nimeelewa sana nimeiangalia hii video mara kadhaa aisee hongereni kwa kutufungua akili
@epafraditopajenga4650
4 ай бұрын
Chukia Elimu Dunia Ila Sio Elimu Ya Ki Mungu Ndugu Na kuonya utakatwa mwendo wa maisha yako
@wachokonozi_
4 ай бұрын
We mwenyewe umeshakatwa mwendo wa akili yako.
@DahHodges777
2 ай бұрын
akili yako ni punje
@Islam-n6g
Ай бұрын
Hata ukiamini mungu bado utakufa wacha kutishia wapi
@selemanikazingini5566
Ай бұрын
Wewe ishi milele na uyo Mungu wako
@isackmachiyanshoka6754
Ай бұрын
Ni kweli kabsa, wakufunzi wengi wa vyuo hupenda zaidi hata unapojibu maswali yao ujibu kile walichokufundisha kama definition usiongeze maneno yako wala kupunguza , walikuwa wakinifelisha sana, nakuina kama sjajibu sahihi, wakati nilichozungumza ni kilekile
@frankchipasura1814
Ай бұрын
Nawaelewa sana wachokozi
@noelymwakyoma9620
5 ай бұрын
✊✊✊africa😊😊
@geraldluiso6792
2 ай бұрын
Change environment,go out side like UK, Australia,Canada and USA
@BarakaSalube
Ай бұрын
Mm napenda sana watu kama ninyii
@danctheyoung9904
2 ай бұрын
Safi saana mwalimu
@sureboyofficial6473
4 ай бұрын
NDIO MAANA NAONA BORA SIKWENDA HUKO NINGEPOTEZA MUDA
@swahilikoreantv1156
5 сағат бұрын
Nakumbuka chuo kuna siku waliweka swali la what is Chemistry... Yaan nilichoka balaa
@@Dolkasidanieli ulimuona anawashughulikia au ulisimuliwa.
@alexpatson8941
Ай бұрын
Unajiona ww utakaukiwa Duniani pata ilemu hapo
@selemanikazingini5566
Ай бұрын
Acha ujinga pata elimu wewe
@Start_smart103
2 ай бұрын
Hauwezi kutumia material ya mwanaume mwenzio.. "Hiyo KZitem mnayoitumia ni material ya nani??? kuna muda mnaeleweka kwa story zenu za kufikirika na kuna muda mnafanya comedy < nyie Hamna shule mnakaza fuvu Tu>
@lampadshigonko3006
2 ай бұрын
Sasa kuna shule inafunza kuvyumbua KZitem?
@isackmachiyanshoka6754
Ай бұрын
Bado huajamwelewa vzr, you tube ni platform, but buterials ni elimu.
@SamAbdalah
2 ай бұрын
Je, unakubali uwepo wa manabii?
@teacherdenniskauga1720
Ай бұрын
Manabii wa wapi?
@francetrading8594
Ай бұрын
😢
@geraldluiso6792
2 ай бұрын
Mh!
@MohdMohd-hf7rm
9 ай бұрын
Nyie nyote ni wajinga na kwa contents hizi hamtoboi muhudi
@wachokonozi_
9 ай бұрын
Ahsante kwa maoni yako na endelea kutufatilia.
@MohdMohd-hf7rm
9 ай бұрын
Mtuambie mnasema chuo ni sehemu watu wanapresent ideas hakuna mitihani na notes ni za mtu mwengine kwaio sio chuo kikuu !! Hivi mtu anaesoma Udaktari kuufahamu mfupa wa binaadamu na aende akavumbue mfupa ukoje serious!! Nyie mshamaliza Vyuo Hamna shughuli ya Kufanya mmeamua kuidiss elimu kwasababu haijawasaidia kitu
@fahadfaraj6474
8 ай бұрын
@@MohdMohd-hf7rmelimu zenye uhalisia ni chache mnoo mfano ndo huo sasa wa udaktari ambao kimsingi ni wachache mnoo ila majority ya elimu ni ukanjanja na wako sahihi sana
@fahadfaraj6474
8 ай бұрын
@@MohdMohd-hf7rmna ndio maana 80% ya wasomi leo wanahangaika na elimu inaanza onekana inakosa maana msomi aheshimiki tena leo wasomi wanatamani wangekua hata chawa wapate hela Dira haipo tena
@alinanisimbeye9512
8 ай бұрын
Wewe akili zako ndogo huwezi kuelewa kasiklize umbeye mbengo tv
Пікірлер: 37