Sio kenya , hata Tanzania ndio uozo mtupu. Mama na kina mwigulu.nchemba na ccm wote waondoke kama inavyoendelea south Africa, tumechoka kunyonywa damu
@missp1814
3 ай бұрын
Wacha warelax tu muda utaongea😂😂....
@BenPeter-vp2cy
3 ай бұрын
Ndo alisema kama atutaki tozo twende rwanda .
@fatmabukuku5384
3 ай бұрын
Vijana wa Kenya wametoa funzo kubwa sana kwa vijana wa nchi zingine za Africa.
@Africaamkenitznawenuso
3 ай бұрын
Yah is that true.
@BenPeter-vp2cy
3 ай бұрын
Hususan kwetu Tanzania tunapaswa kugeuza uoga kuwa courage kunakiongoz alitutusi kwa kusema tuamie rwanda asee dah
@jeremiahcharles6027
3 ай бұрын
Hadi vijana wa hovyo nao???😁😁
@BenPeter-vp2cy
3 ай бұрын
@@jeremiahcharles6027 wote
@leonardyona1462
3 ай бұрын
Hasa Tanzania
@benoseaone
3 ай бұрын
Nimesikuliza sana Hotuba ya Ruto lakini binafsi nimeona mambo mengi. 1. Ruto amepoteza kujiamini na anajaribu kutafuta huruma ya wananchi wake. 2. Amethibitisha kwamba Serikali yake haijui nini inataka kufanya na kusimamia mpaka wakumbushwe majukumu. 3. Ameshakumbuka alichokuwa amesahau kwamba nchi ni mali ya wananchi. 4. Ruto hajui Kusoma nyakati. Finally, alipaswa kuvunja Serikali Kisha ajiuzuru kwa kuwa tayari ameshaonesha udhaifu katika kusimamia masrahi ya Taifa.
Kiongozi yeyote hata kama ni Rais lazima ukubali kukosolewa Kiongozi asiyekuvali kukosolewa hastahili kuwa kiongozi lazima aelewane na wananchi wake
@ShabanKarim-tv3vn
3 ай бұрын
❤
@BenPeter-vp2cy
3 ай бұрын
Na hapo kwenye wapinzani ku take advantage ndio unamkumbuka sun tzu kwenye art of war " when things mess around take the advantage" yani kufa kufaana.. dj sma anaelewa hii❤❤
@djsma255
3 ай бұрын
Uko vizur
@mariamhassan1723
3 ай бұрын
Kwanzo KDFaskari kazi yake ni kulinda mipaka ya nchi hawezi kupiga risasi ndani ya nchi##Ruto must go
@WazirBoy-fe5ew
3 ай бұрын
Hawezi kabisa kujiuzulu kwa sababu keshakula pesa za marrekani
@benoseaone
3 ай бұрын
Kula pesa za Marekani isiwe kigezo cha kuwabenesha raia wa Kenya mzigo ambao hawakuutaka wao. Akalipe mwenyewe
@hafidhmiraji9479
3 ай бұрын
Dj smaa we ni hatari bro daaahhh uko njema
@everrineanyango7410
3 ай бұрын
We need ruto to gasp for air,aongoze akijua anaongoza raia siyo Bibi,mamake,watoto,mpango wa kando,ruto akifaulu kuongoza hii Kenya miaka mitano basi atakua amechoka sana na kuzeeka,awe pia mwangalifu asije pigwa lisasi na security wake
@alisalimkenya3972
3 ай бұрын
Dj sma Ana PhD ya uchambuzi nimekufwatilia zamani , salute
@jeremiahcharles6027
3 ай бұрын
Duh ,,,kama wananchi wanaamua hivo ,,bila shaka kuna watu wanaifadhili hii ishu,,,kuna watu wazito wako nyuma
@evelynemugeni2369
3 ай бұрын
Ndo manaake
@ElinazaEphrat
3 ай бұрын
@@evelynemugeni2369unawezaj kufadhili mamilion ya watu
@JacksonYusuph
3 ай бұрын
Kwanza kabisa niwashukuru SNS kwa kuanzisha kipindi cha GPS na kuanza kuchambua mambo kadha wa kadha. Mliyokuwa mkiyaongea/kuyachambua siku chache nyuma yametokea. Big up sana !!
@Sidrasidra636
3 ай бұрын
Acheni kuongelea hizi mambo mna mtisha raisi wenyu Samia nasikia ........... nyie hamuoni hata Millard Ayo hame simamisha kupost😂
@Tweech
3 ай бұрын
GPS Hongera Hongera Tena kwa uchambuzi wenu ulio kuwa pansa na wasi
@brianbaltazar6198
3 ай бұрын
SNS mpo vizuri sana...
@destindjumbe8023
3 ай бұрын
Kizuri Ruto must go, wanatuleteya muswada wa kufanya Watu wateketeye hao they dont care.
@SalimKombo-xo4pq
3 ай бұрын
Samahani bro ni kimekosea kuituma hapo. Utuko pamoja bro.
@OnlyRuky
3 ай бұрын
Ruto hutuba yake sikuitegemea ilivyosema.... vile nilidhani atajiuzuru....Kenya stand up All the best mpka mpate haki zenu maraisi wa Africa iwe fundishoo kutoka Kenya
@husseinhemedi9314
3 ай бұрын
Tatizo la ruto ni kujifanya m babe kwa wananch wa kenya huu upuuuz labda kwetu tz il xo kwa Gn Z #kenya Na huku kwetu tz watoto wa 2000 kinukixheni
@KOMASAVAOG-yb1mm9fk1r
3 ай бұрын
KWELI KBX KAKA TZ WASAANI WANAMPAMBA SAANA UYO MAMA SAMIA WANASAAU KM NIMAJUKUMU YAKE ANALAZIMIKA AFANYE NA YAKIMXHINDA ATOKE KILA SIKU MAMA MAMA MNASAAU KM KIJIJINI WATU TUNA ANGAIKA YAANI KAWA WEKEYA MADARAJA DAR 2 BS MNAONA TZ IMEFANA DAH😭😭
@DaudFataki
3 ай бұрын
Watoto wa 2000 wamejaa mashoga
@husseinhemedi9314
3 ай бұрын
@@KOMASAVAOG-yb1mm9fk1rtz ni tatizo bila katiba mpya hakuna kipya
@margarethpolepole7438
3 ай бұрын
Hussein hana ubabe wowote swala kubwa nu kuelewana tu haina haja ya kuandamana hapo tatizo kybwa Wakenya wanasumbuliwa na Ukabila tu
@sonnyr1899
3 ай бұрын
@@husseinhemedi9314 Katiba mpya ndio itaondoa uvivu wa akili kwa vijana? Tuwe wa kweli vijana walio wengi wa Bongo wako bize na upuuzi, kubeti, ushoga, kumfuatilia Mwijaku na Mama Levo, vita vya Dai na Kiba. Mtu anashinda mtandaoni akiomba like kuliko kuomba kazi nadhani tunahitaji kubadili tabia zetu.
@AdelaSanka-w1q
3 ай бұрын
Mkiwa pamoja habari ndo inanoga vzr
@maidimples8236
3 ай бұрын
Tuliomuelewa dj smaa huyo mtu aloshindwa kumtaja tujuana 😂
@husseinmassawa7186
3 ай бұрын
Dah alishindwa kuwaambia polisi wasiwaue watu, kashabeba dhambi za damu za watu, honest is too bad,
@jeremiahcharles6027
3 ай бұрын
Sns tukumbushane ,,chanzo cha yote hayo ,ni kutokea kwa Muigizaji ERICK OMOND Ndie mtu wa kwanza kuibua hizi mambo na kutia nguvu ,na erick omond amekuwa mstari wa mbele sana kwa hii ishu ya maandamano ya kupinga mswada
@jedidahbintidaudi8241
3 ай бұрын
dah ila umesema kweli kabisa. ndi yeye huyu jamaa
@LitoDossani
3 ай бұрын
Samia must go😂😂
@rosekulola8355
3 ай бұрын
Hawezi withdraw financial bill amekataa kusign of which asipoipresent parliament in 14 days inakuwa law so anajifanya smart kumbe kuna wasomi Kenya
@hanifa9153
3 ай бұрын
😂😂😂
@ProdactTV-T9814
3 ай бұрын
Na parliament inaenda recess till July 24. Ruto anafikiria sisi ni mafala.
@Eng2460
3 ай бұрын
This is SnS🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪
@abdallasaid5593
3 ай бұрын
You can't advise Ruto ....Ruto is the one who advise his advisors.... huwezi elewa😂😂
@JanenyasiriOkullo
3 ай бұрын
Ruto. 2024. Gen. Z. MASSACRE. Wama. Tunalia. Sana. Hatutasahu. Ruto. Kwa. UOVU. Wake. Ole. Wake.
@destindjumbe8023
3 ай бұрын
Raïs wa AFRICA wapenda kuoneya rahiya. Hasa hawa wanao shirikiana na hawa wanyonya damu ma Beberu ya Europa na America.
@Mama-A
3 ай бұрын
First half imeisha....reject finance bill 2024 1-0 Second half..........Ruto must go
@issakibwana6497
3 ай бұрын
Moja ya mabango ya wanda manaji huko Kenya. Aliandika. Hata zuwena hajabadilika ghafla ruto amebadilika ghafla Jmn 😢
@furahachuma9039
3 ай бұрын
Haaaaa 😅
@swalehbakari2667
3 ай бұрын
Sisi atumtaki yeye iyo 2027 tuta mpeleka home 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@bbng9475
3 ай бұрын
🔊🎼✌️🫶pow kweli kaka Colorado moja✌️🔊🎼
@M7-Band
3 ай бұрын
Tatizo jamaa anajifanya so smart,but vijana wa saivi ten steps ahead of him,we cant trust him anymore. hata kama amekataa kusign,after 14days inakuwa sheria
@nomoboy152
3 ай бұрын
#SNS Naomba kujibiwa kama usalama wa taifa wanasimamia usalama kwani pesa zinavyopigwa na viongozi hawaoni kama raia ambao wanaona pesa zinapigwa kila siku amani inazidi kuwa ndogo na wao wazuie au ndo na usalama wa taifa ni miyayusho pia
@Elizabeth-gq9kl
3 ай бұрын
Watanzaniya, Huku Kenya tumeshinda , lakini bado tunasonga mbele
@jafarimnaro704
3 ай бұрын
Tuko nyuma yenu majirani
@golebenson4597
3 ай бұрын
🎉🎉🎉
@harithimahmoud1577
3 ай бұрын
ALIILANI URUSI HATIMAE MUNGU KAMLAANI YEYE 😂 RUTO NI RAIS WA HOVYO SANA
@HamiduMtandika-lc2tp
3 ай бұрын
Ally umenifurahisha eti hapitajiki D mbili kukuelew yan principles pass
@saimongilala8938
3 ай бұрын
Yan alipo kwenda kwa mashoga kuiponda urus 🇷🇺 nilimzalau sana
@Elizabeth-gq9kl
3 ай бұрын
Ushagatamu!!
@Elizabeth-gq9kl
3 ай бұрын
Yeye Huwa kigeugeu.
@Elizabeth-gq9kl
3 ай бұрын
Hapo ndio tunaenda , Alikuwa zaidi ya 150
@MohammedBwanga
3 ай бұрын
Kw mujibu wa Hali ya watu wa nchini Kenya kuandamana,Muswada ulikuwa km busty lkn kuna kitu nyuma ya pazia lkn sababu kuu ni Ruto kuna kosa kubwa kalifanya la kimkakati la kimataifa kw wazo. Langu k w kiasi flani km. Alivosema Henry mwinuka kuna generation mbili 2 X na z hii Maana yake kuna mfanano wa ideology ktk vizaazi vi2 hivi vipo tofauti na mawazo na vipindi vya nyuma.lkn ndani ya waandamannaji kuna watu Wana target au shabaha ambayo ni mbali na Muswada. Lkn. Kw nini baada ya. Kauli ya Ruto tunaona bado maandamano hayakusita?
@jamilaathumani5481
3 ай бұрын
Kaka smaa we ujuwi kumbe unasema wangeweza kukubali mapema kabla ya maafa...shida walikuwa wanapima upepo wa wananchi...viongozi bwana wanakopa mipesa mingii alafu wanafanya ufisadi alafu maden yote wanatutupia sisi wananchi wakawaida..
@djsma255
3 ай бұрын
Najuwa walikuwa wnapima, na ndio mana nikasema wangeweza kukubali mapema, ukipima ni 50,50 inaweza kukubali au kubuma, so r u ready to take the risk? Narudia tena wangeweza kukubali mapema, niliongea haya kabla ya mandamano nawajuwa wakenya
@jamilaathumani5481
3 ай бұрын
@@djsma255 Mimi nipo pamoja Sana na ninyi kaka smaa .Yan aya mambo yamakato bila sababu nikwer yanaumiza Sana wananchi Yan ..maisha magumu no ajira mikod mikubwa watu hawana furaha ya maisha kabisa..ila ndo ivyo inabidi ukae tu kimya..maufisadi..
@husseinmassawa7186
3 ай бұрын
Sifa ya kiongozi bora ni awe hatua tatu zaidi mbele kabla ya kuamua jambo hususani kwa wananchi wenye misimamo mikali ka wakenya..ile bills aisee ilibidi ajue kinachofuata ni kipi, ilibidi mapemaaaa aitie kibiritii😅
@jamilaathumani5481
3 ай бұрын
@@husseinmassawa7186 tatizo walijizima data walijisahau wakazania wakenya wamepowa kumbe Bado wapo active Zaid na washachoka na maisha mda tu ivyo kujiripua kwao sio tatizo..safi ila maandamano yawe ya amani tu Kila la heri kwao wakenya
@kilogreekachananawatuwasio4054
3 ай бұрын
MBONA KUNA KAULI NILIMSIKIA KINYATA AKIMALIZA MIAKA 10 YA URAISI ANAINGI RUTO KWELI WANAMISWAKI AWA VIONGOZI WAWILI?????
@ndukulusudikucho_
3 ай бұрын
Wafuasi wa Odinga wako nyuma ya haya mambo, Ruto ameanza kuonyesha udhaifu, Viongozi wa Maandamano wanajulikana, mwisho wa siku wanaharibu nchi yao, ifikie hatua Kenya kwanza mengine baadae, kama ni maandamano kwanini uchome majengo??
@yusufmwangichannel6692
3 ай бұрын
Wewe hujielewi... Mbona usiulize serikali kwa nini askari watupie waandamanaji vitoa machozi na maji ya kuwasha? Na mbona awauwe waandamanaji? Wakati waandamanaji hawakua na silaha. Unaleta ushabiki kwenye siasa na maisha yamekua magumu. Ama unauwezo wa kifedha ndio unaongea bila kufikiria
@DanielMukora-jx1bh
3 ай бұрын
@@yusufmwangichannel6692unafikiri wakiendelea ndo watatupiwa soda na keki?ama ni risasi?naomba tukomae kindogo kwa hili bro
@yusufmwangichannel6692
3 ай бұрын
@@DanielMukora-jx1bh So kwako wewe unatakaje? Ama umekula umeshiba ndio maana?
@godfreysudi7264
3 ай бұрын
You have high economy in your country but people live difficulty live so what importance to have high economy to citizen far better Uganda and Tanzania with their low economy
@abdallasaid5593
3 ай бұрын
You can't kill us and lead us....he shud resign Ruto must Go🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪occupy state house
@DanielMukora-jx1bh
3 ай бұрын
Kwahivo tuyaite mapinduzi
@abdallasaid5593
3 ай бұрын
@@DanielMukora-jx1bh ndio we want him to resign peacefully hatuna Imani nae
@yaronaWilliam
3 ай бұрын
Tatizo hili haliko Kenya tu, bali ni la Afrika mashariki kwa ujumla wake, viongozi wetu wanalipina posho, wabunge wanaoptisha Sheria kandamizi wanalipwa mishahara mikubwa, kazi wanazofanya hakuna, wananunua magari ya kifahari, badala ya kupunguza matumizi ya Serikali kipau mbele chao ni kuwabebesha mzigo wa Kodi, hili la Kenya liwe fundusho kwa nchi zetu za Afrika mashariki.
@mkambotv5418
3 ай бұрын
RutoMustGo#
@salehkhalfan7345
3 ай бұрын
Tunafahamu Changamoto za kiutendaji lkn GPS Kwa njia ya cm haiko smart kabisa
@saidimwanyiro5147
3 ай бұрын
Kashafel
@salmasaid7058
3 ай бұрын
Leo hadi ikulu
@wadeelegbogun3015
3 ай бұрын
Hiki kimbunga kitaingia hata tza, viongozi wamekuwa n vibuli mnoo.kuzarau wanachi
@mohammedhimba1647
3 ай бұрын
Usalama wa Taifa kenya umempotosha Rais kwani walipaswa kulitambua hili na kumshauri Rais kwani Gen z walihasishana kwenye mitandao siku kadhaa baada ya mswada kuandaliwa hivyo interejensia hawakumshauri vizuri au walifanya kazi kwa mazoea...
@3erffeoui86
3 ай бұрын
HII MWASADA IMF NDIO IMESUKUMA ATA WALI HONGA KILA MUBUNGE MILLION MBILI KENYA SHILLINGS
@mpefu_4936
3 ай бұрын
Kwenye hiyo lazima kutokee vifo akuna uhuru bila damu hiyo walijua kabisa ni kitendo Cha kuamua
@HasaniSalum-k2q
3 ай бұрын
This is East African spring. Viingozi wa Africa Mjitasmini zakayo omba Mungu lasivo hiyo Matako hutaweka tena kwa kiti Raiyaa wameshakushtukia wewe ni Kibaraka wa Western
@danielmgalla558
3 ай бұрын
During consultative meeting na wananchi waliukataa mswada mzima kwa 90℅. So basically ni mswada mzima unakataliwa
@Hkr2748
3 ай бұрын
Ila Sky mtu kama wew lakin ata salam kweli
@lodricophd728
3 ай бұрын
😁😁
@aminakenea9614
3 ай бұрын
Yani imejitokeza kiongozi tulio Wachovia ni ukosefu wa INANI kbsa
@wkjshsxbbsbs6392
3 ай бұрын
We don't need anything from ruto but to leave the office
@djafro8729
3 ай бұрын
Tired of politicians. What we want is military to takeover
@gabrielsaelie8091
3 ай бұрын
Poor analysis. Be critical and focus.
@chazy7ya216
3 ай бұрын
Jamaa amepoa leo mbaya siiyoyule alieihimba bit urus sasa atakua anajuta akyamungu
@jenifferwanjira6124
3 ай бұрын
Sad
@josephnyundo6105
3 ай бұрын
Nikweli jana 26/6 Atacum imeipiga S 500?
@bintqassimidarous1636
3 ай бұрын
Kakonda Ruto katoka shingo iyo 😂😂famasihara😂na nguvu ya umma Tanzania 🇹🇿 pekee ndo tutakaochelewa kujipigania wasanii wetu hawapo pamoja na wananchi wapo na serikali bega kwa bega kwa maslahi yao kenya wasanii wao wameungana na wananchi kuipinga serikali bongo wafanya biashara wamegoma hakuna sauti ilopazwa kuwapigania
@gregorymukui980
3 ай бұрын
Shida ya ruto ni utumiaji wa pesa kwa wambunge kama sudi, ichungwa,ndindi nyoro wanazunguka na pesa kaa miungu ndo wanavyo chomewa manyumba na maafisi kisha tulipe kodi wakule mbure manyangao😭😭😭
@sponsor7882
3 ай бұрын
kinawaponza watanzania ni shule na vyakula wanavyokula
@Tweech
3 ай бұрын
Imejitokesa wasi peupe. Serikali hii imepotza mueleko na mkondo wake. Ukweli ni wasi, kuna vurugu ndani. Itakuwa kosa kubwa ikiwa watakuwa uongozi bado ambo italeta utawala wa kuhujumu (REVENGE) kisasi. Liwalo ni wapende inchi hii na watoke kwa salama tuu. Hali ni Ruto must go
@SagarAbukar
3 ай бұрын
Huyo.nimlakai
@fahmanalbulushi2925
3 ай бұрын
Tusisahau kuwa kabla ya south africa nigeria waliteta demonstration ya wafanya kazi na kufata Kenya na Tanzania Wana demonstration ya wafanya biashara hii ni wimbi la vijana ambalo mmojanya wasemaji marekani alisema Kuna nguvu ya umma ambayo Ina nguvu Sana la kufanya ninkukaa mbali na kuwapa njia na kuwasikiza
@mosesg.pendael8381
3 ай бұрын
Sma em ongelea KENYA, acha kuongelea RUTO. Maana inaonekana uko against RUTO tangu atoke kutafuta msaada America. Umeulizwa swali......Je suala hili litasambaa AFRICA?.....Jibu hilo, acha kum attack Ruto!
Hatuutaki mswada mzima..ifikie mahali shamba langu nilipie ushuru,.yani litakuwa mikononi mwa serikali..
@missp1814
3 ай бұрын
Ila viongozi wa bongo wajifunze wajue uoga ukizidi ujenga ujasiri wasidhani watz watakuwa waoga milele...kuna siku mabadiriko yatatokea tu
@trendz_2548
3 ай бұрын
Ali kwanza watu hawakua wanashambulia polisi. Polisi walianza kurushia wandamanaji vitoa machozi hata kama wajaanza kuandamana.so hao ndo waliprovoke raia
@JonesMwita-lb3wm
3 ай бұрын
Tunataka ruto ajiuzulu period
@Muahills
3 ай бұрын
Ukimwi ni ugonjwa and those who are infected please Dont spread your virus to us...or tuta ku expose... Wehenga GenZ quote
Hakuna inchi isiyo lipa kodi mwaka jana kuna finance bill ambayo bado tunalipa. mwaka huu ruto ameleta finance bill nyengine ametuzoea.Hakuna mtu asie lipa kodi kenya bali huyu anataka kutunyonya kabisa.
@khalifaalmugheiry9232
3 ай бұрын
Sio vijana hawa wa kwetu ulevi uzinzi na umbea, vijana wa ovyo kabisa
@Elizabeth-gq9kl
3 ай бұрын
Kujigamba wa Rais ndio Imemufikishahapo, Nabado.
@CadeauZabibu
3 ай бұрын
Waganda wako wa0i jamani awaoni Kenya museveni. NaKagame. Wangetoka njo batakuwaamani
@aminakenea9614
3 ай бұрын
Kuwa watutoe sioni suluhisho,sluhisho kuanza niwapime Miami zao
@SalimKombo-xo4pq
3 ай бұрын
Wewe kama nani uwasomesha wa tz. Umetumwa nini. Au ndio unatafuta kiki kwenye serikal yako. Kama huna.kazi kajipake mkorogo wako
@SalimKombo-xo4pq
3 ай бұрын
Samahani bro his message ni mekosea kuituma hapo.
@dunialehani6188
3 ай бұрын
Kinachohendelea hapo kenya hasa kwa ruto nipale alipo henda marecani na kuhingia mikataba ya siri hasa hivi vinavyo chomoka mara peleka police 👮♀️ Ahiti mara peleka jeshi wa pigane na waharabu sasa guvu inatoka kwa wanasiasa wezake ya yeye atoke hapo
@jamilaathumani5481
3 ай бұрын
Mala nyingi viongozi wanajisahau baada tu yakupata uongozi alafu wanatutumia wananchi wakipata wanatusahau
@mpefu_4936
3 ай бұрын
Awezi jiuzulu hiyo ni ndoto
@gilliardgodfriend5745
3 ай бұрын
KUMBE WAMEKUFA 100😢😢😢 MBONA RUTO ALISEMA 6😢😢😢
@wkjshsxbbsbs6392
3 ай бұрын
More than 100 almost 200 hawataki kusema the correct figure
@allyjafari8886
3 ай бұрын
Hapo ruto anatakiwa kutoka madarakani kwasababu tayari amepoteza uaminifu mwanzo kabisa wa vuguvugu la maandamano haikuchukua hatua ya kusawazisha mambo lkn mpaka raia wakaingia bungeni pia akaja kutoka tamko kwamba ni waharifu sasa anapokija kukubari huku mwisho unaonekana bado hatoshi kuwa raisi kwasababu kashinikizwa kukubari na sio kukubari kama mzarendo
@Elizabeth-gq9kl
3 ай бұрын
Hakuna ibaada, nani anawadanganya Ruto aliokaka?
@djafro8729
3 ай бұрын
Wakili Ruto ni mjumbe wa shetani . Nje mtu wa mungu ndani shetani
@MS.independent8934
3 ай бұрын
Wtt wa 2000 TZ wao uwamabie kuiba waume za watu na wengine kulelewa na mishanganzi tu😂😂😂 jla angalia wtt wa 2000 wa Kenya wanapambania haki yao ya sasa naya kesho😂😂😂 aisee akili nywele kila mtu ana zake 😅😅
@sulleymernmannarah7930
3 ай бұрын
Round hii n Ruto aende hatutaki ushoga
@trizereve3386
3 ай бұрын
Bado wa kenya hawamuamini huyu ukimuachia mashikio anazidi kukudangaya
@Pratnumzsimba
3 ай бұрын
Mimi nataka nikaoe kenya wanawake mia nikizaa watoto miambili tayari mtakua mmepata chambo😂😂😂
@matanohassan9667
3 ай бұрын
Valuation YA wake 100 Kenya Ni km wewe upige ndana nusu YA familia yk Na raslimali Zako Na Eneo Bunge lako ili ueleweke
@haswatoo009
3 ай бұрын
Hata kama mkuu wa idara ya usalama angesema asinge eleweka mana matatizo ya viongozi wengi duniani hawaamini kwenye diplomasia Bali wanaamini kwenye matumizi ya nguvu tuh
@jumaramadhan1600
3 ай бұрын
Wabunge waliopitisha mswada wa fedha waliangalia upande mmoja WA kujilikimbizia mali na kutowajali waliowapeleka bungeni😢
@CadeauZabibu
3 ай бұрын
Kinambonza. USA. Yaleyenye amesaini njo wanataka kumutowa
Пікірлер: 298