Mikono nanyosha juu kwa kaz zako hukati tama japo unapigwa majungu piga kaz ❤❤❤
@upendosarakasifamilly2535
Күн бұрын
Kaka uko vzr sana kazi yako inaoneka kazi zr xn
@MayengDulu
4 күн бұрын
Hatali sana Kwa kazi kama hii tunakuamini sana kaka gude ❤😂❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@MashakaDandu
3 күн бұрын
Nakukubali sana kijana PGA kazi mti wenye matunda haukosi kupigwa mawe, uciwajali hao jaribu kuepuka marafiki wanafiki, wanakujia kukuharibia sifa, achana nao we piga kazi
Deejay dayun from sumve kwimba mwanza nimekuwa wa kwanza kuiview na kidownload kazi nzuri brother
@thentuzumusic
4 күн бұрын
Kazi zuri sana mbasha wamefanya
@CharlesMashaka-gv7mo
4 күн бұрын
Good work my brother
@fikiripaschal8438
5 күн бұрын
Fikiri sound hapa kaz nzuri sana kaka lakini kaza buti
@mrishobulabo8014
4 күн бұрын
Director kandolo video zako zinafanana sana Kuwa mbunifu zaidi kila video tuone utofauti kuanzia mpangilio location na muda wa kushooti Kazi hii ni nzuri ni hayo tyu kutoka Kwa ticha ticha
@siyeyetv
4 күн бұрын
WA MSEKI🎉🎉🎉🎉 hii ni noma sana
@GongoAsili-g5y
5 күн бұрын
Mm niwakwanza kuitazama hii Kazi kua makini na ma DJ Kuna ma DJ wengine wanahalibu kazi
@kachelengwa
4 күн бұрын
Kazi safi sana kakaangu ❤❤
@ANKOZUBERI881
3 күн бұрын
hongera sana kaka
@MaluguyangaMalugu
4 күн бұрын
KAZI nzuri
@mabalaVideostudio
5 күн бұрын
Gude tunapofanya comment kwenye kazi yako ebu jalibu kutujibu kaka maana inakuwa kama hutuoni vile niombi tu lakini nkwingwa
@gudegudetz7970
5 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@SamsonMatelephone
4 күн бұрын
Ulichosema ni kweli kwa Sababu wakipata jina ustaa unawafanya watuone hatuna maana kabisa wakati mtu anapotoa comment ni vizuri kwa Sababu hatumtukani ushauri wangu si vizuri kutokujibu comment
@HajraRamadhan-x5f
4 күн бұрын
Kwelii yan mm naamua bora nisicoment kaa najichoresha hajibug chochot at like hakuna
@HajraRamadhan-x5f
4 күн бұрын
Kwelii yan mm naamua bora nisicoment kaa najichoresha hajibug chochot at like hakuna
@mabalaVideostudio
3 күн бұрын
Kashaskia(sisi ndo maproducer wao tupogo kimya hatunaga makubwa kikubwa nishibe tu nichafue kibodi sooo kasha niaskia nkwingwa
@LaurentSabaya-xc3uu
5 күн бұрын
Kazi nzuriii
@MussaKatanga-i8s
4 күн бұрын
Kaka gude soma meseji za watu hapo nahitaji na mimi uje kwetu kwenye harusi uimbe nyimbo kaka nakupataje apo ❤
@MbagaNdebile
4 күн бұрын
Gude gude tajili wa maruho unatisha kaka
@mussashilinde6444
4 күн бұрын
W20tz❤❤
@StevenPhilipo19998
4 күн бұрын
Stivu macomputer nyalubanga nimekuwa wa Kwanza kuchukua nyimbo
@gudegudetz7970
3 күн бұрын
Nashulu
@SNAKETV20
4 күн бұрын
Kandolo on form@
@jimodefighter
5 күн бұрын
Brooh umepoa xana
@JumaLukanya-h2u
4 күн бұрын
From Dar Kaz tumeipata ya 🔥🔥 sana
@JaivaWakisukuma
4 күн бұрын
Imekaaaaa
@PogbaDasilvajr
4 күн бұрын
mfalme mpya ndan ya muzik wa asili leo nakupa namba 1🎉🎉
@SendamaMatondo
4 күн бұрын
🎉
@kulwamaguzmaguzu2202
4 күн бұрын
Mm kaka nakubali nyimbo za kuimba Kwa nafac yako ila hizi za kuimba kwa watu haziko fea kama unavyoimbaga zakwako kaka jitaid kuimba yakwako bila kumwimbia m2
@mageletz
4 күн бұрын
nzuri
@sarahmarko7755
4 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤👍👍👍👍
@SamsonMatelephone
4 күн бұрын
Yaan ndo wanavyokuwagawakishapata jina ustaa unawafanya watuone hatuna maana kabisa wakati mtu anapotoa comment ni jambo zuri sana lakini wanajifanya hawaoni ama kweli huu usitaa jamani ni bora kama angekuwa na like hata comment zetu
@HonnaJemusi
2 күн бұрын
Nakubary
@thentuzumusic
4 күн бұрын
Mbasha wanajua kukutegenezea mziki mzr
@djbngudukwimba5682
5 күн бұрын
kitambo 2
@MarcoSupana-w4x
4 күн бұрын
Sie mashabiki wako uwe unatumia account ako nyimbo kutuma
@djmusakasekesetz8126
4 күн бұрын
Katinga Dj Mussa Kasekese Mpanda 💪
@bigtimetz
4 күн бұрын
Gude tunaomba nyimbo zako za audio uwe unaziweka kwenye akaunti Yako maana tunahangaikaga sana kupata kazi zako Za Audio nyimbo zinawekwa kwenye akaunti za watu wengine bila mpangilio tunaomba ili kazi zako tuzipate kwa wakati. GUDE GUDE "tajiri wa maluho"
@gudegudetz7970
3 күн бұрын
Sawa
@NuruNswebe
4 күн бұрын
Maisha yako kasi jamaa kila nyimbo nikusifia uganga tu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@bonifacehamis4088
4 күн бұрын
Hana ubunifu wowote 😂
@OnesmoSakila
3 күн бұрын
Tunataka ufungue naacaunt tikitok
@samwelmagodi753
Сағат бұрын
Ngosha amembo ghako galenilange itale sana endeleaga kutwimekeka abazunayo tufate haki na ma bute garefaida sana 💪💪💪
Пікірлер: 62