Asante kwa kufuatilia.Ukiipenda please share na wengine waitazame📌
@innocentmushi1550
2 жыл бұрын
binadamu ni hatari zaidi akiwa mtumwa wa uhuru wake kuliko akiwa mtumwa wa mtu
@barakakambi1469
2 жыл бұрын
This is pure gem ...something special in him, tell the people to know
@jabirprivatus1655
2 жыл бұрын
A confession of mad man.. ni Ngoma yangu pendwa kutoka kwako
@ramadhanialhabiby6458
Жыл бұрын
Sikiliza vizuri Kikioni,🎮over na Shahidi, Rudi nyumban🎯🎯🎯 apewe🧃🧃🧃
@jabirprivatus1655
2 жыл бұрын
Naweza kusema Mimi ni shabiki Yako mkubwa kulioo Wote duniani💪💪
@brunoh_bx
10 ай бұрын
Hawa vijana wanatakiwa katika kuijenga nchi yetu, ni chalii tu lakin ana mtazamo wa mbali sana, he actually think beyond the reality, huyu dogo ni mwanafalsa(philosopher) asilia kabisa, keep it up broo💯
@makantaafrika
2 жыл бұрын
Madini Tu ✊🏿🖤
@lionking3015
Жыл бұрын
Dizasta ni msanii Tanzania nzima mwenye deep knowledge ya mambo mengi na ufafanuzi wake uko on point..big up bro. People should listen ur lyrics to get valued info.. period
@mwasianoezekiel5150
Жыл бұрын
Hizi ndo interviews acha na zile kelele za wendawazimu wengine, the interview is kind of educational based which is very good.
@officallymbonde9257
2 жыл бұрын
mkari zaidi yawakari apewi nafasi daah🥲🥲
@pellestianomasai1220
Жыл бұрын
Inafurahisha kuona kuna Vijana wenye akili namna hii katika Sanaa ya Tanzania. What's so pathetic about it ni kwamba vijana kama huyu do not get enough Airtime ili waweze ku impact their society with Positive Thoughts na Inspiration. Where Do I get His Album (The Verteller, not certain with the name)... #DisastaVina is beyond genius..
@petermakoye8918
2 жыл бұрын
Dizasta yuko competent sana.
@isamiloprezdent6807
2 жыл бұрын
Huyu jamaaaa n mbad sanaaa
@THE_CONQUERORS_TZ
2 жыл бұрын
Jamii imeshiba sana ujinga that's the reason this Nicca is not famous
@farajimwaipungu3200
2 жыл бұрын
Uyu jamaa ni htr zaid , D vina the black maradona
@salimmwabundu958
8 ай бұрын
Kwnza kbsa interview Kali Sanaa ila kuna kelele kdgo wkt wa kufly in and out hyo logo.. 1. Mm n mfatiliaji Bora n mzur wa Interview za Tz hii n interview Bora kwngu nakiri hilo. 2. Host ana akili Mingu sana namna analeta swali next katka maongezi n Noma sana.. 3.Huyu host cmjui n hii media pia sina uelewa nayo Bt huyu host anafaa kuwa media kubwa sana n kuhost hip hop shows kwa media. 4.cjui if the host n age gani bt anatosha kbs kumrithiri Jabir Saleh anajua sanaa
@immanuellucass6327
2 ай бұрын
Ngoma za hyu mwamba znahtaj akili kbwa San kuzielew, glow up kak💪💪💪💪💪
@kanaanrajab1102
Жыл бұрын
Really dizasta 🔥 like afanye collaboration na Mzee mbuz
@semenitheclassic
2 жыл бұрын
Love him very much!! Anajuwa sana
@Kyandojrtz
Жыл бұрын
Umejua kumuhoji huyu jamaa wengi huwa wanashndwa hongeraaaa
@salimmwabundu958
8 ай бұрын
Aiseeeh hivi ndio interview inafaa kuwa buana jamaa anauliza maswali Yani unaona hvi ndio inafaa aiseeeh kwn hzi big media hazioni vtu km hzi
@charlesmasali9267
2 жыл бұрын
Like i said ni lazima utulize kichwa yako kusikiliza hizi interviews
@robertgagabhi8188
Жыл бұрын
Dizasta ni genius mkubwa sana.
@dullahsimbaulanga6472
2 жыл бұрын
>>>Noma Sana Jamaa
@emmanuelgeorge6537
2 жыл бұрын
hakuna mwanga wala mganga wa kuwanga hiki kichwa🔥🔥💥
@Skipa_01
2 жыл бұрын
Living legend
@elibarikilukasimakala5534
2 жыл бұрын
New living gene 🧬
@HashimAllyKikwete-tm4zj
Жыл бұрын
Panorama 🎉🎉🎉
@twahampewa9752
2 жыл бұрын
🤝🤝🤝🤝🤝🔥🔥🔥🔥🔥
@stanleychambo5905
2 ай бұрын
Aisee mtafute Tena uyu jamaa afanye interview ya hatia sehem ya sita
@daudikipande2507
4 ай бұрын
vina
@emmanuelmayombo1858
Жыл бұрын
Mwamba Yuko vizuri sana
@aminumlekeni1397
Жыл бұрын
Goat
@zotto_boy
Жыл бұрын
🔥🔥
@maishaforreal7798
Жыл бұрын
Genius
@maishaforreal7798
Жыл бұрын
Mosta intellectuali dizasta vina🖤 still
@paulonjozi1638
2 жыл бұрын
Unimuelewa lazima uwe MTU mpya
@nawinahke710
2 жыл бұрын
Wasomi wawili wakikutana
@mossesmganga9691
2 жыл бұрын
One sentence na analyze full chapter..badest man
@nicksoncharles8240
2 жыл бұрын
Kaka gidion tuletee unju na albm yke mpya
@JoeinGermany
Жыл бұрын
Dizasta
@erickzephania1030
Жыл бұрын
Dizasta Akili kubwa,
@HizzaAbdullah
Жыл бұрын
nomasana dizasit
@ochutrendmwonekano5619
Жыл бұрын
Huyu jamaa aandike kitabu mimi nitakuwa wakwanza kusikiliza
@edomc4421
Жыл бұрын
Kichwa huyu jamaa
@giovanmsigwa9136
Жыл бұрын
hiyo back ground beat ni wimbo gani jamani
@dostovan5142
Жыл бұрын
Duke touches
@yonamachaka859
Жыл бұрын
No one like Dizasta vina in tz
@WakujaTech
2 жыл бұрын
Hatia III
@user-fq1do3xw2o
10 ай бұрын
Mbona makele pembeni
@immanuellucass6327
2 ай бұрын
Ngoma za hyu mwamba znahtaj akili kbwa San kuzielew, glow up kak💪💪💪💪💪
Пікірлер: 53