Nazani hili kombe lisihusishe timu za ligi kuu ni Bora likahusisha timu za championship maana timu za ligi kuu Zina mambo mengi mashindano ya caf mapinduzi na timu za taifa na muda ni mfupi San maoni yangu ni kwamba Hilo kombe ni vyema likawa kwa championship🙌🙌🙌
@mokajoli4928
3 күн бұрын
Ndokweli wabunge wetu wamefikia hatua ii? Duh mungu atusimamie sana
@danielonline3181
23 күн бұрын
Daaaaaaaaaa sida sana hiii kwenye nchi yetu
@IvetaSteven-b9z
5 күн бұрын
KWAPESA ZA KUNUNULIA DAWA HOSPITALI HAZINA DAWA
@fettiemaganza1484
23 күн бұрын
Sasa hilo nalo ni jambo la kufanya kwa taifa na kuna mambo mengi ya kufanya kwa ajili ya wananchi ama kweli sa hv bora tupumue tu
@minazsaid2470
23 күн бұрын
Mngeipambania timu ya taifa kwanza ifanye vizuri
@IjumaaIjumaa
17 күн бұрын
shida ya maji Kila Kona na kubambikiziwa bili watu hanahabari na wananchi wanajàli mipira ukiwa unanjaa utaangalia huo mpira wa Pete?
@gordiansoko9113
23 күн бұрын
Mimi nilifikiri kuwa bungeni ni kuwa na akili kumbe kuna vilaza wengi wanatuwakilisha kila kitu mama Samia hata wazee waasisi wa Taifa hili kama mwalimu Nyerere hawakupambwa kama hivi nchi imejaa machawa na watu wakujipendekeza.
@mossessimon2493
19 күн бұрын
Dah.. viazi
@makejamaduhu7618
4 күн бұрын
Ninyi waheshimiwa pesa ya mama nashauri ianzishe timu maalum ya taifa yaani taifa stars iliyoboreshwa. Nayo iwe inazumguka na kutafuta wachezaji ili isajiliwe kabisa hata kama niwa ndani lakini iwe hivyo
@abbassalum6824
17 күн бұрын
Vitu vya kipuuzi ndio wanachekacheka tu apo bungengeni vitu vya maana hawataki hata kujadili
@Maryammadafa
23 күн бұрын
Maajabu haya jamani mijadala imewaishia au
@emilyfocus5639
23 күн бұрын
Havina akili, ni njaa tu😂
@chollejr_
3 күн бұрын
😳😳😳😳ilaaaa
@GabrielSky64
23 күн бұрын
Kha😂😂😂 hii Nchi
@danielonline3181
23 күн бұрын
Aibu sana hii....
@SuhaylahSuhaylahAdam
23 күн бұрын
Aibu sana
@richardmaimu9596
23 күн бұрын
Yote yanayoendelea Nchi Bunge linajadili JINSI YA KUMTUKUZA RAIS
@richardmaimu9596
23 күн бұрын
Hii nchi kweli tumepotea
@abbassalum6824
17 күн бұрын
Ushuziii
@Saadat-z9o
4 күн бұрын
Kwl
@kalebphilip3426
23 күн бұрын
Ingzen kwenye katba yenu mtoe neno raisi aitwe mfalme,sjawah kuona raisi anayesifiwa Kama huyu sjui Kuna shda gan hii nchi aisee
@yothamgwanika9530
23 күн бұрын
Mmmmh ipoo kwenye ilani ya chama?
@fettiemaganza1484
23 күн бұрын
Yaan sa hv tunaburuzwa tu mradi siku ziende I wish next year chadema warudi bungeni ili huu upuuzi uishe
@joojombi2341
23 күн бұрын
Mpuuzi huyo hata hapo kumbe wee Simba mpka kiungulia kimempata Naibu Waziri mzima aibu tupu
@robertphilip385
23 күн бұрын
Ni bunge la vituko
@chollejr_
3 күн бұрын
Ivi magufuli angeruhusu huu usenge
@DavidGasper-q6w
22 күн бұрын
Ufala huu
@SualeheDali
23 күн бұрын
Nchi ya hovyooooo kabisa 💉
@SuhaylahSuhaylahAdam
23 күн бұрын
Sana
@davidgeorge9324
6 күн бұрын
Lipen maden achen mambo yandondo
@deotombolo7915
17 күн бұрын
Acheni uchawa
@naftaelnanyaro5000
16 күн бұрын
Haibu tupu hiii Mungu simama tutetee sisi Unaona Mwenyenzi nchi yetu hii inapoelekea tutee sasa Mwenyenzi Mungu usituache wenyewe Tulio wachaguwa Leo wametusahau ilwa wewe uwezi tusaau Simama tutetee eeh MUNGU 🙏
@naftaelnanyaro5000
16 күн бұрын
Watu wanateseka madawa Hosptal Na maisha ya mekuwa magum Barabara mbovu kila mahali? Ivi mbona mnashushia bunge Tumewata bungeni mkatutetee alafu mnawaza kumbe la samia Umeshunta shuleni yenyewe hamjaiweza bado Tunaenda wapi kama tulio watuma kwa kura zetu ndio nyie?
@AdamSaffi211
23 күн бұрын
Kila kitu iteni Samia, fisi nyinyi! Another 7 years of this crap? Poleni.
@halimamasai2234
23 күн бұрын
We fala imekuma basi utaendelea kuteseka sana kwani Samia ndo kila kitu 🤣🤣🤣pole we na roho yako ya kihasidi
Пікірлер: 39