Kipindi Mo alidhamini singida United na simba mlikuwa kimya. Mo kafilisika
@clauschaula2050
26 күн бұрын
Hakuna Cha upangaji matokeo.Kinachoondelea ni kuwa Yanga ni timu inayoimarika Kila siku.Swali kama Yanga inapanga matokeo,inawezekanaje wanapokutana na simba au Azam Kwa nini wanashindwa kuifunga?Watanzania tumejinza kuwa na maneno Mengi sana kuliko kuzingatia hali halisi.Udhamini Kwa timu zetu ni muhimu sana Kwa maendeleo ya soka hapa nchini.Ongezeni umakini katika sajili za timu zenu,punguzeni porojo.
Huna elimu ya mpira ww shabiki maandaz kwanza huelewi a na achoongea mchungaj
@omarsadiki-vi1tl
26 күн бұрын
Na kweli huna akili, kumbukumbu huna gsm alitaka kudhamini na miongoni mwa watu walokataa ni simba
@user-gr6hz5oq2g
26 күн бұрын
Azam anafadhili kupitia tff gsm apitie tff
@japhetmlowe5362
25 күн бұрын
Mbona sport pesa alikuwa na simba,yanga na singida
@boscomwangosi1042
25 күн бұрын
Simba acheni visingizio nyiewenyeww mmefungwa mala mbili mlidhaminiwa na GSM?
@azamsp0rtshd2kiangi3
20 күн бұрын
Neno la mungu lonasema wafitini mawanafiki wafanyweje walaaniwe jitafakari mchungaji.
@user-ix8uu3ho8h
26 күн бұрын
Kenge ww
@NikolasPius-fk9fn
26 күн бұрын
Uko sahihi
@EmmanuelMagugudi
26 күн бұрын
Sio point 36 weka na point 6 za Simba
@JosephMwaitete
24 күн бұрын
Kwani Simba kadhaminiwa na GSM?au hujui mada
@WazaeliStefano
26 күн бұрын
Azam Simba wote wamefungwa na yanga je nikwasababu ya ufadhili wa gsm
@JonathanMGAIWA-ow4py
26 күн бұрын
Kuna michezo michafu mingi, usijizime data wewe. Waulize akina manula, inonga
@evaristgaspa6074
26 күн бұрын
Simba mnatafuta kwakuengemea hiyote nikwasababu hazamini Simba Azam nasimba niwareware _hata GSM abaki na yanga kipigo kikoparepare _mtu kwenyehera yake hapagiwi takukuru wapo pereka mararamiko yako ira uwena ushahidi
@user-xi6le4lg9b
26 күн бұрын
Tff sasahivi imekuwa msimamiz mkuu wa mwiko nyuma,,na mfadhili wao,,hata jukwaa kuu sasa viti vya Said na Karia vinatambulika
@ElliamaniGodsoni-s7x
24 күн бұрын
Watanzania acheni kuwa na mawazo mafupi na sportpesa anadhamini timu ngapi Tanzania na nje ya mipaka
@issaisandeko6217
25 күн бұрын
Hata Azam ana timu ligi kuu kwa hiyo nayeye aondolewe udhamini
@husseinmgalula5864
23 күн бұрын
Mpunga
@barakamtelani2313
25 күн бұрын
Kuna watu vichwa maji GSM alidhamin ligi yote madunduka wakakataa Azam anafadhili timu zote vip yeye hanufaiki je mbona Simba anagongwa nje ndan nae kadhaminiwa na GSM
@REGIUSMWANAWIMA
26 күн бұрын
Ww mjinga sana umesahau goli alofunga azizi ki,nalo vipi,pacome na penati ya azizi ki?
@augustinokessy
26 күн бұрын
muwe mnackiliza mpk mwisho matako nyie...
@issapagali1330
26 күн бұрын
Hili linajiita Mchungaji😮. Si likasimamie "WANAKONDOO" huko. Tangu lini ukasimamia /kutumikia mabwana wawili. MAKOLO NYOKO yashaanza malalamiko na BADO. PAMBAF WAHED.
@omanbarka1588
15 күн бұрын
Umelazimishwa kukoment sasa matusi ya nini mtandaoni unataka tukufungie
@nkilatv6307
26 күн бұрын
Ww Kuma
@augustinokessy
26 күн бұрын
la mama yko au la kwake..?
@MohamedKaboza
24 күн бұрын
Haiwezi ikawa ligi kuu tanzania
@kaysischirwa6759
26 күн бұрын
Mo kakatazwa
@EmmanuelSima
25 күн бұрын
Kumbe hata points 6 za Simba nazo ni ufadhili eti na awamu hii mtasema yote
@mohammedmdangwe2056
26 күн бұрын
GSM KAARIBU LIGI YA TANZANIA 🇹🇿 ANAONGA WACHEZAJI MAREFA
@boscomwangosi1042
25 күн бұрын
Katika watu wenye kichwa kibovu wewe unaongoza kwani timu gani inaitwaga Rozi Muhando.simba ndiotimu pekee inayobebwa na malefa,mechi ya juzi na yanga lefa amefikia mahalo anakataa mpaka magoli yaliofungwa,penat ndio usiseme. Mechi ya mwakajana pia lefa alikataa gori la yanga kwenye ngao ya hisani angalia mechi ya singida prison dodoma na zingine nyingi
@khamisrashidkhamis4490
26 күн бұрын
GSM aliingia kama mdhamin mwenza wa ligi kipindi yupo Barbra akaweka mgomo na wakatishia Hadi kuitoa Simba kwenye ligi mpaka akaacha gsm
@patrinraura1397
26 күн бұрын
Ni kweli kabisa Fedha ndiyo kila kitu Kama udhamini Vilabu zaidi ya kimoja tayari kuna kila dalili ya kuua ushindani na Pia kuminya haki na kutopata Bingwa kihalali Tunakuunga mkono kabisa kwa kutoa Angalizo na kufumbua macho Vilabu vyote vya ligi kuu
@salummtumbukie8873
23 күн бұрын
Unataka vilabu vikose pesa video na ukqta vishindwe kujiendesha na kusafili na kuweka kambi bora kama ninyi.
@NyatseLogistics
26 күн бұрын
Kweli kabisa
@YusuphMdaki
26 күн бұрын
Wewe hijui ball yanga imechukua ubingwa mara nyingi bila GSM kkiwa na wafadhili wengine acha hoja dhaifu
@razacklazaro6678
22 күн бұрын
Mchungaji wa watu au ng'ombe...angekua mchungaji wa din/ watu asieongea utopolo
@mathewmillanzi1700
25 күн бұрын
SIMBA AlIPIGWA TANO AMEDHAMINIWA NA YANGA
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
26 күн бұрын
Sasa timu alizodhamini angalieni matokeo. Mbona ambazo hajadhamini ndizo zimefungwa magori mengi? Ikiwemo Simba?
@jumakibasame3210
26 күн бұрын
Kweli baadhi ya madhabiki mambumbumbuu Sana mbona hamsemi Azam alie zamini ligi nzima na matanhazo yeye,
@hajikatanje5961
22 күн бұрын
Wewe subiri yatakayo tokea siku izo timu zenu mlizo zinunua zitakapo cheza na simba alafu refa afanye uzembe utakuja nisimulia utakiona wana simba walicho jiandaa nacho hapata kalika na mpira wa Tanzania hiyo siku ndio uta kuwa stop
@adamsonmwaisumo6791
26 күн бұрын
Pamoja na simba kaidhamini ndio maana nakula tano mbili moja
@simonzelote5998
26 күн бұрын
Zile tano katka uchunguzi Kuna watu walichukua pesa akiwepo manula
@elizabethkalinga0822
26 күн бұрын
Huyo Tayari kafungwa kwenye Match, ata wachezaji atawatoa Kwenye Mchezo. Mpeni Kanuni huyo, aache kukariri
@jamilahjamilah4157
24 күн бұрын
Wee baba na hiyo simba sii mpe huyo GSM tuone simba sii mna moo
@KennedySamson-lo4pw
26 күн бұрын
Mbona alipo dhamini timu zote makoloboi mulikataa mpaka tff wakarudisha mshiko Leo anadhamini wanaotaka mnapogakelele nanyie ombeni mdhaminiwe
@user-yo7sj8fs4h
26 күн бұрын
Gsm sio Yanga bali ni mzamini wa Yanga
@user-xt3pq4hb2r
26 күн бұрын
Tatizo wanatufanya watanzania nini mazuzu hawa GSM ni chama cha siasa kuna mapapa ndani yake we known watanzania ndio maana tifua tifua hawasemi kitu imetawaliwa wote hadi. Marefa wao hii sasa sio michezo ni jambia jambia eti kuikomoa Simba huu ni ujinqa
@DullahNyoni-cr2fu
25 күн бұрын
Upo sawa
@bbanyikwa
26 күн бұрын
Kolo acha makasiriko sajiri kikosi kizuri utajikuta kila mtu unamuona mchawi wako😂😂😂
@simongshayo4678
26 күн бұрын
Yeah upo sahihi kabisa
@JumaKassimmazito
22 күн бұрын
Akili huna kweli simba kazaminiwa na gsm
@josemassae
26 күн бұрын
Wewe huna akili mbona Simba na Azam mmefungwa au na nyinyi ni vp
@khajihamisi5054
26 күн бұрын
Kolo Hilo limetokea wapi? Haelewi mpira unaendeshwa vipi? Nenda kanisani ! Peleka timu umuombe udhamini halafu uone kama atakukatalia! Uingereza Kuna mdhamini MAN BETX Anadhamini timu zaidi ya mbili EPL.
@juliusmagoti5650
26 күн бұрын
This is hopelessness of the highest order. Watu wa Simba tengenezeni timu, acheni arguments za kitoto. Mpira ni mchezo wa wazi. Kama Yanga walifika fainali ya shirikisho, GSM alikuwa anadhamini timu gani huko? Wew mwenyewe unakubali Yanga wana timu nzuri, unatarajia afungwe na timu gani kwenye ligi yetu. Msitafute vichaka vya kujificha. Hata MO akitaka kufadhili timu afanye hivyo, timu ndogo zinahitaji sana ufadhili ili zijiendeshe. Mchungaji try to be scientific
@CastorNyondo
22 күн бұрын
GSM adhami na Simba ili msipigwe misumari,Bomba makolo
@rachelbujuli4487
26 күн бұрын
Visingizi vya Nyauuuuuuu
@jimmyjoseph4800
8 күн бұрын
Hujui kitu
@chatnami
24 күн бұрын
Hoja ingekuwa Azam hafadhili vilabu moja kwa moja. Azam anadhamini ligi kupitia TFF. GSM ana mkataba wa moja kwa moja na vilabu
@user-vh9wt8zh4n
26 күн бұрын
Kwani Simba anafungwa na yanga kwasababu anadhaminiwa na Gsm
@daudkondo4069
26 күн бұрын
Wee huna akili kweli, ivi una Aziz una Pacome Una Nzengeli unasema habari ya mashujaa bwege sana
Matopo yanachojua ni matusi tu manyau nyie huo uchawi wenu mwaka huu ubaya ubwela wanga nyie
@WaUkaye
26 күн бұрын
GSM alipotaka kufadhili vilabu vyote Simba walikataa KUVAA logo ya GSM
@user-pr8tz8tc8s
26 күн бұрын
Ww mchungaji bwege gsm aliweka hela tim zote nyie mlizigomea
@ismailmohamed502
26 күн бұрын
Mbona mlikataa
@bethmahela2182
25 күн бұрын
Wewe hujui tofauti ya mdhamini na mfadhili,ukielewa huu utofauti utaacha kulaumu tff na Gsm
@mussai.sillas3796
26 күн бұрын
Namungo ilipokuwa inadhaminiwa Mo hukuona. Unaona GSM tu? Kilaza,hujui hata maana ya unachosema. Simba wamefungwa mara nyingi. Je Simba wanafadhiliwa na GSM?
@allymtapera5370
26 күн бұрын
Sport pesa England alikuwa na tim 4 ,we hujui chochote
@user-rl1pn4ln5e
26 күн бұрын
Wagonjwa nyie dhamini nyie Simba nayo gsm
@allymtapera5370
26 күн бұрын
Muulize huyo ana muda gani ktk mpira muulize mo alizamini team ngapi,
@HajiJuma-oy1jy
26 күн бұрын
Huyu hajielewi Simba nayeye pia kazaminiwa na GSM alikula 5
@charlesSomeke
24 күн бұрын
Simba so mlikataa
@japhetmlowe5362
25 күн бұрын
Maneno ya mkosaji ayo
@allyr.mavura7878
26 күн бұрын
Sio kweli, hakuna team inayotaka kufungwa ili ishuke daraja
@KakeSimba
24 күн бұрын
We hujuwi pimbi
@Zubedarajabu-y6v
26 күн бұрын
Tengezenu timu mbwa nyinyi
@MhojaFunuki
26 күн бұрын
Mo.hajawahi kufazili tim zaidiyamoja
@simonnjovu586
26 күн бұрын
Una umri gani?
@AsanteRashidi-w7f
23 күн бұрын
Atoke huyo anaharibu mpira wa bongo
@JumaKassimmazito
22 күн бұрын
Hahahaha mzeeee zeze
@azamsp0rtshd2kiangi3
20 күн бұрын
Chuki tuu mbaka mchungaji jorekebishe mkuu
@jacobsadock3530
21 күн бұрын
Azam ni mdhamini mkuu wa ligi, GSM ni mdhamini mkuu wa club ya yanga lakini ni mdhamini mdogo wa club nyingine 6 ko mchungaji uko sawa
@user-iq9yo2gj5p
26 күн бұрын
Je? Simba wanaofungwa na yanga Simba nayo imezaminiwa na Simba acha kujizarau unajizima data mwanzo simba walikataa au data zako zimeyumba?
@amanisebastiani2827
26 күн бұрын
Unagongwa we umepigwa 5 nawewe umedhaminiwa na GSM
@augustinokessy
26 күн бұрын
inaonesha ht shule ulikuwa box...ludi memkwa
@kafulirahillaryhabel6728
26 күн бұрын
Kwanini MO asidhamini timu zilizobaki?
@user-lb2jh4ss6v
26 күн бұрын
Shida hamujitambuwi
@khmissalum3881
11 күн бұрын
Msenge sana wewe nenda kazamini wewe mama Ako shenziiiiiiiiiiii
@user-jk3qx3dt6c
26 күн бұрын
Hivi ni sawa na kusema kuwa timu 15 zinatakiwa kumpa pointi Azam FC ? Amwambie MO achague timu azifadhili Ili wampe points Ili Simba ishinde!
@FetyzarMselemo
13 күн бұрын
Mo Mtu na elimu yake anafadhil tim Moja usimgananishe na gsm wako anaharibu ushindan wa ligi yetu
@vicentmwamba155
23 күн бұрын
Dah huyu sijui anatumia nn kujfikili
@Tostao36
25 күн бұрын
Huyu jamaa hajui lolotee.Mbona Azam anafadhili timu zote na ana timu yake huko.Cheza ngoma yako brother
@kafulirahillaryhabel6728
26 күн бұрын
Azam anafungwa na yanga, anadhaminiwa na GSM?
@IssaAusi-s6h
17 күн бұрын
Serikali yote ni yanga sisi Simba 2subilie Samia atoke madalakani
@JumaHaroun-l4z
18 күн бұрын
Sure boy, mkude faridi musonda, kibwana wanacheza simba panga pangua ubaya ubwela ,unyama mwingi slogun hiz hazisaidii bila kua na wachezaji bora
@PauloAlfayo-qi1gn
26 күн бұрын
Sawa brooo nakuaminia
@azamsp0rtshd2kiangi3
20 күн бұрын
Kumbe unaijua yanga nzuri unakiri Sasa unawachafua Gsm kwasanabu gani ongea ukweli kama hivo yanga ni Bora uashusha heshima Yako bwana kua mlweli kama hivo
@DanielLugenge
20 күн бұрын
Yanga inakikosi Bora,acheni maneno ya kuonyeaha kufeli
@NelsonJames-qr5vq
15 күн бұрын
Moo sijui tajiri wa ngapi afrika adhimi zote zilizo Baki yanga balaa.tafuta kingine Cha kusema
@ClementHemmed
20 күн бұрын
Acha kudanganya.wananchiiiiiii
@KhalidJuma-j7h
18 күн бұрын
Na hawa mlio wasajiri muwatowe simba ilifungwa ngao ya jamii na yanga hawaja pewa rushwa na hao Mchungaji mpira huu wezi
@AwaziHinda
26 күн бұрын
Sio kweli
@azamsp0rtshd2kiangi3
20 күн бұрын
Yanga inawachezaji wazuri kaiza ilifugwa mayo imezaminiwa na Gsm unatudanganya tena we nimchumgaji
@JumaHaroun-l4z
18 күн бұрын
Kwani kuna kanuni au sheria ya mdhamini (limit)kwamba mwisho tim kadhaa sasa kama hakuna acheni ujinga sajilini tim bora
@JumaHaroun-l4z
18 күн бұрын
Mimi naona kudhamini tim sta(6) sio kosa , kosa kubwa ni kwamba injinia Heris kua mwenyekiti wa vilabu barani Africa maana ataendakupokea point sita kwa kila tim barani Afrika dah haya majanga!!!!
@AloyceSiwingwa
26 күн бұрын
We mjinga Simba walikataa kuvaa logo ya Gsm
@sospeterdaniel5116
20 күн бұрын
Azam pia anatimu pia nae aondolewa, usijifanye huna kumbukumbu.
@Mbwana-uw1vw
20 күн бұрын
Ngao mbona mmepigwa GSM amewadhamini
@omanbarka1588
15 күн бұрын
Gsm mhuni anazamini timu nyingi kwa kwa kanuni ipi hakuna kinacho mluhusu wala kinacho kataza kusajii vilabu vingi huo nimwanya wa rushwa afikishwa fifa
@thomasdominick8604
11 күн бұрын
Iko wazi haihitaji ufafanuzi WA kina zaidi
@MchungajiNzelani
15 күн бұрын
Wameshikwa pabayaaaaa
@reginaldmapunda6702
6 күн бұрын
Hakuna mchezaji bora anaye hitaji miezi miwili kuzoeana na wenzake. Hao watakuwa sio wachezaji wa maana na huenda watahitaji kukaa miezi 6 ili wazoeane na huku ligi inaendelea.
@NicholausFungo
26 күн бұрын
Mambo yapo kwenye sheria, ukiona Tff wamekaa kimya maana yake ni kwamba sio kosa kisheria.na hakuna kanuni inayomzuia mdhamini kuwa na timu zaidi ya 2. Mudi naye akafadhili timu zilizobaki. Kama vipi mudi aombe kufadhiliwa.
@Kabeya410
26 күн бұрын
Sawa 😅tunakubali GSM kasababisha kutoa point 6 kutoka simba kwa hiyo GSM ANAIDHAMINI SIMBA 😅PIA MNAHANGAIKA SIMBA INA MUHAHO MARA OOO WANATUMIA MADAWA YA NGUVU MARA GSM ANADHAMINI 😅MARA OOO YANGA WANANUNUA 😅KWISHA HABARI YENU
@user-ms1xg1fp4v
9 күн бұрын
Umesema la maana lkn huo ndio Mpira.Sasa kama timu yako haina uwezo wakupiga fitina za kimichezo umeumia Boss.Hata kombe la Dunia lazima siasa itembee
Пікірлер: 274