Huyu mama nabii Cindy ni Mu Amerika ana Kanisa lake Amerika ni mhubiri namfahamu mda mrefu pamoja na Joyce May ni wahubiri wakubwa huko Amerika USA. Amesema ukweli mtupu sio wa kutunga ni kutoka kwa Mungu Mwenyezi. Amesema ukweli kwa nchi zote mbili tumesikia na tumepokea huo unabii. Mungu Atukuzwe sanaa.
@Foodarmy2012
21 күн бұрын
Inawezekana kabisa mama Samia àkasema Yesu ni Bwana Kwa Mungu yote yanawezekana.
@aframhenga8705
23 күн бұрын
Na Iwe hivyoo kwa Damu Ya Yesu kristo, Na Mimi kama Rungu LA Bwana Yeremia 51...soma tote, Na Mtumishi Joseph at Gwajima kwa mkono wa Bwana Tunakuingiza ikulu, Tanzania ni nchi ya Kiagano kwa Mungu mkuu, nimeshasema na imekuwaaaaaaaa
@Mima-cl2im
22 күн бұрын
Iikulu haingii pengine motoni kwa kudanganya waumini wake
@StellaLwesya
21 күн бұрын
Kama nimoton bc utaongozana nae@@Mima-cl2im
@victorialubwaza1583
20 күн бұрын
Kwa Mungu yote yanawezekana na hakuna jambo gumu la kumshinda Mungu
@glorymakula
11 күн бұрын
Hallelujah hallelujah 🙏🙏 nimebarikiwa ktk hilo,
@shinshi9696
15 күн бұрын
I hope gwajima awe rais wa 🇹🇿
@HAAM670
23 күн бұрын
Haleluya, haleluya, kwakweli nabii mke wa kizungu analeta amsha, amsha ya kumtukuza Bwana. Tanzania shall be saved!!!
@PhaustineJoseph-w1p
23 күн бұрын
Mungu alitimize Nemo lake
@JacksonFrances
23 күн бұрын
😅😅 Wengi Wako Kimya Mabaya Yakiendelea Ndo Maana Tutaendelea Kulia Miaka Yote Maana Hatujui Kujipigania, Tumejaa Nidhamu ya Woga "
@glorymakula
11 күн бұрын
Mungu ni mwema sana tena na mwamini yesu
@FrankNagri
16 күн бұрын
Niliwahi ota Samia anaachia madaraka mwenyewe kabla ya wakat wake kuisha
@godwin5884
16 күн бұрын
Jamani jamani, ebu tumieni maarifa, kila awamu ya kuchukua urais wanapokezana akitoka muislam anafuata mkristo. SISI WOTE N WAMOJA HAKUNA WA APOLO WALA PAULO. SISI WOTE NI WA MUNGU. BWANA YESU APEWE SIFA
@EliaFrank-i7e
12 күн бұрын
Nchi imeharibika angalia kwa jicho la tatu Mungu hawez kuiacha Tanzania
@RehemaMtono
23 күн бұрын
TANZANIA ni nchi teule
@HAAM670
23 күн бұрын
Kuna prophet Sanga, prophet Deo Njeni, hawa wameongea kwa hofu fulani ila ukiwa ni mtu unayefuatilia mambo ya kiroho unaelewa kwamba walitaka kusema nini. Mungu aivushe nchi yetu salama. Hakika Mungu hafanyi jambo lolote, pasipo kuwanong'oneza manabii wake. Amos 3:7. God bless Tanzania.
@neemasanga5333
18 күн бұрын
Malamute wazili mkuu ni mtumishi Wa Mungu, huyo mbwa mfu, anatoka wapi.
@neemasanga5333
18 күн бұрын
Unaroho YA shetani majini na Mapepo, ndio maana huwezi Kumsema Poul makonda, kama Pemo alilo liamuru kwama Limtoke mja mzito likamwingiye Anayeitesa Dar likamwambia Huyomtu hangiliki.
@LodvolaLameck-jl5vs
22 күн бұрын
Mtumishi nakupenda kwa aina ya ujasiri ulionao Yesu Kristo akutunze
@MichaelMatiku-v7o
12 сағат бұрын
Ninamuona dk gwajima akiipeperusha bendera ya tanzania 🙏🙏🙏
@mikbete
22 күн бұрын
Mwl. Steven Jacob Mungu akubariki kwa ujasiri wa kusema kile unaambiwa useme. Sio rahisi!
@sabinaboas6760
23 күн бұрын
Na hii roho ya kiarabu ife kwa jina la Yeeeeeeeeeesu
@conradsayi9179
16 күн бұрын
Mungu akubariki sana mtu wa Mungu, nabarikiwa sana kwa Maono na Jumbe zako Barikiwa sana.
@ezrakaturitsaofficialtz7873
22 күн бұрын
Mungu utuponye na Roho ya utekaji na mauaji
@mosesg.pendael8381
23 күн бұрын
Pasta em tupumzishe kwanza na mambo ya Gwajima. Ana doa kubwa, kuhusiana na jinsi alivyochukulia suala lake na Makonda. Tunajua unatamani iwe ivyo unavyosema, lkn kaharibu. ISIPOKUWA. TANZANIA INA WAKRISTO KWA MAELEFU, WAZURI. WANAOWEZA KUWA MARAISI. SIO LAZIMA HUYO
@@mohsixtus7048 kwanza huna uelewa mzuri kuhusu neno kuhukumu. Pili unaemwongelea ni Rais, sio mimi. Sasa wee fanya makosa yako hayo, halafu kagombee uongozi ndugu. Wacha mzaha.
@pamelaouma6400
23 күн бұрын
Hamna mtu anaweza Kuwa mudu Hawa wanasiasa wa tz isipokua gwajima elewa hivyo
@mosesg.pendael8381
23 күн бұрын
@@pamelaouma6400 ni sawa. Lakini nani anampigia kura? Au mnamuingiza kwa nguvu? Au matamanio yenu yanatosha kumfanya awe Rais?
@LodvolaLameck-jl5vs
22 күн бұрын
@@mosesg.pendael8381 Mungu hamchagui mtu kwa sababu ya historia la sivyo Paulo mtume asingestahili kuitwa mtume
@norahfrank
21 күн бұрын
Amen, Amen. Let it be done in Jesus name. Tanzania will be saved totally. Hoyeeeeeee and big up forever and ever
@Upendo-gd6fn
23 күн бұрын
kaka Yesu akulinde, hawa watu wasio julikana wasikupate.
@jicholafursa7058
23 күн бұрын
Kwanini unamlisha maneno mtumishi wa Mungu, wapi ametamka Gwajima?je sisi Wakristo situnapaswa kuwa na hekima kuliko mataifa!
@tumainimoshi1186
23 күн бұрын
Yesu sio mkristo bali Yesu ni Kristo....Yesu hakuleta dini duniani...alikuja kwa ajili ya wote wakristo na waislamu na wasio na dini...alitufia sote...wale waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika wana...ukristo ni mahusiano ya mtu binafsi kati yake na Mungu na sio dini ya mtu.
@mariamfaicalhassan2890
23 күн бұрын
Wale wamfuatao ndiyo wa kristo
@TeloAwor
22 күн бұрын
Wonders shall never end msipoteshe habari. Haihusiani na Gwajima. Mungu ndiye amemuinua Samia. Huyu mm amesema kuna mtu atajua jina la Yesu hajaisema lini? Inaweza kuchukua miaka mingi sana.Acheni MIHEMKO. Usimchafue hy mm wa kizungu .
@brightergermanus2163
23 күн бұрын
MIMI NILISHA MWAMBIA TANGU TAR 5/11/2021 SAA 1:15 ASUBUHI 2022 NILIMWAMBIA TENA MWAKA JANA PIA NILIMWAMBIA YEYE MWENYEWE KWA MESEJI AMIN AMIN KWA JINA LA YESU KRISTO AMIN
@gracekinyaki2376
23 күн бұрын
Asante Mungu jitukuze.
@HAAM670
23 күн бұрын
Yes, yes upo mtandaoni tangu juzi hapo tumeusikiliza, tunamshangilia Bwana. God bless Tanzania, God help our president SSH in Jesus name. Mtumishi huu unabii is just a confirmation, kuna Prophet Uerbert Angel alisema alipokuja Tz June- July 2023. Kuna several Prophets wa nje na ndani ya nchi wamesema the same thing. Prophet S.S. Rolinga, Prophet Edmound Mystic, Deo Njeni, Musa Meizon, etc etc
@Daudshatta-zu4kq
23 күн бұрын
❤
@healingclinic698
23 күн бұрын
Itakuwaje Mtumishi haya majitu yameshikilia mitazamo Yao hayataki kukubaliana na Mungu
@noelmbosa2736
23 күн бұрын
Amina mtumishi barikiwa
@EllyMarua-ge8rf
10 күн бұрын
Hawajaitwa kusema bana achana na mwakasege bhana ww tueleze ww ulioambiwa ww
@mackfasonmoshi4629
17 күн бұрын
Genuine prophecies will never predict who is gonna win a certain political race...? Mighty God Help us....
@franksingano9504
23 күн бұрын
Amen Mtumishi nimeona pia watumishi kama wa nne wamesema hvo
@christinenyagiro6662
17 күн бұрын
Tafadhali Samia ana uwarabu ndani yake hata kama alijikuta yuko Zanzibar yeye ni mwarabu katika roho yake kabisa.Mungu wewe uliwapa Warabu sehemu yao na sisi ulitupa hapa Tanganyika kama huyu mwarabu anawagawia Warabu shughulika naye Mungu wetu.
@OlivreKimario
23 күн бұрын
Yesu Kristo ndie Bwana na atafanya kadiri alivyokusudia Amen
@dismasmtui965
9 күн бұрын
Hongera sana mtumishi
@janengaga2928
20 күн бұрын
Mwenyezi MUNGU atatupa Rais amtakaye.Tena mwenye kumpenda MUNGU . Tanzania itabarikiwa sana.Tuombe Uzima.
@mariamfaicalhassan2890
23 күн бұрын
Yes We need Gwajiboy
@SadockChessa
22 күн бұрын
Unabii wa mzungu hajamtaja kiongozi yeyote,kwa jina. Ila Mungu atamwiinua mtu sahihi il asimamie haki 🇹🇿 Tanzania
@caritasmushi8896
21 күн бұрын
Mungu atusaidie na kuilinda nchi yetu nzuri
@mikbete
22 күн бұрын
Josephat Mathius Gwajima mwenyewe nae ndie aliekuwa wa kwanza kujua kua siku moja atakua rais. Ndio maana hajawahi kuacha kusema Tanzania mpya inakuja. Tanzania ya haki na yenyekumcha Bwana.
@moddysunshine6618
18 күн бұрын
Mtumishi tukumbushe ile ahadi ya Gwajima kununua grader kwa ajili ya kutengeneza barabara za Kawe iliishia wapi? Pia ile ahadi ya kuwapeleka wananchi wa jimbo la Kawe kwenye lile jimbo la America safari yao itakuwa lini??? Ule muda tulioambiwa kuwa watakuja Manabii wa uongo umeshatimia
@ApostleDaniel-z7l
15 күн бұрын
Safi sana kaka kazi iendelee
@ibunikalikenya9219
18 күн бұрын
Mtumish kweli kanisan hata Mimi nimefunuliwa kuhusu uyo mwarabu na nikaonyeshwa kunanyakati za Atari zinakuja juu ya uyo mwarabu
@sabinaboas6760
23 күн бұрын
Kabisaaaaaa wachawi hawafai ndio maana kiboko ya wachawi alikuwa anawateketeza,wachawi hawafai ndio maana Mungu alisema usimuache mchawi haishi
@DaressalaamTv-rb2io
12 күн бұрын
Amina
@LeocadiaDominicus
23 күн бұрын
Amina.Baba ukweli unakuweka huruuuuu
@abdullramadhanii626
10 күн бұрын
Wacha udini muombee mungu akuepe hekima
@michaeljohn6136
23 күн бұрын
Kutoka ndani ya mtima wangu,jitie nguvu mteule Bwana yuko nawe.
@floramsacky3929
22 күн бұрын
Neno la MUNGU likatimie kwa nchi yetu ya Tanzania I love my Country Ngwajima akiwa Rais tunamshukuru MUNGU
@rukiaismail
2 күн бұрын
Acheni kumzihaki mungu nyinyi ooo mta aibika sikuzamwisho
@MamaLio475
19 күн бұрын
❤❤❤Gwajima🎉🎉🎉
@editasikabenga3517
21 күн бұрын
I don't like these mnampa wakati mgumu sana bishop.
Naomba usimame katika maombi NAMI nipo Yuma yako kwa maombi
@FreeGod368
21 күн бұрын
Hili meliskia kua awam ijayo rais atakua ameokoka ila aspokua bas ntajua ni drama za ukristo..
@Hapomwanzo
20 күн бұрын
It's my prayer always, Tanzania to be a God's nation and I believe its possible, no longer this going to happen.
@sabinaboas6760
23 күн бұрын
Good question mog
@aminasamwe6152
17 күн бұрын
Makonda❤️❤️❤️ au Gwajima❤❤
@conradsayi9179
16 күн бұрын
Ni kweli, Mungu amekusudia Jema.
@festinamwakipale3919
15 күн бұрын
Muda wa kuwa mfalme upo sio kilahisi kama files zako zijuavyo muda mfalme huwa.anapikwa na Mungu
@sabinaboas6760
23 күн бұрын
Powerful Powerful statement
@charlesnyanhanga4382
23 күн бұрын
Nakuelewa sana mtu wa MUNGU
@FrankNagri
16 күн бұрын
Grory to god
@SophiaTafuna
23 күн бұрын
Yaani Tanzania kweli wachawi kila kona
@alexKasanda-if5xl
14 күн бұрын
No body can believe what is going to happen in Tanzania 2025 the all we expect can not be them but there is one who fear for God and he is going to take position inshallah
@sabinaboas6760
23 күн бұрын
Thank you 🙏 Lord Jesus
@PonsSalimu
17 күн бұрын
Amen
@Montana12-v2c
15 күн бұрын
Kama mnasoma comment Nasema hivi gwajima hajapewa kibali cha kua Rais na haita kaaa tokeee Kama mnataka ote tuwe watoa unabii tutaanza kuogopesha watu kwasabu wengine tuna karama ambazo hata shetani mwenyewe anaogpa anashtuka Kama mgungu hakunionesha kifo cha magufuli mara mbili Kama Mungu hajanionesha ajali ya moto morogoro Basi nitarudi hapa ila gwama hawezi kuchukua hata form ya kugombea Urais
@phillipmasungwa7365
22 күн бұрын
SUALA LA GWAJIMA KUWA RAIS HILO SILIONI KABISA TOKANA NA HALI YA MAZINGIRA YALIVYO NDANI YA CHAMA HANA UMAARUFU WOWOTE HATAKUWA MBUNGE ALIPITISHWA NA MAGUFULI HAKUSHINDA HUO NI UNABII WA UONGO ; IKITOKEA NITAMUOMBA MUNGU ANISAMEHE.
@YustoMlay-cv4zb
20 күн бұрын
Kabisaaa
@christopherkanyalakc8941
16 күн бұрын
Continue 🎉🎉🎉🎉🎉
@JakoboKazilo
20 күн бұрын
Iwe kweli basi jaman gwajima achukue nchi maana mama samia mi simuelewi kabisa
@neemasanga5333
18 күн бұрын
Rais wa misukule, inawzekana Wewe ni miongoni mwa misukule. Mwendawazimu wewe, kama Shetani huyu amefanya kitu gani Kwa miaka minne, achani ujinga Wenu na mihemko yenu. GWAJIMA anahusika wapi hapo Pumbavu wewe, njia za MUNGU Hazichunguziki.
@christinenyagiro6662
17 күн бұрын
Kwani Wanaosema Yesu ni Bwana wako wengi Tanganyika. Umeisha tuambia sisi ni kuomba kawa sababu tumeteswa sana. Hata sisi tunsvyoomba atatufunulia la kufanya.
@SmilingCityMap-xb9md
19 күн бұрын
Mungu anaweza yote huyo samia anaweza kutuongoza kwa msaada wa mungu mungu hutumia hata mawe acha udini pelekeni udini kwenu huko lubumbashi hapa tanzania hatutaki huyo unaemsema akiwa rais mabinti zetu tutawaficha uvunguni msitumie madhabahu kutugawa watanzania haututaki kugawanyika ee mungu ibaliki tanzania mbaliki rais wetu mpendwa samia suluhu hasani mpe maisha malefi mpe hekima kulivusha jahazi letu zuli salama salimini
@MichaelDaudi-p7k
21 күн бұрын
Mungu atuongoze itimie
@christinenyagiro6662
17 күн бұрын
Lakini mtumishi tunaomba kama umeambiwa wewe usiwalazimishe wakina Mwakasege. Unataka aseme uongo? Tafadhali kama wewe unaunabii huo usiwalazimishe waseme uongo.
@billionaireoswardkanyala1307
23 күн бұрын
Mtumishi na wewe pia unahitaji ushauliwe jambo... sio kila mtu kapewa ulichopewa wewe kama wewe ukijionz unaouwezo wa kusema kwa niaba sema lakini swala la kusema sjui flani na flani wajifanya hawaoni hiyo tabia nakushauri acha.. jitahidi sana ubinadamu wako usiingilie uungu wako hakikisha unasema kile Bwana kakusukuma kusema bila kumkanyagia mwingine japo najua utakataa lakini UPENDO hukubali yote na haukosi kuwa na Adabu kwahiyo jitahidi.. na next time ukiwa unatoa unabii jitahidi usijaribu kuwaonesha watu kana kwamba wengine hawafai we ndo ndo unafaa sana au wengine hawafanyi wewe ndo umefanya sssa si ndo tabia ya Mungu ilivyo akikupa hujumbe ukikaa kimya snainua mwingine jitahidi sasa kusimamia unabii wako bila kuwagusa wekine utaonekana unahekima sana acha mihemko mtumishi.. barikiwa sana
@merumount5988
22 күн бұрын
Haya ni maneno yako? Chukua anayosema km yana ukweli au si kweli..kuliko kumpangia nini aseme na nini asiseme.
@user-qc9jf6rn7u
23 күн бұрын
Huo siyo unabii ni ndoto za kawaida. Mitano tena kwa Samia.
@PrinceHendry-hp8vv
18 күн бұрын
Sithani
@BennBenn-es5fi
19 күн бұрын
Embu tuombee Mungu atupe kiongozi sasahihi tuache kulishana maneno
@sabinaboas6760
23 күн бұрын
Tena wengi tuu mambo mabaya hawayakemei mtumishi wa Mungu
@AzizaMohhamed
23 күн бұрын
Munguu mwema ajee atuteteee watanzaniaa ,,
@userwalterreal
17 күн бұрын
Mm kweny una bii sija elewa Ila mm naona kweny watumishi wamungu kufungia macho Mambo ya uov Kama ushoga na mengine apo wanafeli
@sabinaboas6760
23 күн бұрын
Kabisaaaaaa mtumishi wa Mungu
@janethmwihumbo1289
23 күн бұрын
Kama Bwana aishivyo unabii huu utimie
@gidionmongi9873
22 күн бұрын
Amen hakika tutashida
@hafsalucky1088
23 күн бұрын
Bwana akatutendee sawasawa na Mapenzi yake
@anthonylaban4943
19 күн бұрын
Usiweke mkono mfukoni......... ila habari hizi ni kweli na amina. Ezekiel 21:27
@dorcaskomba-z4q
18 күн бұрын
That's not a prophecy
@davidbochela1441
21 күн бұрын
Haya ni maoni yake,na Bwana Yesu hajawakilishwa popote hapa.
@DottoKagoro
21 күн бұрын
Kwahiyo alimtaja Gwajima? Mungu amejisazia watu wengi wanaomuabudu katika roho na kweli.. mnamlimit Mungu kanakwamba Gwajima ndo muamini pekee..
@SadockChessa
22 күн бұрын
Ukweli umekuwepo ukimya kwa wakuu madhehebu katika matendo maovu
@tumainipeter458
22 күн бұрын
Hakika Mungu atatutetea Watu wake
@user-ix5jq9ks6q
23 күн бұрын
Hallelujah 🙏🙏🙏
@PrinceHendry-hp8vv
18 күн бұрын
Kuna jambo lita tokea La ajabu sana linakuja msishangae kabisa samia asiwe rais 2025 Mungu niwa ajabu sana Acha ateke watoto wa watu mwisho Yuko adonai atasimamia hili
@UpendoMwakyusa-hp6lg
20 күн бұрын
Sasa wewe mtu atasema kitu ambacho hajaambiwa na Bwana we unauhakika gani kuwa mw mwakasege kuwa kasemeshwa na Mungu ebu mwacheni Mungu afanya kazi yake acheni kuangaisha akili za watu
@mercyfulmndeme7329
23 күн бұрын
Amen, Amen, Amen❤❤❤
@Wamisangi
21 күн бұрын
Manabii wa uongo wako kazini wanasaidiana. Mungu yupi huyo unaye mtumikia??? Asheraa Dangoni eeeh, baal miungu ya kigeni, wameanguka, wamevunjika.... Mungu wa Mbinguni ni Mmoja tu.
Пікірлер: 220