Wazindikwe wachezaji na moo Alena ikazindikwe visomo viwe vingi bro SIMBA NGUVU MOJA❤❤❤
@BellaTuyi-hd7tw
8 күн бұрын
Kaka GB64 Maisha marefu mungu azidi kukupa nguvu 💪 Hongera Sana kwa kulitambua hilo uchawi upo bro..ONANA yule kwel siku ya Simba day kafunga mbele ya mama samia bonge la goal..😢😢 Yanga wachawi sana. Ila kwa kuwa hilo mumelitambua jambo lakheriiii sana.. ✍️ Mabetu &Co
@user-yw7uu6mc3m
3 күн бұрын
Safi sana gb64 matola atuache
@mwinjilistielibarikismarar1480
8 күн бұрын
Ni kweli kabisa G64 uko sahihi
@OmarJoho
4 күн бұрын
Tatizo yanga mnaimandi sana sima
@user-kn7bo6iz4n
8 күн бұрын
GB nakukubali sana
@MamboMbuli
8 күн бұрын
Kabda ya rigi kuanza wafanyiwe kisomo,,mapema sana,,na watuzwe na wale wanaofua JEZI za wachezaji watolewe nao wanatumika
@user-xq8oo1qz3p
8 күн бұрын
Gb Leo sio uongozi Tena imekuwa misumali Tena mbona ulikuwa unalia na uongozi
@RashidiAlly-et1sg
8 күн бұрын
Number 9 timu ya taifa uganda 🇺🇬 mukwala GB anaunguluma
@user-lt2wb6hb9h
8 күн бұрын
Wanasimba matola naye wanini kama kocha kaja na benchi lote la ufundi tunaomba aondoke,
@barakajamalis776
8 күн бұрын
Kaka sema,wachezaji wa simba,wanafaniwa ushenz
@IddiHassan-mr3sb
8 күн бұрын
Nakuona bado upo unalia lia tu
@nabiimgongolwa8728
8 күн бұрын
MH! KAZI IPO......FIKRA ZA KITUMWA
@andrewcharles2038
8 күн бұрын
Kikokotoo FC
@user-qw9zu3ly8m
8 күн бұрын
😊😊NSSF FC
@RashidKaoneka-bj8mm
8 күн бұрын
Anakunja uso kama anavuta bangi utawakataa hawa ligi ikianza
@arthurmwakalukwa9471
6 күн бұрын
GB64 naomba tuongee nje ya mtandao umeongea vtu muhimu Nina la kukupa
@KatongeOmari
8 күн бұрын
😅😅😅😅mtu bad tunakukubali brother
@HamzaMduda
8 күн бұрын
Wachezaji tunawaacha krabu bingwa na shilikisho ambao tumewaona awa wote ware ware
@FumaoFumao-d8w
8 күн бұрын
Sisitiza sana Hili la dua
@HamzaMduda
8 күн бұрын
Wachezaji tumewaona klab bingwa na shilikisho tumewaacha awa ni ware ware ikianza ligi tutawatukana
@PendoMatemba-ql1ng
8 күн бұрын
Ata miraji Alishaongea kuwa kuna vitu wachezaji wanafanyiwa sasa ongeeni na kiongozi wetu Ajue cha kufanya wasije wakawa kama Aubini kramo kaja huku wamemzimisha
@user-lt2wb6hb9h
8 күн бұрын
Uto walozi fc,
@upendofreddy6431
3 күн бұрын
Waache waendelee kutuita makoro .Ila hawajui .wamuulize Haji manara maanayake Sisi wajombazao ak.a mama zako tunawalea
@MikidadiNyangi
8 күн бұрын
Kwann wanachukua wa chezaji we2 tulio waacha? Kuna ki2 ndan yake
@JafariKanju
8 күн бұрын
Mawazo mgando
@AndreaAliseni
8 күн бұрын
Gb uxhapewa ela ili uwe chawa
@user-dy7pc4tm6u
8 күн бұрын
Nilikua nakuamini sana lakini leo nimekuona chizi.karoge wewe tuone kama timu itakuwa mzuli
@PendoMatemba-ql1ng
8 күн бұрын
Alafu mchome mwangalieni vizuri yule shabiki mandazi ndio mchawi wa wachezaji simba bwege yule mchawi mkubwa sijuhi kwa nini mnaruhusu Avae hile jezi mchawi wa simba wa kwanza mchome
@AndreaAliseni
8 күн бұрын
GB muongo uxhapewa sukari ili uchawa viongoz
@iddally1021
8 күн бұрын
Wewe Gb wewe sasa kama sio wabovu mmeawaacha kwanini, nabunasema mmestuka why usifanye mpango hiyo misumari wanayo pigwa wasipigwe tenaaaa!!
@OmarJoho
4 күн бұрын
Simba hatuna ushamba kama yanga
@Esterkomba-ef7eb
8 күн бұрын
Baleke Kwa mkopo
@dullamuso6955
8 күн бұрын
Subili Ligi ainze usije kana hiii clip yako. Ogopa Mungu na Technologia
@mariamemadoshi5540
8 күн бұрын
Unasemaje mwenzio mchawi kama wewe siyo mchawi alijaribu kuloga akashindwa ndiyo maana anahangaika sana makolo mtateseka sana
@RashidSaid-v8n
8 күн бұрын
Ukosawabroo matola shobo
@barakajamalis776
8 күн бұрын
Kamati ya ufundi,iwe makin
@OS-pf6op
8 күн бұрын
Wewe tumia muda huu kufurahi, karibu furaha yako itatamatishwa ligi ikianza😂😂😂 We zobo kweli!
@jumanneshego3308
8 күн бұрын
nyinyi wandishi amna kazi mnawaoji mpaka warevi uyo gb 1akiri ya mpira ana anajuwa majungu ana anachokijuwa wachezaji wa mchongo unataka ubingwa wa wapi ndiyo maana wenye akiri timam warikuweka rokap usije kureta maafa uwanjani
@eugeniuslugangira7899
8 күн бұрын
Kwani mchezaji akiwa MVP ni kwamba anaweza kuwa bora kwenye kila falsafa? Kuropoka kumbe nacho kipaji.
@user-qw9zu3ly8m
8 күн бұрын
Wewe bwege ujui kitu kweeendraaaa
@RashidKaoneka-bj8mm
8 күн бұрын
Asaivi ni wachawi ligi ikianza wananunua mechi
@OmaryAllykumba
8 күн бұрын
😂😂 NSSF. fc
@HamzaMduda
8 күн бұрын
Wachezaji tumewaona klab bingwa na shilikisho tumewaacha awa ni ware ware ikianza ligi tutawatukana
Пікірлер: 44