Kama huyo Na Hilo Domo siopoa linamwaga mimate alafu mimate yake inatoa mapovu kama Domo linafua ngua Na sabuni ya homo😂😂😂😂😂gongo Hilo Alafu pia huyu anafosi awe msemaji wa makolo
@omaryramdhani9823
Ай бұрын
Kama damo la AZIZI NDOMO wa yanga
@mwanangusana
Ай бұрын
@@omaryramdhani9823master ki .... Ndo adui wa Simba match zote anakandamiza 😂😂
@f.a6043
Ай бұрын
Bila kusahau domo la chura wote 🐸🐸🐸🐸🐸👈🏽😂
@EMA-vq8vc
Ай бұрын
Jamaa kiwango sana
@humphreyngallawa5630
Ай бұрын
mwanangu punguza mzukaaa,ila upo vizuri ktk uchambuzi na historia
@othmankhalid7994
Ай бұрын
Wakati wenzenu wanasajili nyinyi mnapandisha kibegi Mlima Kilimanjaro.
@luckamfomii
Ай бұрын
Hatari sana
@mwanangusana
Ай бұрын
😂😂😂
@angellomarcel5677
Ай бұрын
Ilikuuma ee..?
@mwanangusana
Ай бұрын
@@angellomarcel5677chairman mangungu oyee kuna watu wanajivunia huku mafanikio yako ya kibegi , group la whatsup 🤣🤣 na kampeni ya visit Zanzibar kuwa sehem ya mafanikio ......... Wakat wengine wanatamba na mafanikio ya makombe na kufika final Shirikisho..... Mingine Tena kwa chairman aendelee kufungua na kufunga vikao 🤣🤣😂😂 letee manzoki next season as last season uliwakosha watu wako huku 😂😂😂
Anachokisema huyu jamaa Yuko sahihi kabisa.Ushauri wake ufanyiwe kazi
@ElizabethLukosya-lv2vf
Ай бұрын
Tupo wakati mgumu sana,tunapaswa kuwa letu moja,tufanye nini ili tatizo hili lisijiludie tena!!
@fakifaki5246
Ай бұрын
Freddy apewe nafasi ndogo ya kucheza.
@dullahsaleh8507
Ай бұрын
Hawa nao kama mikundu, hakuna mpira wa kushinda kila siku mbona mulipowafunga Azam hamukuwasema vibaya wachezaji.
@mwanangusana
Ай бұрын
We nawewe hujui kama kikao Cha familia kilikutana ? Dada na dada ake walikaa pembeni kuweka mambo sawa.....
@user-tp2lq4bd7o
Ай бұрын
Ila Simba
@beatricembunda6168
Ай бұрын
Jamaa anaongea ukweli tuufanyie kazi tutafanikiwa
@user-gw9jt3wo5p
Ай бұрын
Mm kwa maon yangu kwa upende wa kuboresha simba mpya ijayo ningeli penda viongozi wa simba wa musajiri kipa wa coastal matambi huyo ni kipa mzri sana
@user-bt6ep3yb2h
Ай бұрын
Haisaidiiiiiiii.
@PhilipoTango-dq3bk
Ай бұрын
Kahata hujamtana gb
@humphreyngallawa5630
Ай бұрын
Upo vizuriii 😂😂
@angellomarcel5677
Ай бұрын
Kivumbiii
@JolotaErastoJuma
Ай бұрын
Pambaneni dea kite ajeee
@blackwarrior-animations593
Ай бұрын
Kwahiyo Makolo hili ndio Shabiki lenu lenye Mvuto 😂😂😂😂... Kweli Makolo ni tawi la Yanga 😂
@SalimRamsei-ok9el
Ай бұрын
Aiseeee
@user-kp7em6zt1g
Ай бұрын
Juzi uli tamba sana Leo vimepanda na kichwani 🤣🤣🤣🤣 iyo imetoka alikuwa anaweza Mzee Hans pop apumzilke kwa Aman mtasota sana na wachezaji wa KZitem
@josephmwise3177
Ай бұрын
Jana tu mlisema Chasambi ni Eden Harzad, Mgunda ni kocha bora,bila aibu mkasema mtaomba mechi ya kilafiki na Yanga mlipe kisasi,du! Yanga kawavuluga hadi hakiri zimekuwa majeruhi.
@hassnsalim5156
Ай бұрын
Acha mdomo usajili pesa
@ZawadiSawala
Ай бұрын
Fred anatuangusha wanasimba sijui ni strecker wa aina gan hata sielew,fred aondolewe mapema sana kwanza hata ihefu hawez kupata namba
@ArnoldRwegasira-hp9gt
Ай бұрын
Juzi alikua na raha Leo ana wenge
@Zaburi-
Ай бұрын
Huyu jamaa nae hajui lolote oyaoya tuu😂😂mwambieni psg nakula chuma 6 dhidi ya Barcelona tena kwenye uefa cl ilikua comeback kabambe sana Sergio Roberto anapiga chuma ya 6
@eliamkichumbi8815
Ай бұрын
Shimba itatuua, Mara moto Mara baridi, ila viongozi wetu jitadhimini
@IssaIddi-vb9yi
Ай бұрын
Mbona amuereweki mashabiki wa simba
@mtekelechapemba5501
Ай бұрын
Kuna kocha alikuwa akihonga wachezaji wampe kitu kidogo ili wapangwe. Kitu hicho kikiendekezwa ni kibaya sana. Sidhani kama kocha huyo ataachana na hiyo tabia, hata kwa timu tunazokutana nazo, kipindi hiki tutajuta haswa na yutahujumiwa na watu wa ndani
@michaelnyamkuzwa8946
Ай бұрын
Kaka punguza maneno kaka, mbona ulichukua mara nne ubingwa mfululizo. Huwa inatokea kaka kwenye mpira hata man u wako wapi kk
@abdallahshaibu6106
Ай бұрын
Mbona Ahmed Ally anatamani michezo ya watani irudiwe upya Ana anawapoteza maboya muache kusajiri muanze kuwaza kurudiana na wananchiiiiiiiiiii
@Allemmatv400
Ай бұрын
😂😂😂 Nimecheka sana
@twahakabajemi9716
Ай бұрын
Pamoja na msada wa Azam no3 imewaganda nye hamna hela mwenye hela akiamua itakuwa
@ambokileasheengai1140
Ай бұрын
Toa Pesa Tembeza bakuli wacha maneno mengi,,,,,mateee
@JeniphaHekima
Ай бұрын
Haukosea kujiita gb 64
@francohaule-ci7ii
Ай бұрын
Watu wanaakiri kwa usajiri wao kama namungo
@KassimKassim-wv8db
Ай бұрын
Hesabu za ubingwa basi tena?
@sudymgeni701
Ай бұрын
Simba ndio timu iliofungwa mala mbili na yanga magoli 7 msimu mmoja
@jessicaanania6326
Ай бұрын
Ila hii team😂🤣juzi mliwasifia aaa leo mnawaponda
@user-yq7dm4gw6j
Ай бұрын
Fred anatuangusha anakosa magor ya waz kabisa jamani
@uthmanmaluja7005
Ай бұрын
Nilisema mm furaha yenu ni siku moja tuh na mlitiwa madole na msemaji wenu mkachekeleaaa leo povu la nini sasa
@Smart_jarm
Ай бұрын
Shemalon shondo😂😂😂😂relax kidogo kijana unarusha mate ya kubeli huku
@user-ch2it3qt5z
Ай бұрын
😂😂😂hiii nd shimba tunayo ijua ilishinda kwa azam mkasema hiii nd team mnayo itaka kusare na kagera tu maneno yameanza hiii team imekuwa lialia😂😂
@Allemmatv400
Ай бұрын
😂😂😂😂😅 Povu jingi ila ni point ntupu jamaa anajua sana
@user-bt6ep3yb2h
Ай бұрын
Bado hamjasema, badooooo
@geraldbagole4494
Ай бұрын
Mgunda muda si mrefu anaachwa na Simba.😂😂
@abdallahsaid1127
Ай бұрын
Viongozi mnatuumiza.kuna msemo usemao"mti ukipinda na kivuli chake hipinda".
@user-ph7xf6hi8s
Ай бұрын
Kaka hao wachezaji wamemaliza mikataba yao
@FlavianMbawala-pu7lw
Ай бұрын
Kuongea ni rahísi je una hela?
@kamugishakaroti2569
Ай бұрын
Viongoz we2 niwamchongo
@FrolahRimo-cm3tu
Ай бұрын
Mpeni mo enegy huyo ataishiwa pumnzi
@leonardmadelemo3043
Ай бұрын
We bro hata hueleweki unataka Nini Kwa hiyo chasambi,karabaka,balua wamecheza 16 bora ipi hapa africa
@angellomarcel5677
Ай бұрын
Kuwa Muelewa, anamaanisha international Players wawe wametoka in 16 siyo mchezaji analetwa akiwa hajulikani hata Ushindani in League hakuna..Sa ingine Punguzeni Mzuka na Ushabiki kwenye ishu za Development in Football
@FadhiliMgeni
Ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅
@HalidMuhammad-gi9qy
Ай бұрын
Mkome na bado makolo.ball itembee nyoko
@HABIBHASSAN-wf5mr
Ай бұрын
GB 64 TUELEZE ULIWAHI KUONA TIMU YEYOTE ILIYOWAHI KUSHINDA MECHI 5 ZA UGENINI KWA MSIMU MMOJA KAMA YANGA ? HIYO ALHAL ALIPATA UBINGWA BILA KUSHINDA MECHI YOYOTE UGENINI... 9:49
@mtekelechapemba5501
Ай бұрын
Mgunda alitakiwa apendekeze yeye nani wa kuwa msaidizi wake, siyo kumpangia msaidizi. Maisha magumu hakika
@rynerlinuma8484
Ай бұрын
Uko sahihi
@bakarirajabu3783
Ай бұрын
Wee GB 64 kaa kimya Wana kusikia utaswenkwa ndani kaa kimya punguza mdomo my wetu
@GucciJackson-sw6pg
Ай бұрын
😂
@daudimichael7338
Ай бұрын
Huyu nshambaa nini?😂
@josephgalandu128
Ай бұрын
Hahahaaaaaaaaaaaa NDUMILA FC
@f.a6043
Ай бұрын
Chura fc🐸🐸 utoh
@HalidMuhammad-gi9qy
Ай бұрын
Wakiletwa hao unao wataka utachangia shilingi ngapi au domo tu changia basi
@dstaroficial
Ай бұрын
We nawe mchawi tu kwahiyo wana ela y kwenda dubai timu nzima halafu washindw kusajil iv unafkiria kwel
@magubomagubo2157
Ай бұрын
Huyu GB 64 anafaa kuwa kiongozi wa Simba ili Mambo yaende sawa
@mwanangusana
Ай бұрын
@@magubomagubo2157hii ni kauli yako 😂😂 au umenong'onezwa na shabiki wa yanga ?? Jiangalie wewe sio Kila anaevaaa miwani ukazanii anawez kuvaa viatu vya mangungu 😂😂😂 hata iyo nafasi ya 3 mtaisikia
@user-my7zv3nv6u
Ай бұрын
Acha zako ukweli lazima usemwe wewe
@daudinyello4033
Ай бұрын
ACHANA NA SIMBA UTAKUFA KWA PRESHA JOMBAA
@yunusimchala6569
Ай бұрын
Huyu jamaaa hana Akili hachangii hata mia toast hela fala ww
@user-fg1gg3ec2o
Ай бұрын
Gala niwewe
@user-po7md8vx3s
Ай бұрын
Chamsingi vuneni mlicho kipanda kelele za nini
@Franccoz
Ай бұрын
UTALIA SANAA BILA MO DEWJI KUONDOKA TUTALIA SANAA,HATOI HIYO HELA ANADANGANYAA WATUU
@sikandarsuleimanTV
Ай бұрын
Akiondoka Mo Dewji utaenda wewe kuwekeza na ulikua wapi hapo kabla ya Mo Dewji kurudi Simba SC?
@user-uv2co3mx9c
Ай бұрын
Unaongea utafikiri unahela ya kusajiri wewe kaa kimya uwaache viongizi wako wa fanye kazi ya kusajiri.
@BensonMigera
Ай бұрын
Acha uongo wewe historia hujui baca vs psg 4*1 6
@EmmanuelNyinyigwa
Ай бұрын
Acha uwongo baca alipgwa yumbani 4. Na psg. Marudiano baca ilimpga psg 6. Bila
@FranceYohana-eg5zd
Ай бұрын
Huyu Kuna mida bang
@mbukumagiubukumagu406
Ай бұрын
Inaumiza sana Mwanayanga kujifanya Simba kajificha sasa hivi anajitokeza
@johnurio9151
Ай бұрын
Pesa unatoa wewe?
@thomasmwambe4372
Ай бұрын
Psg na baca.... Acha ujinga wewe mbumbumbu..
@user-uw5oh5yy5m
Ай бұрын
Huyu mlevi hana lakuongea😂😂
@f.a6043
Ай бұрын
Kama ww hapo umelewa chakarii🐸🐸🐸👈🏽😂
@abuuzaifal2479
Ай бұрын
Brother mbona ww shabiki wa ushindi tu huo ushabik maandaz
@daudinyello4033
Ай бұрын
HIZO NI HISTORIA ZA KIJINGA
@AminaMsimbe
Ай бұрын
Hahahahahaha mtabaki na historia Sasa hivi ni ubora siyo uchawi enzi hizo unazozisema mlikua mnategemea ndumba Sasa hivi ni kuchukua wachezaji Bora siyo mganga bro
@estonsaimon6671
Ай бұрын
Hii inayoiongelea mbovu ikashinda 7 na 6 huoni kama wapinzani ni mdebwedo zaidi
@noahkamteketegondwe8331
Ай бұрын
Hee situlisema hii ndio simba tunayo ijuwa
@lazaropeterkatikaza9342
Ай бұрын
Mimi ni Simba"ila jamaa amezidi ujinga,sasa sasahivi kuna dirsha la usajili,kama tumepotea,Basi tusubili msimu ujao
Kuna wkt jamaa acha kuongea; upo msemo mmoja wa wazungu unasema; No research no write to talk....... Hv Che Fondoh sio beki bora wa msimu uliopta kwao Cameroon? Owk Fred mpaka anaondoka Zambia alikua anaongoza kwa ufungaji ktk ligi! hv tukkumbuka nan alikua anamfaham Gerson Fraga wkt anakuja Simba, au nan alimfahau James Kotei kabla hajafka Simba; yule Mganda jirani yetu (Thadeo Lwanga, eng) je wkt ule anafka Mapinduz nan alikubali aendelee kuwepo, wote si tulisema hamna mtu pale lkn vp alipotulia si ilikua historia mpaka leo tunamkumbuka; yote tisa kuna mtu aliwah kumsikia Chama b4 hajafka simba? Bro acha kuongea upuuz bhana; unaowasema wote bajet zao ni kubwa kwanza gharama za usajili lkn pia mishahara, je tunasema mashabiki tunaweza wkt viingilio vkpangwa vkubwa ktk Simba Day tunalalamika kwann viingilio vkubwa wkt hii ni siku ya wanasimba kufurah na timu yao ila hatuangalii gharama zilizotumika kuandaa hyo event yenyewe. Simba wkt inawasajili Boko, Kapombe, Manula, Nyoni kutoka Azam walishacheza Klabu bingwa Africa mara ngap? hawakuwa hata na huo unaoita uzoef ila wote hao uzoefu wameupatia simba. Inaoneka kuna v2 kweli unavjua lkn bado hautosh kwenye mfumo, vng hauvjui bado.
@AzizMangara
Ай бұрын
Jitathimini, kwanza, na umuelewe, wachezaji wazawa hao uliowataja na wengine, wanacheza kwa jihadi, hata kapombe na shaabalala kwa mda waliocheza ingekuwa wakigeni kwisha, ila wanacheza jihadi japo wanamapungufu ya kutumika saana., Huyu Jb64 anawazungumzia wachezaji wa kigeni wanalipwa PESA nyingi alafu perfomacy akunana. Sasa si Bora tusajili wazawa hatatukiishia robo sawa. Sasa Kila miaka robo, Kuna maana gani ya kuchukua wageni!! Mfano Yanga mbaka wanafika hatua zile wageni wanamchango mkubwa
@blackwarrior-animations593
Ай бұрын
Kwahiyo Makolo hili ndio Shabiki lenu lenye Mvuto 😂😂😂😂... Kweli Makolo ni tawi la Yanga 😂
@blackwarrior-animations593
Ай бұрын
Kwahiyo Makolo hili ndio Shabiki lenu lenye Mvuto 😂😂😂😂... Kweli Makolo ni tawi la Yanga 😂
@blackwarrior-animations593
Ай бұрын
Kwahiyo Makolo hili ndio Shabiki lenu lenye Mvuto 😂😂😂😂... Kweli Makolo ni tawi la Yanga 😂
@blackwarrior-animations593
Ай бұрын
Kwahiyo Makolo hili ndio Shabiki lenu lenye Mvuto 😂😂😂😂... Kweli Makolo ni tawi la Yanga 😂
@blackwarrior-animations593
Ай бұрын
Kwahiyo Makolo hili ndio Shabiki lenu lenye Mvuto 😂😂😂😂... Kweli Makolo ni tawi la Yanga 😂
Пікірлер: 114