SIMBA 5-1 IHEFU: Ilikuwa ni siku nyingine nzuri kwa mshambuliaji wa Simba, Jean Baleke akifunga magoli matatu #hattrick ndani ya dakika 28 za kwanza.... dakika ya 3, 16 na 28 na kuipa Simba ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Ihefu SC.
Ulikuwa ni mchezo wa robo fainali ya #AzamSportsFederationCup uliopigwa Aprili 7, kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi.
Негізгі бет Спорт Hat-trick ya Jean Baleke | Simba dhidi ya Ihefu SC | ASFC 07/04/2023
Пікірлер: 1