Kumekuwa na taarifa ya video inayosambaa kwa kasi mitandaoni ya Mwanamama kutoka nchini Marekani akilalamika kutokutendewa sawa kwa wageni wake waliokwenda kufanya utalii ndani ya ziwa eyasi ikiwa pamoja na kutazama utamaduni wa watu wa kabila la Hadzabe, kutokana na shutuma hizo tulimtafuta Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Mheshimiwa Dr John Lucian Mahu, ili atueleze kwa undani zaidi kuhusiana na sakata hilo, tafadhali bonyeza subscribe
- Күн бұрын
HATUTAKUBALI UTALII EYASI WAFAIDIKE WACHACHE : DR JOHN LUCIAN MAHU , HALMASHAURI YA WILAYA KARATU
- Рет қаралды 134
Пікірлер