Hii timu kuja kuwa seriius sijuwi lini asee hadi naogopa. Huyu si ndo alikua analia na kushindia pombe mwezi mzima kisa matokeo ya timu ambayo imefika hadi robo fainali. Sasa subiri ligi ianze sijuwi watabadirikaje asee😂😂😂😂😂😂
@amaniomar1755
25 күн бұрын
Napenda sana confidence ya team zote mbili naona msimu ujao ukiwa msimu bora sana. Wachezaji wazee ni Chama na Dube sajili zengine zilizobaki ni U25 rekebisha kauli yako ndugu. Kwa Dube bado akina Musonda na Mzize wapo.
@DavidLucas-cb1hx
25 күн бұрын
❤❤❤❤❤mm kama mwanasimba apo kichapo 2
@EliaNelson-l6c
25 күн бұрын
❤❤❤❤
@user-pn8ux8of7f
22 күн бұрын
Mnge msaji mayelle salum fei toto ningewaamini lakini aaa
@petermkinga3566
25 күн бұрын
GB umenifurahisha kwenye kazi na umri!
@YOSHUAMWAMPETA
26 күн бұрын
Je mnajua kwanini SIMBA IMESAJILI WACHEZAJI ambao walikuwa wachezaji bura KATIKA TIMU WALIZOTOKA ? JIBU: NI KWASABABU SIMBA NI TAIFA KUBWA
@user-mg1yl2rl8s
25 күн бұрын
Wachezaji wa bukubuku watawahusu sana tu na hivi mnapenda kulialia mtalia sana. Wachezaji wa maana hamuwezi kusajiri tajiri hana hela😂
@lumistarboy8499
25 күн бұрын
Kati kati ya msimu msije mtukana Mangungu 😅
@bahatimshali2731
25 күн бұрын
Eti NSSF Team. Bro wasije kukushambulia😂
@AsumaniMkumba
24 күн бұрын
Wew acha ushamb
@zakayomosha13
26 күн бұрын
Tajiri ameamua mazima!
@user-yh3dv2bl7u
26 күн бұрын
Boss huna baya ila tu walindwe hao wachezaji umesajil watu Bora kabisa nakupa maua yako 🌹
@user-fd6ct9tv7q
26 күн бұрын
❤
@simonndunguru1629
25 күн бұрын
Makolo Mazuzu watakuja kulia. Vijana Walio Nao ni Mapambo Huyu atageuza tu ila Mangungu wasimseme nafasi ya 5 inawahusu Thimbaa Chakavu
@user-mg1yl2rl8s
25 күн бұрын
Eti ndugu yake Aziz Ki yaani ndo sifa😅😅😅😅😅😅. Yanga wamewashika pabaya sana utopolo wa mo dewji
@essaumapunda5766
25 күн бұрын
Mo Dwj big up
@amaniomar1755
25 күн бұрын
Team ikiyumba pia mumtaje Mo Dwj msimtaje Mangungu hata siku moja.
@user-yu2hh7kh8o
25 күн бұрын
wivu uo
@user-yh3dv2bl7u
26 күн бұрын
Gb 64 tuko pamoja boss Hana baya chakusema mim walindwe tu bas
@maidafrancis45
26 күн бұрын
wadaiwa sugu fc wanakoloma utopolo
@nabiljumaothman5912
26 күн бұрын
Wachezaji wa buku buku kibao 😂😂😂
@IlhamKhalid-mt3jp
26 күн бұрын
Mpumbavu wewee
@user-yq7dm4gw6j
26 күн бұрын
Au cyo
@user-yq7dm4gw6j
26 күн бұрын
Buku we unalo hlo buku kasajil na wewe
@SwaumuMalau-jh1hb
25 күн бұрын
Bora ule chakula Cha buku kuliko walichoachia wenzio
@jitihadaharuna9448
25 күн бұрын
we ndio kuku kweli hujui kitu hujui hichi kikosi kinagharama kubwa kuliko timu yeyote tanzania. mchezaji wa umri chini 25 anagharama kubwa sio chini ya $300 350 unafikiria ni mchezo
@PeterWillypnk
26 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤝
@HussainIgayo
25 күн бұрын
Wambie! Ngoja nicheze kwanz😂😂😂
@alhajimohamed1909
25 күн бұрын
Kaka nitumie number yako nikutumie hata ya vocha umenifurahixha sana NSSF
@user-mg1yl2rl8s
25 күн бұрын
Acha uongo Dube ni msumali wa moto kwa simba keshawafunga katika mechi zote 4 mlizokutana na Azam. kibu kawafunga Yanga mara 2. Halafu kuna Aziz Ki ambaye anajipigiaga tu simba tangu akiwa Asec😂
@user-mg1yl2rl8s
25 күн бұрын
Yaani kagoma ndo tegemeo la kutengeneza timu kweli!?😂😂😂😂😂😂
@EmmanuelMsika
25 күн бұрын
Pamoja
@EmanweljahazEmanweljahaz
26 күн бұрын
Ninaaminin Sana simbo nguvu moja
@RashidiMkongewa
26 күн бұрын
KIKULACHO KIKO KIKO KINGUONI MWAKO MNALOGANA WENYEWE SHOMAL NA SHABALALA NDIO WANAOLOGA WACHEZAJI WENU
@juliascherehani2330
25 күн бұрын
Simba pesa ipo
@hamisimsosi6237
25 күн бұрын
Upande wa pili ni wazee fc😅😅😅😅😅😅😅😅
@robertphilip385
26 күн бұрын
Kwausajili huu wa simba nafasi ya tatu iko palepale
@RashidiMkongewa
26 күн бұрын
Nafasi ya 4 msimu huu inawahusu nimekaa pale😊
@emalema7423
25 күн бұрын
Hunakula hunavyo jiweza
@user-mg1yl2rl8s
25 күн бұрын
Sawa huku NSSF kule wodi ya watoto halafu tuone ligi ikianza...usianze tu kula mataputapu yako na kwenda jela😂😂😂😂
@AsumaniMkumba
24 күн бұрын
Mechi nne zip wewe
@RashidiMkongewa
26 күн бұрын
Shomali nazimbwe ndio wanawaloga wenzao wapate namba siyo yanga
Пікірлер: 60