JIUNGE GROUP LETU LA WHATSAPP KWAAJILI YA TEAM MAXIMUM TV chat.whatsapp.com/IGM3V0nOBEw6HzpGACecBl GUSA LINK HYO HAPO JUU
@matogojuma9651
3 жыл бұрын
Hawaa
@frankyunia1809
3 жыл бұрын
Happy nampenda sana
@roseatieno6691
3 жыл бұрын
Whats up imejaa
@rukayyaijumaa4519
3 жыл бұрын
rukayya Ijumaa
@lelasalum555
3 жыл бұрын
Ummm hana tabia iyo na vipimo vya ujauzito vimetoka unaujauzito
@judytabby2777
3 жыл бұрын
Happy nakuombea mdogo wangu ujilinde umwangalie mamako na pia ww ni mdogo miaka iyo waume watangwangaisha mdogo nafurai Kenya vile unamdumia mama nakuombea baraka na radhi za mzazi zikufate maisha yako
@nilufaallyhussein7678
3 жыл бұрын
Oooh 😯 she’s beautiful and strong Maashallah
@rosecruiz4348
3 жыл бұрын
Usituangushe heppy tuna kupenda sana
@zakiamsafiri123zakiamsafir7
3 жыл бұрын
Ilove HAPPY usikubar wanaume waharibifu
@edinahmaganga2722
3 жыл бұрын
Pole sana Mwanangu Mungu akulinde sana mlee mama upate baraka kwa Mungu
@baharainbh5468
3 жыл бұрын
Huyu mtoto anapitia hali ngumu kweli tumuombee Mungu ampe nguvu za kipekee na roho yakustahimili
@rahabchep5318
3 жыл бұрын
humeomgea poit ya maana love u si kulaumu tumwachie allah
@halimayusuf1616
3 жыл бұрын
Ameyn. Yaan anamoyo wa kipekee
@biubwamohd1776
3 жыл бұрын
Rangi yakenzuri
@fatumaabdallah1064
3 жыл бұрын
Dah umeongea point pakaa ninalia maaana maisha ninayo pitia mm na mkubwa ninakazi zuri lakini nafika sehemu na choka majukumu na mama yangu anaumwa kama ivyo Yy bint mdogo sn
@rahabchep5318
3 жыл бұрын
@@fatumaabdallah1064 pole dear usichoke hakuna mtu anaependa kuumwa kikubwa wewe nikumwombea kila itwayo leo
@felistersmejumaa5188
3 жыл бұрын
Alhamdulillah wa kwanza from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦
@aminatumbo7410
3 жыл бұрын
Teenager... bado yuakua afu amerelax maziwa kufura ni afya pia hana mimba happy amazing girl💖💖
@ashirafukimaro8366
3 жыл бұрын
Allah akulinde innshaalah,akuepushe na vishawishi vya wanaume,na akujaalie mume Bora
@ashasaid5061
3 жыл бұрын
Mwenyezi mungu amlinde happy aweze kusimama Pamoja na yake Inshaallah 👏👏
@credo7837
3 жыл бұрын
Amin
@فاطمةسعيد-ث2ق
3 жыл бұрын
Amiin
@mariamselemani5208
3 жыл бұрын
Amina
@efrahfarahahmed8960
3 жыл бұрын
Amiiin 🤲🏾
@Gift-cx1uo
3 жыл бұрын
Pole mdogo wangu matatizo n sehem ya maisha mungu akupe nguvu ila usisubutu kabisa wanaume sio watu ni mbwa tu japo sio wote ila kwasasa tulia
@twocountrieslady6307
3 жыл бұрын
Mungu awanusuru wasichana wetu.
@hamidaalhabsi8568
3 жыл бұрын
Subhanaallah afadhali angalia maisha yako kwanza marafiki wanaushawishi sana usikubali
@mesajuma4843
3 жыл бұрын
Zahiri yuajua kuchocha sana eti nmeskia hunataka kuolewa😂😂🤣🤣
@nurafedrick378
3 жыл бұрын
Tena Mteme mate chini msimuombee kupata mimba sahii bado anamuangalia mama sasa mwataka uhakika kesho mje na vipimo zile xakupima mikojo muamini..jamani mtu akinona ana mimba ukikonda una hiv😢😢😢😢😢😢😢 tena nimemuona full hana mimba hongera mwanangu
@judithmelvinealuchio8968
3 жыл бұрын
Happy kabinti kazuri sana nakapenda ka shujaa ningumu upate binti wa umri huo katulia mungu barariki happy much love from me baby girl 💞💞🙏🇰🇪🇪🇺
@tabbywamtz501
3 жыл бұрын
Jamani nikiangalia comment kila mmoja anasema anaujauzito, mie nasema heppy anasema kweli Hana mimba, Sasa mnasemea maziwa mie mgeniona wakati nilikua na miaka 12, ungeniangalia maziwa yalivyochomoza kwa kasi ya kawa makubwa hadi kila mmoja alikua anasema ninaujauzito hadi mama alishtuka nakumbe ni hormones za mtu tu, kwa hiyo Kuna wakati mwili hubadilika tu wenyewe kwa hiyo tumuombe tu heppy a endelee kujitunza tu hadi wakati atakapofikia mda wa kuolewa, much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏
@kawtharalbarwani1337
3 жыл бұрын
Ni kweli Kuna wasichana wanavifuwa vikubwa kwa huyu ni kawaida tuu inakuwa ni maumbile yao
@maryamkhamfar4029
3 жыл бұрын
Mimi pia wakati nna miaka 14 nlinenepa nikawa na kifua kipana sbb bibiangu mzaa mama alikua hivo, bac wasichana wenzangu mtaani wakanitangazia nna ujauzito mpk wanakuja kuniangalia mmoja mmoja mie mwenyewe sijui 🙄na nlikua sijawahi Kukutana na Mwanaume mpk nimeolewa na mumewangu ndo alikua Mwanaume wa kwanza kujua nini maana ya mwanaume☺️na nna watoto wa5 sasa na maziwa yangu bado yapo manene vilevile hayajaanguka wa kua madg 👌🏽ss kifua kipana ni maumbile ya mtu tuu, MwenyeziMungu amlinde na mabalaa happy wetu 🙏🏽❣️
Jaman mtatua napresha yn nmeshituka kwel nakuombae mngu akutunze mdg wng
@sadanassor4992
3 жыл бұрын
Mimwenyewe nimeshtuka nikajua kweli anamimba kaka zahir utatua na presha
@qwqw1665
3 жыл бұрын
Zshiri weee. Ukovizur unamhoji mtumpaka watamazaji wanakuelewa, twawaombea dua tuu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏nawapenda sana
@hassanmpemba5747
3 жыл бұрын
Happy komaa wewe bado mdogo angalia kwanza maisha yako na mama yako usidanganyike jifunze kupitia dada yako
@saidahj2543
3 жыл бұрын
Ila zahir alivyozunguka kumuuliza happy,am happy fr her
@mariamselemani5208
3 жыл бұрын
Hiyo biashara iliyoanzishwa hapo ndo itayomharibu happy maana watakuja wanaume wa kila aina hapo mwenyezi mungu mulinde na vishawishi
@rithakuyala9951
3 жыл бұрын
Mungu amnusulu na iyo mimba amuuguze mama kwanza na kuwalea wadogo zake wanaume washindwe kwa jina la YESU
@aminasaid370
3 жыл бұрын
Hata kwa macho anaonekana hajui mume maskini
@mwanajumaomahundumla6504
3 жыл бұрын
Ukubwa wa maziwa ni asili ya mtu kikubwa kumuombea heri
@mwakahassan7685
2 жыл бұрын
Kweli kbs
@namirihamisi3899
3 жыл бұрын
Ila hapo kweli waondoke sababu penye klab ya pombe na malezi ya watoto na watu wasikuhiz wanaweza kuwabaka bure waende tu huko walipopewa nyumba.
@superwomankulwa620
3 жыл бұрын
Uyu bint anaonekana ata machon ajawai kua na mwanaume kaka zairi
@tatumluv6054
3 жыл бұрын
Mashallah mtoto mzuri Mungu ajalie aangalie mamake
@superwomankulwa620
3 жыл бұрын
Ishaalla my dear
@masalakulwa7601
3 жыл бұрын
Nakuunga mkono
@fatmamsiliwa8485
3 жыл бұрын
Kweli
@zulfahaji4666
3 жыл бұрын
Mnaturusha roho baba. Mumbai wapi?
@ains1122
3 жыл бұрын
Alhamdulillah, nafurahi kuwa mzima Hana mimba, jameni acheni kumuona msichana wetu
@Maryam-yt8lw
3 жыл бұрын
Kaka zahir mmbembeleze huyo dada akubali kuhama jamani uyo akili yake inaumwa pia watakuja pata tabu badae
@QwQw-tr7gy
3 жыл бұрын
Nilizan anamimba kichwa cha habar kilinitisha
@mwaminiesperance6276
3 жыл бұрын
Atamimi pia jamani
@halimakihame1744
3 жыл бұрын
Na mm ivyoivyo niliogopaa mmh
@فاطمةسعيد-ث2ق
3 жыл бұрын
Ata mm yn niliogopa kweli
@QwQw-tr7gy
3 жыл бұрын
@@فاطمةسعيد-ث2ق Yan nilivyoona na picha ameshika tumbo kama mja mzito rohoo
@mariamselemani5208
3 жыл бұрын
Hata mimi nimeogopa sana maana nampenda sana happy
@everlyneiminza5722
3 жыл бұрын
Kaka weee happy ananibamba ati wanaume sio watu, kumbe ni nini vijiti au😂😂😂🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠
@hadijaomary2000
3 жыл бұрын
😅😅😅
@hadijaomary2000
3 жыл бұрын
Ndiooo wanaume vijiti sio watu 😅 😅😅
@everlyneiminza5722
3 жыл бұрын
@@hadijaomary2000 😄😄😄😄😄
@clemencianyaboga8946
3 жыл бұрын
Happy nakupeda Sana kua na huo moyo
@roseuwambe893
3 жыл бұрын
Hongera yake aendelee kujitunza amuudumie mama ake na wadogo zake
@abiudmteliki6455
3 жыл бұрын
Kwa kweli Mungu amlinde Sana kwa changa moto alizo nazo na kwa wakati huu,Angalau afikishe miaka 18 Siyo mbali napo mtu km ana mpenda asimpende kumharibia maisha Amuoe kweli siyo kumdanganya tu
@yasodishonest9792
3 жыл бұрын
Happy mdogo wangu .cheza kwanza umalize michezo yako.usialakie majukumu ya umama utazeeka mda sio wako.na kikumbwa kaa mbali na wanaume . Acha ukue kiakili,umli na hata muonekano yani mwili.ukifanya hivyo utafuraiya majukumu yako auto yumba .
@SophiaMsuya
3 жыл бұрын
Natamani nimsomeshe huyu mtoto jamani, Mungu anipe uwezo
@adelinamushi2892
3 жыл бұрын
Nampenda sana Happy
@fatmakhanii1676
3 жыл бұрын
Hizi comment zimenichosha mwenye anasema hana mimba halafu watu wanasema mjamzito au mlisoma kichwa cha habari bila kuangalia maongezi mungu amlinde binti jamani😣
@khalossalim3723
3 жыл бұрын
Walimwengu hawaelewi
@umunafisa7060
3 жыл бұрын
Dada mungu akulinde
@irenejolie1996
3 жыл бұрын
Kaka Zahir ,Mbebe hospital Happy akapimwe,ni mdogo wetu,
@faudhiasalum7279
3 жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅😆😆😆HAPPY BIKIRA JAMANI 😆😆😅😅😅😅😆😆😅😅😅😆😆😆Hongera sana happy
@janemwamba9093
3 жыл бұрын
😅😅😘😘😘😘😘😘😘😉😁😁🤣🤣🤣
@nooor1120
3 жыл бұрын
Happy ndugu yetu uzi huohuo tulia uwe bikira mpk uolewe wanaume wasikubabaishe baadhi wao ni waongo tu watakutumia na wengine wana maambukizi.
@joycechaz2840
3 жыл бұрын
Huyu mtoto ana akili sana Mungu akulinde mdogo wangu Happy dah, unajielewa sanaaa
@balqisabdullah6200
3 жыл бұрын
Namshukuru mungu hana mimba.nilishtuka sana. Nikamfikiria mamake sana itakuaje mungu amlinde happy na vishawishi vya dunia.
@happykimario2386
3 жыл бұрын
Jamani mara ya mwisho nilimwina Kama mjamzito ee MUNGU BABA 😭😭😭
@irenemsangi7933
3 жыл бұрын
Leo Happy kawasema,wanaume co watu na wenyewe mpo hapo😂😂😂😂😂
@faifidelis3041
3 жыл бұрын
happy mzuri
@happynelson1136
3 жыл бұрын
Wa jina wangu
@evalenad6256
3 жыл бұрын
Huyo shangazi yake mpumbavu. Anamfataje mtoto wamtu alowe yaani huyo shangazi ningemfukuza mbio sana.!
@othmanmulendelwa9622
3 жыл бұрын
Mm nampenda hepi kwa kujitsmbuwa anajielewa
@zennahmtoto1867
3 жыл бұрын
Ety wanaume sio wa2 🤣🤣🤣🤣Zahir ety majini😀😀😃😃😀😀
@sharmelasaif47
3 жыл бұрын
Jilinde sana mwanangu Mungu atakusimamia
@yunismahanga2871
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 kaka zahir unanichekesha kusema hajawai kukutana na mtu
@alshabje7185
3 жыл бұрын
Mungu amlinde inshaallah
@namirihamisi3899
3 жыл бұрын
Ugonjwa tu huyo mama unamsumbuwa ugonjwa wake umeingiya kwenue fahamu ya kupenda pesa ww dhahir ungeenda kwanza ukaangalie kule walipopewa kisha uwahamishe pasi na kumsikiliza mgonjwa huyo ni mgonjwa yapo ya kusikilizwa na vyengine havisikilizwa.
@awenasultan6454
3 жыл бұрын
Mama happy amishe kinguvu t ichukiliwe Gali aje kubebwa mana naiyo pombe inaanza kuuzwa hp asije pt ushawishi ten happy
@francinenahimana7289
3 жыл бұрын
hata mimi nime shaka hilo ila nika nyamanza mungu wangu ajichung asij kupata naje ajali yamagojwa mimba sivibaya ila asidangaywe mungu murinde namupenda sana uyo mtoto
@carenalphonce5013
3 жыл бұрын
Kakazahir unajua kunyapia nyapia mpk ufike kwenye point😂😂😂
@jamaliddiin9357
3 жыл бұрын
Tena hodari sana
@tatumluv6054
3 жыл бұрын
Mpelelezi mzuri tena yuko makin na kazi yake
@mariamselemani5208
3 жыл бұрын
Mi nimecheka sanaaa
@shamzone388
3 жыл бұрын
Pongezi zahir na team yako Mnafuatilia kila kitu unatufurahisha soote
@aminatumbo7410
3 жыл бұрын
Jamani muwe muaangalia mkisoma kichwa cha habari tu kila MTU wakwanza tu hamjui kilichondani 😂🤸🤸🤸
@ashuraumari1322
3 жыл бұрын
Kwakwe atamimi nakuaga wakwanza ila ii ya mimba ndo nasikia Leo 😀😀
@aminatumbo7410
3 жыл бұрын
@@ashuraumari1322 😃😃
@tupendeze.....9255
2 жыл бұрын
mutangazaji inakuwaje mtoto wa myaka kumi na sita unamuongi eti inakuwaje hana mupenzi sio mufudisho mazuri kwa watoto, tunaitaji kushauri watoto vizuri
@kibabysaid6692
3 жыл бұрын
Hahahah zahiri nmekupenda bureee....happy mdogo angu nikutakie maisha mema n mwenyezi mungu akutangulie na akulinde n maneno mabaya ya binadamu....pendaaa sanaa happy😍
@hadijaomary2000
3 жыл бұрын
Amuepushe kabisa yapite mbaliii na yeye happy
@razikimustapha4731
3 жыл бұрын
JAMANI ABEBWE TUU AHMISHWE MWISHO ATAKUJA KUTOLEWA NNJE
@mariamyoyote8172
3 жыл бұрын
Nimekuwa mwenye furaha na smile Wakat nakutizama unavyoongea na smile zako sjui kwann ,,,,lkn hongera Sana ww ni jasri Sana na mwenyez mungu akujaliye mema yenye kher na barka my dear na insha'Allah Kwa uwezo wa Allah haya yote yatapita na ipo faraja na furaha mbele yenu hakika hii ni mitihan Tu itaisha na mwisho mwenyez mungu atawajaliyen kher kubwa sana Allah umma Amin yaraby na muishi Kwa upendo hongera Kwa kumjal mm na wadgo zako be blessed ❤️❤️♥️🙏
@nurafedrick378
3 жыл бұрын
Sasa jamani hii heading na mambo anayoongea nitofauti . Kama hana mimba kwann mu heading kama hixi mama coment nyingi sasa zamulaumu nakumbe hana mimba..ai hiyo heading mfute kuna watoto wengi wako na xiwa kama hizo
@faridamohamed4677
3 жыл бұрын
Yaan kaz kwel.kama za udaku
@MohammedAli-rh5si
3 жыл бұрын
Big up bro from Iraq
@tayannaemy8585
3 жыл бұрын
Watu wasenge kweli Sasa Kama ana mimba mbna hata mm ningemjua mapema khaaa mnaijua mimba nyie au mnachukulia mzaha fuck youuuu mnamuombea apate mimba mama yake atamsaidiaje pumbavu nyieeee mnao muombea mimba khaaa hapo anamzgo mkubwa mkubwa bado mnuwazia na mimba watu wazima afu matahira
@ABDICOM-xu3dr
3 жыл бұрын
Mbona Happy ni mrembo tu🌹🌹🌹.. Sidhani kama yuko na mimba.. Pambana na hali Kwanza Dada yangu maisha ya ndoa sio rahisi.. Bado mdogo...
@habtyaminasadala1943
3 жыл бұрын
Pafect girl nampenda sn hy binti jaman mungu amuongoze kila lenye kheri kwake na familia yake
@marrymenas
3 жыл бұрын
Wanapenda kutafuna jojo hawa saa wakiongea wananibore ni utovu wa nidham
@pendooscar9322
3 жыл бұрын
Ukitaka kujua mtt ambae ajaanza mapenzi atasema paka aliemtongoza ila kangeshakua kameanza kangeficha ila ako 😂 😂 bado jaman atakae kua na happy ajue kapata mke kana akili mwaya
@hanifatanzania7258
3 жыл бұрын
Hapo kwenye pombe mtihani walevi wasijekumdanganya. Mmm mtihani.
@ladymuna4945
3 жыл бұрын
Happy nakupenda bure
@aminaismail4221
3 жыл бұрын
SubhanaAllah daah mtihani
@ziadaomeri6058
3 жыл бұрын
Kweli junzi nimemuona hayopo swa jamani tumpe pole kabisa
@annaboaz2055
3 жыл бұрын
Hana mimba ila hakuvaa sidiria ila tu maziwa yake makubwa jaman
@smsalama6540
3 жыл бұрын
Duuh nimeshtuka balaa😔😔😭😭😭mtihan kwakweli
@joslinchuwa1298
3 жыл бұрын
Happy tunakupenda sana mdogo wetu ,jitunze sana tutakusaidia jiheshimu umtunze mama apone kwanza mda wako utafika wewe ni mdogo bado,wakati wako utafika usikubali wanaume wakuchezee kabisa tunakupenda usituangushe jamani,
@sadanassor4992
3 жыл бұрын
Hana mimba ilikua ni ugonjwa tu Hata akibeba mbona kawaida
@masalakulwa7601
3 жыл бұрын
Kawaida umri huo? Umri huo wenzake wako shule...we vipi?
@mwanahawaomarimashaka197
3 жыл бұрын
Jamani si kawaida bado mdogo halafu ukiangalia yeye ndo tegemeo
@sadanassor4992
3 жыл бұрын
@@masalakulwa7601 sawa ila hali hairuhusu kwenda shule Mbona zabibu kazaa Happy apewe pongezi na changamoto zote anazopitia ila yupo smart
@sadanassor4992
3 жыл бұрын
@@mwanahawaomarimashaka197 sawa sijakata Sijasema kwa ubaya ila wasimpime mtu kwa macho
@neemalemji9717
3 жыл бұрын
Kwan historia yake imeanzia wapi jamn nataman kujua
@ummymzee5159
3 жыл бұрын
Simba Mwenda Kimya Ndo Mla Nyama Dah! Mtihani Kwa Kweli🙆♀️🤦♀️
@aishajuma18
3 жыл бұрын
Mtihani gani sasa
@fatmaally7252
3 жыл бұрын
Fatilia mpaka mwisho utaelewa ndugu yangu
@MohammedAli-rh5si
3 жыл бұрын
Kikubwa hapo waondoke tuu watakuja kupata shida
@rosenaheka7100
3 жыл бұрын
Jamani Mungu aisaidie hii familia. Majanga juu ya majanga
@khabyibrah3723
3 жыл бұрын
Yaan hyoo babrishi anavo kula maskio yangu
@kiri5807
3 жыл бұрын
kumbe ndio maana juzi miziwa imejaa kakonda .
@fatmaally7252
3 жыл бұрын
Kwani we umehisi nn ndugu
@sharinv8864
3 жыл бұрын
Kwakweli wale mnasema happy yuko mimba jamani nimesikiza happy Amesema tu vizuri yes kuna kijana alikuwa anamsumbua bt hakumkubali bona tuko wepesi kuukumu tusimuombee hilo jamani.mama happy bona hataki kuhama ama anafikiria atakufa jamani mungu wangu .asante kaka zahir ubarikiwe.
@tatumluv6054
3 жыл бұрын
Mimi nilihis mugauni ulikua mkubwa tu tusipende kuhukumu bila kujua ukweli
@maloomaalmnsj5111
3 жыл бұрын
😂😂😃😃
@mgenirama2305
3 жыл бұрын
Atamimi nakuunga mkono
@khadijahali4837
3 жыл бұрын
Mungu aendelee kukulinda happy, na hapo mnafukuzwa kiaina km wameamua kuja kupika gongo hapo hapo, #akufukuzae.akuambii.toka
@sadanassor4992
3 жыл бұрын
Hapo kwenye majukum 😭😭😭😭
@asinakassim1548
3 жыл бұрын
Mungu akulinde na ushaawishi mwaya...na akukinge nakila lashari lenye linawwza kuharibia maishayako🤲
@jojokweka1902
3 жыл бұрын
Mungu akusimamie Happy wetu
@khadijamusa8084
3 жыл бұрын
Allah amlinde heppy
@isamony58
3 жыл бұрын
yasemwayo yapo mimi nasubiri tuu
@hanifatanzania7258
3 жыл бұрын
Kaka Zahili Saruti. Unajua kumchimba mtu mpaka a nasema ukweri ongera Sana kazi unaiweza
@janethmalaika5241
3 жыл бұрын
Zahiri leo umekomesha wakurupukaji wa ku comment hahahhahahahha wanatiririka hatari nimecheka balaa happy endelea kufanya shughuli zako na kumuuguza mama hayo ya madume achana nayo umeona dada yako kama ulivyosema mwenyewe unaogopa yaani endelea kuogopa yaani ukisikia mwanaume kimbiaaaaaaaaaaaa ,run for your life dogo .
@mwanahawaomarimashaka197
3 жыл бұрын
Wakwanza 😂🤣
@lkshmykomar5472
3 жыл бұрын
Musmuombee duwa mbaya jaman bado ndogo sana
@caslidajosephat8912
3 жыл бұрын
Hivi hapa wanapoishi ndipo pa zamani?manake pamenichanganya, sielewiekewi naomba mnijuze.
Пікірлер: 412