ZAY ASHUKURU AKUTANISHWA NA WATU AMBAO HAJAWAI FIKIRIA KUKUTANANAO VIA MANARA FAMES
@SimonSamweli-v6u
8 ай бұрын
Miamba miwili katika kuiwakilisha kigoma❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ShadiyaCute-lq2gk
8 ай бұрын
Kikubwa Dua adui ni mnafiki siku zote kwenye mafanikio ya watu wapambanaji na wajitambuwao kwenye life😘
@aishaomar9621
8 ай бұрын
Ommy dimpoz nikitambo sijakuona Mungu akupe maisha marefu bro❤
@InnocentCherryDumplings-rg1tj
8 ай бұрын
Nafurahiya kumuona ommy dimpoz n'a Simba mumetokambali musiwape nafasi madui
@zazalareine257
8 ай бұрын
Kabisa napend commnt yak❤
@jaquilinekivunge331
8 ай бұрын
Ata mm❤
@sihamnjagi
8 ай бұрын
@3:22 diamond alivyomuangalia Aaliyah sasa na akaramba lips ❤
@JamilaHauzigwa
8 ай бұрын
Kumbe umeona km mimi
@joycehaule9717
8 ай бұрын
Hahahhaahhaaaa Haji manara anajua kuwanyoosha kila siku mnamchangia ndoa yake
@ExseviaSamwel
8 ай бұрын
👍👍👍👍👍👍i appreciate you, my brother Mc Garra b🙌🙌
@sistertrashid2488
8 ай бұрын
Eeee anataka hela 😅😅😅😅😅😅kachangamka jamani ufanye mambo utegemee watu wa toe pesa pambana
@omarali797
8 ай бұрын
Anaishi Kwa michango ya harusi
@Yangaone-h8j
8 ай бұрын
Haji unajua kudai kutuzwa cash wanaahidi viwanja wakati kikapo kinaka cashmoney🤣🤣🤣🤣🤣
@RogerWilly-q3u
8 ай бұрын
Naomba niulize saiv dulla hali yake inaendeleaje
@zuhuraMangapi
8 ай бұрын
Huyu mond suti aimtoshi ama maana eeeh kila mda anapandisha juu
@Samueldavics
8 ай бұрын
😅😅
@ramadhanisalum3898
8 ай бұрын
Tupo kwenye banda la video na dulla makabila tunaangalia ujinga wao dulla anasema eti hawatafika mbali wataachana
@abelhilonga1095
8 ай бұрын
Manara na mondi ni marafiki bana
@mussandikumana3561
8 ай бұрын
Yes Hadji Manara
@MRHURUMAHuruma
8 ай бұрын
Hakuna kitu sipend kwenye shughuli yangu kama ahadi za viwanja kwan nani amekuambia mm nataka kiwanja huko uza hicho kiwanja njoo na mzigo unajuaje kama nina madeni katka kuandaa shughuli
@oyay2821
8 ай бұрын
Safi sana
@feyxalbarry4595
8 ай бұрын
Sema wazazi wa hili zee ovyo Wana moyo sana kuvumilia matukio yake
@theblessedone7526
8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@bahatijoseph8763
8 ай бұрын
Manara Mtundu Sana... 😂😂😂
@kwisa4899
8 ай бұрын
maisha ni yako
@KakaFondo-dy9tl
7 ай бұрын
nice
@jumapee711
8 ай бұрын
Dulla kausha mwamba siunajua Sweta chakavu ndio dekio jipya
@uwasesifa7563
8 ай бұрын
Hakuna ndoa hapo ni kiki tu
@IreneIsack-qp9ns
8 ай бұрын
Ila uyu manala
@MussaNasri
8 ай бұрын
Unaweza Kuta akili ya zai ipo Kwa m2 wa pembeni mwenye nguo nyekundu ana waza ipo siku ata muweka mikononi😅😅😅😅😅
@zazalareine257
8 ай бұрын
Simba kama simba 🎉🎉🎉umetisha❤❤❤
@khadejakhadeja9713
8 ай бұрын
Tunasubiri yaa DIOMOND kwa hamu harusi
@beatricemshiu2816
8 ай бұрын
Hiyo suti Diamond hajavaa mkanda😅
@MichaelMagige
8 ай бұрын
Haji Hana Aya! Mungu sijui utajibu Nini,sababu za kuvunja ndoa Mara kwa Mara,Mimi so support katika hili,kwa haji umekuwa!
@isaackambofi1241
8 ай бұрын
Hayakuhusu fanya yako au fungua kituo Cha ushauri
@mbanga6759
8 ай бұрын
@@isaackambofi1241umenifurahisha Sana anakiherehere
@erycah
8 ай бұрын
Ndio maana sisi binadamu hatujawa Mungu. Ya Mungu tumuachie Mungu. Hakuna aliye mkamilifu.
@MichaelMagige
8 ай бұрын
Kila siku unaoa haji,jitahidi hii ndoa na zaylisa idumu ata Mia kumi zaidi,usitumie kigezo Cha uislam kuoa na kuacha!
@ommymehmed8880
8 ай бұрын
Broo...kuoa na kuacha vyote vipo na vitafanya kazi iwapo vitafika muda wake. Kuoa kwa muislam ni Nusu ya Dini. Na ikibidi kuachana Uislam unatutaka kuachana kwa Wema tu. Kwa iyo Uislam haukuja kuwapa watu mateso... Na huyo haji hapo hajafanya hata moja linalokubalika kwenye mafundisho ya Uislam.... Ni muislam lkn hajitambui na ameghafilika kuyaendea matamanio ya kilimwengu tu basi ... Mwenyezi Mungu Amuonyeshe Haki na aweze kuifuata ,Na Amuonyeshe Batili aweze kuiepuka.
@JumaShimende
8 ай бұрын
Shekhe haji nikukumbushe tuka baadhi ya wanawake wapo kama nywele kuhamia hama sasa Simba hilo jicho Kwa shemejio linanipa shaka usije ukamuhamishia madale teiga huyoo jamani.
@salehnassor3114
8 ай бұрын
Masikini wanahangaika ila serikali inagawa viwanja kwa mambo ya kijinga na yasiokuwa ya maana
@JuliusAman-we5bw
8 ай бұрын
Nimecheka kwasauti😂😂😂
@subirajohn728
8 ай бұрын
Utaumwa roho bure mwisho ufe mapema😳tuachie Buhgati wetu
@DullhFeyy
8 ай бұрын
Alie pewa kapewa tu ndugu yangu
@Sidrasidra636
8 ай бұрын
Haji aki muona dai ana pata muhaho hapo mwisho wengine wanamwita hata hawasikii kweli!😢
@movie_zone254
8 ай бұрын
Hadi aibu kwanza kwa Ommy
@modsdickson1671
8 ай бұрын
Huyu mwanamke mwizi jamn
@Wsdddjsssnd
8 ай бұрын
Haji alitegemea ma cash yajae kama wanavyomwaga hela leo cjui imekuajw😂😂😂kweli hali ngumu
@عبداللهالعازمي-ع3ش
8 ай бұрын
Kwan shere yake ameitaji kuchangiwa
@Wsdddjsssnd
8 ай бұрын
@@عبداللهالعازمي-ع3ش ndo sasa alitegemea ma cash Ili arudishe Gharama unadhn kwnn kaalika ma 🌟
@AliMkumbukwa
8 ай бұрын
Aaaaaaa 😅😅😅 unamuona xanavbe n wekna mond a dulaa lazma alkeluke Kama mhalage
@marckmark2738
8 ай бұрын
Ivi uyu Manara si ndo alikua anamtambulisha dulla kwenye vilabu vya mpira
@essah___
8 ай бұрын
Zee la hovyo kabisa
@ekkymumba8566
8 ай бұрын
Jamani kumbe amsiriazi😂😂
@NeemaAthanazi
8 ай бұрын
Ivi konde Yuko wapi
@SesiliaSamwelkamau
8 ай бұрын
me nafurahi kumuona diamond na ommy wakipatana tena kwa furaha jmn tusiwaruhusu maadui watugombanishe
@SesiliaSamwelkamau
8 ай бұрын
❤❤❤❤
@lysandrasalv2908
8 ай бұрын
Mmmmmh cjapenda hawajamtunza 💔 haji hadi kasema lkn wapi tabia mbaya afu ommy amefanya hadi mondi asitoe hela wkt alikuwa ameshaanza kujishika mifuko
@josephmonko8162
8 ай бұрын
Rq
@ziadasadiki8196
8 ай бұрын
Watu Wamemchoka na Sherehe za wanawake kilamara
@mwanabayadola5476
8 ай бұрын
Hvi viwanja uwa n kweli au uongo 😅
@SaumuYasini-mb6fd
8 ай бұрын
Wao mmependeza baraa
@nishaabdula5015
8 ай бұрын
Viwanja vya wnanchi mnatowa zawadi
@miriamdavis3893
8 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@mohammedkidody5618
8 ай бұрын
😂😂😂
@john_1trader
8 ай бұрын
Mpeni diamondi mike 😂
@user-mi9ze6gb7e
8 ай бұрын
saw
@vumiliamadoshada4218
8 ай бұрын
Mchango wa mchongo 😂
@selemankishema5780
8 ай бұрын
Yaani manara fujo yote hiyo ya kutangaza uchafu wako toka mwanzo huna nyumba? Mama samia huyu mwehu kesho ataleta mwanamke mwingine umpe uwanja wa taifa ajenge humo
@mbanga6759
8 ай бұрын
Ukiwa nayo wewe imetosha wewe ndo mwehu kulalamika Jambo so lako
@boneyme9433
8 ай бұрын
WORD
@MaombiBosco-mn4ro
8 ай бұрын
Nisha vuka ukooo aawa mondiii
@mirroyjunior8348
8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mayrose9772
8 ай бұрын
Mana umeamua kudai chako
@pavillioncry5241
8 ай бұрын
Kazi yenu uzinifuuuuuuuuuuu tuuuuu basiii
@gracyanygracy5088
8 ай бұрын
Hizi pesa munatoa wapi si mungezichukuwa mukasaidiya watu kweli
@pascojm6816
8 ай бұрын
Wametafyta
@nasrachambo1592
8 ай бұрын
😂😂😂
@dianarosekaugira5608
8 ай бұрын
yani mavunde ndio kafanania na zaylisa
@elizabethswai7777
8 ай бұрын
😂😂
@hbr254tv
8 ай бұрын
OSTAZ JUMA AMVAA HAJI MANARA kzitem.info/news/bejne/pqx6m5uMrIecfKw
Пікірлер: 84