Una lolote choo ni kigezo kimojawapo cha VIP uwezi mpangia mtu muda wa kukojoa ndege inatumia 3 hour tu na inachoo sembuse masaa 17 usitete gari flani acha unazi choo ni muimu
@Tee-King
Жыл бұрын
Hii gar ni V.I.P kwa regular sio VVIP kwa VIP kuhusu Choo kisa mashimo uyo kama mshamba. Ila uyo akisema M2 anakosa uhuru kwenda choon uyo jamaa anajua sana bongo amna VVIP 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@KhalidKhan-ud9cz
5 ай бұрын
Mzuri Sana kweli 💖
@mossyally3352
5 ай бұрын
Choo muhimu sana. Kumbuka kuna wstu wanaotumia dawa ambazo huwafanya waendelee haja ndogo kila mara.Baadhi watu wazima hawawezi himili masaa 4 au 5.
@ivonclavery3023
Жыл бұрын
Choooooo muhimuuuuu msijiteteee😅😅😅😅😅😅
@jeffkonki8279
Жыл бұрын
KWA ALIYEGUNDUA HUYU JAMAA NI CHAWA WA ALLYS STAR TUUNGANE HAPA
@MABAASITV
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@shabanisaleeh4541
Жыл бұрын
Sio chawa uyo ni kondakta mpanduji yupo kwenye allys hizo hizo
@sammyswags5260
Жыл бұрын
wachangiaji wengi wanachangia kama wana nongwa hivi.... mara anaibuka mtu anakataa sio VIP wakati huo hana uwezo wa kununua hata tairi mamae
@mhillyfrancis4928
Жыл бұрын
Nimegundua kitu hapo unajaribu kuitetea allys star ila amechemka kama happy nation katoa zenye choo basi hizo ndio basi sahihi
@edwinraymond3404
Жыл бұрын
Izo zenye choo bm anazo kitambo sana arusha dar
@alhimnamussasaid3619
Жыл бұрын
Choo ni muhimu sana acheni upumbavu
@luhanyamipawantobi6888
Жыл бұрын
Kwanini nikapande gari langu mwenyewe wakati yapo mabas yenye choo nyoko wewe unatueleza nn!!
@NaimaDame-mz9me
5 ай бұрын
Hao hawajashikwa n haja ila siku ikiwakuta ndio watajuwa umuhimu wa choo ndan y bas
@stevenmwenda3005
Жыл бұрын
Jamani maisha yanakwenda mbele ukisema choo silazima hapo unakosea kumbuka wanaopanda mabus sio wote wanaumri mmoja kuna watoto vijana na watu wazima kuna mtu anakuwa na matatizo ya kibofu cha mkojo kama kuna choo ndani mtu atakuwa comfortable kwenda chooni nakujisaidia
@sammyswags5260
Жыл бұрын
mijitu haijielewi kabisa mara mwingine anaanza kuelezea maana ya VVIP na VIP sasan ili iweje
@shabanisaleeh4541
Жыл бұрын
Mpanduji mp anatoa ufafanuzii haaaaaaa haaaaaaaaa
@ayuburashidi7865
Жыл бұрын
AyubuRashiDi
@globalmplustv2728
Жыл бұрын
HAHA, ALLY'S, FANYENI BIASHARA NA SIO KUTOKA MADHAIFU YA WENZENU, NYIE NDIO MJIREKEBISHE KUTOKANA NA MADHAIFU YAO NA SIO KUYATANGAZA HAHA
@SalumOmary-m2j
10 ай бұрын
Mm naona hapo wore wajinga
@MkamaHarun
9 ай бұрын
Acha wivu wa kijinga ww kuponda mali za watu, huon muda wa kuchimba dawa unafanya kuwa safar inakuwa ndefu? pia kuna watu wana matatizo ya kibofu huwez kumwambia asubirie hadi mtakaposimama nyie.
Пікірлер: 21