрын
Wale Hawana time ma KZitem
@cornellmallya4455
25 күн бұрын
Identity yenu ni ipi?
@joesimba
23 күн бұрын
1:07:32 samper the great
@jamilaathumani5481
18 күн бұрын
Weusi wakiimba piano wataua Sana...ila lod aiz anasauti nzuri akiongea ...awo jamaa wakiimba piano wataua sana
@francisjoseph1074
26 күн бұрын
Basi 😂😂😂 tufanye Jz aimbe piano au did au Rick Ross afu hip hop sio mziki WA watz , wabongo nyimbo zetu tunazijua basi nawachina wachane au wahindi wachane😂😂😂 Nikitu ambacho hakiwezakani
@BabuuWakitaa-pb6gr
25 күн бұрын
Brother tafuta siku utuletee kichwa chochote kutokea TAMADUNI MUZIK au kundi zima kwa ujumla la KIKOSI KAZI please please please
@MTOTOWAvitoto
25 күн бұрын
joh makini aliwahi kumtosa diamond platnumz collabo katika enzi anajitafuta,, lkn pia alipopata nafasi ya kwenda mjini aliwahi kusema moja kati ya imterviews zake b4 so nahisi hy joh hakuichukulia positive ndiomana anapongolewa diamond akiwepo joh basi mrejesho wa joh unakua sio nyoofu
@kennywizy1009
25 күн бұрын
Joh huwaga ni boya tu yeye ndio alifanya hip hop ya bongo isiende mbele
@supacklaizer7662
25 күн бұрын
Sasa kama yy aliifanya usiende mbele ipeleke ww broo, kwan mwana hip hop n yy tu? .......... Stupd
@kassiannyamba805
24 күн бұрын
😂😂
@davidlaiser8174
25 күн бұрын
Sns rotation yako ya kuuliza watu maswali sio fair.How come Gnako unamwuliza mara 2 Joh mara mbili hukumuuliza Lord eyes. Hata watoto hujamuuliza lordeyes kuhusu watoto. Next time jiboreshe kwa hilo
Пікірлер: 77