Kichapo Putin anachowapa USA unaachaje kumchanganya na watu
@Allybinamour
22 күн бұрын
Hapo hakuna kazi,kwa sasa wamerekani wanaongozwa na taahira anaevaa suti,kwa kila mwenye akili timamu hawezi kumchagua tena kuongozi nchi labda na yeye awe taahira.
@Itskeyzmusic
22 күн бұрын
ISTOSHE JAMAA KAMA ROBORT
@ianbryse1417
22 күн бұрын
Huyu mzee ni kama Hayati Edward Lowassa angekuwaga Rais wa Tanzania hivi vituko tungeviona sana 😂😂😂😂
@kayajaexpress8313
22 күн бұрын
Siyo kosa lake kwamaana robot awezi kuwa kamili kama mwanadam
@WilbertChambilo-yl1kc
22 күн бұрын
Chezea putini ww, watu wanaweweseka
@user-cw8zn2dn6m
22 күн бұрын
Putin kawa matatizo kwelikweli kwa hao wamarekani😂😂😂😂😂
@salehemsumi615
22 күн бұрын
Laana ya ubaguzi wa rangi inamtafuna!!
@AmriMzeru
21 күн бұрын
😂uzee sio kitu chema
@juliusdonard933
22 күн бұрын
Kammis tu putin
@shabanimbululo
22 күн бұрын
Lowasa wa Marekani 😂
@ianbryse1417
22 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@abdallahkambangwa7215
21 күн бұрын
hahahahha hatar sana
@christopherjoseph8330
22 күн бұрын
Tatizo la network
@user-bz5ti6op6z
22 күн бұрын
Duh inachekesha sana hii
@iddikibwana9185
21 күн бұрын
Fyuzi zimekata 😂😂😂
@ianbryse1417
22 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@KS-iw7qv
22 күн бұрын
Anaweweseka na Putin....
@salumualoyce5620
21 күн бұрын
Umeshindwa kuachia sauti ya Bideni akimwita Zelensky "Putin" na Kamala akimwita "Trump"?
Пікірлер: 21