Sio ""nyimbo"" ni wimbo!!!!! Tuacheni ujinga wa kuharibu kiswahili chetu wenyewe
@Mwajuma-y8g
2 ай бұрын
Asante
@msomezsaid
Ай бұрын
@@josephmasanja8584wenye kiswahili chao ni wazanzibar je? kunamzanzibar anaitw joseph masanja????
@NeemaIdika
25 күн бұрын
Nyimbo zako zinanita furaha mpaka nalia kaza msukum. Mwezangu iloveeeeeeeeeeee
@IbrahimTraore-w5h
10 күн бұрын
Vraiement j aime votre façon de chanter . Avec des clip incroyables.
@masanjambogo
24 күн бұрын
Gude umenililiza sana ujumbe mzuri kweli mpaka nakumbuka xiku ya mweza wangu alipo nitoka akatoka kutangulia mbele za haki mungu akubaliki xan nipo manyon
@ReubenKasalali-i1x
27 күн бұрын
Kazana ndgu kazi changamoto ukipata changamoto ijalaibu kuwa ni funzo usiiwazie changamoto yakupita naipenda kazi Yako mungu akulinde
@makoyemayila1793
7 ай бұрын
Napenda sana masahairi Yako Huwa unazingatia vina na mizani hongera Kwa utunzi wako
@ChazzyJohn
17 күн бұрын
Umetisha kiongozi big up Gude
@mrishobulabo8014
7 ай бұрын
Kaka hiii umetisha sanaaaaaaaaaaa bravo kwako na kandorooooo hii hajaniangusha Nilikuambia hii nyimbo kama umeimba maisha yangu kabisa
@HyasintaKaizilege
4 ай бұрын
Wimbo m nzuri sana ikwapendeza kwa kiswahili/kiingereza Nimeelew a unahusu shida basi ijulikane hiyo shida
@benjaandea32
7 ай бұрын
Npo mtwara kaka nmeipata good song, nice song kaka umetisha yaan kama mwenyez mungu alipanga kuwa 2tapata mwimbaji mzuri kama ww Big up saana Big
@FrankElias-t6o
Ай бұрын
Hongera Sana bro napenda sana kazi zako nzur sana❤🦾🤝🇹🇿
@bennymao9502
4 ай бұрын
Sielewi lugha ila wimbo una vutia usikivu kweli hongera sana Ngosha
@ShijaKagoke-oc2zu
7 ай бұрын
Safi nyimbo ni nzuri huwa naipenda tojage talatibhu oko tushisha ngosha 🎼🎵🎶
@mashimbabujiku1250
7 ай бұрын
Omaluho wewe unaimba Sasa kaka angu kiukweli wewe ni shule tosha mungu akulinde Sana tunakupenda sana gd gd, wewe ni mwamba kweli kweli 🌹🌹🪴🪴🥀🥀🌸🌺🌼
@davishy
3 ай бұрын
Namkubari sana jamaa hana nyodo wa malingo hata ukikutana nae yes God bless you my singer of year 2024.
@KelvinAmos-ow7pf
6 ай бұрын
Kweli blother hiinyimbo umeimba vizuli sana hongela sana Kaka yangu mungu akusimamie milele
@ChazzyJohn
17 күн бұрын
Good song God bless you Gude.
@YohanaMasalu-t3w
Ай бұрын
Hiyo nymbo nilipo isikikia iliniguxa sana katika maixha yangu Asante sana gude mungu akubariki xana
@AlbertKilongo
3 ай бұрын
Kazi nzuri kaza Buti kaka.
@NeemaBahati-p6v
7 ай бұрын
Kaka kazi nzur sana Asante nyanda oneeee❤❤
@HawaBaraka-jw5co
7 ай бұрын
Endelea kuchapa kaz nyimbo za nyumban hizo nazielewa sana hongela sana
@nicholauspeter9454
22 күн бұрын
I just love the song and the lyrics
@LeokadiaKishosha
7 ай бұрын
Hongera sana kaka kazi zuri nakupenda sana ❤❤❤❤❤
@jumamaziku6988
6 ай бұрын
Kazi imetulia sana, shida Haina mipaka🎉🎉
@mahungujulius1788
5 ай бұрын
Hongera sana Kwa Wimbo Mzuri wenye Funzo
@JoynahFikiri
4 ай бұрын
Hongela Kwa wimbo mzur mungu akubark
@ChristopherSimba-p4y
7 ай бұрын
Tuko pa1 tajiri wa maluho mungu akuzidishie zaid ss mashabik zako tunafurahia2 ngoma nzuur shusha ngoma mpya
@gudegudetz7970
7 ай бұрын
Usijali kaka ziponjian mpya
@MlingwaMasasila-ox4jv
7 ай бұрын
Gude nakukubali sana nasikiliza ngoma zako nikiwa dar tushushie nyingi zaidi
@JanethUrasa-qs5ot
Ай бұрын
Jamani mi napenda wanavocheza pongez kubwa kwao
@enockngereja
7 ай бұрын
nampongeza sana mungu ambariko sana 👏
@MariaMaria-gj9or
7 ай бұрын
Asirimia zote%100❤❤🎉🎉n,akupa Kakà GD gd❤❤🎉🎉
@EmmiologisJaqien-nv3en
7 ай бұрын
mwanafamilia tupo pamoja🎉❤
@MayengDulu
2 ай бұрын
Kazi poa mwanamonde kaza baba tunakuamini sana gude gude
@JoynahFikiri
4 ай бұрын
Thank u for this song congratulation GD
@HamisPaul-j2r
2 ай бұрын
Mh ila wewe uko vizul hasa kwa mashail ma vina, hongela mola akuongezee
@ANTONITzofficai
6 ай бұрын
Nambenda sana kisukuma zagude gude Tz nyalungusu
@Stevenmm-qb6dz
5 ай бұрын
GD dudahebwagwa mwanamonde
@Stevenmm-qb6dz
5 ай бұрын
Mashenene 1 ndan ya segese 1
@ngasasospeter6899
7 ай бұрын
Kazi nzuri, ubunifu umetulia
@deejaybngudukwimba2857
7 ай бұрын
Kitambo sanaaaaa mzigo ushachotwa
@amosmacompyuta1015
7 ай бұрын
Huuuuuwiiiiiiiiiiiiiii mwaka huu mpaka kielewew
@AbelMange
5 ай бұрын
Kweli shida hazibagui
@SophiaAbeli
2 ай бұрын
Hongera sana kaka
@JoynahFikiri
4 ай бұрын
Thank u for this song congratulation GD❤❤
@JaphetyLucas
Ай бұрын
Pambana mtu wngu,❤
@Hamisi-dz2hu
6 ай бұрын
Kazi nzuri kaka yangu
@marrycute4456
2 ай бұрын
Wimbo wangu pendwa
@ISSAjuma-jg2dd
4 ай бұрын
Waoo vizur sana gude
@DanielDaniel-gx2ou
7 ай бұрын
Hongera kwa kaz nzur pamoja nadirecter wako🎉🎉🎉🎉 hii nizawadi ya VALENTINE❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@gudegudetz7970
7 ай бұрын
Pamoja Sana watuwangu
@isackantony7827
4 ай бұрын
Yes ❤❤ you shida ongera sana
@lamecksamson7076
6 ай бұрын
Kazi haina mbambamba, big up bro! Uko vizuri sana ❤
@tresiandapandulahishitival2031
3 ай бұрын
Which country is this 👏👏🙏💓💓♥️♥️♥️
@HawaBaraka-jw5co
7 ай бұрын
naipenda sana iyo nyimbo hongela sna kuimba gudegude
@jackisonmlelwa4462
13 күн бұрын
Nimeipenda iyo
@mayanzimipawa3397
7 ай бұрын
keep up the Good music
@IMANIMWAITEGE-ve8gr
5 ай бұрын
Mimi nilijua Ni makilikili MUNGU akuinue mtu wa MUNGU na akutunze na kukulinda
@ameliadika773
4 ай бұрын
Watching from Papua New Guinea
@christophermazigwa8480
3 ай бұрын
Indonesia 😮
@christophermazigwa8480
3 ай бұрын
U no some body Alex Maggie
@christophermazigwa8480
3 ай бұрын
U no some body Alex Maggie
@MaryAloyce-rc2ot
3 ай бұрын
Umetisha❤🎉
@AnnastaziaJames-nc3vn
2 ай бұрын
Mungu mtangulizi huyu anajitafutia maisha yake ya badae mbele ya familia
@Emma562
7 ай бұрын
Piga kazi kijaña cc,tupo nyuma yako muñgu akutañgulie
@Dj_faida
7 ай бұрын
Wapi dj faida bulige moja
@ElisanteNkuba
Ай бұрын
Bulige Kuna dj nani
@CharlesMayunga-fe1tr
7 ай бұрын
Gude we noma mm n sumbu heshima kwako brother
@emanuelbuganda269
2 ай бұрын
Daa huyu jamaa Ana uwezo bn,, yan anagusa maisha ya kila mmoja asee,, matajiri , maskini shida zpo tuu daa💪🙏
@JohnLucas-r5j
4 ай бұрын
Director plz ongeza kwanza quality ya video kuna vipande
@ANTONITzofficai
3 ай бұрын
Majuma usipositiwe❤❤❤❤
@GelewaEmmanuel
Ай бұрын
Vizuri. Sana kaka 🙏
@masanjambogo
24 күн бұрын
kwer shida Haina tajir duh umenikumbuxha mbali mpaka machozi jaman kweli niliachiwa mtoto Anna siku tatu mama yake akatangulia mbele ya hak
@MackoMashimba
7 ай бұрын
Nyimbo nzur sana❤
@juliuskashaija4764
6 ай бұрын
Daa Yan nmesubiri video hii kwa hamu kinoma hatimaye sasa
@HawaBaraka-jw5co
7 ай бұрын
nawaombea kaz njema na rogeti pigeni kaz mpo vizuli
@PaschalDotto-o9k
3 ай бұрын
Huyu jamaa anajua asee . Daaaah!!! ongera sana kaka kwa nyimbo nzuri kama hii.
@frankymagatory1338
7 ай бұрын
Huyuuu Jamaa anajua kunikoshaaa aiseee, home boiii🔥🔥🔥🔥💯
@sarahkabote
Ай бұрын
Ubarikiwe ❤😅
@EmmanuelAugustin-gz5qz
6 ай бұрын
Kazi nzuri tumsapoti
@ShilungaKanada-k9f
3 ай бұрын
Wimbo unaujumbe sana broo hongera yako endelea kuelimisha jamii
@MasabudaJames
5 ай бұрын
Big up msukuma mwenzangu Mungu akontongele nyanda ho logendo nkoi
@jersonlukinda9410
6 ай бұрын
Kazi nzuri sana Gude Gude.
@esthersebatwale1574
6 ай бұрын
❤❤❤.Jamani mb hazitoshi,nilidhani makilikili ,kumbe watani wao akina n'gwanamalude!!!(Gude Gude),hongereni Sana Mambo safi Sana kwakweli mmenogaa,natamani niwaone live,"mmbarikiwe Sana.🎉🎉🎉❤ ❤❤.
@veronyanganda179
4 ай бұрын
Goodbles brother.
@Mwajuma-y8g
2 ай бұрын
Kwakweli kama kanitungia Mimi nyimbo hii
@SamsonLuhende
3 ай бұрын
Gude Nakukubali Sana Unaandika Sana Yaan we ni diamond platnumz wa kisukuma we ni balaaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤩🔥
@WanokJoseph
3 ай бұрын
Good song may God bless them
@isackantony7827
4 ай бұрын
Yeah ❤ ongera sana
@CeciliaKennedy-ps2wc
10 күн бұрын
Maua yako gude 🌹💐💐🌹🌹🌹🌹🌹💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐
@F9000_of8ii
4 ай бұрын
Hawa ni wa Botswana au Tanzania?
@kingngoshazephania4344
7 ай бұрын
Good song man
@christophermazigwa8480
3 ай бұрын
Wimbo mzuri sana Gude hongera sana .
@josephatkibona2814
3 ай бұрын
Lugha gan hii mwenzenu sielew
@AllymusaKisaga
2 ай бұрын
Kisukuma du bonge la nyimbo
@rafikiwadiamondplatnumz289
7 ай бұрын
Njoo Kahama tena mwaka huu Kaka
@bulugunhandi
5 ай бұрын
Tupo pamoja sana kiongozi
@NdalawaChiga
6 ай бұрын
Kazi nzuri man
@yohanamadede8669
7 ай бұрын
Dar esalaam imefika dule degeleka gete bhahebhu❤
@RackeR31
7 ай бұрын
Ya Moto Sanaa Hii Kaka❤
@FaidaNyanda
5 ай бұрын
salutee kwako gudegude
@Elia.Misigalo.
5 ай бұрын
Nimeipenda Niko arusha umetisha sana
@PETER-m2y
Ай бұрын
Nyimbo iko poa san
@ShilungaKanada-k9f
3 ай бұрын
Kiukweli umetisha kwa wimbo huu big up
@danielokoth3152
7 ай бұрын
Good work.
@CalmOutdoorGrill-in8wp
4 ай бұрын
❤❤❤ asante sana kwa sing zuri
@MatirdaSimon
6 ай бұрын
Tunakupata vizur san msani wet naijoy na Ngoma za sir hata nikiwa mbal❤
@annamasele5561
7 ай бұрын
Kitu kimesimama !!! Mungu akutunze
@Lumelez
7 ай бұрын
Tunataka vitu kama hivyo sasa❤❤❤❤
@zawadimbwambo1091
4 ай бұрын
Ya waafrika tunaongozana vibaya hadi tunaishi tukiwaza shida tuu. Tunadhani ni mpango wa mungu na sio wenzetu na tumeamini hivyo!!!!!!!!!!
Пікірлер: 234