Mwenzenu mimi sina Dine yoyote. Mini no1, nimekataa kuitwa KONDOO, afadhari FISI. POLINI, fisi ana jitetea
@asentertainmenttz3128
6 ай бұрын
et fala umetoka kula machipsi umevaa na yebo dah kudadadeki wachokonozi muishi sana
@josephmarigi6374
2 ай бұрын
Wachokonozi N Moto 🔥🔥🔥
@ommywatanga8759
28 күн бұрын
Tatizo letu wafrica tumesha shiba kukaririwa na ndio maana tumeshiba ujinga nakulevywa na upumbavu, kiukweli tashi zetu zinaitaji msaada bila ya hivyo tutakuwa masikini wakutupwa; hawa washikaji wako timamu ila unatakiwa kuwa na muda wakuwapa nafasi nakuwasikiliza bila ya hivyo umbumbumbu hauto kwisha vitu vyengine vinaitaji upeo wa hali ya juu
@SevarDrain-om8kt
2 ай бұрын
Dah viumbe hatar sana ivi mnamadininyakutosha
@adambaton5521
6 ай бұрын
Asante sana nilishaiomba hii muielezee naleo nimepata majibu
@georgenazi9325
6 ай бұрын
Wachokonozi ❤
@HusseinAlly-qd1jg
6 ай бұрын
bado haitosi mada ni havy sn alaf muda mchache sn,, tumien walau hat dakika 45 mstik kwenye hyo mada ya divil,,, na secret society
@AgustinoKinyaga
6 ай бұрын
Brothers from another Mother
@saidbakari2408
6 ай бұрын
😂😂😂 ninyi viumbe mko na vitu vingi saaana sana endeleeni kutuletea madini
@DjFae.b255
2 ай бұрын
Nyie jamaaa daah nomaaaa san mmenifungua sehemu kubwa 🔥🔥🔥🔥🙌
@benbenbenstone
6 ай бұрын
Waeleze kabisa ☯️
@lyabola8863
6 ай бұрын
Duuh poa nawaelewa
@smartvicobatv245
6 ай бұрын
Hichi siyo kikoba 😁😁😁
@JiranAmran-in8nt
4 ай бұрын
Big Up sana!
@KassimKhalaid
Ай бұрын
Ww utakuwa na matatizo shetani yuko mungu pia waongea ujinga tu
@davidtentacion3104
Ай бұрын
Nauza akili ❤
@hermanricci
18 күн бұрын
Ulimwengu umeumbwa na Nani!? Ikiwa Hakuna Mungu.naomba majibu wachokonozi
@MrNoah-gr7rq
7 күн бұрын
True😮
@CairoBenny
Ай бұрын
Jamani wakuwaombea wawaombee ila mungu ataniwi achezewii bro
@wachokonozi_
Ай бұрын
@@CairoBenny chagua mwenyewe kuzika au kusafirisha.
@shukuruabduli-o9j
Ай бұрын
Nyie majamaa no Noma sana😂
@benikayange2605
Ай бұрын
😂😂😂nawaelewaga sana wachokonozi
@Edwin-tw3yj
2 ай бұрын
Inaitajika maneno ya kiasi Ili Kila mtu akiona awe na hamu ya kujifunza sio mafara
@Samsonikibona
Ай бұрын
Ongezeni mda AAA wachungangaji wanapoteza watu hao ni wapumbafu
@asentertainmenttz3128
6 ай бұрын
Kwa kweli ni urongo😂😂😂😂
@saleemadhiyabalkhatri7800
2 ай бұрын
Sasa ukiongea kawaida utapunga nini mpaka utukane katikamala wewe wamwisho naninakuhakikishia hunamudamrefu zungumzia upumbavu wako usiingize dini fala wewe
@BENEFITMATERIAL
2 ай бұрын
kudadeki hawa jamaa bwana! hatari sana napata madini mengi sana kuhusu maisha na dunia kwa ujumla, naomba mnisaidie kitu, kama MUNGU hayupo na shetani hayupo nini chanzo cha haya yote i mean binadamu na vyote vinavyomzunguka? je nani anahusika katika katika suala la uumbaji na uumbikaji wa hivi vyote?
@wachokonozi_
2 ай бұрын
@@BENEFITMATERIAL hakuna uumbaji. Hivi vyote vilikuwepo vipo na vitakuwepo. Ukitaka kuelewa hakuna uumbaji, Muulize mtu yoyote wa dini mungu ameumbwa na nani? Hata wewe unaweza jibu.
@adamdunia
3 күн бұрын
kama umejiumba nini?
@isaacktweve3773
Ай бұрын
Ninyi ni shidaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂
@williammassay961
Ай бұрын
100% correct
@shukranisibale1739
3 ай бұрын
Maji hayo mixer k vant wakuu
@OzumanAir
Ай бұрын
Izi video siku za mwisho wataziplei tuzione tena unapoenda motoni😢😢😢😢😢😢😢😢
@headquartersofknowledgeand5651
Ай бұрын
Kuna kaukweli
@jairusasemboopalla6638
19 күн бұрын
True na kubali na wewe
@e.mtvfoundation
Ай бұрын
Inamaanisha nini pale mtu anamtoa kafara mtu ili atajirike ni kwanini??
@benbenbenstone
6 ай бұрын
😂😂😂😂👏👌💯
@mckobatz5861
2 ай бұрын
Kumbe nanyi ni mafala enh!!😂 Yaani wanaokemea uchoko hawako sawa ila papa anayewaita wanafiki wanaokemea ushoga!!!! Yawezekana nawe ni choko pia
@n.w.l1091
Ай бұрын
Uyu mpumbavu ywasema jua na mwezi zilikua ATI hazikuumbwa eleza zilikua aje to come to existance mpuzi ww😂😂😂
@jamesloshilunye414
3 ай бұрын
Kwa hiyo hao secret society ni akina nani?? Na wanaficha nini???
@bahatisaimon6019
6 ай бұрын
Sasa kama Mungu hayupo hii dunia ilikuja vp wazee ebu nipeni ufafanuzi
@wachokonozi_
6 ай бұрын
😀 dunia ilikuwepo na itakuwepo...
@mustiguga
2 ай бұрын
Mungu yupo mzee kila kitu kina mwanzilishi
@jimmysam8330
Ай бұрын
Mwanzilishi wa mungu nk nani@@mustiguga
@mbezzoprince9462
22 күн бұрын
@@mustigugaMwanzilishi wa mungu ni Nani??
@mustiguga
22 күн бұрын
@@mbezzoprince9462 Angekuwa na mwanzo asingeitwa Mungu nimesema kila kitu Mungu sio kitu
@RutiJeanlambert
Ай бұрын
❤
@arnoldmiremi8718
4 күн бұрын
Wakuu me nipo pamoja na nyie. Naomba kujua zile aina 9 za vichwa vya binadamu cz kuna watu nawasiwasi nao.naisi wameasirika na malezi 😂
@NgaizaKimbeNgaizakimbe
3 ай бұрын
🙏🙏🙏
@n.w.l1091
Ай бұрын
Watanzania MADWANZI😂😂😂
@mwl.michaelsainethmlowe2641
4 ай бұрын
Acha kupotosha wewe hakuna anayeuwa watu Na hizo ni dhihaka tu wewe huzo stori za mashetani umetoa wapi ?
@saleemadhiyabalkhatri7800
2 ай бұрын
Bangi mbaya na njaa pia
@tibenganisamafolo8492
4 ай бұрын
I'm
@noelymwakyoma9620
5 ай бұрын
😂😂😂🙆
@sureboyofficial6473
5 ай бұрын
UKO SAWA KAKA
@saleemadhiyabalkhatri7800
2 ай бұрын
Milembe inamuhusu
@adonaiastoni1703
4 ай бұрын
Katafuteni kazi hiyo elim si ingewapa ajira ama kuwa sawa na elimu yako Hujui maana ya elimu!elimu sio kuongeaongea kama bata kuwa na elimu ni imekusaidia kuweza nini sio kutafuta followers kwa kubwabwaja mdodomo
@LudoMwamsaku-x2u
2 ай бұрын
Point yako ni ipi?
@saleemadhiyabalkhatri7800
2 ай бұрын
Hajilewi anaropoka atafuta sifa rudi shule
@williammassay961
Ай бұрын
@@adonaiastoni1703 tatizo cyo kuajiriwa tatizo ni kufanya elimu yako kuwa pesa kaka afu pia walioelimika hawatafuti ajira we mwenye taaluma ndo unatafuta ajira hujaelimika kaka
Пікірлер: 66