simba sc kuanzia mwaka 1998 WALISHAOMBA MECHI ZA DERBY ZICHEZESHWA NA WAAMUZI KUTOKA NJE YA NCHI,LAKINI KUANZIA FAT hadi sasa TFF HAWATAKI SIJUI KWA NINI.SIJAWAHI KUMUONA MWAMUZI YOYOTE au MSHIKA KIBENDERA KUTOKA TZ AKICHEZESHA CAF
@aminaomari2312
15 сағат бұрын
Hii mechi angechezesha refa wa nje simba angefungwa nyingi tu,acheni kuongea sana,mnalalamika kwa goli mlilojifunga wenyewe.
@tituschavala1165
Күн бұрын
Sema Kanyokooo siyo kayoko
@AminaMkumba-u3z
Күн бұрын
Kweli kaka,wangekuwa wao ingekiwa shida sana.❤❤❤
@AllyBena
Күн бұрын
Mbn dodom alikubai
@zaidihussein4311
23 сағат бұрын
Tulieni nyie pumbavu
@janethmbaga3515
22 сағат бұрын
Tulien hivyo hivyo ngao ya jamii tulinyimwa penalt hamkuongea
@MwanaishaMohamed-kg2bx
Күн бұрын
Hakika simba hawajatuyendea haki jamani
@JJ-fb9jp
16 сағат бұрын
Si mngeweka kimyani akatae goli? Achana na offside ya kibu
@mjitaidubyabato
16 сағат бұрын
Kwani lile la Aziziki lilikua goli au sio goli
@kabutah8313
9 сағат бұрын
Dodoma jj mliwatendea haki
@Shemahonge-ku7xx
2 сағат бұрын
Ipi wakati vijana wamecheza vizuli nirefa ndiearie tuua
Kiukweli kayoko ni choko hakuna shida kawaonea Simba na pia Simba kajifunga kijili wamemloga kagoma na hamza
@HalidMuhammad-gi9qy
11 сағат бұрын
Mashabiki wa simba mnaujinga tu timu lenu bovu msimlaumu kayoko uwezo wenu mdomoni na sio uwanjani basi achezeshe pididy
@MwanaishaMohamed-kg2bx
Күн бұрын
Yani hatujayendewa haki kabisa hata kama refa kapewa kibunda inshallah kitaisha tu
@maryberege3093
16 сағат бұрын
Kwendeni huko mnapenda penalty za mchongo chezeni mpira kimoko kinauma
@abdulrahimfaki6528
Күн бұрын
Tuseme simba bingwa
@RashidSiwa
59 минут бұрын
Huyo mwandishi hana akili anaenda na mwezake huyo
@ballackmasungura6753
23 сағат бұрын
Mmefunga goli likakakataliwa au nipenati ndio mlifata uwanjani makosa ni refa wachezaji wenu wangefunga unalazimisha wandishi waongee kusu kuombewa penat ndio sheria 17 alafu kilasiku mechi ijayo mechijayo bado tutakushona😂😂😂💚💛💚
@EmanuelMuna-w2q
6 сағат бұрын
Mechi ya Simba na Yanga, tarehe 19 desemba, 2024 katika uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es salaam. Mchezo wa Ligi Kuu kati Simba na Yanga ni lazima urudiwe. Hatuyakubali kabisa matokeo ya mchezo huwo wa tarehe 19 desemba, 2024.
@EmanuelMuna-w2q
7 сағат бұрын
Ni kwa nini VAR haikutumika katika mchezo wa jana? Haina maana kabisa kununua VAR-systems kwa fedha nyingi sana, kuzinduliwa na Mheshimiwa Majaliwa na hatimaye kuziweka mashine zote kabatini. Haya makosa makubwa sana wanayofanya waamuzi wa mchezo, hasa huyu Mr. Kayoko yanajulikana sana tangu zamani, hususani pale anapochezesha mechi ya Simba. Hawa waamuzi wa mchezo Tanzania hatuwaamini tena. Yanga hatuwaamini kabisa. Tunawafahamu sana wote hawo. Mr. Kisugu, tafadhali waambieni TFF/AZAM MEDIA waanze haraka sana kutumia VAR kwenye michezo mingi mikubwa ya Tanzania Premier League. Kuendelea kujadiliana mitandaoni haisaidii kabisa. Kinachohitajika hapa tu ni serious action plan ya TFF na bodi ya ligi kutekelezwa haraka.
@Esterkomba-ef7eb
Күн бұрын
Ww kisugu usimjibu mwandishi mwenye maswali ya kipumbavu
@jacktani2280
10 сағат бұрын
Hilo liandishi bwege tu, linauliza majibu linyajua, linasema wanasema kumbe linasema lenyewe, mavi sana!
@errydeo8865
18 сағат бұрын
Leo hii kolo wanalia et na refa😂😂😂udunduka kweli mbaya!!Mikolo imefungwa kwasababu ya vitu kadhaa 1) kikubwa kabisa wakikubali;QUALITY ! hawa hawa walikua wanasema WANAJENGA TEAM! waliposhinda mech kadhaa kwa usaidizi wa marefa,wakaanza kusema hata Yanga ije kesho! Quality ya wachezaji wa YANGA kwa misimu 3( sio leo tu) ni kubwa! Wachezaji wanao anza na walio bench wanaolingana kwa ubora 2) UZOEFU WA DERBY;kikosi cha Yanga hakijaabadilika ! Wachezaji wote wanaijui derby kuliko wa Simba! Asilimia KUBWA wachezaji wa simba hawaijui Kariakoo derby! Aliye badilisha game ,alitoka bench,TRIPLE C! Amecheza hizi derby nyingi! Nani!? Chama! 3) Makosa ya Simba wenyewe! Simba walicheza kama wao ndo walikua AWAY! Walikua wanajigalagaza chini kama ndama kupoteza muda! Likaja la Camala! Uuuwi! Camala kafanya school boy error! Ule mpira ANGEUACHA AU KUUTOA FOR A CORNER! Kipa au beki mzoefu,kama huna uhakika na mpira hatari, UTOE NJE ILI TIMU YAKO IJIPANGE! Camala, alikua na simple two decisions, either kuucha mpira utoke nje au autoee iwe kona! Hayo Makosa Diara HAFANYI! ACHENI KUMLINGANISHA NA DIARA! Camala kesha i cost simba 5 POINTS ! Makosa ya draw na coast na leo 4) Tactics! Gamondi ni Mtaalam wa SECOND HALF! Mechi nyingi Yanga inashinda kipindi cha pili! Gamondi kesha gundua mpira wa bongo, wachezaji wanakuja kwa kasi kipindi cha kwanza tu,cha pili wanachoka! Akaja na kucheza kwa kasi kipindi cha pili! HAPO TUNAONGELEA FITNESS NA STAMINA! Yanga bwana wako fit! Kongole kwa kocha wao wa fitness! Gamond alifanya SUPER SUBS 2 Chama na Pastor boy! Simba sub ilikua mbaya, Kibu asingetoka Hizo ni sababu chache ZA KUANGALIWA! Sio mambo ya refa! SIMBA.Aheni kumtafuta mchawi, haisaidii! Kwa sasa hivi hata wacheze mara kumi ,HAWAIFUNGI YANGA Leo tumeshuhudia nani mzee! Mechi ilikua MEN vs BOYS! TUSISHANGAE MECHI UFUATAYO KOLO KUPOTEZA, LEO WAMECHOKA PHYSICALLY! LIGI SASA NDO INAANZA!
@MathaMbukila
4 сағат бұрын
ninatowa wazo simba wajitowe ligi kuu waamie Zanzibar
@bonnymakuke3153
Күн бұрын
Tumezidiwa bwana tusipende kuweka siasa kwenye mpira
@MrutuAbdala
22 сағат бұрын
I understand you very much, my fellow fans, you know today they were clearly carried away, the referee was on their side, the ball has gone out and they have said that there will be a goal one day and we will be better, inshallah
@issacklyandala7023
12 сағат бұрын
Viongozi wa Simba, lazimeni mkono niyanya na anatumika sana huyo
@kamazimamuganyizi6932
4 сағат бұрын
Kwa mpira huu yanga kimataifa awafiki popote
@AminaMkumba-u3z
18 сағат бұрын
Janethmbaga haya bw.❤❤
@EmanuelMuna
Күн бұрын
yani refa kafanya kazi nzuri sana ira mashabiki hua hatutaki matokeo ya kufugwa refa na mpa maua yake
@mwanaidimiraji172
Күн бұрын
Sawa mke wa refa
@apolinarykaloza6797
12 сағат бұрын
Nyie mjabebwa mech ya cost union achen kulalamika mkibebwa hamuongei chezeni mpira simba bado
@crown_maids_groomsmen
Күн бұрын
Matusi ya yanga kwa simba
@Tee-King
20 сағат бұрын
Kwa cost GSM, kwa yanga Refa, kwa Prison mtasema wafungwa 😂😂😂😂 jkt mtasema kisa wanajeshi 😂😂😂😂😂 mkipigwa na singida mtasema kisa wanyiramba 😂😂😂
@jacksonvedastus-l2z
12 сағат бұрын
K ujui mpila utakuf bur pov2
@habibuissa9636
14 сағат бұрын
Dah ,Nasikitika sana kuona waandishi wanamihemko ya aina hii,Hivi kweli kanuni za uandishi huwa zinakua hivi !?ulizwaji wa maswali ni F,Ni ngumu sana kupata media kubwa yenye malengo makubwa.
@JabiriOmari-m1j
Күн бұрын
Mmejifunga wenyewe bwan yanga hajamfunga mt
@abubakarbajun3503
Күн бұрын
Rasa kisugu huyoo anaekuhojiiiii ni msengeeeee tu
@mwassajoseph8675
14 сағат бұрын
😅😅😅Kisugu una bahati mbaya maana kila akiongea matokeo hayawi upande wake
@AshaMakenzi
22 сағат бұрын
Kufikia kesho simba watakuwa wamechomoa goli maana mnalaum sana MAKOLO NYIE😂😂😂
@MashakaTamsonMwashilindi-hu9tt
8 сағат бұрын
Yanga,Tff,bodi ya marefarii lao moja.
@VemamElly
23 сағат бұрын
Mbona sisi tumenyimwa pernat na hatusemi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@bmkaskazinib4363
15 сағат бұрын
Ngao ya jamii iliyopita penalties za Ali Salum wakifunhwa Yanga waamuzi walikuwa saws.huna hoja Kisugu mmepigwa kubalini.
@moshiwasua5749
14 сағат бұрын
TFF. Bodi ya Ligi. Wahenga walisema asiye sikia la Mkuu huvunjika GUU
@EmmanuelPeter-t6j
12 сағат бұрын
Kwanza Jana ange cheze Sha alajiga Leo wange shindwa kuongea Kabisa
@Kijavaa_jr
13 сағат бұрын
😂,😂😂😂 Bado hamjasema mbona
@onesmoghathaya1230
13 сағат бұрын
Tulishakubaliana hakutakuwa na kisingizio😂😂😂
@chrysanthushakaunga6560
Күн бұрын
Musonda kapigwa ndani ya box mbona kapeta acheni kutafuta unaafuu tengenezeni timu makolo mlikuja na matokeo yenu wakati timu mbovu? Poleni sana
Ndio kibu Denis alichezewa rough Refa akakausha tena ndani ya box
@shukuruiddi82
Күн бұрын
kayoko ni msenge sana
@callicevallice7383
Күн бұрын
Wewe unafungwa mara nne, alafu unamtaja kayoko😂
@errydeo8865
18 сағат бұрын
Hapo sasa! Wanasahau hizi points walizo nazo wamesaidia na marefa! 😂😂😂😂!
@RashidHamis-o6w
13 сағат бұрын
Wana Simba make mkijua Sisi tunapambana na nchi sio tim
@KamgishaIsaya
9 сағат бұрын
Ukitoa lawama kwa refa basi rawama izo ziko pande zote kulikuwa na kadi nyekundu katika tukio la azizi lakini imepetwa, ivyo endeleeni kukimbia kimbia uwanjani bila kuwa na akili ya mpira wachezaji wenu wanatumia nguvu nyingi sana bila kutumia hakili ya kimpira poleni kafeni na maneno yenu na majigambo maana bado mnajitafuta iyo ndiyo kaulimbiu yenu.
@HABIBHASSAN-wf5mr
11 сағат бұрын
Aziz k kavutwa shati mala 2 na aikutolewa penalty yoyote
@saidiali-n7i
Күн бұрын
Mm sijawai kuona refa anachezesha dabi huku anacheka msenge huyo shoga
@UmmukulthumAbdalla
11 сағат бұрын
Tumuombe mam samia rais wet kipenz atuekea VAR ili haki upatikanaji pal inapostahiki bila hiv haw yanga watajua wantoa rushw kw maref wot mpk hao tff usishangae na wao wanapokea jamni tumeonewa leo tulikua tunawafunga
@SospeterPeter-q7n
Күн бұрын
Mtendaji gan wew mzeee mtoto kautakaa hahahaha we ulichelewa kuaongea chuma kikaliaaa hahahaha kipondo paka mseme abeee
@rashiedmasoud1324
9 сағат бұрын
Kisugu hujaijui vizuri kamati ya uchawi na ushirikina kitengo hiki mambo huenda kisirisiri wewe unaweka hadharani ulisikia wapi mtu akimroga mtu anatangaza?? Mchawi kwenye macho ya kawaida huonekana kama mtu rafiki tu ila kama ukiona anayofanya nyuma ya pazia haifai hata kumpa salamu!! Tafakari chukua hatua
@PaulShija-qw3hr
9 сағат бұрын
Nikweli Simba tunahujumiwa ifike mahali tulete marefali wa Nije kakika dabi si kuhalibu soka malefali wandani wanahongwa
@DelphinusBenedicto
16 сағат бұрын
Mmh Sasa refa angelifanya ukweli mgelifungwa 3-1
@johnbernad3990
21 сағат бұрын
Ila mashabiki wa simba bwa mazwazwa kweli 😂😂😂😂😂
@nurdinmfamau3493
23 сағат бұрын
Kwa KAYOKO NDIO ALIYEJIFUNGA LILE GOLI AU SIJAONA VIZURI.
@NassorSallehe
23 сағат бұрын
Kunya anye kuku mechi na coast umeisahau?
@HalidMuhammad-gi9qy
23 сағат бұрын
Kisugu kubali simba mbovu mechi nne hta droo hapati zibeni tundu ilo kila siku yanga wanawaunga simba ni mbovu mdomo tu
@mathahosea6783
Күн бұрын
Waletwe marefa Hawa wa kwetu hamna kitu
@chinashao4679
14 сағат бұрын
Penati fc mmeanza hakuna siku hamlilii penati ndoaana mnawaambia kina kibu wajirushe kwenue penat box tim gan kila siku mnataka penat?????
@Sanjey-vp1fm
14 сағат бұрын
TFF wanatufanya tuisusie hata timu ya taifa na tutaisusia kweli hatutoenda kuishangilia tena nayo. Habari ndio iyo.
@idrisakassim3533
23 сағат бұрын
Hawa bna akiri hawana kwanz walitakiwa kumaliza 10 uwanjani maana ile faulo ya hamz ni red kadi sio yellow kadi
@DevidMgaya
Күн бұрын
Faulu iliyoza gooli Amewap akukua na Faulu
@iddymvukuye2502
22 сағат бұрын
Hapa tayari zimekichapa huko 😅😅😅😂😂
@chinashao4679
14 сағат бұрын
Unavjeza 46% kisha unazema mlikuwa mnacheza vzr
@johnbernad3990
21 сағат бұрын
Wanavyomchukia chama sasa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@BakaryOmally
Күн бұрын
Kajambe huko kisugu maneno mengi
@VemamElly
22 сағат бұрын
Mashabiki wa simba ni vichaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@tituschavala1165
Күн бұрын
Huyo refa alishanunuliwa ndiyo maana anaitwa Kanyoko
@leonardfungo
13 сағат бұрын
Msihangaike na hao waandishi ni Matako.
@sheikhabdulwaliyusuleiman3408
20 сағат бұрын
Umesahau juzi mmetoka kupewa penalty mlishinda Moja bila na Dodoma ila leo unalalmikia penal nyie mnalia amakweliii😂😂😂😂😂
@NassorSallehe
23 сағат бұрын
Wewe kisugu magoli 2 mliomfunga Azam znzbr uliyaona au mkuki kwa nguruwe
@mjitaidubyabato
16 сағат бұрын
Kila siku mtasema performance
@HappinessNgonyani
Күн бұрын
Unataka penati, kwani huyo kibu kachezewa faulo ndani ya box? 😂😂 Pole Mtani naona mnafungwa mpaka mnasahau Sheria za mpira
@braystuskibassa3842
Күн бұрын
Bangi si kunde ati
@Prince7850.
Күн бұрын
Daaah ww hujaangalia mpira labda ..Kuna faulo mbili zimefunikwa ndani
@bsmonline8482
Күн бұрын
Asa Penalti gani yule beki wa Simba alimng'ang'ania Dube ile ilikuwa Red Card Mbona hasemi 😂😂😂
@lilangasayi1689
11 сағат бұрын
Mnahoji mpaka mwehu
@YohanaLesimbi
18 сағат бұрын
Kisugu acha mdomo zee zima akili hunaa
@stambuimbokwa1480
13 сағат бұрын
Kwani jana nani kashinda au yanga kacheza 12 mliofunga ninyi
@GwanduMixhedede
16 сағат бұрын
Nani kakuomba usemee mpira hapo unasemea tm Yako
@juma-vy2dl
Күн бұрын
Kayoko ni mpumbavu sana
@CharlesLutandula-y3c
Күн бұрын
Mwandishi hajielewi wanalipwa hao
@musachongowe1695
12 сағат бұрын
Wewe kisugu mlaum kijili bwana
@theobiasmtega3350
15 сағат бұрын
Kisugu huna lolote unaloliongea, tengeneza timu
@abdulrahimfaki6528
Күн бұрын
Hazijatafsiriwa pale dube aliposhikwa na beki wa mwisho na kaishia kupewa yellow card badala red
@shukrankifyasi1500
Күн бұрын
Kumeanza kuchangamka
@WiliamuObadia
22 сағат бұрын
Refa katunyima penat mbili za wazima kabsa
@evaristomwalongo-k4o
23 сағат бұрын
nchi inamashabik wa hovyo
@Shinarambod
19 сағат бұрын
Wandishi achenikuwa munahoji mataira waripigwa Tano Waka sema inonga ameuza mechi Yao hao mpira wao huwaga upo mdoni please acheni kuwa mnahoji mataira
@RamadhaniIbrahimu-l6s
Күн бұрын
Matukio manne muhimu hayakufanyiwa Haki ,, Penalty 2 za Simba Yanga pelnaty 1 kanyimwa Na simba Alistahili red card Kwa yake Kama mwanuzi Angefuata hizo sheriaa Asiekubali kushindwa sio mshindani
@mjitaidubyabato
16 сағат бұрын
Kwani hyu mama anamchezaji
@ErastoChambilo
15 сағат бұрын
Tunataka ushindi pavomanzi kisugu endelea kupiga deki kwa mo
@VemamElly
22 сағат бұрын
Chama kawang'ata
@mussaandrew2083
22 сағат бұрын
MECHI NNE MFULULIZO MNAFUNGWA NA KILA MECHI INA MWAMUZI WAKE SASA MNATAKA NANI ACHEZESHE ??
@Tee-King
20 сағат бұрын
Tushawazoea mkipigwa tu mnakimbilia refa match ya kwanz mkasema mmenyimwa penalty na leo hvyohvyo.😂
@MahmoudHashim-c4h
Күн бұрын
Kayoko kifo kipo karib wauwah billah talah hili halijaaish utatujua wapemba ni nan mbwa we
@AmedeusPanga
23 сағат бұрын
Huyo jamaa hajui mpira ye Kila wakifungwa analalamika,,
@bmkaskazinib4363
15 сағат бұрын
HILO NDIO NENO JIPANGENI TENA LA WAAMUZI HALIKO NGAO ZOTE MMEBEBWA HAIKUWA NENO.
Пікірлер: 186