Barikiwa mtumishi wa Mungu. Hizo points za injili ulizozimwaga hapo ni msingi wa Imani. Songa mbele na BWANA AKUHIFADHI NA KUKUINUA SANA.
@annaezra2344
2 ай бұрын
Imemuuma geor devie maan mungu kawainua watumishi wake kazi yake kugawa hela
@rweumbizalugaimukamu4905
2 ай бұрын
Geor devi sio Mtumishi WA Mungu
@OS-pf6op
2 ай бұрын
Wewe uko vizuri sana na unaeleweka, sahihisha upotofu wa tafsiri ya neno la Mungu! Kakitu kadogo ndio vya Mungu! Hauko kimaokoto!
@annaezra2344
2 ай бұрын
Jamani Hawa mabinti kwanza wamevaaje duuh, roho ya yezebeli kwanza huyo geor devie, hajawahi kukemea dhambi nasikia hasira nikimsikia Hana mungu anajua anayemtimikia
@sarahshayo-wo4hg
2 ай бұрын
Uko vizuri saana nakufuatilia Mtumishi WA MUNGU songa mbele usikatishwe na maneno ya watu mti wenye matunda lazima urushiwe mawe
@hopeeli9641
2 ай бұрын
Kwani Samuel alijaa mkononi? Je Nabii Yeremia amejaa mkononi? Anajitoa tu ufahamu. Kuna mambo Mungu Anawaficha wenye hekima na kuwafunulia watoto wadogo Mathayo 11:25. Manabii wazee Wanatakiwa wajifunze kwa kuhani Eli na Samuel, waache kujimwambafai.
@lucaskiswizah7097
2 ай бұрын
Dharau,siyo tabia ya Mungu. Kudharau kinyonge,ni hatari. Mungu amejionyesha kwetu akiwatumia vijana,akiwaita vijana. >Yeremia >Daud >Samwel >
@odiliaamnaay4429
2 ай бұрын
Huyu baba anafikiri yeye ni Mungu anagawa yeye. Bwana amewaweka Manabii wake kwa kusudi lake. Unabii wake ni wa kishetani. Mpumbavu Mkuu.
@matiredms917
2 ай бұрын
Mwalimu Jacob isiogope mapepo ya Geodaev. Nabii Yeremiah anatuambia kwenye Sura ya17:9-11 ambapo neno linasema:"Amelaaniwa anayemtegemea Mwanadamu.....na Amebarikiwa anayemtegemea Mungu". Wewe unasema kweli na kweli itaweka huru mtumishi. Usiowaogope hao.
@lucaskiswizah7097
2 ай бұрын
Dharau,siyo tabia ya Mungu. Kudharau kinyonge,ni hatari. Mungu amejionyesha kwetu akiwatumia vijana,akiwaita vijana. >Yeremia >Daud >Samwel >Bonnke >Yusufu
@victoriamtangi3287
2 ай бұрын
Mbona wao wakitowa nabii wanawapa mbele za watu wa nakwambia ww uwafuate wivu tu hivyo vita Sasa mtumishi ww ongea tu kule kitu Mungu anakuonyesha
@lucaskiswizah7097
2 ай бұрын
Mungu akibariki Sana na ainue utumishi wako. Umejibu vizuri Sana,kwa Neno,kwa mifano thabiti. G.Devy,Ngurumo ya upako,anajisahau alikotoka,anaiacha kweli ya Maandiko
@odiliaamnaay4429
2 ай бұрын
Wakenya bado wako mtaani yeye anasema amani. Unabii wake umefubaa. Mbona hakuwatabiria kabla ya hizo ghasia za Kenya.
@HAAM670
2 ай бұрын
Mtumishi hauko peke yako unayetabiri/uliyetabiri mambo ya nchi. Kuna Manabii Wengine wengi wanatabiri the same message. Akina Nabii Edmound Mystic, Samwel Rolinga, Deo Njeni, Prophet Sanga, na wengine wengi tu. Sasa hili la kumkufuru Roho Mt kwa huyu Baba yetu nadhani ameghafilika tu, inatakiwa kumwombea amalize mraba wake salama. Mungu aturehemu. Muhimu pia kuzingatia, kila Nabii ana zama zake. Huwezi kuwa Nabii Mkuu zama zote, Kulikuwa na zama za Nabii Eliya, Elisha, Samweli, n.k, n.k
@user-yd4et4sd9b
2 ай бұрын
Kweli, watu wamepotea, MUNGU tusaidie.
@Leeeeeeee-96
2 ай бұрын
nabiii piga kazi achana na kina geo hawo kila mtu ameitwa kivyake kwaiyo kila mtu na wito wake 😂😂😂
@janengaga2928
26 күн бұрын
Acha kikombe kijae vizur ili ghadhabu ya MUNGU itokee juu ya nchi.Maana hata mwenyewe Mungu hapendi malumbano kati ya watu wake.
@adriannebatakanwa6904
2 ай бұрын
Duuuuh! Aiseee.
@davidmalogo7100
2 ай бұрын
Jamani ivi hao mabinti uvaaji Gani huo nawekaa wamepachika miguu pamoja miguu haijafunikwa halafu wapombele ya huyo manaesema nabii mkuu mbona sisawa jambo kama hili kuonekana kanisani ,Yani mi sielewi hili nikanisa au
@beatricemortensen8533
2 ай бұрын
Mtumishi Jacob usiogope, yaelekea huyu Jodev hata Biblia sijui.
@elibarikimollel7149
2 ай бұрын
Manabii wengine wengi waliotoa unabii nyakati hizi na yakatokea, walikua wanakwenda Ikulu za hao wasioamini? Ona Mungu alivyo na uwezo mkubwa anavyowafunua manabii waongo! Ole!
@hopeeli9641
2 ай бұрын
Acha kikombe chake kifurike vizuri ili aazibiwe vizuri.
@isayamwashibanda5819
20 күн бұрын
Bibili inasema ajikwezaee atashushwa ajishushaee ata kwezwaaa
@victoriamtangi3287
2 ай бұрын
Wamezowa kuwaambia watu wachawi mbele za watu mbona hawawafuati pembeni 😂
@HappynessmafuruMafuru
22 күн бұрын
Songa mbele pasta
@florianakhweso5749
9 күн бұрын
NABII MKUU HAJAONGELEA UDOGO WA MWILI AU UMRI BALI KWENYE ULIMWENGU WA ROHO UNAKUTA MTU HATA HAONEKANI HALAFU ANATULETEA NDOTO ZAKE ZA KITANDANI NAKUTOA UNABII WA TAIFA AU HATA WA MATAIFA
@elibarikimollel7149
2 ай бұрын
Mtumishi Jackob usimjibu anayekudhihaki kama vile yeye hakuanzia kwa Kristo! bali soma maandiko asikie,kisha achana naye songa mbele kwa Jina la Yesu Kristo wa Nazarethi aliyekutuma, toa maono wasikie wasisikie ni juu yao...
@annamfinanga3944
2 ай бұрын
Nyumba moja yanini kugombea fito!!!
@user-jf2gp7wb9i
2 ай бұрын
Acha uwongo kwani ugomvi wowote ukitokea mbele kuna suruhisho acha kudanganya watu hubirini ufalme wa Mungu sio siasa
@kepharichard4183
Ай бұрын
Huna akili wewe, Kama unasali kwa huyo Freemason wako kojoa ulale
@kigongomasalu7402
2 ай бұрын
Mwl Jacob chapa mwendo achana na watoto wa baba Yao Lucifer
@florianakhweso5749
9 күн бұрын
Kwani wewe unaejitolea unabii na sio nabii huoni Sasa peace and stability inaenda kutokea kama alivyosema Nabii mkuu
@lucaskiswizah7097
2 ай бұрын
Upo wakati Nabii Mkuu,aliiponda Biblia hii anayoitumia kwamba ilishachakachuliwa. Huenda kwa sasa ana misingi mingine ya utumishi wake
@user-cw3vu8mu3k
2 ай бұрын
Tatizo siyo unabii hapana ni discipline kwa sasa kila kijana anajiita nabii na kutoa toa unabii usio na maana siku moja nilikuwa namwona kijana mmoja anatoa unabii kwamba dar itazama adi mvua imekatika dar haijazama na aliwatangazia watu kuhama na wengine wakahama
Пікірлер: 38