Mungu ni ameinua watumishi kuinua watu katika kipindi hiki Cha mwisho... Mchungaji Mbaga,Mungu akuzidishie zaidi na zaidi baraka zake,ninafatilia sana mafundisho yako na ninaendelea kujifunza katika chuo hiki Cha Mungu.
@paschalrnrichard9717
5 жыл бұрын
Tumekombolewa kwani Mungu kaleta mtetezi wetu,, barikiwa,, sanaa, pastor Mungu ndiye njia Bora kuliko zotee
@MahubiriPrMmbaga
5 жыл бұрын
Amen
@Dative109
2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mutumishi wamungu asante
@nigangwarobert6138
2 жыл бұрын
Nabarikiwa na mahubiri yako Mungu akuongezee ufahamu zaidi
@schuby2749
10 ай бұрын
Ubarikiwe Sana Pastor , kila mwaka nikisikiliza hii,, kila siku napata kitu... Uwiii sijui nisemeje.. Mungu azidi kukutunza. Yesu naomba unioshe.. Jina langu liandikwe kwenye Kitabu cha Uzima🙏
@MahubiriPrMmbaga
10 ай бұрын
Amen
@bahatindahani4410
5 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi ninajifunza na kubarikiwa Mungu akuweke katika viwango vya juu zaidi
@jescaabraham1314
4 жыл бұрын
Dah👐 barikiwa mtumishi wa MUNGU
@esterkaogo2390
Жыл бұрын
Barikiwa sana pastor mbaga BWANA aendelee kukutumia
@eliabamayi4344
4 жыл бұрын
I really like this preaching of your mtumishi yaani hakuna mahali unakosea Ata moja yaani yote ni ukweli mtupu!!!.. Mungu akubariki sana mahali ulipo aki
@MahubiriPrMmbaga
4 жыл бұрын
AMEN!! MUNGU ATUKUZWE
@mariengatia
5 жыл бұрын
Naitoa maisha yangu kwa Yesu,hivi nilivyo siwezi peke yangu. I need you Lord! Asante chungaji,Mungu azidi kua nawe unapofanya kazi yake.
@thegospel17
5 жыл бұрын
Mary Ngatia Amen
@jacobkidoto6119
5 жыл бұрын
Amen
@thegospel17
5 жыл бұрын
Follow instagram @pastor david mmbaga
@stanleizawadi5745
3 жыл бұрын
Mchungaj samahan ninashid ya no zk ninamatatizo
@fredkonk8239
5 жыл бұрын
Aiseee kwa kweli huyu ni Mungu anayetamka kaliweka neno Lake ndani ya mbaga
@MahubiriPrMmbaga
5 жыл бұрын
Amen
@GoldenBoy-kq1wc
4 жыл бұрын
Amen
@eunicekhamali7268
5 жыл бұрын
Siku tatu sasa tangu nigundue sermon zako , haki si mi hubarikiwa...Bwana akubariki sana mchungaji...
@joyestherbagarura954
4 жыл бұрын
Imagine leo i was a bit weary....just went to U tube en landed on this pastor's preaching abt "dhambi isiosamehewa"....am telling you i must listen to all his preachings....en this is the third one!!! I think he is now my fovourite pastor!!!! God bless!!!!!!!! We meet in heaven pastor!!! Lots of love from Uganda!!!!!
@myself4128
3 жыл бұрын
Sasa nani anaelewa Kiswsnglish? Ongea lugha moja basi na sisi tuelewe
@dottocharles7809
4 жыл бұрын
Amina Pr Mwenyezi Mungu akubariki sana kwa somo zuri
@dorcasfelix8688
3 жыл бұрын
Namshukuru Mungu alieniruhusu kusikiliza juu ujumbe leo
@Samir20005
4 жыл бұрын
Somo hili lime ni bariki sana pastor ubarikiwe sana na mungu awe nawe katika huduma yako
@johnjohn-cg8re
5 жыл бұрын
Nabalikiwa sana na mahubiri yako mungu azidi kukutumia
@kainzachristine1166
Жыл бұрын
Amen
@joemose1990
5 жыл бұрын
Hakika pastor unafundisha vizuri ninabarikiwa na injili pamoja na mahubiri yako shikilia papo hapo jina la yesu liinuliwe zaidi
@josephbunzali6111
Жыл бұрын
Nimebarikiwa mchungaji Mungu akubariki pia
@rosepeter8996
3 жыл бұрын
Barikiwa sana mchingaji.
@hassanhussein6161
Жыл бұрын
ameni mungu akubariki mchungaji
@zakaliantambi8075
3 жыл бұрын
Mungu akubarik mtumish
@edinapaul9044
5 жыл бұрын
Pastor libarikiwe tumbo lililokuzaa, natamani Mungu akinijalia uzazi mtoto wangu aje kuwa mchungaji kama wewe
@eddahnyongesa9819
5 жыл бұрын
Tumekukaribisha saaaaana pastor
@donaldmwahalende4841
5 жыл бұрын
VP Edina
@kasembojackson6850
Жыл бұрын
GOD may bless you pastar mbaga
@yazanalanzi2411
2 жыл бұрын
Asante posta Mungu akumbariki sana kwa maubili mazuri nimekoka
@immanuelcosta3724
5 жыл бұрын
Pastor nilipona mafua baada yakusikiliza ombi la mwisho la somo hili Mungu atukuzwe
@thegospel17
5 жыл бұрын
Immanuel Costa Amen
@zahaljamal4520
4 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi wa mungu
@user-os3vo4sm2n
8 ай бұрын
Amen 🙏 ubarikiwe sana
@makoyenkumbi9670
4 жыл бұрын
Mbaga a stronger one
@benardchacha5590
Жыл бұрын
Pr. Barikiwa sana
@mmungamleci4876
Жыл бұрын
Nime barikiwa sana
@wahindiakwembe8066
5 жыл бұрын
Atukuzwe Mungu kwa ajiri yako mchungaji.
@fabianmkimbu880
Жыл бұрын
Kulamka
@MnazaretiMathias-ld6um
Жыл бұрын
Bwana asaidie kazi ya mungu izidi kusonga
@virginiamusila797
2 жыл бұрын
nibarikiwa sana mtumishi wamungu mungu akubariki kwauduma yako.
@franktimothkisimbo5354
4 жыл бұрын
Ubarikiwe saan Mchungaji Mbaga... 🙏✋
@joyceobiyanyaundi1977
4 жыл бұрын
I have listened to the preaching, am really blessed. I know God is a living God. He makes a way where there seems to be no way.
@Enockbeckbrown-hf6xx
8 ай бұрын
THE “REMNANT” OF SPIRITUAL ISRAEL- WHO ARE THEY TODAY? In 31 C.E., God found his church by pouring the Holy Spirit on His true followers. They spread the good news throughout the then known world. God had foretold this, He was reclaiming His spiritual “wife” and her “seed”(Isaiah 54:1-8; Gal. 4:26, 27). However, John was shown that this woman and her seed would be the object of fierce attacks by Satan and his demons especially after the death of the apostles (Acts 20:29, 30; Revelation 12:1-17). By then, the "mystery of iniquity" was already working imperceptibly (2Thes. 2:7). How so? Some false teachers had started spreading lies such as, the secret rapture (2Thes 2:1-2), the spiritual resurrection (2Timothy 2:16-18; 1Corinthians 15:12), some were starting their own splinter groups (1John 2:18-19; Jude 1:4-16), false teachers and false prophets were increasing (John 4:1; Revel. 2:2, 6; 2:9; 3:9) etc. But, there still existed a restraining force to that apostasy-the apostles (2Thes 2:7; 2Peter 3:1-3; 2John 1:9-11; Romans 16:17-19). Some time after the death of all the apostles, the GREAT APOSTASY set in: false teachings flourished, false prophets and false teachers (2Revelation 2:9; 3:9; Jude 1:4; 1John 2:18-19; 4:1; 2Peter 2:1; 3:15, 16). Daniel had been shown that counterfeit christians would atrack this SPIRITUAL “Israel of God” and throw down the truth (Daniel 8:9-13; Galat. 6:16; 1Peter 2:9-11) What was attacked? According to Daniel 8:9-13 and Daniel 7:25: * The truth was attacked * The seed of the woman was attacked * The sanctuary or temple * The law of God was attacked, etc What is this temple or salnctuary? The heavenly temple and those who worship in it (Hebrews 8:1, 2, 5; Ephesians 2:6; Colos. 1:13; 1 Corinthians 3:16). But, Daniel was ALSO shown that in the “TIME OF THE END”, after 2300 prophetic days, that is, in 1844, the “SANCTUARY” or “TEMPLE” would be restored (Daniel 8:13, 14). Malachi was also shown this great event (Malachi 3:1-5). So, did that happen in 1844? True to that prophecy, in 1844 the “SANCTUARY” or “TEMPLE” and those who worship in it were RESTORED. How so? As foretold, in the TIME OF THE END, Bible students got together and started studying the Bible in deadly earnest. God led them to the Bible truth and they begun proclaiming the first angel's message (Rev. 14:6). Like the early disciples of Jesus and John the Baptist, at first, they thought the “KINGDOM OF GOD” would start during their day (Matt. 3:1-2; 11:1-6; 10:7, 23; 16:28; Luke 9:27; 19:11; 24:21; Acts 1:6; Ecclesiastes 3:15). Nevertheless, they were told to “PROPHESY AGAIN” to every nation, tongue and people. That is, to REPEAT the first angel's message till the end of the world (Revelation 10:8-11; 14:6). From then, the worldwide work of the SEVENTH-DAY ADVENTIST CHURCH had already commenced! (Revelation 14:6-12). How wonderful is the outworking of God's invisible hand! Satan is not ignorant of this fact. He is making everything he can to misrepresent the truth by propagating his propaganda through human puppets! The arrogant and proud apostates are being used by Satan the Devil and his demons to misrepresent that truth and to propagate God-dishonoring, malicious, and blasphemous lies against that REMNANT CHURCH. These apostates include the poor arrogant DIGRUNTLED ONES and THEIR poor Devil-duped followers! We ought to pray for them
@gabrielzakaria2810
3 жыл бұрын
Ubarikiwe pr
@leahkuya8505
3 жыл бұрын
Thanks for the this message pastor may God uplift you n continue blessing soul like us
@Enockbeckbrown-hf6xx
8 ай бұрын
THE “REMNANT” OF SPIRITUAL ISRAEL- WHO ARE THEY TODAY? In 31 C.E., God found his church by pouring the Holy Spirit on His true followers. They spread the good news throughout the then known world. God had foretold this, He was reclaiming His spiritual “wife” and her “seed”(Isaiah 54:1-8; Gal. 4:26, 27). However, John was shown that this woman and her seed would be the object of fierce attacks by Satan and his demons especially after the death of the apostles (Acts 20:29, 30; Revelation 12:1-17). By then, the "mystery of iniquity" was already working imperceptibly (2Thes. 2:7). How so? Some false teachers had started spreading lies such as, the secret rapture (2Thes 2:1-2), the spiritual resurrection (2Timothy 2:16-18; 1Corinthians 15:12), some were starting their own splinter groups (1John 2:18-19; Jude 1:4-16), false teachers and false prophets were increasing (John 4:1; Revel. 2:2, 6; 2:9; 3:9) etc. But, there still existed a restraining force to that apostasy-the apostles (2Thes 2:7; 2Peter 3:1-3; 2John 1:9-11; Romans 16:17-19). Some time after the death of all the apostles, the GREAT APOSTASY set in: false teachings flourished, false prophets and false teachers (2Revelation 2:9; 3:9; Jude 1:4; 1John 2:18-19; 4:1; 2Peter 2:1; 3:15, 16). Daniel had been shown that counterfeit christians would atrack this SPIRITUAL “Israel of God” and throw down the truth (Daniel 8:9-13; Galat. 6:16; 1Peter 2:9-11) What was attacked? According to Daniel 8:9-13 and Daniel 7:25: * The truth was attacked * The seed of the woman was attacked * The sanctuary or temple * The law of God was attacked, etc What is this temple or salnctuary? The heavenly temple and those who worship in it (Hebrews 8:1, 2, 5; Ephesians 2:6; Colos. 1:13; 1 Corinthians 3:16). But, Daniel was ALSO shown that in the “TIME OF THE END”, after 2300 prophetic days, that is, in 1844, the “SANCTUARY” or “TEMPLE” would be restored (Daniel 8:13, 14). Malachi was also shown this great event (Malachi 3:1-5). So, did that happen in 1844? True to that prophecy, in 1844 the “SANCTUARY” or “TEMPLE” and those who worship in it were RESTORED. How so? As foretold, in the TIME OF THE END, Bible students got together and started studying the Bible in deadly earnest. God led them to the Bible truth and they begun proclaiming the first angel's message (Rev. 14:6). Like the early disciples of Jesus and John the Baptist, at first, they thought the “KINGDOM OF GOD” would start during their day (Matt. 3:1-2; 11:1-6; 10:7, 23; 16:28; Luke 9:27; 19:11; 24:21; Acts 1:6; Ecclesiastes 3:15). Nevertheless, they were told to “PROPHESY AGAIN” to every nation, tongue and people. That is, to REPEAT the first angel's message till the end of the world (Revelation 10:8-11; 14:6). From then, the worldwide work of the SEVENTH-DAY ADVENTIST CHURCH had already commenced! (Revelation 14:6-12). How wonderful is the outworking of God's invisible hand! Satan is not ignorant of this fact. He is making everything he can to misrepresent the truth by propagating his propaganda through human puppets! The arrogant and proud apostates are being used by Satan the Devil and his demons to misrepresent that truth and to propagate God-dishonoring, malicious, and blasphemous lies against that REMNANT CHURCH. These apostates include the poor arrogant DIGRUNTLED ONES and THEIR poor Devil-duped followers! We ought to pray for them
@emmanuellojere
Жыл бұрын
mungu akubariki paster
@claudinekigwasa4823
2 жыл бұрын
Baba Mungu akuzindishi neno lako huwa linanibariki sana
@natihaikamjema6130
4 жыл бұрын
Asante Mchungaji nimebarikiwe
@faustinemasumbuko3922
5 жыл бұрын
Nimebarikiwa kwa hili somo Mungu akubariki pastor.
@salehlubunga1892
2 жыл бұрын
Amina sana Mchungaji wangu
@watwegopnina6480
4 жыл бұрын
Amen mchungaji wangu, hilo somo zuri sana. MUNGU na azidi kutusamehe. Mungu akubariki sana sana.
@edwinlawi710
5 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi
@harrietmmoji8404
4 жыл бұрын
Hakika mchungaji ninajutia maisha yangu, kwani kila so no unalofundisha linaniguza mimi, bado niko mbali na dunia naomba Mungu anirehemu na ninamwomba azidi kukujaza na ujasiri wake Liu ukatufungue sisi tulio usingizini tukaamke Armani ya Mwenyezi Mungu owe nawe milele .
@t7zkc5tpxgim28
4 жыл бұрын
AMEN, Mungu akubariki sana pastor
@rahabusanga1559
8 ай бұрын
haleluyaa Mafundisho yananibariki
@leahmagaiwa9099
5 жыл бұрын
BWANA ATUKUZWE KWA KUKULETA DUNIANI. He saves me through you.
@thegospel17
5 жыл бұрын
leah magaiwa Amen
@everlynemudeisti1701
3 жыл бұрын
I get blessed everyday with the word
@eliudbeyanga8575
Жыл бұрын
I feel blessing since I knew you .may God bless you Amen
@happymbilinyi7906
5 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi sema tupone
@edouardwalofils4135
5 жыл бұрын
kwa kweli Mungu akubariki hapo palipotoka maneno hayo apajaze mengine ili watu wake wa mrudishiye sifa na utukufu na hata ujenzi wenu ukamilike kama ilivio kusudi la Mungu amen.
Mungu akulinde na kukutunza Mchungaji mbaga akupe afya njema uihubiri injiri hii ya Ufalme wa Mungu mpaka mwisho wa Dunia kwakweli tunapona Amina.
@phdmedia9517
5 жыл бұрын
Really wewe ni fundi wa maandiko. Bwana aendelee kukutumia ktk kazi yake.
@dausonmdee4303
4 жыл бұрын
philemon mgonja fundi wamaandiko ni roho mtakatifu huyu nimtumishi wamungu
@alleteeaeum5583
5 жыл бұрын
PR God blessed you for this good preach
@nimlidicleophas5109
3 жыл бұрын
Amen
@Martin-uq2kv
2 жыл бұрын
Amina Mungu azidi kukutumia kwa kuendeleza ujumbe ambao haupatikani kwa baadhi ya wahubri
@janewaititu8051
5 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni atukuzwe...kwa kunijalia niyapate haya.Mtumishi...Mungu azidi kukuneemesha sana.
@makubisostenesi2342
5 жыл бұрын
Barikiwa sana muchungaji mbaga
@renjeremiah7117
3 жыл бұрын
Amen pastor
@mwendahussein217
2 жыл бұрын
Mtumish niko mafinga uduma napataje nimependa sana mafundisho yako nataka nimuabudu mungu wakweli
@macklinanicolaus5110
5 жыл бұрын
Ahsante Baba wa Mbinguni juu ya huyu Mtumishi wako
@joycemashikolo9096
4 ай бұрын
Hahaha jamani eti nikanawa nusu hilo jicho la baba kiboko😅😅
@shirorose3087
3 жыл бұрын
Nabarikiwa nikiwa hapa Kenya
@bonyemuelelwa3440
2 жыл бұрын
Amen amen mungu akubari mchungaji
@maureenjovial6083
4 жыл бұрын
Amina asante Yesu kwa neno lako hakika nemeona BWANA akinitendea
@godsonmhema2255
3 жыл бұрын
Akina mama wa kiandventista ndio kwanza wanawapeleka watoto wao kuitoa hio mimba wengi sana hawakubali wanasema aibu
@happylindambwana7134
5 жыл бұрын
Ulie funga hii sermon tusiinyonye Mungu anakuona...
@thegospel17
5 жыл бұрын
Happy LindaMbwana nilidhani mnaweza ku download!!!
@happylindambwana7134
5 жыл бұрын
@@thegospel17 shukrani
@samwelinyika4434
5 жыл бұрын
Pastor nakushuru Hasa namshukuru MUNGU aliekuruhusu uhubri jambo hili
@FelixKinyunyi-wt3tp
Жыл бұрын
MUNGU akupe maisha marefu yenye baraka tele.pastor mbaga wewe pamoja na uzao wako
@suleimanstephano6022
2 жыл бұрын
Kweli mungu ananena
@nurugasaya6001
3 жыл бұрын
Ubarikiwe 🙏 Mtumishi wa Baba kwa kututoa gizani🙏
@benben8598
4 жыл бұрын
Bwana asifiwe nime barikwa
@danielmastaki8569
3 жыл бұрын
Nabarikiwa Sana pasta ubarikiwe
@thobiasmwalimo775
Жыл бұрын
Tunahukuru kwa kutufunulia haya
@rachelmanema9044
4 жыл бұрын
Pastor Mungu akubariki sana unazidi kunifungua sana natamani tuonane mbinguni
@eustina0
Жыл бұрын
Mungu atukuzwe siku zote hakika mokono wabwana uko nami aminaa🙏🙏🙏
@winifridamushi1341
3 жыл бұрын
Umeongea kitu nyeti Sanaaa watu hawaelewi kama watoto wanaharibiwa na watu wanaowaaminii.... Wamama tunzeni watoto vizuri msitegemee ma house girl na ndugu wawalele watoto MTOTO HANUNULIWI!!
@lameckmtaka2659
5 жыл бұрын
Good
@claudinebatamuriza7804
5 жыл бұрын
Amen 🙏 God is God siku zote
@mwavitafuraha7244
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji
@zahaljamal4520
5 жыл бұрын
Amen Amen praise the lord Hallelujah
@user-bx5nc8ge6r
10 ай бұрын
Alléluia 👋🙏🙏🙏
@dianamhanila5187
4 жыл бұрын
Amen Amen Asante sana kwa huduma hii
@eddahnyongesa9819
5 жыл бұрын
God bless you so much from Nairobi
@MahubiriPrMmbaga
5 жыл бұрын
Thanx! We are coming to Nairobi Umoja one Camp meeting
@samuelsamwelluvinga9104
4 жыл бұрын
Hi From mbeya
@joycejoseph8632
5 жыл бұрын
Amina pastor
@NeemaSitta-i2b
10 ай бұрын
Safi sema tupone
@amangulunduelo8750
3 жыл бұрын
Asante kwa neno
@godfreygreyson7807
4 жыл бұрын
tunabarikiwa namasomo yako ,mungu akubariki
@jamesmedard5538
4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kaka Pr.Mmbaga
@MaggieG276
4 жыл бұрын
Powerful message,Mungu tuwezeshe.what is the name of this a pastor he has really blessed me.
Пікірлер: 215