ما شاء الله تبارك الله Inasisimua, napenda akitajwa mtume Muhammad wanavyoitikia صلى الله عليه وسلم kwa sauti halafu bila kukumbushwa. Watu wa Burundi sio mabahili akitajwa mtume wetu Muhammad صلى الله عليه وسلم. Allah awalipe kila la kher.
@MidiInspecter
4 ай бұрын
Shukran sheikh Allah akujalie kilaraheri
@HakizimanaSalima-sg7cv
4 ай бұрын
Jazzakallahu khayra Sheih Nourden kishki kutuelimisha kwa sunnah kuijua vyema Allah akuifadhi Ameen yaarabby 🤲🤲
@FatnaAlly-go7yt
4 ай бұрын
Allah atujaalie tuwe ni wenye kauli zenye kumpendeza allah❤
@zenaibrahim437
3 ай бұрын
Jazzakaallah kheri. Sheikh. Akujalia. Kila la kheri
@morijomruma
3 ай бұрын
Mashaalaah MUNGU awalinde inshaallah
@mwanajumasaummwangombe3007
4 ай бұрын
Mashallah
@NyamiziMsabaha
3 ай бұрын
Allah akilipe kwa kila unachotufundisha na umri mrefu na mwisho mwema inshaalah
@MochammdHadija-pn7nn
4 ай бұрын
Mashaallah ❤❤❤
@muhunzijunior5153
4 ай бұрын
Allah awaongoze na awalipe yaliyo mema kwa Kazi kubwa mnayofanya in Shaa Allah
@francineniyonzima4986
4 ай бұрын
Allah awalipeni heri kwa kazi mnayo mmfanyiya.. Inch’Allah
@imani2870
4 ай бұрын
Mashallah
@FatnaAlly-go7yt
4 ай бұрын
Oooh allah niongoze vyema
@FatnaAlly-go7yt
4 ай бұрын
Allahu akbar mashallah
@FatnaAlly-go7yt
4 ай бұрын
Allahu akbar mashallah Allah ajaalie nami niwe miongoni mwao inshallah ♥️ ❤️
@ashanibigira5898
4 ай бұрын
Mashaal alaah akulipe kilaheri
@irakozenurah8990
4 ай бұрын
Sheikh karibu kwetu burundi tunakupenda kwa ajili ya Allah
@faridaally-jp1gx
4 ай бұрын
Ma shaa Allaah
@KhamisMuhammad-wt2ij
4 ай бұрын
Allah awalipe Kila laheri
@narutonaruto4303
4 ай бұрын
Mashallah allah atujalie tuwe miongoni mwa wat wema
@AidathRweyongeza
2 ай бұрын
Amiina thumma amiiin
@FatnaAlly-go7yt
4 ай бұрын
Oooh allah tufanye tuwe ni wenye kuipenda quraan
@S.Mnguyu
3 ай бұрын
Famantaja shuku fahua yeye, allah akupe umri mrefu wenye manufaa tupate kuelimika
@AbdulIssa-o7e
4 ай бұрын
Watafukuzwa kwenye hozi ya mtume kuomba maji pale mtume atakapo ita umati umati yaluma umati umati wangu njoeni itatokea sauti toka mbinguni ikisema laa tadil ma ladhii muhudathat ataambiwa mtume,hawo so katika umati wako kwanini walizua baada yako.mtume atasema suka liman badala baadi suka liman badala baadi ondekeni wenye kuzuwa baada yangu wakae mbali na mimi
@UkhtyAsiyaah
4 ай бұрын
Famanta jashuku fahuwa yeye 😅😅
@AbdulIssa-o7e
4 ай бұрын
siku ya kiama watu wa bidaa watafufuliwa nyuso zao zikiwa na kiza sura zitapoteza nuru kwa wazushi
Пікірлер: 27